Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha Clouds FM chini ya bwana
Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na fununu kali iliyokuwa inamuhusu
mwanadada wa Bongo Movies na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D
'Young Dar es Salaam' kama mwenyewe anavyojiita baada ya wawili hao
kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara
baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa.
Lulu Michael na Young D wafumaniwa wakifanya mapenzi ndani ya gari
↧
↧
Mtuhumiwa sugu wa UBAKAJI jijini Arusha anasurika kuuawa baada ya kunaswa live akimlawiti mwanafunzi hadi akazimia
( Hii siyo picha ya tukio.Ni picha wakilishi tu ya mtandaon )
Habari na Joseph Ngilisho, Arusha --Kinara
sugu wa ubakaji ,Selemeni Said(30) mkazi wa Mbauda
jijini hapa,amenusulika kufa kwa kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira
kali baada ya kufumwa, akiwa na wenzake wakimbaka mwanafunzi wa kidato
cha pili na kumsababishia kupoteza fahamu.Saidi anayetajwa kuwa
mwenyekiti wa kundi la
↧
Mwanamke abakwa na kuchomekwa chupa za soda katika sehemu zake za siri na kisha kunyongwa huko Chalinze
Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43)
amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na
kumnyonga...
Tukio hilo la kutisha lilijiri usiku
wa Desemba 7, mwaka huu Chalinze Kwamwarabu ambapo mwanamke huyo
alikwenda kujumuika na ndugu na majirani katika mkesha wa ngoma ya
kuwatoa wari siku ya Jumapili.
↧
Zitto Kabwe amjibu mwanasheria mkuu wa Serikali....Adai kuwa mwanasheria ni muongo mkubwa.. Yeye alishampa majina muda mrefu sana
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema atamjibu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema juu ya kauli
aliyoisema bungeni kwamba mbunge huyo hana majina ya Watanzania
walioficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi. Zitto alisema kwa kuwa Jaji
Werema alimshambulia kupitia bunge naye atatoa majibu bungeni ili
ukweli uweze kujulikana.
Zitto alitoa kauli
↧
Mawaziri saba ambao ni mizigo ndani ya CCM wahojiwa na kamati kuu ya chama hicho...Hii ni kauli ya chama hicho baada ya kuwahoji
NA BASHIR NKOROMO
Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kikao chake kilichofanyika jana mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete imeibuka na masuala mazito kadhaa, ambayo leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (pichani) ameyaeleza wakati akizungumza na waandishi wa Habari, Katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lumumba jijini Dar
↧
↧
Dalili 15 za mwanaume PUNGA
Naomba nikudokezee mambo machache unayoyakosa toka jukwaa la Fikra huru ambalo ni forum ya mtandao huu....
-Nafasi za kazi
-Jinsi ya ku unlock simu yako ( aina yoyote )
-Jinsi ya ku unlock modem yako ( aina yoyote )
-Wanaotafuta wapenzi wa kudumu na part- time
-Elimu ya computer na utundu wa mitandaoni
-Stori za mapenzi
Stori mojawapo ya
↧
Mbowe aikanyaga ardhi ya jiji la Mwanza.....Leo atakuwa na mkutano wa hadhara katika maeneo ya chuo kikuu cha SAUT
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman
Mbowe, leo anatarajiwa kufanya mkutano wa hadhara utakaofanyika viwanja
vya Malimbe, katika maeneo ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT),
jijini Mwanza.
Mkutano huo ni mwendelezo wa harakati za kujenga na kuimarisha chama,
ambapo Katibu Mkuu wa CHADEMA taifa, Dk. Willibrod Slaa kwa sasa yupo
katika ziara
↧
" Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya GONGO kisheria"....Dr. Slaa
Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa mpya baada ya kueleza
kuwa kitakapofanikiwa kushika dola kitaruhu Shirika la Viwanda Vidogo
Vidogo (SIDO) kutengeneza mitambo ya kutengenezea pombe aina ya gongo.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk.Willbroad Slaa, akizungumza na wananchi wa
Jimbo la Kasulu Vijijini alisema kama gongo itatengenezwa kwa mitambo
maalum itaondoa mianya ya
↧
Mazishi ya Nelson Mandela yanaendelea hivi sasa kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape
Mazishi ya Nelson Mandela
yanaendelea katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Eastern Cape na
kumaliza wiki moja ya maombolezi ya shujaa wa Afrika mwendazake Nelson
Mandela.
Takriban watu 4,500 wakiwemo wageni wa kimataifa
wanahudhuria mazishi hayo ambayo ni ya mchanganyiko wa tamaduni za kale
na mambo ya kisasa.
Familia ya Mandela ilikesha wakijiandaa kwa
mazishi ya leo huku
↧
↧
Live Stream inayorusha mazishi ya Nelson Mandela LIVE kutoka Afrika Kusin
↧
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza ndugu Clement Mabina ameuwawa
na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe huko maeneo ya Kisesa
jijini Mwanza...
Chanzo cha kuuwawa ni kwamba mabina aliwanyang'anya ardhi wananchi hao
na kesi ikawa mahakamani na leo mchana Mabina bila kibali cha mahakama
alikuwa anapanda miti na kujenga msingi wa nyumba ndipo wanachi wakaenda
kumhoji
↧
Mengi azijibu tuhuma za kifisadi na ubinafsi zilizoelekezwa kwake na waziri wa nishati na madini (Profesa Muhongo)
1. Nafurahi kwa nafasi ya kuwa nanyi leo kwa kuwa sekta binafsi itapata nafasi ya kipekee kesho tarehe 16 Desemba 2013, ya kuwa na mkutano chini ya Mhe. Rais Kikwete kama mwenyekiti.2.
Mimi binafsi nitapata heshima ya kushiriki kama kiongozi wa sekta
binafsi chini ya TPSF. Lakini limekuwepo tatizo la mambo yaliosemwa na
Mhe. Profesa Muhongo kunihusu ambayo ningependa niyafafanue ili
↧
Watanzania waisifia hotuba ya Rais Kikwete aliyoitoa leo katika mazishi ya mzee Mandela huko Afrika Kusini
Watanzania mbalimbali wameisifia hotuba iliyotolewa na Rais wa
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete kwenye siku hii ya
maziko ya Mzee Nelson Mandela Jumapili December 15 2013.....
Hotuba iko hapo chini, kama hukuisikiliza, basi bofya hapo ili ummwagie sifa Rais wetu kwa jinsi alivyotuwakilisha leo
↧
↧
Watanzania maskini wafikia milioni 4.2
Ripoti mpya iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB) inaonyesha
Watanzania milioni 4.2 wanaishi chini ya mstari wa umaskini kwa kupata
Sh886 kwa siku.
Ripoti hiyo inabainisha kuwa Watanzania hao ambao
wanaishi mijini na vijijini, wanapata Sh26,000 kwa mwezi, ambayo ni sawa
na Sh866 kwa siku.
Akizindua Toleo la Nne la Taarifa ya Hali ya
Uchumi nchini
↧
Sababu 100 za kwa nini hotuba ya Rais Kikwete kumuaga Mandela ilikuwa bora zaidi
Ndugu zangu,
NOTHING can come from NOTHING. Wamesema hili Wanafalsafa wa Uyunani ya Kale .Nilimwona na kumsikiliza Rais wetu
Jakaya Kikwete akizungumza kwenye siku muhimu ya kumuaga kwa mara ya
mwisho Mzee wetu Nelson Mandela.
Muda wote wa hotuba yake, JK alibaki kwenye mstari kwa namna ile ile ya kuweka bayana kwa ulimwengu, kuwa ' msione vinaelea'.
Hakika alichofanya JK
↧
Lulu Michael azijibu tuhuma za kufumaniwa akifanya mapenzi ndani ya gari
Mwishoni mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya
kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo
Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu, Elizabeth Michael
‘Lulu’ wamebambwa na polisi wa doria wakivunja amri ya sita ndani ya
gari aina ya Hyundai, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, tukio lililojaa
utata mkubwa.
Kwa mujibu wa habari hizo
↧
Rose Muhando hatimaye amevunja ukimya kwa kuachia hii video ya WOLOLO chini ya label ya kimataifa inayomsimamia kwa sasa- Sony Music Africa.
Muimbaji wa muziki wa injili nchini Rose Muhando hatimaye amevunja
ukimya kwa kuachia video chini ya label ya kimataifa inayomsimamia kwa
sasa Sony Music Africa.
Video ya Rose Muhando ‘Wololo’ pia imekuwa certified na mtandao wa video
za muziki wa Marekani VEVO. Video hii imepandishwa youtube December 13
kupitia channel ya RoseMuhandoVEVO.
↧
↧
Kigoma All-Stars yapagawisha Mombasa lakini Recho aponzwa na tamaa za ngono ...., Maunda azomewa na kujikuta akilia kama mtoto
Wiki iliyopita, wanamuziki wa Kigoma All stars akiwemo Diamond
Platnumz na wengine walikuwa mjini Mombasa, Kenya kwenye show ya sehemu
ya ziara yao katika nchini za Afrika Mashariki.
Pamoja na kupiga show
kali, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Kenya, Recho aliwatia aibu
kubwa wasanii wenzie wakati wakiongea na waandishi wa habari baada ya
show.
"Mwanamuziki wa Tanzania
↧
Mbowe ampa MAKAVU Zitto Kabwe huko Mwanza.....Adai kuwa chama chake hakiko tayari kuwavumilia Wasaliti
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman
Mbowe, amemvaa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na kusema kamwe
chama hicho hakiwezi kuvumilia usaliti wa aina yoyote.
Akizungumza mjini Mwanza jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika
Viwanja vya Malimbe, alisema kwa namna yoyote ile hawatamfumbia macho
mtu yeyote anayekwenda kinyume cha katiba na
↧
Mr. Nice apata shavu jipya la kufanya filamu na kampun ya VAD Film Production ya Dernmark.....
Msanii mkongwe wa mziki nchini Tanzania maarufu kwa jina la Mr. Nice amepata shavu jipya la kufanya filamu moja na kampuni ya VAD Film Production ambayo ni kampuni ya kiafrika maarufu kwa ajili ya waafrika wanaoishi nchini Denmark wakiwa
wamejikita katika utengenezaji wa filamu kwa kutumia Lugha ya Kiswahili...
Hapa akiwa na maojiano na dada
↧
More Pages to Explore .....