Kinyanganyiro cha kumtafuta Super Star wa Bongo kupitia Epiq Bongo
Star Search 2013 kimekamilika leo alfajiri kwenye ukumbi wa Escape 1.
Mashindano
haya ambayo kidogo yalichelewa kuanza yalipambwa na wasanii mbalimbali
wakiwemo Barnaba,Makomando,YoungKiller,waterchilambo,Shaa,Kimbunga na
Snura.
Mashindano hayo yalikua na jumla ya washiriki watano
ambao ni Amina Chibaba,
Mshindi wa shindano la EBSS mwaka huu ni Emmannuel Msuya...Tazama alivyojibebea milioni 50 alfajiri ya leo
↧
↧
Uongozi wa bunge wataka Kapuya ashitakiwe....CCM nao waanza kumuumbua
WAKATI Jeshi la Polisi likiendelea kukwepa kumkamata Mbunge wa Urambo
Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) anayekabiliwa na tuhuma za kumbaka
mwanafunzi na kutishia kumuua, uongozi wa Bunge umeingilia kati ukitaka
achukuliwe hatua.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) nacho kimeibuka na kueleza kushangazwa na
kitendo cha mbunge huyo kuikana namba yake ya simu 0784 993 930 wakati
ipo hata kwenye
↧
Marais wa Eac watia saini huko KAMAPALA kuhusu itifaki ya kutumia sarafu moja
L-R
ni Marais: Pierre Nkurunzinza (Burundi), Jakaya Mrisho Kikwete
(Tanzania), Uhuru Kenyatta (Kenya), Yoweri Museveni (Uganda) na Paul
Kagame (Rwanda) muda mfupi baada ya kutia saini itifaki ya Umoja wa
Fedha wa Afrika Mashariki (picha: Freddy Maro/IKULU)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Imetolewa 30 Nov 2013 ( jana )
Viongozi
wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) leo kwa pamoja
↧
CHADEMA yapukutika: Mwenyekiti mkoa wa Lindi ajiuzulu na kujitoa uanachama...Adai kuchoshwa na unafiki, udini na ukabila.
SASA
ni dhahiri kwamba hali si shwari ndani ya Chadema, baada ya viongozi
zaidi kuendelea kuachia ngazi kwa kile walichodai kuchoshwa na hali ya
mambo katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini.
Baada
ya Makamu Mwenyekiti wa Taifa, Said Arfi kujiuzulu wadhifa wake
mwishoni mwa wiki iliyopita, jana ilikuwa zamu ya Mwenyekiti wa Chadema
mkoani Lindi, Ally Chitanda aliyetangaza
↧
Binti wa kitanzania ( Rachel Jose ) amuanika rafiki yake ( Minza ) akiwa uchi kisa eti kamuibia mume wake...
Huyu ni Minza aliyeanikwa akiwa Uchi.
Mabinti wawili waliotambulika kwa majina ya Rachel Jose na Minza wamejikuta wakitia aibu baada ya kuanza kusambaza picha zao za uchi wakilipizana visasi baada ya kuibiana mwanaume..
Anayedaiwa kuiba mpenzi wa mwenzake ni Minza ambaye amejikuta akiisherehekea vibaya siku ya UKIMWI duniani baada ya picha
↧
↧
Viongozi wazidi kujitoa: Katibu wa CHADEMA wilaya ya Chunya naye aachia ngazi na kujiunga CCM...
Katibu
wa chama cha CHADEMA wilaya ya Chunya,Bwa Bryson Mwasimba akionesha
kadi yake ya chama hicho na kuirejesha kwa chama cha CCM mara baada ya
kuachia ngazi kwenye mkutano wa hadhara uliofanywa na Katibu Mkuu wa
CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana uliofanyika kwenye kata ya Lupa Tinga
Tinga,Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya.
Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko
mkoani Mbeya kwenye ziara kukagua
↧
Matawi 189 ya CHADEMA jijini mwanza yatishia kuandamana endapo Mbowe na Dr. Slaa hawatajiuzulu kabla ya tarehe 4 disemba na endapo watakanyaga Mwanza basi watawapiga mawe
TAMKO LA UMOJA WA MATAWI YA WANACHADEMA MKOA WA MWANZA DHIDI YA UAMUZI HARAMU WA KAMATI KUU YA CHADEMA.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UTANGULIZI
Ndugu wanahabari, mbele yenu ni muunganiko wa wawakilishi wa matawi 189 ya chama cha demokrasia na maendeleo mkoa wa mwanza. Umoja huu wa matawi unawajumuisha wajumbe kutoka majimbo yote ya mkoa wa mwanza.
Hivyo katika kikao chetu tulichoketi
↧
Haya ndo makosa 11 ambayo CHADEMA wanamtuhumu Zitto Kabwe na wenzake...Kosa lake kubwa ni nia ya kugombea uenyekiti Taifa
MASHITAKA 11 dhidi ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe, yamebainisha kuwa kosa kubwa la kiongozi huyo kijana, ni nia yake ya kutaka kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe.
Chanzo chetu cha habari kilichoona mashitaka hayo kabla ya kutumwa kwa washitakiwa, kimebainisha kuwa makosa saba kati ya makosa 11, yanahusu kugombea uenyekiti Taifa, au kumkashifu
↧
Khadija Kopa avamiwa na vijana wahuni baada ya kukatiza mtaani akiwa na mwanaume waliyedai ni Shoga
Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki na Kati, Khadija Omary Kopa
amevamiwa na vijana wahuni wakitaka kumfanyia fujo kwa madai ya kukatiza
mitaani akiwa ameongozana na ‘mwaume aliyekuwa amevaa nguo za kike’.
Tukio hilo lilijiri maeneo ya Kariakoo, Dar wiki iliyopita ambapo
vijana hao walianza kwa kuzomea wakitaka kumshika mwanaume huyo
waliyedai alikuwa amevaa nguo za jinsia ya kike
↧
↧
Katibu wa chama cha madaktari ajiuzulu wadhifa wake na kujiunga CHADEMA
MAKAMU wa Rais wa Chama cha Madakatri Tanzania (MAT), Dk Rodrick Kabangila, amejiuzulu nafasi hiyo na kuelekeza nguvu kwenye uteuzi mpya wa kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Ziwa Magharibi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema).
Akizungumza jana Dar es Salaam, Kabangila alisema amefanya uamuzi huo bila kushurutishwa na anaamini kwa kufanya hivyo ataondoa mgongano wa kimaslahi kati ya
↧
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimemvua madaraka ya uongozi Dr. Kitila Mkumbo kwa madai ya kujihusisha na uongozi wa vyama vya siasa
\Taarifa zinasema kuwa uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam umemvua
kwa muda Mhadhiwa Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Kitila
Mkumbo madaraka ya kuongoza Kitivo cha Elimu cha Chuo Kikuu Kishiriki
cha Elimu cha Dar es Salaam (DUCE).
Hatua hiyo inatajwa
kuchukuliwa baada ya uongozi wa UDSM kupata taarifa kwenye vyombo vya
habari kuwa Dk Kitila Mkumbo alikuwa kiongozi wa
↧
Lulu Michael awahamasisha vijana kupima UKIMWI
Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael aka Lulu amesema vijana
wanatakiwa wawe mstari wa mbele katika kujikinga na maambukizi ya virusi
vya Ukimwi.
Akizungumza na mwandishi wetu jana katika usiku wa Red Ribbon Fashion Galla
iliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam, Lulu alisema siku ya
Ukimwi duniani inatukumbusha kuangalia tumetoka wapi na tunakwenda wapi
na
↧
ZAWADI: Jipatie zawadi ya sh. laki tatu ( 300,000) kwa kushiriki shindano la Forum Yetu
Mpendwa msomaji;
Tunapenda kukuarifu kuwa kuna zawadi ya sh. 300,000 itakayogawanywa kwa washindi watatu
Shindano hilo limeanza leo katika forum yetu ya Fikra Huru na litamaliza baada ya siku 30 kutoka leo....
Jinsi ya kushiriki:
Jiunge na Forum yetu na kisha anza kupost habari au maada yoyote ya maana itakayojadiliwa na wadau wengine....
↧
↧
Picha za uchi zaivunja ndoa ya msanii
Ndoa ya msanii maarufu wa kinigeria ajulikanaye kwa jina la Uche Iwuji imesambaratika rasmi kufuatia picha zake za uchi kuvuja mitandaoni....
Mrembo huyo ambaye mungu alimjalia kupata mtoto mwezi wa nane alikuwa chini ya himaya ya Mr. Juwon Lawal ambaye ni Mnigeria mfanyabiashara wa kimataifa...
Katika mahojiano na mitandao ya nchini hiyo, Mr.
↧
Hali ni Mbaya Kigoma: Viongozi wa CHADEMA mkoani humo wazuia ziara ya Dr. Slaa wakihofiwa usalama wake
TAMKO LA KIKAO CHA MKOA – CHADEMA, PAMOJA NA BAADHI YA VIONGOZI WA MAJIMBO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kikao
kilichofanyika ofisi ya Mkoa Ujiji kilibeba AGENDA ya Kujadili na
Kuboresha ujio wa ziara ya Katibu Mkuu (T) Dr. P. Slaa Mkoani Kigoma
5/12/2013
- Ambapo atatembelea majimbo yote 8 ya mkoa Kigoma kwa
mikutano si chini ya miwili kwa kila jimbo na baadae mkutano wa mwisho,
↧
Lowassa aongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto Masasi...Milioni 103 zapatikana
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza wakati alipokuwa akiongoza
harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika
katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara
jana. Jumla ya Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo.
Askofu Msataafu wa Dayosisi ya Mtandi Masasi, Oscar Mnung'u akisalimu waumini.
<!-- adsense -->
↧
Rais Kikwete amteua Engineer F. Mramba kuwa mkurugenzi mtendaji wa shirika la umeme Tanzania ( TANESCO )
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Engineer Felchesmi Mramba kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam jana, Jumatatu, Desemba 2, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza jana.
Kabla ya uteuzi wake, Eng. Mramba alikuwa Kaimu
↧
↧
Mahakama yaombwa kukataa ombi la Sheikh Ponda la kuifuta kesi yake
Maombi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa
Ponda ya kuomba ufutiwa shtaka la kukiuka uamuzi wa mahakama, yamebaki
njiapanda baada ya Jamhuri kuyawekea pingamizi la kisheria, ikiiomba
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam iyatupilie mbali.
Wakili Mkuu wa Serikali, Bernard Kongola alidai hayo jana mbele ya Jaji Rose Temba kabla ombi hilo halijaanza
↧
Binti afungwa jela mwezi mmoja baada ya kukiri kufanya biashara haramu ya ngono
MSICHANA Dorika Kanomba (18) amehukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela au kulipa faini ya Sh 150,000 baada ya kukiri kosa la kukutwa akifanya biashara haramu ya kuuza mwili. Washitakiwa wengine tisa waliofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kwa kosa hilo, wamerejeshwa mahabusu baada ya kukana mashitaka yanayowakabili.
Akitoa hukumu jana, Hakimu wa mahakama hiyo, Said
↧
Wanawake waongoza kwa virusi vya UKIMWI huko Tarime
Wanawake katika Halmashauri ya Wilaya ya Tarime wanaongoza kwa
maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) ukilinganisha na wanaume.
Sababu kubwa zinazoelezwa kuchangia hali hiyo ni
mwendelezo wa mila potofu, ndoa za jinsia moja, kurithi wajane, ndoa za
wake wengi, ukeketaji, kuachana wanandoa na umaskini wa kipato.
Akisoma risala Siku ya Ukimwi
↧
More Pages to Explore .....