Mwanamziki aliyepata kutamba na Bendi ya FM
Academia ya jijini Dar es Salaam, Rapa, Haristot Shungu ameuawa nchini
China huku kifo chake kikitawaliwa na utata mkubwa.
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichopo nchini China, rapa huyo
alikamatwa uwanja wa ndege baada ya kugundulika kuwa amebeba madawa ya
kulevya akiwa ameambatana na rapa mwingine wa Bendi ya Akudo Impact,
Kanal Top na
Mwanamziki wa Bendi ya FM Academia auawa China baada ya kukamatwa na madawa ya kulevya.
↧
↧
Zitto Kabwe agoma kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya CHADEMA, wajumbwe wakwazika
WAKATI Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
ikiendelea na kikao chake jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu, Zitto
Kabwe, amekacha.
Zitto ambaye katika siku za hivi karibuni aliibua mjadala kwenye
vyombo vya habari, hasa alipoingia kwenye malumbano na Mbunge wa Arusha
Mjini, Godbless Lema, amekacha kikao hicho na badala yake ametoa taarifa
ya kusafiri nje ya
↧
Babu Seya na Papii Kocha washindwa kesi na kurejeshwa jela tena kwa kifungo cha maisha
Mwanamziki mkongwe nchini Nguza Viking aka Babu Seya na mwanaye Papii
Kocha, wataendelea na kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya
rufani nchini kuitupilia mbali rufaa yao iliyosikilizwa leo
Babu Seya na Papii Kocha
walihukumiwa kifungo cha maisha jela mwaka 2004 baada ya kupatikana na
hatia ya kuwanajisi watoto wa Shule ya Msingi, Mashujaa, Sinza jijini
Dar ambapo wamekuwa
↧
Gari la Wema Sepetu lageuzwa Gesti house....Vijana wake walitumia kuwanasa mabinti na kufanya nao mapenzi ndani ya gari
Taarifa za sababu kubwa zilizopelekea Wema Sepetu kumtimua
aliyekuwa director wake maarufu kwa jina la Chid ni
ufuska uliokubuhu wa director huyo ambaye alikuwa akitumia magari ya Wema Sepetu kama
gest ya kumaliza haja zake.
Wema aliamua kuchukua maamuzi hayo magumu ili kunusuru kashfa kubwa ambayo ingeweza kuikumba kampuni yake
Habari
zaidi zinaarifu kuwa baada ya kupata
↧
P-Square watua jijini Dar es Salaam
Wanamuziki
wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa
kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina
Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na
East Africa Radio na EATV.
Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea.
Vijana
↧
↧
Watanzania wanne wafikishwa mahakamani kwa kosa la kujiunga na kundi la Al Shabaab
WATU wanne wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Al Shabaab. Washitakiwa hao waliofikishwa mahakamani jana ni Ally Rashid, Shaban Waziri, Faraji Ramadhani na Mussa Mtweve.
Wakili wa Serikali, Peter Maugo alidai mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo, kuwa kati ya Januari 11 mwaka jana na Septemba 16
↧
Kikao cha kamati kuu ya CHADEMA chamalizika kwa kumvua Zitto Kabwe nafasi zote za uongozi ndani ya chama hicho.
Suala la hatma ya Naibu Mkuu wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Zitto Kabwe ndilo
lililotawala katika siku ya pili ya kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho
na kusababisha mvutano mkali miongoni mwa wajumbe.
Pamoja na ukweli kuwa kulikuwa na ajenda kadhaa
zilizokuwa zimepangwa kujadiliwa katika kikao hicho cha siku mbili
kilichofanyika Dar
↧
Christine Newa asimulia kilichomfanya Gabriel Munis awapige risasi....Asema chanzo cha yote ni yeye kusaliti uchumba wao kutokana na.....
Imebainika kwamba sababu ya shambulizi la risasi lililotokea
Ilala Bungoni, Dar es Salaam Jumanne iliyopita na kusababisha vifo vya
watu watatu, ni wivu wa mapenzi uliopindukia.
Akizungumza nyumbani kwao Ilala Bungoni jana,
mmoja wa majeruhi ambaye ndiye aliyekuwa kiini cha shambulizi hilo,
Christine Newa alisema si kweli kwamba sababu ya mchumba wake, Gabriel
Munisi kuwashambulia
↧
Watu 10 wafikishwa mahakamani leo kwa kosa la kumuua Dr. Senngondo Mvungi.....
Watu kumi wanaodaiwa kumuua Dr. Segondo Mvungi wamefikishwa
kwenye Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa shitaka la kumuua Dr.
Mvungi.
Kesi imesomwa na Hakimu Mkazi Sundi Fimbo ambapo Watuhumiwa
hawakutakiwa kujibu chochote kutokana na Mahakama kutokua na uwezo wa
kusikiliza kesi ya mauaji hivyo wamerudishwa Segerea mpaka tarehe 5
December mwaka huu ...
<!--
↧
↧
Sakata la CHADEMA KUJITEKA, kummwagia tindikali Saed Kubenea na chanzo cha ugomvi wa Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.
Ndugu Wananchi,
Taifa letu la Tanzania linapitia katika wakati wa upevukaji wa uhuru wa kusema kwa uwazi, pia Taifa letu linapitia katika harakati za demokrasia na maozezi ya deomkrasia.
Katika kipindi hiki tumeshuhudia mambo mengi yakitokea ikiwa ni pamoja na baadhi ya watu na taasisi zao kuutumia uhuru huu wa kusema vibaya kwa lengo la kutimiza malengo yao binafsi au kutimiza wajibu wa
↧
Video ya mke wa mchungaji akisaliti ndoa yake na director wake yanaswa
Mama mchungaji wa kanisa moja hapa nchini amejikuta ndani ya aibu nzito baada ya video yake inayomuonesha akisaliti ndoa yake kuvuja na kusambaa mitandaoni....
Katika video hiyo, mwanamke huyo anaonekana akipewa kichapo kikali na mumewe huku akiwa mtupu mbele ya kundi kubwa la watu kama njia mojawapo ya kumwadhibu...
Kila kitu kipo hapo
↧
Taarifa rasimi ya CHADEMA kuhusu kuwavua uongozi Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba
Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema imewavua
Uongozi Viongozi wake watatu baada ya Kugundua waraka wa Siri
uliowahusisha na mpango wa kukipasua Chama vipande vipande.
Viongozi
waliovuliwa Uongozi ni Zitto Kabwe ambaye alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Dr
Kitila Mkumbo na Samsoni Mwigamba aliyekuwa Mwenyekiti wa Kanda ya
Kaskazini.
Akizungumza katika Mkutano wa
↧
Huu ndo waraka wa siri uliotumiwa na CHADEMA kuwavua nafasi za uongozi Zitto Kabwe, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba
MKAKATI WA MABADILIKO 2013
UTANGULIZI:
Taasisi tunayoizungumzia ilisajiliwa rasmi mwezi January 1993 na tokea
wakati huo imeongozwa na wakuu wa taasisi wapatao wawili na aliyepo kwa
sasa ni wa tatu.
Wa kwanza aliongoza kwa miaka mitano tangu wakati huo
1993 hadi 1998 na kumwachia aliyefuata ambaye naye aliongoza kwa miaka
mitano hadi mwanzoni mwa 2004 na kumwachia aliyepo sasa
↧
↧
Baada ya CHADEMA kumvua uongozi Zitto Kabwe, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara naye aamua kujiuzulu
Habari zilizotufikia muda mfupi ulipita zinaarifu kwa Said Arfi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amejiuzulu rasmi nafasi yake jioni hii.
Arfi ambaye pia ni mbunge wa Mpanda mjini (CHADEMA) amefikia uamuzi huo
leo baada ya Kamati Kuu ya CHADEMA kuwavua uongozi Zitto Kabwe na Dr.
Kitila Mkumbo. Nafasi ya Zitto amepewa mchungaji Peter Msigwa.
Ifuatayo ni kauli ya
↧
Hii ni kauli ya Mwigulu Nchemba baada ya CHADEMA kumvua uongozi Zitto Kabwe....Amedai kuwa chama hicho kinaongozwa na watu wenye akili ndogo
Kuvuliwa vyeo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na
visingio vingi, ukweli ni kwamba "NDANI YA CHADEMA AKILI NDOGO INATAWALA
AKILI KUBWA" It is natural kwamba akili ndogo ikitawala akili kubwa:
1) Yatatumika mabavu na nguvu nyingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitatafutwa sababu nyingi na visingizio uchwara kuhalalisha kuizima
akili kubwa tofauti na vigezo vya
↧
Kijana aukata uume wake kuepuka usumbufu wa wanawake huko Tabora.
Ayubu Mnazi Alphonce(24) ni kijana ambaye amelazwa katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete
akipatiwa matibabu baada ya kuamua kuukata uume wake kwa kutumia wembe mpya ili kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa wanawake ambao amekuwa nao kimapenzi...
Imeelezwa kuwa baada ya kutokea mfarakano baina yake na mwanamke mmoja
ambaye jina lake halijafahamika,Ayoub
↧
"Utundu kitandani ndo silaha yangu ya kuwateka wanaume...Nayajua mapishi na njia zote za kumpagawisha mwanaume hata akiwa mgumu kiasi gani"..Baby Madaha
Wakati kukiwa na madai kuwa msanii Baby Madaha anatumia dawa za kienyeji kuwateka wanaume kimapenzi, mrembo huyo ameibuka na kusema kuwa siri ya kuwateka wanaume ni utundu wake kitandani....
Akiongea na mwandishi wetu, Baby Madaha amedai kuwa tuhuma za kutumia dawa za kienyeji hata yeye amezisikia tu, lakini wote wanaomtuhumu hivyo ni kwamba
↧
↧
Rais Mugabe awapiga marufuku wageni na wahamiaji kujihusisha na biashara ndogo ndogo nchini mwake
Wamiliki wa makampuni ya nje yanayoendesha shughuli katika baadhi ya
sekta nchini Zimbabwe kuanzia Januari mosi mwaka 2014 hawataruhusiwa na
iwapo watakiuka agizo hilo watakamatwa .Mmoja wa maafisa waandamizi wa
serikali ya nchi hiyo amesema.
Katibu wa Uwezeshaji Uchumi George Magosvongwe alitoa onyo hilo katika bunge la nchi hiyo, gazeti moja la serikali limesema.
↧
Profesa Juma Kapuya aburuzwa polisi kwa tuhuma za ubakaji.....
HATIMAYE binti anayedaiwa kubakwa na Mbunge wa Urambo Magharibi,
Profesa Juma Kapuya (CCM), amefungua jalada Polisi dhidi ya mbunge huyo.
Habari za kipolisi ambazo Tanzania Dama limezipata, zinasema kuwa binti
huyo ambaye anadai kubakwa na kisha kutishiwa kuuawa na Profesa Kapuya,
amefungua jalada namba OB/RB/21124/13 katika Kituo cha Polisi
Oysterbay, jijini Dar es Salaam.
↧
Zitto Kabwe na Dr. Mkumbo watakutana na waandishi wa habari kesho ili kutoa msimamo wao kuhusu maamuzi yaliyochukuliwa na CHADEMA dhidi yao
Taarifa inatolewa kuwa Mheshimiwa Zitto Kabwe pamoja na Dk Kitila Mkumbo
watakutana na wahariri na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili
tarehe 24 Novemba 2013.
Watatumia nafasi hii kutoa maoni na msimamo wao
kuhusu maamuzi ya Kamati Kuu ya CHADEMA ya hivi karibuni.
Mkutano huu na waandishi wa habari utafanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam kuanzia
↧
More Pages to Explore .....