Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwanamke amuua mpenzi wake kwa kuvuta betri zake ( Korodani ) mkoani Simiyu

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Simiyu linamshikilia mwanamke na mkazi wa Kijiji cha Usiulize wilayani Meatu kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake kwa kumvuta korodani, kutokana na wivu wa kimapenzi.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Charles Mkumbo alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tisa usiku katika Kitongoji cha Mlimani Kijiji cha Usiulize Kata ya Mwamalole.   Alisema katika tukio hilo,

Polisi mkoani Morogoro wakamata gari lenye maiti yenye madawa ya kulevya

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limefanikiwa kukamata gari dogo aina ya Toyota Spacio likiwa limebeba mwili wa mtu aliefariki  ambaye alitambulikwa kwa Jila la Khalid Kitala (47) na kukutwa na kete kadhaa za Madawa ya Kulevywa tumboni. Kamanda wa polisi mkoani Morogoro, Faustine Shilogile amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa walipata taarifa za kuwepo kwa gari  hilo

Binti mwenye nywele na sura ya kiume asimulia changamoto anazokumbana nazo

$
0
0
  Queen ni mtoto wa 4 kati ya familia ya watoto 5. Ni msichana mzuri na mrembo kimtazamo, lakni tatizo kubwa linalomkabili maishani mwake ni nywele ambazo zimekuwa zikimfanya aonekane kama mwanaume.....  Akiongea na Domo Langu kwa njia ya mtandao, Queen amesimulia kuhusu changamoto anazokumbana nazo kutokana na tatizo hilo.   "Nimerithi hizi nywele toka kwa mama yangu na zilinianza

Rasimu kuhusu mahakama ya Kadhi Zanzibar yakamilika....

$
0
0
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema Rasimu ya Mahakama ya Kadhi imekamilika na inatazamiwa kuwasilishwa katika ngazi za makatibu wakuu kabla ya kufikishwa  kwenye Baraza la Mapinduzi.Waziri wa Sheria na Katiba, Abubakar Khamis Bakary, alisema jana kuwa Rasimu hiyo ambayo inasubiriwa kwa hamu na makundi ya watu wakiwamo wanaharakati baada ya kupata baraka za Baraza la Mapinduzi

Taharuki yatanda kufuatia moshi katika majengo ya benki kuu.

$
0
0
Taharuki na hofu ya moto imewakumba wakazi wa jiji la Dar es Salaam maeneo ya katikati ya jiji  kufuatia Moshi mkubwa uliokuwa ukitoka katika mojawapo ya majengo ya benki kuu ya Tanzania na kusababisha baadhi ya wakazi hao pamoja na jeshi la polisi akiwemo kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa kipolisi wa Ilala kufika haraka katika eneo la tukio kutokana na hofu ya kuungua kwa benki hiyo. 

Jackie Cliff adaiwa kukamatwa na madawa ya kulevya nchini China

$
0
0
  Jackie Cliff ambaye ni video queen wa Bongo anadaiwa kukamatwa na dawa za kulevya  nchini China. Star mmoja nchini aliyekataa kutajwa jina lake aliutonya mtandao wa  swahiliworldplanet  bila kufafanua zaidi kwa kusema kuwa Jackie amekamatwa na madawa ya kulevya China:    "Jackie Cliff amekamatwa na unga China". alisema star huyo huku akitutumia na picha za mwanamke aliyefungwa kitambaa

"Natamani kuokoka....Natamani kumrudia yesu kristo"...Aunt Ezekiel

$
0
0
  Licha  ya kubadili dini na kuwa muislam kisha kupewa jina la Rahma, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema sasa anatamani kurejea ‘ulokoleni’ na kumrudia Yesu kwa kuokoka.    Akizungumza na gpl hivi karibuni nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar, msanii huyo ambaye alibadili dini kutoka ukristo na kuwa muislam baada ya kuolewa na mumewe, Sunday Demonte alisema anajisikia kurudi

"Sitavunjika moyo kwa yaliyonikuta...Nitaendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama changu"...Shamsi Vuai Nahodha

$
0
0
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha amesema licha ya kuvuliwa uwaziri ataendelea kuwa kiongozi wa kisiasa na kukitumikia chama chake na wananchi bila ya kuvunjika moyo.    Nahodha, ambaye ni Mbunge wa Kuteuliwa ametoa kauli hiyo siku chache baada ya kuondolewa kwenye Baraza la Mawaziri na Rais Jakaya Kikwete kutokana na matatizo yaliyotokea katika

Diamond Platnumz kuwasomesha watoto watatu walioshinda shindano la kucheza Ngololo

$
0
0
  Diamond Platnumz ni bingwa wa kuitumia karata yake ya Public Relations vizuri.  Mwezi August mwaka huu aliicheza vizuri  baada ya kumfanyia surprise mwanamuziki mkongwe wa Tanzania Muhidin Gurumo kwa kumnunulia gari kwenye uzinduzi wa video yake ya 'My Number One' uliofanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam.   Jumatano hii, staa huyo aliyekuwa ameandaa show maalum ya Christmas

Kilichowaponza mawaziri wa Kikwete chabainikia....Kisiporekebishwa, mawaziri wengi wataendelea kung'oka

$
0
0
MKUU wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, amekerwa na tabia ya watendaji wengi wa serikali kutowajibika ipasavyo na matokeo yake kuwabebesha mizigo mawaziri na Rais.   Alisema chanzo cha wizara nyingi kutofanya vizuri kunasababishwa na mfumo mbaya ulioendekezwa na baadhi ya wakurugenzi,makamishna, makatibu na watendaji walioko chini yao kukosa uzalendo wa kuwajibika kwa wananchi.

Baada ya Mawaziri kung'olewa.....Je, wakuu wa mikoa na wilaya watapona??...Vipi kuhusu kamati za siasa za mikoa na wilaya??

$
0
0
HATUA ya kujiuzulu kwa mawaziri wanne kutokana na ‘uzembe’ uliojitokeza katika utekelezaji wa Operesheni Tokomeza ni ya uungwana.  Ni heshima kwa kiongozi kuwajibika pale inapotokea anaowaongoza wamefanya uzembe uliosababisha maafa ama athari yoyote kwa taifa. Vifo, adhabu na udhalilishaji waliotendewa wananchi wenzetu si haki hata kidogo na katika hili hatuna maneno rahisi ya kusema

Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff asimuliwa jinsi mrembo huyo alivyokamatwa na madawa ya kulevya China....Alikuwa yeye, mtanzania mwingine na Mnigeria mmoja

$
0
0
Rafiki wa karibu wa Jackie Cliff, Chief Rocka amethibitisha taarifa zilisosambaa  kuwa msichana aliyekamatwa na kilo 1.1 ya madawa ya kulevya aina ya Heroin huko Macau, China ni yeye.   “Amekamatwa kweli,” Chief amesema Chief.  “Nilivyosikia story ni kwamba ametoka Bongo akapita Thailand baada ya kutoka Thailand akaenda Macau, Macau ndio akakamatwa.  "Mimi nilijua sababu

Rais Kikwete arejea nchini akitokea Marekani ambapo alikwenda kuangalia afya yake

$
0
0
Makamu wa Rais Dk.Mohamed Gharib Bilal akimlaki Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Kuwasili nchini akitokea jijini New York Marekani ambapo alikwenda kwa ukaguzi wa kawaida wa afya yake. Akiwa nachini Marekani Rais Kikwete alialikwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bwana Ban ki Moon nakufanya naye mazungumzo kuhusu ushiriki wa majeshi ya Tanzania katika ulinzi wa Amani

Serikali yatangaza majina ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza

$
0
0
Jumla ya watahiniwa 411,127 kati ya 427,609 waliofaulu mtihani wa kumaliza darasa la saba mwaka 2013 wamechaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari katika shule za Serikali.   Hata hivyo, kwa mujibu wa ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za mikoa na serikali za mitaa TAMISEMI, wanafunzi 16,484 watashindwa kujiunga na elimu ya sekondari kwa wakati muafaka kutokana na uchache wa madarasa.  

Video ya sekunde chache ya kile kilichojiri katika operesheni tokomeza...Ni zaidi ya unyama

$
0
0
Kilichotokea kwa kweli ni zaidi ya unyama. Hii ni video fupi ya tukio hilo

Mwanaume mmoja apigwa hadi kufa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu mkoani Kigoma

$
0
0
MTU mmoja m kulima na mkazi wa eneo la Kumsenga wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, aliyefahamika kwa jina la Yusuph Pascal, ameuawa kwa kupigwa na vitu mbalimbali katika tukio linalodaiwa kuwa ni fumanizi la mapenzi.   Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Fraisser Kashai alisema mjini hapa kwamba mtuhumiwa huyo wa fumanizi, aliuawa mwanzoni mwa wiki hii.   Alisema baada ya kifo chake, mume wa

Kijana mmoja afungwa kifungo cha maisha baada ya kumlawiti mtoto wa kaka yake mkoani Tabora

$
0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilayani Nzega, Tabora, imemhukumu Juma Lufunga (26) kifungo cha maisha jela baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka mtoto wa kaka yake na kumsababishia maumivu makali.   Akitoa hukumu hiyo, Hakimu Mkazi Joseph Ngomelo alisema Lufunga (26) ametiwa hatiani kwa kosa la kumlawiti mtoto mwenye umri wa miaka sita na kumsababishia maumivu makali na hivyo kustahili kifungo

Rais Kikwete awatembelea na kuwafariji wagonjwa Muhimbili....

$
0
0
  Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Andrew Simba(15) aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili wakati Rais alipowatembelea na kuwafariji baadhi ya wagonjwa katika wodi ya Mwaisela .(picha na Freddy Maro). <!-- adsense -->

Serikali ya Zanzibar yakabidhi nyumba mpya kwa wananchi wake ikiwa ni moja ya sera zake za kuwajengea wananchi wake makazi mazuri.

$
0
0
Rais mstaafu  wa awamu ya sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume amesema majumba ya Mpapa yaliyokabidhiwa kwa wananchi 24 kutoka shehia 6 ya jimbo la bambi  yanahitaji kulindwa na kutunzwa ili yaweze kudumu zaidi uhai wake. Hayo ameyasema huko bambi wakati alipokua akiyakabidhi nyumba hizo kwa familia kadhaa katika sherehe za kuzifungua nyumba hizo kwa

"Bora kuvuliwa nguo na mwanaume kuliko kuuza madawa ya kulevya"....Huu ni ushauri wa Mwamvita makamba kwa akina dada

$
0
0
Hiki ndicho Alichokiandika Mwamvita makamba baada ya kusikika taarifa ya kukamatwa jack cliff na madawa ya kulevya nchini China..   <!-- adsense -->
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>