Mtanzania Agnes Gerald, maarufu Masogange, ameachiwa huru na
Mahakama ya Kempton ya jijini Johannesburg, baada ya kulipa faini ya
R30,000 (Sh4.8 milioni) kwa kosa la kubeba kemikali zinazotumika
kutengeneza dawa za kulevya.
Wakati Masogange akitozwa faini hiyo mwenzake,
Melissa Edward ameachiwa huru na mahakama hiyo, baada ya kukosekana
ushahidi wa kumtia hatiani.
AGNESS MASOGANGE AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI YA SH. MILIONI 4
↧
↧
Nguvu ya Umma na Vurugu za CHADEMA zashindwa kumuokoa mbunge wake aliyetupwa jela kwa siku 14
UTARATIBU wa Chadema kutumia kinachoitwa ‘nguvu ya umma na vurugu’ kushinikiza sheria ipindishwe kwa maslahi yake, umekwama kumnusuru Mbunge wa Ukerewe, Salvatory Machemli anayetumikia adhabu ya kukaa jela kwa siku 14.
Jana Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chadema, Sylvester Masinde, alikiri kuwa nguvu ya umma iliyodaiwa kutumika kumnusuru Machemli, ni upotoshaji na hali ilivyokuwa,
↧
Mwili wa Dk Mvungi utawasili nchini leo saa 12. 50 jioni
Mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk
Sengondo Mvungi utawasili nchini leo 12.50 jioni kwa ndege ya Shirika la
Ndege Afrika Kusini (Saa) ukitokea Afrika Kusini.
Msemaji wa Tume hiyo, Omega Ngole alisema baada ya
mwili huo kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,
Dar es Salaam utapelekwa kuhifadhiwa Hospitali ya Lugalo.
↧
Fundi magari mkoani Iringa ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kumtaka kimapenzi mwanafunzi wa darasa la tano
FUNDI
magari mkazi wa kijiweni katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
Bw Abdul Husein (31) amejikuta akitupwa jela mwaka mmoja na faini
ya shilingi 200,000 baada kutiwa hatiani na mahakama ya mwanzo
bomani kwa kosa la kutaka penzi la nguvu kwa mwanafunzi wa darasa
la tano .
Fundi
huyo ambaye anadaiwa kukaribishwa katika nyumba hiyo kama mlinzi
wa
↧
"Huddah ni ‘mali ya serikali’, amelala na karibu dunia nzima....Mwanaume gani atampenda mwanamke kama huyo?"..Prezzo
Baada ya kupondwa na Huddah Monroe kuwa amefulia, mfalme wa bling, Rapcellency Prezzo ameamua kujibu mashambulizi na kusema uhusiano wake na Huddah ulikuwa wa kufanya mapenzi tu, basi.
Kwenye interview na Heads Up, Prezzo aliweka wazi kuwa ni kweli aliwahi kuwa na uhusiano wa muda mfupi na aliyekuwa mwakilishi huyo wa Kenya kwenye Big Brother Africa mwaka huu.
“Tuliwahi kukutana
↧
↧
Jack Wolper , Snura na Aunt Ezekiel wauteka mtaa baada ya kujiunga na kundi la BAIKOKO na kuanza kutingisha mauno yao.
Mastaa wa filamu za Kibongo wenye jina kubwa mjini, Aunt Ezekiel,
Jacgueline Wolper na Snura Mushi hivi karibuni walitisha kwa kufunga
mtaa kutokana na mauno waliyokuwa wakikata mbele za wapiga ngoma wa
Kundi la Baikoko, tukio lililojiri Mwananyamala, Dar nyumbani kwa msanii
mwenzao Vanitha Omary.
Wasanii hao waliwashangaza watu jinsi walivyokuwa wakijituma kukata
mauno huku Wolper
↧
SK Boys watukanwa na mashabiki kwa kutumia vibaya melody na beat ya single ya P Square ‘Personally’ kutengeneza Video ya nusu uchi
Ni video ya wimbo ambao wametumia melody na beat ya single ya P
Square ‘Personally’ na kuiweka October 26 2013, watu wengi waliyoiona
hasa ukitazama mitandao ya kijamii kama facebook na twitter, maoni mengi
yameiponda hii video na wimbo wenyewe ambao waamini umevuka maadili ya
Kiafrika na kisanii pia wamevuka mipaka.
Sehemu ya waliotoa maoni wanalalamikia udhalilishwaji wa Wanawake
↧
Je, wewe ni mwanamke na unatafuta mwanaume msomi wa kukuoa??... Unapenda kuolewa na mfanyakazi??...kama jibu ni Ndiyo, basi bofya hapa
Habari yako Mpekuzi
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 30.Elimu yangu ni chuo kikuu. Sina mke wala mtoto.
Makazi yangu ni Dar na ni mwajiriwa wa kampuni flan ambayo sitaitaja kwa sasa.Kupitia blog yako, naomba uniwekee ombi langu la kutafuta mke wa kuoa...
Sichagui dini wala kabila ila elimu yake ianzie kidato cha nne na kuendelea.
↧
Siri yafichuka...Diamond na Penny wadaiwa kuwa ni mtu na dada yake....Penny amwaga machozi baada ya kugundua kuwa ameliwa pasipolika
Mwanzoni mwa wiki hii, taarifa za kuumiza masikio zilimfikia mwanadada Peniel Mwingilwa "Penny" na kujikuta akimwaga machozi baada ya kutaarifiwa na mzee wa ukoo wake kuwa yeye na mpenzi wake Diamond ni ndugu wa damu...
Taarifa kutoka kwa mtu wa karibu na familia ya Penny zimeeleza kuwa tukio hilo limezua sintofahamu kubwa kati ya
↧
↧
Ratiba ya shughuli nzima ya kuuaga mwili wa Dr. Sengondo Mvungi hapo Kesho
↧
Kufuatia kashfa ya kubaka na kumwambukiza UKIMWI mwanafunzi wa sekondari: TAMWA, TGNP, LRHC wamtaka Professor Juma Kapuya wa CCM ajiuzulu
Chama
cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), kwa kushirikiana na Mtandao
wa Jinsia Tanzania (TGNP) na Kituo cha Msaada wa Kisheria (LHRC),
kimelaani viongozi wanaotumia madaraka yao, nafasi zao na nguvu zao
kisiasa kuwadhalilisha watoto wa kike.
Mashirika hayo yanayotetea haki za wanawake na watoto, yamesema
yamesikitishwa na habari zilizozoripotiwa kwenye baadhi ya vyombo vya
↧
Video mpya kutoka kwa Jose Chameleone “Tubonge”...Ni bonge la video
↧
Tattoo na muonekano mpya wa Ray, vyawachefua mashabiki wake....wengi wasema amechemka.
Huu ni muonekano mpya wa Vicent Kigosi ambao ni moja ya maandalizi ya movie yake mpya ...
Ni muonekano ambao kwa kiasi flani umewachefua mashabiki wake ambao dakika chache baada ya picha hizo kuwekwa walijimwaga kwa comment ambazo hazikumuunga mkono kwa asilimia zote.
“Je nageukia bongoflava au kuna nini kinakuja?”. Aliadika Ray kwenye moja ya picha
↧
↧
Dr. Slaa na viongozi wengine wa CHADEMA waukana waraka uliosambaa kumhusu Zitto Kabwe....Pamoja na kuukana, Zitto Kabwe adai wahusika ni CHADEMA wenyewe
Maneno haya yametoka kwenye ukurasa wa facebook wa mbunge Zitto
Kabwe na yamesemwa na viongozi wa Chadema kama Dr Wilbroad Slaa,Edwin
Mtei na Mabere Marando kuhusu waraka uliosambaa kumhusu Zitto Kabwe.
Hii ni Post ya Zitto Kabwe aliyoiweka facebook
Dr. Willbrod Slaa : ” Hatuna tatizo hata kidogo na Zitto Kabwe. Huyu
ni Naibu Katibu Mkuu wetu kama kuna tatizo jambo
↧
Mwili wa Dr. Sengondo Mvungi wawasili nchini Tanzania ....Ifiatayo ni ratiba nzima ya tukio la kuuaga mwili wake
Mwili wa Marehemu Dk. Sengondo Mvungi ukifanyiwa maombi mara
baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam
leo.
Wanachama wa NCCR-Mageuzi wakiwa wamelibeba sanduku
lililohifandhi mwili wa kiongozi huyo wa NCCR-Mageuzi na Mjumbe wa Tume
ya Mabadiliko ya Katiba Mpya.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akiwa uwanjani
↧
Irene Uwoya hana UKIMWI...Haya ni majibu ya vipimo vya ngoma aliyoyatundika mtandaoni
Irene Uwoya hana UKIMWI.....
Hii si kauli yangu...Ni kauli ya Mama Krish "Irene Uwoya" ambayo imewekwa katika ukurasa wake wa Instagram ikiambatana na cheti cha maabara kinachoonesha kwamba yeye ni mzima wa afya( hana ngoma )...
Pamoja na ambatanisho hilo, Uwoya amewataka watanzania kujiwekea mazoea ya kupima UKIMWI ili kujua afya zao
↧
Profesa Juma Kapuya ajikoroga....Amkana mwanafunzi anayedaiwa kumbaka, asema simu inayotumika kumtisha alishaigawa
SIKU chache baada ya Waziri wa zamani na Mbunge wa Urambo Magharibi,
Profesa Juma Kapuya (CCM) kutuhumiwa kumbaka na kutishia kumuua binti
mdogo wa miaka 16, kiongozi huyo ameibuka na kutoa utetezi wa
kujikanganya.
Akizungumza kupitia kwa wakili wake, Yasin Memba, mbunge huyo
alitishia kuliburuza gazeti la Tanzania Daima mahakamani endapo halitamwomba msamaha
ndani ya siku saba.
↧
↧
Umeme kuadimika kwa siku 11 nchini.... Na hii ndo mikoa itakayokumbwa na tatizo hilo
WATEJA katika mikoa inayopata umeme kwenye gridi ya Taifa wanatarajiwa kupata adha ya upungufu wa umeme kwa siku 11 kuanzia leo, kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo kilichopo wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi.
Hali hiyo imetajwa inatokana na kuwapo kwa matengenezo ya kiufundi kwenye visima vya gesi unaofanywa na Kampuni ya Pan African Energy Tanzania Limited (PAT
↧
Makamu wa Rais Dr. Bilal awaoongoza wananchi kuuaga mwili wa Dr. Sengondo Mvungi jijini Da es Salaam leo
Jeneza lenye mwili wa marehemu Dkt.Sengondo Mvungi, likiwasili kwenye Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam,leo kwa ajili ya kuagwa
Jeneza likipelekwa sehemu iliyoandaliwa
Mashada ya maua na picha ya marehemu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza kutoka salamu za rambi rambi za serikali wakati wa shughuli za kuaga mwili wa
↧
Mwanamke akatwa mguu na mumewe na kutelekezwa bila msaada wowote.
Hali ya
wanawake inazidi kuwa mbaya ndani ya nchi yao TANZANIA inayosifiwa kuwa ni
Kisiwa cha Amani ...
Tukio hili lilitokea mapema mwezi wa nane
mwaka huu Kijiji cha Nyantira Tarime Mara. Katika mazungumzo yake, binti
HUYU alisema kwamba anatamani sana kurudi nyumbani kwa wazazi wake, tatizo ni kwamba
kwa kuwa alilipiwa MAHARI na mume wake (aliyemkata panga mguu na kuutoa) hawezi
kurudi
↧
More Pages to Explore .....