Uamuzi
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kuwavua nafasi za
uongozi vigogo wake watatu akiwamo aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto
Kabwe, umepokelewa vibaya na baadhi ya wafuasi wao ambao wameamua
kupigana ngumi na kuchana bendera za chama hicho.
Zitto ambaye ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, alivuliwa nyadhifa zake
sambamba na aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu, Dk. Mkumbo
Zitto Kabwe asababisha vijana wa CHADEMA wapigane na kuchana bendea za chama hicho
↧
↧
Mwanafunzi wa chuo kikuu apiga picha za utupu
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu jijini amejiukuta akionja machungu ya ulimbukeni wa mapenzi baada ya picha zake za utupu kuvuja na kusambaa mitandaoni....
Katika picha hizo, mrembo huyo msomi anaonekana akitimiza haja ya mpenzi wake kwa mapozi kadhaa ya picha ambayo ni kinyume na maadili ya kiafrika....
Haijafahamika mara moja chanzo cha
↧
Muonekano mpya wa msanii Lulu Michael
↧
Wema Sepetu ajuta kutumia mikorogo, aanza kuitamani ngozi yake ya awali
Wema Sepetu ambaye ni Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa
filamu anajuta kutumia mkorogo na hatimaye kupoteza urembo wake wa asili
aliokuwa nao mwanzo kabla ya kuanza kujichubua.
Chanzo kimoja makini
ambacho kipo karibu na Wema na ambacho pia ni star wa filamu kimetutonya kuwa Wema anajuta kujichubua na hajiamini tena katika urembo
tofauti na miaka ya nyuma kwani kila mtu sasa hivi
↧
Wolper afunguka: Ali Kiba alinifundisha mapenzi, nilimpenda zaidi Jux, Diamond alikuwa halali bila kuniona
Muigizaji wa filamu nchini, Jacky Wolper amesema pamoja na kuwa na uhusiano na mastaa wenzie akiwemo Diamond Platnumz, ni Ali Kiba ndiye aliyemtambulisha kwenye ulimwengu mtamu wa mapenzi.
Akiongea na Global Publishers, muigizaji huyo ambaye jina lake la utani ni Wolper Gambe alisema aliachana na Ali Kiba kwakuwa wanawake wengi walikuwa wakimtamani.
“Ni kitambo kidogo. Wote hatukuwa
↧
↧
Samson Mwigamba atishia kuuanika waraka haramu wa MBOWE wenye lengo la kummaliza Zitto Kabwe...Adai kuwa CHADEMA makao makuu IMEOZA
TAARIFA YA SAMSON MWIGAMBA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU WARAKA WA MKAKATI WA MABADILIKO 2013
Jumatano, 27 Novemba 2013
Jana
katika taarifa kwa waandishi wa habari, Mhe. Tundu Lissu na Mhe. John
Mnyika waliudanganya umma kuhusu waraka unaohusu Mkakati wa Mabadiliko
2013. Katika maelezo yao waheshimiwa hawa, pamoja na mambo mengine,
walidai kuwa waraka uliosambazwa kwenye vyombo
↧
Wanawake tutakuwa watumwa wa mapenzi mpaka lini??...Mwangalie huyu dada wa kizanzibar aliyekubali kucheza uchi ili asiachike
Ulimbukeni wa mapenzi umeendelea kuwaangamiza akina dada wenye kupenda miteremko....
Wengi kati yao wamejikuta wakiishia kuwa watumwa wa penzi kwa kukubali ama kupigwa picha za uchi au kurekodiwa video wakiwa uchi eti kwa kisingizio kwamba kukubali kupigwa uchi ni udhihirisho kwamba anampenda boy wake na kwamba hatamsaliti....
Huyu dada ni
↧
Mshindi wa EBSS kutotumia zawadi kwa mapenzi yake, atatakiwa kuwekeza kwenye muziki pia
Waandaji wa shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search,
wamesema mshindi wa mwaka huu ambaye ataibuka na kitita cha shilingi
milioni 50, atasimamiwa na uongozi wa shindano hilo ili kuhakikisha
fedha hizo zinatumika pia katika kuendelea maisha yake ya muziki na sio
kuzitumia kwa matakwa binafsi.
Mwanzilishi wa show hiyo ambaye pia ni jaji mkuu, Rita Paulsen aka
Madam Rita,
↧
Ray na Chuchu Hans wajianika live, penzi lao siyo siri tena....Johari asalimu amri.
AMA kweli penzi ni kikohozi kulificha huwezi! Hatimaye uliokuwa
uhusiano wa chini kwa chini wa nyota wawili wa sinema za Kibongo,
Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hans, siyo siri tena baada ya wahusika
hao wakuu kujiachia ‘live’.
KIMAHABA ZAIDIIshu hiyo ilitokea mapema wiki hii ambapo Chuchu
alitundika picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na Ray chumbani
kimahaba.
Kufuatia
↧
↧
Kapuya hakamatiki....atua jijini Dar kwa mbwembwe, polisi wamgwaya.
HATIMA ya Mbunge wa Urambo Magharibi Juma Kapuya (CCM), anayetuhumiwa
kutishia kumuua binti anayedaiwa kumbaka, amerejea nchini jana akitokea
nchini Sweden, huku Jeshi la Polisi likikwama kumtia mbaroni kama
lilivyokuwa likitamba.
Wakati mbunge huyo akiwasili nchini na kupokewa na kusindikizwa na
wapambe wake, Bunge limeridhia kukamatwa kwake kwani tuhuma
zinazomkabili ni za jinai
↧
Profesa Baregu aitahadharisha CHADEMA kuhusu kumtimua Zitto Kabwe... asema ni vigumu kuamini kama tuhuma dhidi yake na wenzake zinaweza kuyeyusha mema waliyokitendea.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Profesa Mwesiga Baregu
amewataka viongozi wa chama hicho kutafakari na kudhibiti madhara
yanayoweza kukikumba hasa baada ya hatua yake ya hivi karibuni ya kumvua
nyadhifa zote, Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wenzake wawili.
“Bahati nzuri wamevuliwa uongozi siyo uanachama,
binafsi nadhani viongozi wanatakiwa kutafakari na kudhibiti madhara
zaidi
↧
Jose Chameleone kutumbuiza jijini Mwanza December 24 katika mkesha wa christmas
Mwanamuziki
kutoka nchini Uganda Dr. Jose Chameleone akisaini mkataba wa wa kupiga
show jijini Mwanza itakayofanyika tarehe 24/12/2013 katika mkesha wa
kuikaribisha sikukuu ya Christmas kuanzia saa 12 jioni hadi majogoo,
tukio linalotazamiwa kufanyika katika ufukwe wa Charcoal Ribs Mwanza
----------------
Mwanamuziki wa Uganda Jose Chameleone anatarajia kuwaburudisha wakazi wa
↧
Picha za Rais Kikwete wakati wa mapokezi ya kombe la dunia lilipotua jijini mwanza leo
↧
↧
Katibu mkuu wa CHADEMA na wanachama 92 wa tawi la UDOM warudisha kadi za chama hicho na kujiunga CCM
Chama cha Demokrasia na Maendeleo,CHADEMA leo kimepata pigo jipya baada ya kupoteza wanachama wake 92 wakiongozwa na katibu wao ndugu Simon Mpandalume...
Mdau wetu toka Dodoma ametuarifu kuwa wanachama hao wamefikia maamuzi ya kurudisha kadi za CHADEMA na kujiunga na CCM kutokana na kukerwa na hatua ya chama hicho kumvua Zitto Kabwe nafasi zote
↧
Wananchi wa jiji la Arusha ambao ni wafuasi wa CHADEMA waandamana na mabango wakimshinikiza Godbless Lema ajiuzulu kwa kuwa jimbo limemshinda
Wafuasi wa CHADEMA jijini Arusha walioambatana na Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Monduli Bw. Amani
Salenga wakionyesha bango hilo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)..
Amani Salenga akiwa na kundi kubwa la vijana walikutana na
waandishi wa habari na kudai kuwa Mbunge wa Arusha, Godbless Lema ndo chanzo
cha vurugu ndani ya CHADEMA kwa kuanzisha kikundi cha vijana
kinachohatarisha
↧
JK amuweka kitanzini Profesa Kapuya
RAIS Jakaya Kikwete ameviagiza vyombo vya dola kuhakikisha
vinamkamata mtu yeyote bila kujali cheo, atakayebainika kumbaka au
kumuoa mwanafunzi wa shule.
Ametoa kauli hiyo huku aliyekuwa waziri wa wizara tofauti katika
awamu mbalimbali za uongozi, Profesa Juma Kapuya, akiandamwa na tuhuma
za kumbaka na kutishia kumuua binti, mwanafunzi mwenye umri wa miaka 16.
Ingawa Rais
↧
Rais Kikwete awasili jijini Kampala kuhudhuria mkutano wa EAC....Maada kuu watakazoongelea ni pamoja na Sarafu moja ya jumuiya ya Afrika Mashariki
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakuu wa
vyombo vya ulinzi na Usalama wa Uganda muda mfupi baada ya kuwasili
katika uwanja wa ndege wa Entebbe nchini Uganda kuhudhuria mkutano wa
wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki.
*****************
Wakuu
wa nchi zinazounda jumuiya ya Africa Mashariki wanakutana leo tarehe 30 Novemba huko
Kampala, Uganda.
Wakuu hao ni pamoja na
↧
↧
"Diamond si msanii wa muziki bali ni msanii wa ngono anayefanya biashara ya muziki kupitia mapenzi."...Baby Madaha
MSANII filamu na muziki wa kizazi kipya wa Tanzania Baby Joseph
Madaha maarufu kwa jina la Baby Madaha amesema kwamba msanii mwenzake wa
muziki nchini,Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platinumz si
msanii bali ni mfanyabiashara ya ngono.
Madaha amesema kwamba Diamond si mwanamuziki na kwamwe huwezi
kumlinganisha na msanii kama Barnaba Boy, anayefanya muziki kama sanaa
↧
"Wastara atafanyishwa sana mapenzi kinyume na maumbile mwaka huu....Naukumbuka sana ujinga wa Bond"..Aunt Lulu
Mjane wa msanii wa filam nchini(Sajuki)
Wastara Sajuki, amefunguka tena kwamba hana mpango wa kuingia katika mahusiano
ya mapenzi kwa sasa. Wastara ametoa kauli hiyo kufuatia uvumi uliosambaa
kwamba star huyo wa filamu nchini anamahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake Bond
Bin Suleiman.
Wakati Wastara akitoa kauli hiyo, watu mbalimbali
akiwemo mwanamke aliyewahi kukimbia penzi
↧
CHADEMA wamemvua uongozi yule mwenyekiti aliyeongoza maandamano ya mabango kumpinga Godbless Lema....Mliosema MPEKUZI tunapendelea naomba msisahau kukomenti hapa
KUKOMA KUWA KIONGOZI KWA MWENYEKITI WA WILAYA YA MONDULI MCHUNGAJI AMANI SILANGA MOLLEL
Kwa niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha
umma wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji
Amani Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA
wilaya ya monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito
za uvunjifu wa
↧