Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Samson Mwigamba amtaka msajili wa vyama vya siasa aingile kati swala la ukomo wa Madaraka lililo ondolewa kinyemela na viongozi wa juu wa CHADEMA

$
0
0
  Mimi Samson Mwigamba, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ninawasilisha malalamiko yangu kwa Msajili wa vyama na ninaomba atoe mwongozo kuhusu mgogoro wa kikatiba uliopo ndani ya Chama kufuatia kipengele cha katiba kinachogusia ukomo wa uongozi kubadilishwa kinyume na utaratibu.   Katiba ya Chadema ya mwaka 2004 kipengele 5.3.2 (c) inasomeka ifuatavyo kuhusu Muda

Tangazo la nafasi mpya za kazi...Mwisho wa maombi ni tarehe 31 mwezi huu mpaka 15 mwezi wa kwanza ...Bofya hapa ujionee,

$
0
0
  Jukwaa  la Taaluma  na Ajira  lina  nafasi  15 za kazi  kwa  ajili  yako  mtanzania  mwenzangu..... Tarehe  za  mwisho  wa  kutuma  maombi  ni  tarehe  16, 20, 31  mwezi  huu na  tarehe  31  mwezi  wa  kwanza.... Baadhi  ya  nafasi  hizo  ni Madreva, watumishi wa ofisi, ma technician, marketing and PR Manager,Occupational health officer  na  nyingine  nyingi.... Bofya  hapo  chini 

Bad News: Basi la Burudani lapinduka na kuua watu 12 huku wengine wakijeruhiwa vibaya

$
0
0
Watu zaidi ya 12 wameripotiwa kufa na wengine kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria la Burudani kutoka Korogwe kwenda Dar es Salaam kupinduka katika kijiji cha Taula wilayani Handeni mkoani Tanga. Cedit: East Africa Radio <!-- adsense -->

Bungeni moto... azimio lapitishwa kumtaka waziri Hawa Ghasia na manaibu wake wang'oke TAMISEMI

$
0
0
Bunge limepitisha azimio la kuwataka mawaziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kujipima iwapo wanatosha kuendelea kuongoza wizara hiyo nyeti. Azimio hilo lilipitishwa jana na wabunge kwa kura ya ndiyo bila kupingwa, baada ya kuhojiwa na Spika wa Bunge Anne Makinda iwapo wanaipokea taarifa ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (Laac)

Je, unampenda Lulu Michael na unataka awe mkeo?....Kama jibu ni ndio basi andaa mahari ya sh. 800,000 ili ombi lako likubaliwe

$
0
0
Imevuja kuwa mwanaume atakayetaka kumuoa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ atalazimika kutoa si chini ya shilingi laki nane (800,000) kama mahari ili kumuoa mwigizaji huyo.   Kwa mujibu wa chanzo chetu, wanaume wengi wamekuwa wakimendea kufunga ndoa na Lulu lakini wakashindwa njia za kumpata.   Ilidaiwa kuwa kikwazo kikubwa wanachokutana nacho ni namna ya

Sheik Ponda akwama mahakama kuu...Mahakama yaagiza mawakili wake wachukuliwe hatua kali za kinidhamu.

$
0
0
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeagiza mawakili wanaomtetea Shekhe Ponda Issa Ponda, wachukuliwe hatua kali za kinidhamu na mamlaka husika kutokana na kufanyia marekebisho hati za kiapo zilizokuwa na makosa ya kisheria ambazo zilikuwa tayari zimewasilishwa mahakamani hapo.Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Rose Temba, jijini Dar es Salaam jana wakati kesi hiyo ilipofikishwa mahakamani hapo

'Kama itatokea leo hii nikavuliwa uwaziri mkuu, binafsi nitafurahi sana kwa kuwa kazi hii ni mzigo mkubwa"....Waziri mkuu ameliambia bunge leo asubuhi

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameliambia Bunge muda mfupi uliopita  kwamba kama ikitokea Rais akamng'oa katika nafasi yake ya uwaziri mkuu, yeye  atafurahi sana  kwa kuwa kazi anayoifanya ni mzigo mkubwa. " Kama ningeambiwa LEO ningeondolewa katika nafasi hii, basi dada Rukia mimi ningefurahi kwa kuwa ningekuwa nimetua mzigo. "Dada Rukia, hii kazi huombi, Rais anaangalia na

Uganda yaanza kuilipa mabilioni Tanzania ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978.

$
0
0
SERIKALI ya Uganda tayari imeshaanza kulipa deni lake kwa Tanzania la dola za Marekani milioni 9.6 kati ya dola za Marekani milioni 18.4 ikiwa ni fidia kwa Tanzania kwa mchango wake katika kumuondoa Idd Amin Dada Uganda mwaka 1978. Hayo yalibainishwa bungeni jana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Shamsi Vuai Nahodha, wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Mbinga,

Picha za majeruhu katika basi la Burudani lililoua watu 12 na kujeruhi 55 -Handeni Tanga

$
0
0
Basi la Burudani baada ya ajali leo Wilaya ya Handeni, Tanga. Hospitali ya wilaya ya Korogwe. Majeruhi wakipatiwa matibabu. Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu. Manesi wakiendelea na matibabu kwa majeruhi. Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa kwenye benchi. Wananchi wakiwa eneo la Hospitali.   Basi la

Baada ya kuripotiwa kakamatwa na Madawa ya kulevya nchini Brazil, Aisha Bui aonekana Saluni ya Nisha sinza

$
0
0
Mwigizaji wa filamu za kibongo aliyesemekana kuwa amekatwa nchini brazil akiwa na madawa ya kulevya Aisha Bui ameonekana nchini hivi karibuni akiwa kwenye salooni ya mwanadada mwingine muigizaji Nisha iliyopo maeneo ya Sinza jijini Dar es Salaam.   Mwadada huyo ambaye tayari ameigiza filamu kadhaa na mastaa wenzake alionekana kwenye saloon ya Salma Jabu(Nisha) akiwekwa sawa nywele

Rais Kikwete ahudhuria sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Kenya leo.

$
0
0
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete(kulia) wakiwa  katika  sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Kenya zilizofanyika katika uwanja wa Michezo wa Kasarani mjini Nairobi leo. Kushoto ni Mwenyeji Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta.Watatu kushoto ni Naibu Rais Wa Kenya William Ruto,Watano Kushoto ni Waziri Mkuu wa Ethiopia Haile Mariam Desalegn, na Rais Pierre Nkurunzinza

Muonekano mpya wa msanii Agness Masogange.......

"Walionizomea na kunifanyia vurugu kule Kasulu wamefikishwa mahakamani".....Hii ni kauli ya Dr. Slaa

$
0
0
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, amesema kuwa vijana waliomfanyia fujo katika mkutano wake Wilayani Kasulu, wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.   Hayo aliyasema juzi mjini Kigoma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, uliofanyika katika viwanja vya Mwanga Center Kigoma mjini, uliohudhuriwa na mamia ya wapenzi wa chama hicho

Dr. Asha Rose Migiro aapishwa rasmi kuwa mbunge....

$
0
0
MBUNGE aliyeteuliwa na Rais, Dk Asha Rose Migiro ameapishwa rasmi jana bungeni na kusema anafurahi kutumikia umma huku akiahidi utumishi wenye uadilifu, uaminifu na wa kujituma.   Dk Migiro aliapishwa na Spika wa Bunge, Anne Makinda jana saa tatu asubuhi baada ya kuingia bungeni akisindikizwa na wabunge .   Baada ya kuapishwa, Dk Migiro alipongezwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,

" Filamu za kibongo haziuziki bila kutumia wasichana warembo"...Tino

$
0
0
Bila wasichana warembo kwenye filamu ya kibongo, hakuna atakayeinunua na huenda waandaaji wakaishia kuiangalia tu nyumbani na familia zao. Kwa mujibu wa Tino, wasichana warembo ni ‘chambo’ kinachowavuta wanunuzi wa filamu za Tanzania. Ujuzi wa uigizaji na kipaji, si sababu kwao.   Akiongea na gazeti la Mwanaspoti, Tino alisema warembo hao pamoja na kuzifanya filamu zivutie pia huwa

Picha tatu za Wema Sepetu akiwa ndani ya pozi la nusu uchi.....

$
0
0
Wema Sepetu amejikuta  akijishushia  heshma  yake  baada ya kutupia  picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake  hasa  matiti, kitovu  na  kifua  kwa  ujumla..    Katika  picha  hizo  ambazo zinapatikana  instagram, Wema Sepetu anaonekana  akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane huku

Watu 6 wapoteza maisha baada ya kufunikwa na kifusi mkoani Kilimanjaro

$
0
0
 Uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro ukiongozwa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama ukishuhudia zoezi la ukoaji wa miili ya watu hao.  Juhudi za kuokoa waliofukiwa zikiendelea  Gari aina ya fuso lenye namba za usajili T 167 AQG ambalo marehemu wa tukio hilo walikuwa wakijaza Moramu likiwa limeangukiwa na ngema iliyokatika na kusababisha vifo vya watu sita.  Miili ya baadhi ya

Vita ya mabilioni ya uswisi: Mwanasheri mkuu wa serikali adai kuwa Zitto Kabwe ni Mnafiki na Muongo mkubwa......Lema ataka apewe hayo majina ili awataje bila uoga

$
0
0
SAKATA la mabilioni yanayodaiwa kufichwa na Watanzania nje ya nchi jana lilileta zogo bungeni baada ya Mwanasheria Mkuu, Jaji Frederick Werema, kutifuana na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, huku Mbunge wa Arusha Godbless akiwataka wote wawili wampe majina ayataje hadharani kama wanashikwa na woga.    Huku Zitto akisisitiza kuwa serikali haionyeshi nia ya kuwachukulia hatua

Edward Lowassa ( waziri mkuu mstaafu ) na abiria wengine 41 wanusurika kifo katika ajali ya ndege jijini Arusha leo mchana

$
0
0
Abiria kadhaa akiwemo Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli  Mh Edward Lowassa wamenusurika kifo, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika uwanja wa Arusha leo mchana.   Ndege hiyo ya shirika la ndege la Precision aina ya ATR ilipata ajali hiyo wakati ikitua, ambapo Matairi yote manne ya nyuma yalipasuka na

Shilole aivaa laana ya mzee Small baada ya kumzushia kifo.

$
0
0
  MSANII wa muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuandika juu ya uzushi wa kifo cha msanii mkongwe,  Said Ngamba ‘Mzee Small’ kupitia mtandao wa Instargram.   Shilole ambaye baada ya kugundua kuwa hakuwa sahihi kuandika juu ya kifo hicho kwani haikuwa kweli, alilazimika kukanusha na ndipo akaanza kuporomoshewa ‘mvua’ ya matusi. Baadhi ya
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images