Waziri
wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema kuwa ataisimamia sheria namba 30
ya mwaka 1973 ya usalama barabarani iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2001
inayohusu kiwango cha mwisho cha uzito wa magari pasipo kumwogopa mtu
yeyote kwa kuyatoza magari yote yatakayozidisha uzito.
Kadhalika, ametoa wito kwa wakandarasi nchini kujenga barabara zenye
viwango huku akiwataka Wakala wa
"Sitishiki, Sitamwogopa mtu mpaka naenda kaburini....Gari lolote litakalozidisha mizigo ntalitoza faini kwa mujibu wa sheria"..Waziri Magufuli
↧
↧
Irene Paul aelezea changamoto aliyoipata baada ya kuigiza kama CHANDUDOA kwenye filamu ya Shujaa
Muigizaji wa filamu nchini, Irene Paul amesema haikuwa rahisi kuigiza kama changudoa (msichana anayejiuza mwili) kwenye filamu kuhusu masuala ya Ukimwi, Shujaa.
Akiongea na mtandao wa Bongo5, Irene alisema hajawahi kufanya filamu ya aina hiyo lakini alipofuatwa kuigiza hakusita kukubali kwakuwa alitaka kuonesha utofauti katika uigizaji wake.
Hata hivyo aliongeza kuwa wakati wa kushoot
↧
Binti aanikwa uchi na mpenzi wake baada ya kumsaliti
Binti mmoja amejikuta akiambulia aibu ya mwisho wa mwaka baada ya picha zake chafu kuvuja mitandaoni....Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii iliyozinasa picha hizi, binti huyu anadaiwa kumsaliti mpenzi wake ambaye aliamua kuingia katika account yake ya facebook na kuzianika picha zake chafu ambazo aliwahi mpiga enzi hizo penzi likiwa utosini....
↧
Irene Uwoya alimwa matusi na mashabiki mtandaoni ..Lengo lake lilikuwa ni kuweka picha ya kifo cha muigizaji Paul Walker, yeye akakosea na kuweka ya Van Diesel
Ukifungua page ya Irene Uwoya kwenye Instagram ambayo anatumia
jina la @ireneuwoyaonepieceintown utakutana na hii picha inayohusu kifo
cha muigizaji Paul Walker .
Lakini post ya Irene imechukuliwa tofauti
baada ya ku-post picha ya Van Diesel na kuandika maneno mazito.
Labda alikosea ku-post picha kwa bahati mbaya lakini unafahamu
kinachotokea kwenye mitandao ya kijamii kwa watu maarufu
↧
CHADEMA yazidi kubomoka: Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Singida naye ajiuzulu
WILFRED NOEL KITUNDU
MWENYEKITI CHADEMA MKOA SINGIDA
S.L.P 260
3.12.2013
KATIBU WA CHADEMA MKOA
S.L.P 260
SINGIDA
YAH: - KUJIUZURU UENYEKITI MKOA SINGIDA
Somo hapo lahusika,
Ninapenda
kukuarifu kuwa nimeamua kujiuuzuru nafasi yangu ya uenyekiti wa mkoa
ambayo nimekuwa nikiitumikia kwa kipindi kirefu sasa kama kielelezo cha
kuamini na kudai demokrasia ya
↧
↧
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Singida ailaani kamati kuu ya chama hicho dhidi ya UPUUZI inaoufanya..Hili ni tamko lake alilolitoa
MSIMAMO WA MWENYEKITI CHADEMA MKOA WA SINGIDA DHIDI YA UAMUZI WA KAMATI KUU YA CHAMA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UTANGULIZI
Ikumbukwe kwamba mimi ndio mwanachama wa kwanza kujiunga na CHADEMA mkoa wa SINGIDA na ni mtu wa 300 kitaifa kujiunga na Chama hiki. Nimejiunga mwaka 1992 siku ya mkutano mkuu kwanza wa uzinduzi chama uliofanyika mnazi mmoja.
Nimekuwa nikijitolea vya kutosha nguvu
↧
Hali ni Mbaya: Ofisi ya CHADEMA mkoani Arusha yachomwa moto
↧
Baada ya ofisi za CHADEMA kuchomwa moto.....vijana wa Arusha wamtungia wimbo wa ushujaa Godbless Lema
Baada ya ngome kuu ya CHADEMA kupigwa kiberiti leo mchana, vijana wa Arusha wameamua kuingia studio na kurekodi wimbo wa Ushujaa wa Godless Lema....
Baadhi ya mashairi;
*Arusha ni nchi, na Lema ni Rais .
*Mkimuua Lema , lazima tuwape Mimba
*Lema ni sauti ya Arusha, ukiisikiliza lazima upate mzuka
Sikiliza track yenyewe hapo chini:
↧
Rais Kikwete amteua Dr. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa heshima
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.
Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar Es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dr. Florens Turuka inasema kuwa uteuzi huo umeanza jana, Desemba 2, 2013.
Dr. Asha-Rose Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu
↧
↧
Hofu ya vyeti feki Serikalini yatanda....Watumishi wote sasa kuhakikiwa vyeti vyao upya
Wizara ya Ulinzi na
Jeshi la Kujenga Taifa, limetoa mwezi mmoja kwa watumishi wake wote
kuwasilisha vyeti vyao ili viweze kufanyiwa uhakiki ili kubaini kama
kuna vyeti feki.
Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo, Job Masima, aliyasema hayo Dar es Salaam jana wakati wa Mafunzo ya
Elimu ya Hifadhi ya Jamii yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA).
↧
Dr. Slaa akubali kusogeza mbele ziara ya kutembelea majimbo nane ya mkoa wa Kigoma
MWANGWI wa uamuzi wa Kamati Kuu ya Chadema wa kumvua madaraka aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wenzake, mbali na kutikisa katika kanda sita kati ya kanda nane muhimu za chama hicho nchini, sasa umeanza kukubalika na Sekretarieti ya chama hicho Taifa.
Jana Kurugenzi ya Habari ya Chadema, ilituma ratiba ya ziara za Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, mikoani iliyoonesha
↧
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yatangaza uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 27 februari 9 -2014
Tume
ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwa uchaguzi mdogo wa kujaza
viti vilivyo wazi vya madiwani katika kata 27 zilizoko katika
halmashauri 23, utafanyika Februari 9, mwakani.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC, Julius Mallaba, alisema jana kuwa viti
hivyo vimekuwa katika kata hizo, kutokana na baadhi ya madiwani kufariki
dunia na wengine kupoteza sifa.
Kata hizo na halmashauri zake
↧
"Tutakilinda chama chetu kwa nguvu zote na hatuko tayari kuwavumilia Wasaliti"....BAVICHA
Baraza la Vijana la Chama chama Demokrasia na Maendeleo (Bavicha),
limesema litakilinda chama chao kwa nguvu na kwamba halitamvumilia
atakayebainika kufanya vitendo vya kukihujumu.
Limesema kuwa uanachama ndani ya chama chao ni imani na siyo ushabiki,
hivyo hawataruhusu mtu yeyote kuichezea hata kama mtu huyo atakuwa na
umaarufu wa kupindukia.
Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, John
↧
↧
Nini kifanyike kuwasaidia hawa wanafunzi wasipige hizi picha?...Karibu katika mjadala huu, mawazo yako ni muhimu sana
Mwanafunzi mmoja naye amejikuta akionja machungu ya utandawazi baada ya rafiki zake kumsaliti na kuzianika picha zake chafu akiwa hosteli....
Maswali ya kujiuliza:
1.Kwa nini upige picha kama hizi? 2.Kwa nini wanawake tu? 3. Serikali zilaumiwe? ( wanapiga wenyewe, zikivuja ndo wanaanza kulalama.)4. Mitandao ya kijamii ina makosa?
Majibu haya na
↧
Muonekano mpya wa msanii Jokate Mwegelo
↧
Mahakama ya Rufaa yamwachia huru Kajala Masanja....
Mahakama ya Rufaa Kanda ya Dar imeridhia hukumu iliyotolewa na Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu ya faini ya Sh. Milioni 13 na kumwachia huru staa
wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja.
Kajala sasa anapeta katika
rufaa hiyo iliyofunguliwa na mumewe, Faraji Agostino, ambaye anatumikia
kifungo cha miaka mitano katika hukumu ya kesi ya kutakatisha fedha
haramu iliyotolewa mapema
↧
Taarifa ya jeshi la polisi kuhusu kuchomwa moto kwa ofisi za CHADEMA....Ukiisoma kwa makini utagundua mengi yaliyojificha
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA OFISI YA KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA: TAARIFA YA AJALI YA MOTO KATIKA OFISI ZA CHADEMA
Ndugu
wanahabari, mnamo tarehe 03/12/2013 muda wa saa 5:00 asubuhi, polisi
mkoani hapa tulipokea taarifa juu ya kuchomwa moto kwa jengo ambalo lina
ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) zilizopo mtaa wa
Ngarenaro, Halmashauri ya jiji la
↧
↧
FIFA yaipa Tanzania mgawo wa tiketi 260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.....Kama unahitaji, tuma barua ya maombi TFF
Shirikisho
la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeipa Tanzania mgawo wa tiketi
260 za Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.
Watanzania
wanaohitaji tiketi hizo wanatakiwa kutuma maombi TFF kwa maandishi
wakielezea aina ya tiketi na mechi wanazotaka kushuhudia. Hakuna tiketi
zitakazoombwa FIFA bila kuwepo maombi kwa maandishi.
Tiketi
zilizopo kwa Tanzania ni kaa
↧
Picha za Mkutano wa katibu mkuu wa CCM wakati akihitimisha ziara yake jijini Mbeya
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Mbeya
mjini, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana jioni katika Uwanja wa
Rwanda Nzovwe, wilaya ya Mbeya mjini, ikiwa ni mkutano wa kuhitimisha
ziara yake katika mkoa huo, ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM,
kusikiliza kero za wananchi na kujadiliana nao njia ya kuzitatua.
Katibu
NEC,Itikadi na
↧
Picha za mkutano wa Dr. Slaa Kahama mjini siku ya jana
↧
More Pages to Explore .....