Hii ni spesho kwa wapenda mauno tu....Ni video ya Snura AKIVURUGWA hadi huruma
↧
↧
Album ya picha 10 za Binti wa kichaga akinadi Ch*pi zake za mitumba huku akiwa mtupu kama alivyozaliwa.....Aibu tupu
Huwezi amini, Huyu ni mtanzania mwenzetu, Tofauti yake na dada zetu wa bongo ni kwamba yeye anaishi nje ya nje...
Hii ndo tofauti pekee ninayoiona mimi. Sijataka kuzunguzia mambo ya urembo, huenda ikaleta mjadala mkubwa.....
Mambo anayoyafanya huyu dada yetu yanatia kichefuchefu....Kama ni kujiuza, nadhani huyu kazidi. Ni bora kujipanga barabarani usiku
↧
Dr. Kitila Mkumbo azikataa salamu za pole toka kwa Mwigulu Nchema kwa madai kuwa ni mnafiki
Aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Dk. Kitila Mkumbo, amemshambulia kwa maneno na kumrushia
vijembe Mbunge wa Iramba Magharibi (CCM), Mwigulu Nchemba, kuwa kauli ya
kumpa pole baada ya kusikia amevuliwa uongozi ni kiherehere.
Dk. Kitila alitoa kauli hiyo juzi mbele ya waandishi wa habari jijini
Dar es Saalam, baada ya kutoa tamko lake
↧
CHADEMA yawakaanga tena Zitto Kabwe na Dr Kitila......Haya ndo mambo yaliyojiri katika kikao chao cha leo na wanahabari
Mwanasheria
Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu akionyesha waraka aliodai kuwa ni orijino
badala ya ule uliosambazwa kwenye mitandao na kwenye vyombo vya habari
aliodai kuwa ni feki, kushoto ni Mbunge wa Ubungo John Mnyika na Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi Wilfred Lwakatare.
---------------
Katika mkutano wa Chadema na wanahabari leo Novemba 26, 2013, mheshimiwa John Mnyika, Tundu Lissu na
↧
Mtoto avunjwa kidole na mwalimu wake baada ya kuingia darasani na nywele ndefu jijini Mbeya.
Wiki
ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia na watoto ikiwa imeanza
kuadhimishwa duniani Novemba 25 mwaka huu bado vitendo hivyo vimezidi
kushamiri Mkoani Mbeya ambapo mwanafunzi wa darasa la nne shule ya
msingi Aiport Kata ya Iyela jijini Jacline Staniely [9] ameumizwa mkono
wake wa kushoto.
Jacline
akiongea kwa ridhaa ya mama yake amesema alipigwa kwa kutumia ubao na
mwalimu
↧
↧
Serikali yatoa onyo kwa wanaume wanaowapiga picha za uchi wapenzi wao, Bofya hapa umsikie
Serikali yatoa onyo kwa wanaume wanaowapiga picha za uchi wapenzi wao, Bofya hapa umsikie
Serikali imesema haitavumilia mtu au kundi la watu wa aina yoyote
ambao watabainika kuendeleza vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa
kijinsia na kutaka jamii kutumia madawati ya jinsia katika vituo vya
polisi kuripoti matukio yote ya aina hiyo ili yadhibitiwe kabla ya
kuleta madhara
↧
VIDEO: Msikilize Tundu Lissu akimsomea makosa 11 Zitto Kabwe ya kupanga kukipindua chama cha CHADEMA.
Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema kimewaandikia barua za
kuwavua rasmi nyadhifa za uongozi aliyekuwa naibu katibu mkuu Mh. Zitto
Kabwe na wenzie sambamba na kupewa siku kumi na nne za kujieleza kwa
nini wasivuliwe uanachama kufuatia waraka wa siri walioundika na
kukamatwa hivi karibuni.
Mkurugenzi wa habari na uenezi Chadema Mh. John
Mnyika amesema barua hizo zilizoainisha
↧
Mke wa mtu apiga picha chafu za Utupu jijini Mwanza baada ya kuzidisha pombe.
Mwanamke mmoja ambaye ni mke wa mtu na mkazi wa jiji la Mwanza amejikuta ndani ya aibu nzito baada ya kulewa pombe na kisha kujipiga za utupu...Habari zinaarifu kuwa mwanamke huyo alitinga ndani ya gesti moja yenye kaunta ya baa mida ya mchana na kuanza kupata vinywaji ( bia ) Muda mfupi baadae, mzee mmoja alijumuika na mama huyo na kuendelea
↧
Mwigulu Nchemba amchambua Dr. Kitila Mkumbo....Anadai kuwa ni mwanasiasa mchanga ambaye hawezi kumnyima usingizi
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba,
amemchambua mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
na kusema kuwa ni mchanga kwenye siasa hivyo hamuogopi.
Hatua hiyo ya Mwigulu imekuja baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita,
Dk. Kitila kumshangaa mbunge huyo wa Iramba Magharibi, kuwa amejifanya
kumwonea huruma katika kipindi hiki ambacho
↧
↧
Naibu Waziri wa Nishati atakiwa kuwaomba RADHI watanzania baada ya kuwaambia kuwa atakayeshindwa kumudu gharama mpya za umeme akae gizazi au atumie kibatari
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimemtaka Naibu Waziri
wa Nishati na Madini, George Simbachawene, kuwaomba radhi Watanzania
kutokana na kutoa kauli ya kukatisha tamaa.
Simbachawene, juzi alitoa kauli ya serikali ya kupandisha bei ya
umeme kama Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), lilivyoomba hivi
karibuni kutaka kuongeza gharama za nishati hiyo kwa asilimia 68
↧
CHADEMA bado hali ni tete...Zitto Kabwe amburuza polisi katibu wa chama hicho akimtuhumu kuusambaza waraka wa siri uliomchafua
WAKATI Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikimwandikia
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe barua ya kumtaka ajieleze dhidi
ya tuhuma zinazomkabili, yeye ameamua kukimbilia polisi akimshitaki
mmoja wa viongozi wenzake.
Habari za kuaminika zimedai kuwa Zitto ambaye hivi karibuni alivuliwa
cheo chake cha unaibu katibu mkuu wa CHADEMA, inadaiwa amefungua
mashitaka polisi
↧
Serikali yatangaza nafasi za kazi 2,748
Serikali kupitia Ofisi ya Rais
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania
wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 2,748 kwa ajili
ya waajiri mbalimbali Nchini.
Kwa
mujibu wa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma Bw.
Xavier Daudi nafasi hizo za kazi ambazo zinapatikana katika tovuti ya
Sekretarieti ya Ajira ambayo ni
↧
Polisi yapiga marufuku kuuza visu, sime, mapanga barabarani ili kupunguza matukio ya watu kujiua kwa wivu wa mapenzi
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imepiga marufuku biashara
ya kutembeza visu, sime na mapanga barabarani na kusema yeyote
atakayekiuka agizo hilo atakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi
Kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova alisema jeshi hilo lipo katika
mchakato wa kupendekeza sheria mpya ya matumizi ya silaha na umiliki ili
↧
↧
ZAWADI: Jipatie zawadi ya sh. laki tatu ( 300,000) kwa kushiriki shindano la Forum Yetu
Mpendwa msomaji;
Tunapenda kukuarifu kuwa kuna zawadi ya sh. 300,000 itakayogawanywa kwa washindi watatu
Shindano hilo limeanza leo katika forum yetu ya Fikra Huru na litamaliza baada ya siku 30 kutoka leo....
Jinsi ya kushiriki:
Jiunge na Forum yetu na kisha anza kupost habari au maada yoyote ya maana itakayojadiliwa na wadau wengine....
↧
Aibu: Mtoto wa King Kikii apiga picha za Uchi, mumewe azimia baada ya kuzifuma na kumuona akimegwa na mwanaume mwingine live.
Jesca Kikumbi ambaye ni binti wa mwanamziki nguli nchini,King Kikii amejikuta kwenye fedheha kubwa kufuatia picha zake za uchi kufumwa na mumewe aliyetambuliwa kwa jina moja la Akoro...Jesca na mwanaume huyo walifunga ndoa ya kilokole agosti 1 mwaka 2010 jijini Dar lakini waliweza kuifurahia ndoa yao kwa muda mfupi tu kwani tangu siku hiyo ndoa
↧
Uanachama wa Zitto Kabwe ni Moto CHADEMA.....Steven Wasira adai kuwa dhambi ya ubaguzi wa kikabila itakimaliza chama hicho
UANACHAMA wa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe umetajwa kuwa ‘kaa la moto’ kwa uongozi wa chama hicho hata kabla ya kiongozi huyo kujibu mashitaka 11 yanayomkabili ili kunusuru uanachama wake.
Duru za siasa ndani ya chama hicho, zinasema Chadema haiko tayari kukabiliana na mtikisiko wa Zitto kuvuliwa uanachama, kwa kuwa hatua ya kuvuliwa madaraka tayari imegharimu umoja
↧
Kitale: nimejifunza mengi kwenye kifo cha Sharo Milionea, nimeacha ujumbe kwa mama yangu nikifa yasijirudie kwangu
Muigizaji na mwimbaji nchini Kitale yuko Tanga alipoenda
kuhudhuria Dua ya kumuombea marehemu Sharo Milionea ikiwa ni mwaka mmoja
tangu afariki dunia kwa ajali mbaya ya gari.
Kitale ambaye ndiye msanii pekee aliyefika Tanga siku ya juzi amesema
kuwa amejifunza mambo mengi katika msiba wa rafiki yake Sharo Milionea,
ikiwa ni pamoja na misiba ya wasanii wengine waliotangulia mbele ya
↧
↧
Madame Rita ajibu maswali tisa muhimu kuhusu EBSS 2013 (Audio)....
Shindano la EBSS 2013 linaelekea ukingoni ambapo November 30, atatangazwa mshindi wa shindano hilo pale Escape 1, Dar es Salaam.
Washiriki watano waliobaki katika shindano hilo ni Emmanuel Msuya,
Elizabeth Mwakijambile, Amina Chibaba, Melisa John na Maina Thadei.
Times Fm imefanya mahojiano na Chief Judge wa shindano
hilo, Rita Paulsen aka Madam Rita, na ameweza kujibu
↧
"Ray na Johari wanalaana yangu na hakuna jinsi wataikwepa"...Norah
BAADA ya hivi karibuni staa wa filamu Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’
kueleza mazito kuhusu Ray, Johari na Chuchu Hans, msanii mwenzake, Nuru
Nassoro ‘Nora’ naye amefunguka kuwa laana ya walichomfanyia miaka ya
nyuma itawatesa Ray na Johari mpaka kifo chao.
Akizungumza na GPL, Nora alisema Ray na
Johari walimfanyia ‘mambo mabaya’ yaliyosababisha kupotea kabisa kwenye
sanaa ya filamu hadi
↧
Walimu watwangana ngumi ofisini kwa kutuhumiana kula pesa za kisima cha shule
Afisa Elimu msingi wilaya ya
Sengerema Bw,Juma Mwajombe alipokuwa akimvua madaraka Mwalimu Mkuu Shule
ya Msingi Luhama kwa kosa la kutotimiza majukumu yake.
****************
AFISA
Elimu wa Shule za Msingi Sengerema Mkoani Mwanza, Bw Juma Mwajombe
amemvua madaraka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Luhama iliyoko kata ya
Katwe kwa kushidwa kutekeleza majukumu yake.
Amesema
kuwa
↧
More Pages to Explore .....