Imesimuliwa na Dokta. MUNGWA KABILI….+255 744 000 473.
Mwaka 2003, mwanamke mmoja ambae kimuonekano alionekana msomi mwenye kazi yake nzuri, alinifuata kilingeni kwangu akiomba nimsaidie kuhusu jambo moja.
Alisema
“ NIPO KWENYE NDOA KWA MUDA WA MIAKA MINANE. MIMI NA MUME WANGU TUMEBAHATIKA KUPATA WATOTO WATATU.
ILA KUNA MKAKA MMOJA, NAE NI MUME WA MTU, ANAISHI MTAA WA TATU TOKA TUNAPOISHI. NAMPENDA SANA HUYO MKAKA, NAOMBA UNISAIDIE MIMI NA HUYO MKAKA TUOANE!”
Akaendelea kueleza
“ YEYE NDO ALINITONGOZA. MWANZONI NILIKUWA NAMKATALIA LAKINI BAADAE NIKAMKUBALIA, ILA TOKA NIONJE PENZI LAKE NIMECHANGANYIKIWA KABISA! NATAKA AWE WANGU PEKE YANGU ! NAJISIKIA WIVU SANA NIKIMUONA YUPO NA MKE WAKE ! NATAKA UNIFANYIE DAWA, MWANAUME HUYO AACHANE NA MKE WAKE! ANIOE MIMI NA AWE NA MIMI TU!
NATAKA PIA UNIFANYIE DAWA NIACHANE NA MUME WANGU KWA AMANI! YEYE AWE NA MAISHA YAKE NA MIMI NIWE NA MAISHA YANGU!
MUME WANGU ANA PESA NYINGI TU NA MAISHA MAZURI, LAKINI MIMI NIMETOKEA TU KUMPENDA KWA DHATI HUYU MKAKA.
YEYE PIA ANA KAZI YAKE NZURI, ILA SIMPENDI KWA AJILI YA KAZI YAKE AU MALI ZAKE. NAMPENDA YEYE KAMA YEYE NA NIPO TAYARI KUFANYA LOLOTE KWA AJILI YAKE!
Kwa ufupi mwanamke huyu alimpenda jamaa huyo kwa sababu ya uwezo wake kitandani.
Nilimuonea huruma sana mume wa mwanamke huyo pamoja na watoto wake, bila kusahau mke wa jamaa anaependwa pamoja na watoto wake.
Mwanamke huyu alikuwa tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya mwanaume mwingine, huku sababu ikiwa moja tu. TENDO LA NDOA!
Piga picha wewe ungekuwa ndio mume wa huyo mwanamke, halafu ukajua mke wako wa ndoa, anakwenda kwa mganga wa jadi, kupewa dawa ya kumpata mwanaume mwingine ambae pia ni mume wa mtu kwa sababu tu ya udhaifu wako katika tendo la ndoa! Bila shaka ungeumia sana! Lakini huo ndio ukweli wenyewe na wanawake wengi ndivyo walivyo!
Kwa uzoefu wangu wa miongo kadhaa katika kazi ya utabibu, nimekutana na kesi kama hizi nyingi sana.
Kesi nyingine ilikuwa ya mwanaume, kaja kumfunga mke wake. Alimfumania mke wake akiwa amepiga magoti mbele ya kijana mdogo wa bodaboda akimuomba msamaha, mara baada ya kijana huyo kutishia kumuacha! Ni jambo lenye kuvunja moyo na kutia uchungu sana.
NIRUDI KWENYE MADA YANGU : KAMA UNAJIJUA AU UNAJIHISI, UNA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME,BASI USIFIKIRIE KABISA KUHUSU KUFUNGA NDOA! VINGINEVYO UWE TAYARI KWA JAMBO NITAKALO LIELEZA HAPA CHINI…..
Kama unajijua una tatizo la NGUVU ZA KIUME, basi usifikirie kabisa kuhusu kufunga ndoa.
Kwa sababu, kwanza NDOA NI TENDO LA NDOA ! Sasa kama wewe uwezo wa kufanya tendo la ndoa hauna, unafunga ndoa ya kazi gani ?
Mwanamke anapo ondoka kwao, na kuja kuishi na wewe, anafuata kwanza tendo la NDOA.
Hayo mambo mengine kama pesa, nakadhalika ni mambo ya ziada tu.
Uzoefu wangu umeniwezesha kugundua kuwa, mwanamke anampompenda mwanaume kwa sababu ya TENDO LA NDOA, basi humpenda kikwelikweli na huwa tayari kufanya jambo lolote kwa ajili ya mwanaume huyo… ( UZOEFU WANGU UNAONYESHA KUWA NDOA ZA NAMNA HII HUWA ZINADUMU SANA )
Namaanisha ndoa ambazo msingi wake ni UIMARA KATIKA TENDO LA NDOA kwa upande wa mwanaume.
Mwanamke MchaMungu anapo pata bahati ya kuolewa na mwanaume aliye IMARA katika tendo la NDOA, hushukuru sana Mungu kwa sababu, ana kuwa na uhakika kuwa hawezi kumuudhi Muumba wake, kwa kuvunja AMRI YA SITA YA MUUMBA!
Miaka ya 2000 mwanzoni, kuna Mjumbe wa mtaa mmoja, uliopo jijini Dar Es Salaam, kila alipokuwa akienda kusuluhisha mgogoro wa ndoa, alikuwa anapita kwenye maskani ya vijana wa mtaani na kuwaambia kwa utani “ NAENDA KUJUA MWANAMKE GANI HAKAZWI VIZURI NA MUME WAKE ILI NIMSAIDIE MUME HUYO “.
Kwa ufupi mwenyekiti huyo ali amini, migogoro mingi katika ndoa, husababishwa na UDHAIFU KATIKA TENDO LA NDOA kwa upande wa wanaume.
Tendo la ndoa ni tendo lenye raha sana kwa upande wa wanawake. Furaha wanayo ipata wanawake wanapo fikia katika kilele cha tendo la ndoa, HAIMITHILIKI.
Thamani yake ni kubwa mara bilioni kuliko pesa unazo muhonga au mali ulizo nazo. Hivyo kama mwanamke ana uhakika wa kufurahia tendo la ndoa, basi anaweza kuishi na mwanaume wa aina yoyote ile, mahali popote kwa hali yoyote.
Kama unajijua una tatizo la NGUVU ZA KIUME, basi usifikirie kabisa kuhusu kuoa.
VINGINEVYO UWE TAYARI KUSAMEHE DHAMBI YA UZINZI na pia uwe tayari kulea watoto ambao sio damu yako, na kibaya zaidi uwe tayari kuletewa magonjwa ya zinaa, ikiwamo ukimwi.
Kwa sababu kwa vyovyote vile mke wako lazima atatoka tu nje ya ndoa ! Na heshima ya ndoa haitakuwepo.
Bora ubakie kuwa na rafiki wa kike tu, kwa sababu utakuwa unakutana nae labda kila Jumamosi.
Lakini sio kwa mkeo. Mkeo kila siku unalala nae kitanda kimoja. Na tendo la ndoa ni haki yake. Akikushtukia uwezo wako mdogo, basi atatafuta tiba mbadala, na akiangukia mikononi mwa kidume anae ijua kazi yake vizuri, basi inakuwa bahati mbaya kwako.
SULUHISHO LA TATIZO:
Kama unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume. Tumia tiba yetu ya asilia iitwayo KISHINDO. Tiba hii asilia, imekuwa ikitumika tangu enzi za mabibi na mababu wa mababu.
Itakutibu na kukuponyesha tatizo lako la nguvu za kiume na hivyo kukupa uwezo wa kufurahia tendo la ndoa pamoja na kumfurahisha mkeo.
Pili : MPE MKEO TIBA YA KUPUNGUZA HAMU YA TENDO LA NDOA:
Unaweza ukawa na nguvu nyingi lakini ukawa na maumbile madogo sana ambayo hayaendani na kasi ya mkeo. ( DAWA ASILIA IITWAYO “ MKONO WA MTOTO” AMBAYO HUONGEZA UREFU NA UNENE WA UUME, IMEISHA . TIBA HII HUPATIKANA KWA UCHACHE NA KWA MSIMU. HUPATIKANA MARA MOJA KWA MWAKA, HUSUSANI MWEZI WA KUMI NA MBILI AU JANUARY.KWA SASA HAIPATIKANI HADI MWEZI DISEMBA )
Kwa hiyo pamoja na kuwa na nguvu za kiume za kutosha, bado mkeo anaweza kutaka kutoka nje ya ndoa, kukutana na wanaume walio jaaliwa.
Suluhisho, mlishe mkeo, dawa maalumu ya asili ambayo humfanya mwanamke kukosa au kuishiwa kabisa na hamu ya tendo la ndoa.
Tiba hii imekuwa ikitumiwa na mababu zetu tangu enzi na enzi. Kwa mfano, mababu zetu walio jihusisha na uvuvi. Anaweza kwenda n’gambo au kisiwa cha pili, na akakaa huko hata kwa miezi sita na akirudi anakuta mke wake hajaguswa na mtu yoyote, kwa sababu mke anakuwa hajisikii kufanya tendo la ndoa.
Unaweza hata ukaenda kusoma ulaya miaka miwili na ukamkuta hajaguswa. Kama unaishi nae, unaweza kuwa unakutana nae hata mara moja kwa mwezi au kwa wiki.
Tiba hii itakupa uhakika kuhusu uaminifu wa mkeo kwako. Kama atatoka nje, basi labda kwa sababu ya fedha au nyinginezo lakini si kwa sababu ya tendo la ndoa.
3. MFUNGE MKE WAKO ASITOKE NJE : Kwa kutumia tambiko maalumu la jadi, unaweza kumfunga mke wako na kumfanya asitoke nje ya ndoa, hadi siku anaingia kaburini. Tambiko hili litakuwa uhakika na usalama wa ndoa yako.
IMESIMULIWA NA DOKTA. MUNGWA KABILI, ANAEPATIKANA KWA SIMU NAMBA + 255 744 000 473