Ni hivi karibuni, Mji wa Geita na maeneo jirani ulikubwa na
taharuki ya aina yake,pale mtoto Shabani Maulid (15) anaedaiwa kwamba
alifariki dunia miaka miaka mitatu iliyopita, alipoonekana akiwa hai
katika Kijiji cha 14 Kambarage, Mtaa wa Mbugani.
Tukio hilo lilizua hofu kwa wakazi wa Mji wa Geita
huku waliowengi wakitaka kujua mtoto huyo aliyekutwa
Mtoto anayedaiwa kufufuka anena kwa mara ya kwanza
↧
↧
Afande Sele ajiunga rasimi CHADEMA
Mwanamziki mkongwe wa Hip hop na Bongo Fleva,
ambaye pia ni mfalme wa Rymes, Selemani Msindi (Afande Sele), jana amejiunga rasmi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
baada ya kukabidhiwa kadi ya chama hicho na Powell Mfinanga wakati wa
mkutano mkubwa uliofanyika katika kata ya Mafiga na Misufini mkoani
Morogoro...
Muda mfupi kabla ya mkutano huo kuanza, Afande Sele
↧
Kenya yalaani umoja wa Mataifa ( UN ) uliotupilia mbali ombi la Umoja wa Afrika ( AU) kutaka Rais wa Kenya na makamu wake wasihudhirie ICC
Serikali ya Kenya imelaani uamuzi uliotolewa na Baraza la
Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) wa kutupilia mbali ombi la Umoja wa
Afrika (AU) kutaka kesi zinazowakabili viongozi wakuu wa nchi hiyo
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) zisitishwe.
Katika kujadiliwa kwa suala hilo, nchi nane
wanachama wa Baraza la Usalama la UN zikiwemo Uingereza, Ufaransa,
Marekani, pia nchi wanachama
↧
Profesa Juma Kapuya azidi kubanwa.... Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Mwema ajitwisha jukumu la kumshughulikia, Samwel Sitta atoa kauli nzito
SAKATA la Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya (CCM) kudaiwa
kumbaka mwanafunzi na kumtishia kumuua, linazidi kuchukua sura mpya
ambapo Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Said Mwema na Wizara ya
Jamii, Jinsia na Watoto wamengilia kati.
Jana gazeti la Tanzania Dama liliripoti kauli ya Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu
ya Dar es Salaam, Suleiman Kova kuwa watamchukulia
↧
Binti avua nguo na kuyaanika matiti nje baada ya kuzidisha pombe
Mrembo wa haja ambaye jina halikupatikana mara moja,
amenaswa akiwa matiti nje baada ya kulewa mchana kweupe
na kulizwa mkoba wake kisha kuzua varangati zito,
Varangati hilo lililonaswa na kachero wetu lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya
Sinza- Afrika Sana jijini Dar.
Katika sinema hiyo ya bure, mrembo huyo alishuhudiwa akipigana na
kila mtu aliyekutana naye mbele yake huku
↧
↧
Serikali yafanikiwa kuivunja kambi ya mafunzo ya Al Shabaab mkoani Tanga....watoto 54 na wanawake 32 warejeshwa.
Polisi wa Tanzania walivunja zoezi la mafunzo ya
al-Shabaab katika mkoa wa Tanga, kuwakamata washukiwa 69 na kuwaachia
huru dazani za wafundishwaji wakiwa na umri wa miaka kati ya 4 hadi 13
katika usafishaji wa usalama uliofanyika tarehe 28 Oktoba hadi tarehe 5
Novemba.
"Hii imetushitua, tumeongeza usalama katika wilaya ya
Kilindi na tumewasambaza polisi jamii wa kutosha ambao
↧
Irene Uoya ajichora tatoo katika kiuno na makalio yake.
Muigizaji wa kike maarufu wa jina la Irene Uwoya ametoa kali ya mwaka baada ya kujichora tatoo makalioni na kiunoni na kisha kujipiga picha na kuitupia mtandaoni.....
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Uwoya alizitundika picha hizo na kuwaacha mashabiki wake watiririke kwa maoni na mapendekezo kuona kama amependeza au hajapendeza....
<!--
↧
Hizi ndo sababu zilizomfanya Aden Rage atimuliwe uenyekiti wa klabu ya Simba
Kamati ya utendaji
ya klabu ya Simba iliyokutana jana usiku imempiga stop Ismail Aden Rage
kuendelea na ubosi katika klabu ya Simba na kulibadilisha benchi la
ufundi isipokuwa nafasi ya meneja Madaktari wa timu .
Akizungumza
kwa niaba ya kamati ya utendaji, mjumbe wa kamati ya utendaji Joseph
Itangare amesema wamemsimamisha mwenyekiti kutokana na kufanya maamuzi
yake binafsi
↧
Undani wa mauaji yaliyofanyika jana jijini Dar....Chanzo chake hakina tofauti na kile cha Ufoo Saro wa ITV
Mfanyabiashara wa magari, Gabriel Munisi (35), jana alijiua
baada ya kumuua mtu mmoja na kujeruhi wengine watatu jijini Dar es
Salaam katika tukio linalohusishwa na wivu wa mapenzi.
Munisi, ambaye alikuwa mkazi wa Mwanza, aliwapiga
risasi watu watatu akiwamo mchumba wake, Christina Alfred katika Mtaa wa
Bungoni Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam.
↧
↧
Mchungaji wa kanisa la Pentekoste awabaka wanafunzi wawili na kuwaambukiza magonjwa ya Zinaa ( KASWENDE )
Wanafunzi waliobakwa kwa zamu
Baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Maendeleo wakizungumza kwa hisia tukio hilo la ubakaji lililofanywa na Mchungaji
Kanisa linaloendeshwa na Mchungaji Bryson Mwaikambo
Shule ya Msingi Maendeleo ambako wanasoma wasichana wanaodaiwa kubakwa na Mchungaji kwa zamu
Wazazi wa watoto wanaodaiwa kubakwa
Nyumba anayoishi Mchungaji Mwaikambo
↧
Kamati kuu ya CHADEMA inatarajiwa kukutana leo ili kujadili misukosuko inayokikabili chama hicho.
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo
inaanza kikao chake cha siku mbili ikitarajiwa kujadili masuala mazito,
hasa misukosuko iliyokikumba katika siku za karibuni.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkurugenzi wa Habari
na Uenezi wa Chadema, John Mnyika ilisema kikao hicho kitakachofanyika
Dar es Salaam kitapokea, kujadili na kufanya uamuzi wa masuala
mbalimbali
↧
Tishio jingine kubwa la Ugaidi nchini Kenya....Marekani yatoa angalizo kwa raia wake waishio Kenya kuwa tayari kwa lolote
SIKU chache baada ya kikundi cha Al Shabaab kudaiwa kuteka Jengo la
Westgate nchini Kenya na kuua watu kadhaa na wengine kujeruhiwa wasiwasi
wa magaidi kulipua tena nchi hiyo umetanda.
Tayari Marekani imetoa angalizo kwa Kenya kuhusu uvamizi huo na
kuitaka isibeze kuchukua tahadhari kama ilivyofanya kwa tukio la
Westgate na kusababisha madhara makubwa kwa wananchi.
Kwa
↧
Kajala Masanja kuhukumiwa upya Novemba 25
Msanii
wa filamu Kajala Masanja atahukumiwa upya Novemba 25 mwaka huu baada
ya mumewe kukata rufaa.
Kesi iliyokuwa ikiwakabili wanandoa hao ilihusiana na utakatishaji wa
fedha haramu uliofanywa na mume wa Kajala wakati akifanya kazi kwenye
Benki ya NBC, Dar.
Habari za ndani zinaarifu kuwa, Kajala alisharidhika na hukumu
iliyotolewa Machi 25, mwaka huu ambapo yeye alitakiwa
↧
↧
Kanye West na Kim Kardashian wajiachia Uchi katika video yao mpya ya Bound 2
Kanye West ametoa video yake ya Bound 2 kwa mara ya kwanza alivyoenda kwenye show ya Ellen ambapo video model wa video hiyo ni Kim Kardashian na kama unakumbuka zilitoka story kwamba Kim amefanya hiyo video akiwa Uchi wa mnyama na kuongeza hamu ya watu wengi kuisubiiri..
Ili kuyaona mapicha hayo pamoja na video hiyo, bofya hapo chini
<< PICHA NA VIDEO ZIKO HAPA >>
↧
Aibu: Mabinti wa chuo wajirekodi wakiwa bila nguo ndani ya hosteli yao, video yavuja na kusambaa
Mabinti wawili ambao ni wanafunzi wa chuo kikuu (???) wamenaswa live wakicheza nusu uchi ndani ya chumba chao cha hosteli huku wakiwa wametegesha visimu vyao kwa ajili ya kuwarekodi....
Siku chache baada ya mabinti hao kujirekodi, nguvu za shetani zilionekana kuelemewa na video hiyo ilivuja na kusambaa kila mahali....
Ukitaka kuwashuhudia na
↧
Kaka wa P-Square, Jude Okoye adaiwa kuisusia harusi ya Peter na Lola, ndugu wadai Lola hajatulia, wataka vipimo vya DNA vya watoto wao
Jumapili ya November 17, 2013, jiji la Lagos, Nigeria lilishuhudia
harusi kubwa ya kitamaduni kati ya muimbaji wa kundi la P-Square, Peter
Okoye na mchumba wake Lola Omotayo, lakini cha ajabu, kaka yake mkubwa,
Jude Okoye hakuwepo.
Msemaji wa kundi hilo Bayo Adetu alisema Jude hakuwepo kwenye harusi kwakuwa alikwama nchini Ghana.
Jude Okoye
P-Square walikuwa
↧
Kashfa ya kufanya mapenzi na watoto wadogo yaendelea kuwatafuna wabunge wawili wa CCM.....
WABUNGE wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rosesweeter Kasikila na
Profesa Juma Kapuya, wameingia katika kashfa mbaya ya kimapenzi
inayoweka hatma yao kisiasa shakani.
Kashfa za wabunge hao wa CCM zinatokana na hatua yao ya kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa nguvu na vijana wadogo.
Rosesweeter ambaye ana umri wa miaka 60, yuko katika kashfa ya
kufunga ndoa na
↧
↧
Hatima ya Babu Seya na Papii Kocha ni LEO ambapo Mahakama itatoa uamuzi wa kulikubali au kulikataa ombi lao
MAHAKAMA ya Rufani leo inatarajia kutoa uamuzi wa ama kulikubali au
kulikataa ombi la marejeo lililowasilishwa na mwanamuziki wa dansi
nchini, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae, Papi Kocha ‘Mtoto wa
Mfalme’, ambao waliomba mahakama hiyo ifanyie marejeo hukumu ya kifungo
cha maisha iliyoitoa Februari 2010, kwa kuwa ina dosari za kisheria na
kuwaachia huru.Kwa mujibu wa hati ya wito wa
↧
Jeshi la polisi lawaonya wananchi dhidi ya matumzi mabaya ya Silaha....
JESHI la Polisi nchini limetoa onyo kali kwa watu wanaotumia vibaya silaha walizomilikishwa.
Onyo hilo lilitolewa jana na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu
Mwandamizi wa Polisi (SSP), Advera Senso, katika taarifa yake kwa vyombo
vya habari na kuwataka watu hao kuacha mara moja tabia hiyo na badala
yake wazingatie sheria na masharti waliyopewa wakati wa umilikishwaji.
Alisema
↧
Majeruhi Francis Shumira aliyepigwa risasi juzi na Gabriel Munis ili kulipiza kisasi kwa penzi la Christina afariki dunia
MAJERUHI Francis Shumira aliyejeruhiwa
katika tukio la kushambuliwa kwa risasi Ilala Dar es salaam juzi amefariki dunia jana asubuhi Hospitali ya Muhimbili alikolazwa MOI kwa
matibabu.
Kufariki kwa Francis kunafanya idadi ya watu watatu waliofariki katika tukio
hilo hadi hivi sasa huku ikiacha majeruhi wawili ambao ni Christina Alfred
Newa Mwanafunzi wa masuala ya Mawasiliano
↧
More Pages to Explore .....