Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Bunge lasitisha shughuli zake na kutoa azimio la kumuenzi Rais Nelson Mandela.....

0
0
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juzi lilisitisha shughuli zake na kutoa Azimio kutokana na kifo cha Mandela, kwa kumuenzi kwa kudumisha umoja, amani, mshikamano ili kuleta maendeleo.   Wakichangia Azimio hilo, wabunge wametaka kutokana na kifo cha mpigania uhuru huyo kujifunza kwa kutolipiza kisasi kwa kusameheana na kuvumiliana katika kila jambo, hususan suala la Katiba na

Mrema aongoza maandamano wilayani Moshi ya kudai vyoo kwenye masoko

0
0
Mbunge  wa Vunjo, Agustine Mrema (TLP), ameongoza maandamano ya amani wilayani Moshi Vijijini kuishinikiza serikali kujenga vyoo na kupunguza kero za wafanya biashara wa masoko yaliyopo wilayani humo. Hatua hiyo imetokana na  malalamiko ya wananchi kwa muda mrefu.    Mrema aliongoza maandamano hayo wiki iliyopita baada ya kuhutubia mkutano katika kata ya Kruwa Vunjo Kusini ikiwa ni

Tanzania yatimiza miaka 52 ya uhuru leo

0
0
  Tanzania  leo inaadhimisha miaka 52 ya uhuru katika sherehe zitakazofanyika kitaifa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, mgeni rasmi atakuwa Rais Jakaya Kikwete ambaye atakagua gharide la askari wa mvikosi vya ulinzi na usalama. Aidha, sherehe hizo zitapambwa na halaiki, sarakati, vikundi mbalimbali vya burudani zikiwamo ngoma za

"Nchi hii haina mmiliki na kila mtu ana haki ya kwenda popote ....Lazima niende Kigoma mjini, mkinipiga hiyo ni mipango ya Mungu"....Dr. Slaa

0
0
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, amesema wanaodai asikanyage Kigoma Mjini wanapoteza muda wao kwani hatishwi wala haogopi na hata ikitokea amepigwa risasi na kufa Mwenyezi Mungu atakuwa ameridhia hivyo. Ametoa  msimamo huo jana wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Malumba Jimbo la Kasulu Mjini kwenye mkutano wa hadhara. “Kama ni

Baby Madaha anusurika kubakwa.....

0
0
  STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama machokoraa. Tukio hilo lilitokea  pande za Mombasa nchini Kenya wakati nyota huyo alipokuwa akirekodi video ya wimbo wake uitwao The Gal Bladder ambapo vijana hao walikatisha shughuli nzima na kuanza kumkimbiza Baby Madaha.   “Daah! Ilikuwa noma,

Rais Kikwete awashauri wanaopanga kulipa kisasi wakipata madaraka waache na badala yake waige mfano wa mzee Mandela

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewashauri watu wanaopanga kulipa kisasi pindi watakapopata madaraka kuachana na mawazo hayo.   Rais Kikwete ametoa ushauri huo wakati akitoa hotuba yake kwenye sherehe za maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanzania Bara, ambapo ameelezea mengi mazuri aliyoyafanya rais wa kwanza mzalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela

Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475...Akina nani hao?? ..BOFYA HAPA

0
0
  Katika kuadhimisha miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 1,475.   Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh. Emmanuel Nchimbi imesema wafungwa watakaonufaika na msamaha huo wa rais ni wale wagonjwa wa Ukimwi, kifua kikuu na saratani ambao wako kwenye hali mbaya. Wengine ni wazee wenye umri zaidi ya miaka 70 walioingia

Rais Kikwete awasili Afrika Kusini kuhudhuria mazishi ya mzee Nelson Mandela....

0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewasili nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo  Desemba 10, 2013 tayari kuhudhuria maziko ya Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Nelson R. Mandela.   Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali, Ibada Kuu ya kumwombea Marehemu itafanyika leo Desemba 10, 2013 katika Uwanja wa FNB Johannesburg, ambapo viongozi na watu mashuhuri mbalimbali kutoka kila pembe

Kwa nini ufanye mapenzi na mbuzi wakati kuna mabinti wazuri kama hawa???...Bofya hapa ujipatie mwenza wako.

0
0
Kwa  nini  ufanye  mapenzi  na  mbuzi  au  kuku  wakati  kuna  mabinti wazuri  kama  hawa??...Kwa  nini  uteseke  kujichua  wakati  kuna  watoto  wazuri  kama  hawa??? Je  upo  single  na  umechoka  kujichua  au  kufarijiwa  na  mbuzi....Kama  jibu  ni  ndio, bofya  hapo  chini  ukutane  na  watoto  wazuri  wa  kiafrika   wanaotafuta  wapenzi..... Kutangaza  ombi  la  kutafuta 

Nora adai kuwa Ray anamfitini kwa sababu alimtongoza akamkataa...bofya hapa umsikilize

0
0
Muigizaji wa kike aliyefanya vizuri kupitia kundi la Kaole Sanaa Group, Nuru Nassoro aka Nora amedai kuwa amekuwa akifanyiwa fitina na muigizaji mwenzake Vicent Kigosi aka Ray kwa kuwa aliwahi kumtaka kimapenzi akamkataa.   Nora amefunguka kupitia kipindi cha Filamonata cha 100.5 Times Fm na kudai kuwa Ray amekuwa akimbania hata kwenye baadhi ya makampuni ambayo anapeleka kazi

Msiba wa mzee Mandela wawakutanisha Rais Obama na Raul Castro wa Cuba na kujikuta wakipeana mikono kwa mara ya kwanza

0
0
  Rais Barack Obama  wa  Marekani  leo  amejikuta  akipeana  mkono  na  hasimu wake  Raul Castro  ambaye  ni  rais  wa Cuba  na  pia  ni  mdogo  wake  na Fidel Castro... Ilikuwaje....?? Rais  Obama  ni  miongoni  mwa  marais  waliokuwa  wamechaguliwa  kuzungumza  wakati  wa  kuuga  mwili  wa  mzee Mandela.... Kabla  ya  kushika  kipaza  sauti  ili  kutoa  neno, Obama alianza  kwa 

Hizi ni Picha mbalimbali za kuuombea mwili wa mzee Mandela huko Afrika Kusini...Marais zaidi ya 100 wamehudhuria akiwemo Rais Kikwete

0
0
Hizi  ni  picha  mbalimbali  toka SA wakati  wa  kuuombea  mwili  wa  mzee Mandela                         Source: BBC <!-- adsense -->

Ruth wa Project fame aomba radhi kwa vazi la nusu uchi alilovaa kwenye fainali za shindano hilo

0
0
  Mshindi wa shindano la tano la Project fame Mkenya Ruth Matete ameomba radhi kutokana na vazi alilovaa wakati akiimba kwenye fainali za shindano hili mwaka huu, fainali ambazo zilifanyika weekend iliyopita Nairobi Kenya...    Ruth ambae ni kiongozi wa timu ya kusifu na kuabudu kwenye kanisa la House of Grace, aliomba msamaha kupitia page yake ya twitter kwa kile kinachoonekana na

Zitto Kabwe leo atajibu mashitaka yake 11 anayotuhumiwa na CHADEMA...... Mashitaka hayo yatajibiwa na mwanasheria wake mbele ya waandishi wa habari

0
0
  MWANASHERIA wa Mhe Zitto Zuberi Kabwe (Mb), Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, Ndugu Albert Msando, atazungumza na wahariri wa vyombo vya habari katika Hoteli ya Serena leo tarehe 11/12/2013 kuanzia saa nne na nusu asubuhi (saa 4.30 asubuhi) Dhima ya mkutano huu itakuwa kutoa ufafafunuzi juu  ya mashitaka 11 na majibu yake  ambayo Mhe. Zitto Kabwe  na washitakiwa wenzake walipewa na

Mrema agawana mshahara na wapigakura wake jimboni

0
0
Mbunge wa Vunjo, Agustine Mrema ( TLP), amesema  ameamua kugawana mshahara wake na wananchi wa Vunjo kwa kuwapa mitaji ya biashara  kinamama na vijana wa jimbo hilo ili kuendeleza biashara zao na watamrejeshea baada ya nwaka mmoja. Mrema aliyasema hayo wilayani Moshi wakati akigawa fedha kwenye vikundi vya wajasiriamali na kusema amekuwa akifanya hivyo kila  mwaka, lakini wananchi

Wanafunzi wa vyuo vikuu washauriwa kuacha biashara haramu ya Ngono.....

0
0
WANAFUNZI wa vyuo vikuu nchini wameshauriwa kuacha kujihusisha katika biashara zisizofaa za kuuza miili yao kwa kisingizio cha ugumu wa maisha. Rai hiyo ilitolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Shirika lisilo la kiserikali linalojihusisha na vijana lijulikanalo kama Restless Development, Joseph Bukula, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa upimaji afya kwa hiari

Mwanamziki wa FM Academia afanyiwa kitu mbaya.....Wahuni wampora na kumvua nguo

0
0
Kitendo alichofanyiwa  mwanamuziki wa Bendi ya FM Academia ya jijini Dar  anayejulikana kwa jina moja la Flora alfajiri ya kuamkia Desemba 8, mwaka huu ni kibaya katika jamii ya Kitanzania. Flora akiwa amepata kinywaji ili kuchangamsha mwili wake alijikuta akipigwa na vijana wawili wanaofanya kazi ya kuendesha Bajaj akiwa amewakodi kwa ajili ya kurudi nyumbani  kwake. Tukio  hilo

Familia ya Mzee Small yakanusha taarifa za uongo zinazodai kwamba amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

0
0
  Ni mastaa zaidi ya 10 wa Tanzania ambao wamezushiwa kifo ndani ya mwaka 2013 na stori zote zikawa za uongo baadae, miongoni mwao ni Mwasiti na Mr Blue.  December 10 2013 kuanzia saa nne usiku taarifa zilezile za kuzushiwa kifo zimemuangukia mwigizaji mzee Small ambae ni kweli kwa kipindi kirefu amekua akiugua.  Hii  ni  kauli  ya  msanii  huyo  baada  ya  kutembelewa  na Millard Ayo 

Kauli ya kutolipiza kisasi aliyoitoa Rais Kikwete yaibua mapya....Profesa Baregu amtaka aombe radhi kwa kuwa serikali yake imejaa visasi

0
0
KAULI iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwenye maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanganyika, yaliyofanyika juzi jijini Dar es Salaam, kwa kuwataka watu wanaotaka uongozi kutokuwa na visasi imezua maswali kwa baadhi ya wasomi na wanasiasa.   Hatua hiyo imekuja kutokana na hotuba yake aliyoitoa kwenye maadhimisho hayo, Rais Kikwete bila ya kumtaja mtu wala chama, aliwanyooshea

Taarifa ya mwanasheria wa Zitto Kabwe kuhusu maamuzi ya Zitto baada ya kupatiwa mashitaka yake 11....Amezungumzia pia vurugu za Kigoma

0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI   Baada ya kupokea barua yake ya mashtaka 11 tarehe 01/12/2013 ambayo anashitakiwa nayo na iliyomtaka ajitetee kwa maandishi. Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) jana tarehe 10/12/2013 amefanya hivyo kwa mujibu wa Katiba na Kanuni za Uendeshaji za Chama Pia Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe (MB) ametoa taarifa kwa Katibu Mkuu wa Chama kumueleza nia yake kukata
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images