Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Rais Magufuli Azindua Daraja la Kigamboni....Akataa Lisiitwe kwa Jina Lake, Ashauri Liitwe Daraja la Nyerere

$
0
0

Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. John Magufuli amekataa daraja la Kigamboni  lisiitwe 'Daraja la Magufuli' na badala yake ameshauri lipewe jina la muasisi wa Taifa hili, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Akiongea wakati wa kuzindua daraja hilo leo, Rais Magufuli amesema kuwa awali aliletewa mapendekezo  na waziri mwenye dhamana akimtaka aridhie daraja hilo lipewe jina lake, lakini kwakuwa wazo la ujenzi huo lilianza tangu wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere, alikataa na  kushauri jina  la Nyerere litumike .
 
“Nilikataa lisiitwe kwa jina langu kwa sababu wazo  la ujenzi wa daraja hili lilianza  mwaka 1979 wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.

"Wazo hilo halikufanikiwa kutokana na ukosefu wa pesa wakati huo. Mwalimu Nyerere ni kiongozi aliyejenga  misingi imara katika taifa letu.

"Alikuwa ni kiongozi asiyebagua mtu kwa misingi ya dini, chama au kabila. Alifanikiwa kutuunganisha watanzania wote bila kujali itikadi zetu.

"Leo hii, daraja hili limekamilika, ni daraja ambalo halitambagua mtu kwa sababu wa CCM watapita hapa, wa Chadema watapita hapa na bahati nzuri mstahiki Meya wa jiji hili  ambaye ni Chadema naye yuko hapa na amepita katika daraja hili.

"Ndugu zangu sistahili sifa zozote, najua nimefanikisha ujenzi huu  nikiwa waziri wa ujenzi, lakini wakati huo nilikuwa natimiza wajibu wangu kama mtumishi wa umma, hivyo nashauri hili daraja liitwe daraja la Nyerere ili tuweze kumuenzi  mwasisi wa taifa hili” alisema  Rais Magufuli.
 
Aidha Rais Magufuli amewataka wakazi wa jiji la Dar es Salaam kuhakikisha wanalitunza daraja hilo katika kujenga uchumi wa taifa.


Video 8 za Mambo Yote Yaliyojiri Bungeni Dodoma Leo

$
0
0


1.Hatimaye mkutano wa kwanza kikao cha 3 wa bunge waanza kwa wabunge kuimba wimbo wa taifa na baadhi yao kula kiapo.
 
2.Je ni nini hatma ya uchaguzi kwa majimbo ya Bulyankulu na kamindo ikiwa uchaguzi haujafanyika hadi leo? Dkt. Abdallah Possy atoa ufafanuzi. 
 
3.Mhe. Suleiman Jafo atoa ufafanuzi na utaratibu wa serikali juu ya hospitali zinazopandishwa hadhi kukidhi haja za wananchi.
 
4.Mbunge wa Njombe mjini aihoji serikali juu ya upigaji marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki unaosababisha uharibifu wa mazingira. 
 
5.Naibu waziri wa nishati na madini Dkt Medard kalemani atoa ufafanuzi wa kuanza kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi. 
 
6.Je serikali inaweka msukumo gani kwa Geita Gold Mining kuhakikisha inawalipa wananchi wa mtaa wa Mgusu fidia ili kupisha eneo hilo? 
 
7.Kauli ya Wizara ya mambo ya ndani kuhusu baadhi ya vituo vya polisi nchini kuwa na askari wachache na kutofanya kazi kwa masaa 24.
 
8.Je ni lini uwanja wa ndege wa Musoma utajengwa na kuwa kwenye hadhi ya stahiki ya kitaifa au kimataifa? Mhe. Joyce Sokombi ahoji.

Idadi ya watumishi hewa Shinyanga yafika 226

$
0
0
Idadi ya wafanyakazi hewa katika mkoa wa Shinyanga ambao awali ulidaiwa kutokuwa na wafanyakazi hao kabisa, imeongezeka na kufikia 226.

Hayo yamebainishwa leo na Rais John Magufuli katika uzinduzi wa Daraja la Kigamboni, ambapo alisisitiza kuwa serikali yake haitawafumbia macho viongozi ambao kwa namna moja au nyingine wataruhusu mianya ya ubadhirifu wa fedha katika maeneo yao.

”Mkoa wa Shinyanga kwa taarifa nilizonazo hadi sasa wameshapatikana wafanyakazi hewa 226 kutoka ‘zero’ hivyo ni lazima tuwajibike kwa watanzania wanyonge,” amesema Rais Magufuli.

Wakati wa kuwasilisha ripoti ya Mikoa Serikalini aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Anne Kilango Malecela alisema mkoa wake hauna mtumishi hewa hata mmoja jambo lililopelekea Rais Magufuli kuunda tume iliyobaini watumishi  hewa  45 katika awamu ya kwanza.

Baada ya kubainika uwepo wa watumishi hao, Raisi alitangaza kutengua uteuzi wa Mkuu huyo wa Mkoa kwa kutokuwa makini na taarifa anazopewa na wasaidizi wake.

Rais Magufuli Atuma Salamu Za Rambirambi Kwa Waziri Mkuu wa Japan

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya April 20

Rais Magufuli Ampaisha Dr. Ramadhani Dau wa NSSF.....Ammwagia Sifa kwa Kazi Nzuri, Azima Ndoto za Wabaya wake

$
0
0

"Kabla sijaanza kuhutubia, naomba nimkaribishe mtu muhimu sana aliyefanikisha ujenzi wa Daraja hili. Dkt Dau tafadhali karibu usalimie kidogo’’. Ndivyo alivyoanza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli jana wakati wa uzinduzi wa daraja la kihistoria la kigamboni alilopendekeza liitwe daraja la Nyerere kutukuza mchango wa mwasisi wa taifa hili baba wa taifa hayati mwalimu Julius kambarage nyerere.

"Watanzania wana tabia ya kusahau sana. Tunaweza kuzindua hapa wakashangilia lakini wasiwapongeze watu waliofanikisha kazi hiyo..mnyonge mnyongeni haki yake mpeni”. Aliendelea Rais Magufuli mara baada ya Dk. Dau kumaliza kusalimia.

 
Dk Magufuli alisema Balozi Dau alimfuata ofisini kwake(wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi), akiwa mnyonge na mwenye kukata tamaa ya kufanikisha mradi huo. 

“Ndiyo nikamwambia aanze kufanya kazi.” Rais Magufuli alisema ni Dk Dau na NSSF ndiyo waliosimamia na kuhakikisha daraja hilo linajengwa na kukamilika kwa kiwango hicho, akasema haitakuwa busara kulizindua bila kutambua mchango wake. 

Alisema ni kawaida kwa watu wenye michango mikubwa kusahaulika wakati wa mafanikio. 

Tukio hilo lilionyesha dhahiri kwamba Rais Magufuli amevutiwa kwa  kiasi kikubwa na kazi ya mkurugenzi huyo mstaafu wa NSSF na kwenda tofauti na matarajio ya watu wengi waliokuwa na shauku ya kumsikia Rais akimchukulia hatua mkurugenzi huyo kwa madai ya ubadhirifu wa mabilioni ya fedha .

Hatua hii ya Rais kumwagia sifa hadharani Dk. Dau, inakuja siku chache baada ya kusambazwa kwa kinachoitwa taarifa ya mkaguzi wa hesabu za serikali CAG taarifa ambazo baadae zilikanushwa na ofisi ya CAG . 

Akizungumza katika hafla hiyo, Dk Dau alizitaka taasisi nyingine kuiga mfano wa NSSF katika uwekezaji wa miradi ya maendeleo ya wananchi. 

Aliwakumbusha Watanzania kumtanguliza Mungu akisema kukamilika kwa ujenzi wa daraja hilo kutasaidia kukuza uchumi na kurahisisha usafirishaji kwa wakazi wa Kigamboni na Tanzania kwa ujumla. 

Katika hotuba yake, Rais Magufuli alisema daraja hilo ni la kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati na kwamba litasaidia kukuza uchumi, utalii na ndiyo maana hata majirani wanalitamani. 

“Daraja hili linabeba zaidi ya tani elfu moja, ni daraja la kipekee, linao uwezo wa kudumu kwa zaidi ya miaka 100,” alisema . 

Alisema katika ujenzi wake uliofanyika kwa utaratibu wa PPP (Public Private Partnership), Serikali imetoa asilimia 40 na NSSF asilimia 60 hivyo vyombo vya usafiri kama baiskeli, guta, pikipiki na magari yatalipa kuvuka. 

“Leo hii, daraja hili limekamilika... halitambagua mtu kwa sababu wa CCM watapita hapa wa Chadema watapita hapa na bahati nzuri mstahiki meya wa jiji hili ambaye ni Chadema naye yuko hapa na amepita katika daraja hili… lakini wananchi waenda kwa miguu hawatalipia matumizi ya daraja… ila wale waendesha baiskeli, pikipiki, maguta na magari lazima walipie,” alisema Dk Magufuli. 

Rais aliipongeza kampuni ya China Railway Construction Engineering Group iliyotekeleza mradi huo kwa kushirikiana na kampuni ya China Railway Major Bridge Group. 

“Kwa kazi nzuri iliyofanywa na wenzetu hawa kutoka nchini China napenda kutumia fursa hii kuahidi kwa niaba ya Serikali kuwa tutaendeleza ushirikiano wetu katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwamo kumalizia kipande cha barabara kinachounganisha daraja hili kutoka upande wa Kigamboni,’’ alisema. 

Bunge Laanza Kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Mkataba wa Lugumi

$
0
0

Hatimaye taarifa ya utekelezaji wa mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises, iliyoshinda zabuni mwaka 2011 ya kufunga mashine za kuchukua alama za vidole katika vituo vya Polisi vya wilaya nchi nzima kwa gharama ya Sh bilioni 37, umetua ndani ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na kuanza kujadiliwa.

Akizungumza jana bungeni, Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Aeshi Hilaly alisema taarifa ya utekelezaji wa mkataba huo, ilifikishwa bungeni juzi na jana asubuhi wamepewa na wakaanza kuujadili papo hapo.

“Wametuletea taarifa ya utekelezaji wa mkataba huo leo asubuhi (jana), ila taarifa hiyo ilifika bungeni jana (juzi), na sisi kamati tumekaa asubuhi kuijadili kama tulivyokubaliana wakati wa vikao vya kamati mjini Dar es Salaam na tutatoa taarifa ya maamuzi ya kamati,” alisema Aeshi ambaye ni Mbunge wa Sumbawanga Mjini.

Akizungumza baada ya kuahirisha kikao cha kamati hiyo jana jioni, Aeshi alisema hawajafikia maamuzi na kwamba leo wataendelea kujadili taarifa hiyo na mchana watatoa maazimio ya kamati.

“Tumeahirisha kikao hadi kesho (leo) na bado tunapitia taarifa hiyo na kama kamati itaona haja ya kuwaita tena jeshi hilo kutoa maelezo, tutajua baada ya kufikia maamuzi,” alisema Aeshi na kuongeza kuwa kwa sasa wanachambua taarifa hiyo na iwapo wataona kuna haja pia ya kuutaka mkataba huo watatoa maelekezo.

Awali, Aprili 5, mwaka huu mjini Dar es Salaam, kamati hiyo ilitoa siku saba kuanzia siku hiyo kwa Jeshi la Polisi nchini, kupeleka mkataba walioingia baina yao na Kampuni ya Lugumi iliyopewa zabuni ya kufunga mashine 108 katika vituo tajwa nchini, ila hadi sasa ni vituo 14 tu ndivyo vilivyofungwa mashine hizo.

Hatua hiyo ilikuja baada ya kamati hiyo kukutana na jeshi hilo kupitia taarifa ya hesabu za jeshi hilo za mwaka 2013/14 zilizokaguliwa na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na kubainika kuwa na ukiukwaji wa utekelezaji wa mkataba huo.

Ukiukwaji wa utekelezaji wa mkataba huo mwingine ni pamoja na kampuni hiyo kulipwa asilimia 99 ya fedha zote za mkataba huo wenye thamani ya Sh bilioni 37, huku kazi iliyofanywa ni chini ya robo.

“Ukiangalia kazi iliyofanywa tangu mwaka 2011 hadi leo ni kidogo na pesa hawa kampuni wameshachukua asilimia 99, sasa tumewaagiza watuletee huo mkataba ndani ya wiki moja walioingia na kampuni hiyo ili tuupitie,” alisema Aeshi wakati wa vikao vya Dar es Salaam.

Hata hivyo, baada ya maagizo hayo, taarifa hiyo ya utekelezaji haikuwasilishwa kwenye kamati hiyo ndani ya muda uliokubaliwa na Aeshi alisema siku zote wamekuwa wakitoa maagizo kwa mdomo na taasisi nyingi zimekuwa zikitekeleza.

Aliongeza ila hilo la mkataba wa Lugumi lilikuwa tabu kutekelezwa hadi kamati hiyo, ilipochukua hatua za kukumbushia kwa kuandika maelezo.

Hata hivyo, baada ya taarifa za mkataba huo,zilisambaa habari kwenye vyombo vya habari kuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete (CCM), Said Lugumi na vigogo wengine.

Kutokana na sakata hilo, mbunge huyo alikanusha kuhusika kwake na kusema ni kweli kwamba ana urafiki wa kawaida na Said Lugumi na kusisitiza kwamba hahusiki kwa njia yoyote na kampuni hiyo.

“Kwanza kabisa mimi si mmoja wa wamiliki wa kampuni hiyo, hilo ni jambo la msingi kabisa watu waelewe na sijawahi kufanya biashara yoyote na Lugumi. Said Lugumi ambaye ni mmiliki wa kampuni hiyo tunafahamiana naye na ni rafiki yangu,” alisema Ridhiwani.

Liyumba Kuagwa leo Jijini Dar es Salaam, Kuzikwa kesho Morogoro

$
0
0

Maziko ya mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba yatafanyika kesho mkoani Morogoro baada ya kukamilika kwa taratibu za kuaga mwili wake leo jijini Dar es Salaam.

Liyumba alifariki dunia juzi saa 10.00 jioni katika Hospitali ya Aga Khan kutokana na maradhi ya kisukari na shinikizo la damu ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu mpaka dakika ya mwisho. 

Akizungumzia taratibu za mazishi, msemaji wa familia, Moses Liyumba alisema marehemu atazikwa nyumbani kwake Morogoro. 

“Marehemu alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan siku tatu kabla ya kufariki dunia. Bado tunaandaa utaratibu wa kuaga mwili kisha kuelekea Morogoro kwa ajili ya maziko,” alisema Moses nyumbani kwao Kawe Avocado. 

Moses, ambaye ni mtoto mkubwa wa Liyumba, alisema marehemu baba yake ameacha watoto saba aliozaa na mke wake aliyefariki dunia mwaka 2005. 

“Tunasikitika kwa kifo cha mzee wetu, lakini ndiyo mapenzi ya Mungu. Watoto wake wote tupo, na wengine wawili wanaoishi nje ya nchi wameshafika kwa ajili ya kumpumzi- sha mpendwa baba yetu.” 

Mkurugenzi huyo wa zamani wa BoT aliandikwa sana kwenye vyombo vya habari mwaka 2009 alipokuwa anakabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya ofisi kati ya mwaka 2001 na 2006 wakati wa ujenzi wa majengo pacha ya makao makuu ya BoT. 

Siku ya hukumu ya kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, shtaka la kuisababishia Serikali hasara ya Sh221 bilioni lilitupwa, lakini alitiwa hatiani kwa shtaka la matumizi mabaya ya madaraka. Liyumba alitiwa hatiani Mei 23, 2010 kwa kosa hilo na kufungwa miaka miwili jela mpaka Septemba 24, 2011 alipoachiwa huru. 

Waziri Kitwanga Aikana Kampuni ya Lugumi

$
0
0

Wakati sakata la Kampuni ya Lugumi kudaiwa kushindwa kutekeleza mradi wa utambuzi wa vidole kwenye vituo vya polisi likianza kudaliwa  na  Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga amesema hana uhusiano wowote na kampuni hiyo kama watu wanavyodai. 

Kitwanga ambaye alihusishwa na Lugumi kupitia kampuni ya Infosys iliyodaiwa kwamba kiongozi huyo ni mmoja wa wanahisa wakati akiwa mfanyakazi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ameeleza kuwa hahusiki na wala halijui suala la Lugumi. 

Infosys ambayo imekanusha kuhusika katika sakata hilo imedaiwa kuwa iliisaidia kampuni ya Lugumi kupata vifaa kutoka kampuni ya Dell ya Marekani ili viweze kufungwa kwenye vituo vya polisi. 

Jana Kitwanga alisema anashangazwa jinsi anavyohusishwa kwa maelezo kuwa wakati tukio hilo likitokea mwaka 2011, yeye hakuwa waziri wa wizara hiyo.

“Inanishangaza sana sihusiki na wala silijui hili suala la Lugumi. Wakati linatokea sikuwa waziri wa wizara hii ndiyo maana huwa sipendi na wala sitaki kuzungumza chochote kuhusu Lugumi,” alisema. 

Kitwanga alifafanua kuwa baadhi ya mambo yameanza kubainika baada ya kuteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, licha ya kutotaka kuweka wazi kama suala la Lugumi ni miongoni mwa mambo hayo. 

Kampuni ya Lugumi ilibainika kutotimiza matakwa ya mkataba wake baada ya kufunga mashine 14 tu kati  ya 108 zilizotakiwa kufungwa, licha ya kulipwa zaidi ya asilimia 90 ya fedha kwa mujibu wa mkataba.

Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali (CAG) ya mwaka 2013/14 ndiyo iliyofichua udhaifu huo. 

Utekelezwaji wa mkataba huyo uliwasilishwa jana kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na mwenyekiti wake Aeshi Hilaly alisema wameanza kuupitia na watakapokamilisha wataweka kila kitu wazi. 

Kwa upande wake Ndugai alipotakiwa kuzungumzia suala hilo alisema,  “Mimi sijapata taarifa zozote za Lugumi. Jambo hilo bado lipo katika kamati ya bunge.” 

Rais Shein Awaapisha Makatibu Wakuu Na Naibu Katibu Wakuu Wa (SMZ)

$
0
0

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein jana aliendelea na hatua ya kuwaapisha makatibu wakuu wa wizara aliowateua juzi.

Walioapishwa katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Vuga mjini Zanzibar ni pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Abdulhamid Yahya Mzee na naibu wake, Salmin Amour Abdulla.

Wengine ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalumu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Radhia Rashid Haroub na Naibu katibu wake, Bushiri Mbarouk, Katibu Mkuu Wizara ya Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Asha Ali Abdulla na manaibu wake, Yakout Hassan Yakout na Kubingwa Mashaka Simba.

Wengine ni Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Joseph Abdalla Meza na naibu wake, Ahmed Kassim Haji.

Khamis Mussa Omar aliapishwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na naibu wake Ali Khamis Juma.

Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko ni Bakari Haji Bakari, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dk Juma Malik Akili na naibu Halima Maulid Salum, Dk Jamal Adam Taib akiapishwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya.

Khadija Bakari Juma aliapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali na manaibu wake, Abdalla Mzee Abdalla na Madina Mjaka Mwinyi.

Wengine ni Ali Khalil Mirza wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira, Juma Ali Jima wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi na naibu wake, Maryam Juma Abdulla, Fatma Gharib Bilal, Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto na naibu wake Maua Makame Rajab.

Omar Hassan Omar, Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo na naibu wake Dk Amina Ameir Issa.

Wengine ni Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji, Mustafa Aboud Jumbe na naibu wake, Shomari Omar Shomari. 

Wachina Kizimbani kwa Kukwepa Kodi

$
0
0

Wafanyabiashara wawili raia wa China wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la kuuza bidhaa bila kutoa stakabadhi za kodi za kieletroniki (EFD).

Washtakiwa hao ni Paishu Chea na Apple Chen ambao wote walisomewa mashtaka yao kwa mahakimu wawili tofauti na kulikiri kutenda makosa, hivyo kulipa faini ya Sh2 milioni kila mmoja ili kuepuka kifungo cha miaka mitatu.

Katika kesi ya kwanza, Mwendesha Mashtaka wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Noah Tito alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Saidi Mkasiwa kuwa kati ya Machi 14 na 16 katika Mtaa wa Narung’ombe na Kongo, Chea aliuza bidhaa za thamani ya Sh28,000 bila kutoa risiti ya EFD kinyume na sheria.

Katika kesi ya pili, Wakili wa TRA, Consolatha Andrew alidai Cheng alitenda kosa la kutotoa risiti kati ya Machi 14 na 15 katika Mtaa wa Narung’ombe na Kongo.

Andrew alidai Cheng ambaye ni mfanyakazi katika Kampuni ya Dong Shen International aliuza viatu vyenye thamani ya Sh1.4 milioni, lakini hakutoa risiti kwa mnunuzi kama sheria inavyomtaka. 

Hakimu wa mahakama hiyo, Flora Haule alimuamuru mshtakiwa huyo kulipa faini ya Sh2 milioni au kwenda jela miaka mitatu. Hata hivyo mshtakiwa alilipa faini.

Moto Wamzuia Ridhiwani Kikwete Kuhudhuria Vikao Vya Bunge

$
0
0

Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete ameahirisha kwa muda kwenda bungeni mjini Dodoma, kufuatia kuungua moto kwa mabweni ya Shule ya Sekondari Bwilingu.

Akizungumza shuleni hapo juzi jioni, Ridhiwani alisema katika vipaumbele vyake elimu ni mojawapo, hivyo hawezi kuondoka na kuwaacha wanafunzi waliounguliwa vifaa wakishika tama na wengine kushindwa kuhudhuria darasani kwa kukosa nguo na madaftari.

Alisema moto ni kitu cha dharura na kwa kutambua hivyo, amewasiliana na wadau mbalimbali na wahisani ambao wameamua kulivunja jengo lililoungua na kulijenga upya, kazi iliyoanza jana.

Ridhiwani alisema wamechangia misaada mbalimbali ikiwamo magodoro, vitanda, nguo, vyombo, madaftari, sabuni, vyandarua, mafuta, dawa ya mswaki na miswaki kwa wanafunzi hao.

“Unajua moto ulitokea usiku, sasa muda huo ina maana hao wanafunzi 65 walikuwa na kalamu moja na daftari moja au mawili wanajisomea darasani, vingine vyote vilikuwa mabwenini na vimeungua,” alisema.

“Kwa hiyo nimeona bora nishirikiane na wenzangu kutatua hili na nimetoa tayari magodoro 70 na mashuka 140 na nguo kadhaa waanze navyo, huku vingine vikifuata baadaye.”

Mkuu wa sekondari hiyo, Emmanuel Kahabi alisema pamoja na kupata maafa hayo, jana wanafunzi waliendelea na masomo kama kawaida kwa kuwa baada ya tukio, wadau mbalimbali walikutana na kuanza kutoa misaada.

 Moto huo ulitokea Jumapili usiku na kuteketeza vifaa na mali zote zilizokuwa ndani wakati wanafunzi wakiwa kwenye masomo ya usiku madarasani.

Bungeni: Kujitoa MCC Hakutaathiri Mradi wa Usambazaji Umeme

$
0
0

Serikali ya Tanzania imesema kujitoa kwa wafadhili wa Shirika la Changamoto za Milenia(MCC),katika miradi ya kuzalisha umeme hukujaathri utekeezaji wa miradio hiyo ya usambazaji wa umeme vijijini.

Akitoa kauli hiyo ya Serikali jana Bungeni mjini Dodoma katika kipindi cha Maswali na Majibu Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani, amesema miradi yote ya shirika hilo ya awamu ya kwanza ilitekelezwa vizuri na kukamilika.

Dkt. Kelemani amesema kuwa katika utekelezaji wa miradi hiyo awamu ya pili serikali itatoa shilingi bilioni moja na kiasi kingine kitatolewa na benki ya Maendeleo ya Afrika AFDB na Benki ya dunia (WB).

Dkt. Kilimani amesema tayari Bank ya Maendeleo ya Afrika imesema itatoa shilingi bilioni moja Dola za Marekani na vilevile Benki ya dunia itatoa shilingi bilioni 3 dola Marekani ili kukamilisha mradio huo kwa awamu ya tatu kwa hiyo mradi huo hautatetereka.

==> Zaidi, bonyeza hapo chini kumsikiliza

Kauli ya Mkurugenzi wa Jiji La Dar es Salaam Wilsoni Kabwe Baada ya Kutumbuliwa Jipu Darajani na Rais Magufuli

$
0
0

Mkurugenzi  wa Jiji la Dar es Salaam aliyesimamishwa kazi, Wilson Kabwe amesema hahusiki na tuhuma zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

Kabwe alitoa kauli hiyo, baada ya kutafutwa na mwandishi wetu ili kupata maoni yake baada ya Rais Dk. John Magufuli kutangaza kumsimamisha kazi.

Mwandishi: Habari mkurugenzi?

Kabwe: Salama.

Mwandishi: Tumepata taarifa za kusimamishwa kwako kazi na Rais kutokana na tuhuma zilizotolewa juzi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Makonda tunaomba maoni yako. 

Kabwe: Sijasikia ndiyo kwanza unaniambia wewe, kasema lini Rais?

Mwandishi:Leo wakati akizindua Daraja la Kigamboni.  
Kabwe: Alitamka palepale au?

Mwandishi: Ndiyo.Nataka kujua unazungumziaje uamuzi huo?

Kabwe alisema tuhuma zinazoelekezwa kwake ni za uongo na kwamba zimelenga kumchafua mbele ya Rais Magufuli.

Mkurugenzi huyo alishangaa kuhusishwa na tuhuma hizo na kusema kuwa, wakati sheria ndogo zinapitishwa na uongozi wa Jiji la Da es salaam yeye hakuwa Mkurugenzi wa Jiji hilo.

“Sihusiki na mikataba inayosemwa, huu ni uongo mtupu, Makonda ametoa taarifa za uongo kwa Rais.

“Tuhuma zinazoelekezwa kwangu ni za uongo na zimelenga kunichafua mbele ya Rais, nasisitiza tena hakuna mkataba wowote ambao ofisi yangu iliingia kwa nia ya kupoteza mapato ya Serikali,” alisema Kabwe huku akihoji kuwa ikibainika hahusiki atalipwa fidia?

Kuhusu Kustaafu Kazi
Alisema kutokana na hali ya afya kutokuwa nzuri, Desemba mwaka jana aliomba kustaafu utumishi wa umma na kuandika barua kwa Rais ili aendelee na matibabu.

Alisema tangu aandike barua hiyo, hajawahi kujibiwa na kusisitiza kuwa anamheshimu Rais Magufuli na anaamini atatenda haki baada ya vyombo husika kufanya uchunguzi juu ya tuhuma hizo.

Tangaza Biashara Yako Au Bidhaa Yako Kwenye Mtandao huu Kwa BEI NZURI Kabisa

$
0
0

Tunakaribisha  matangazo  ya  aina  zote.Bei  zetu  ni  nzuri  sana  na  kamwe  hutajuta  kutangaza  biashara  yako  kupitia  mtandao  huu....

Kwa Siku tunafunga na Pageviews zaidi  ya  laki tano kama graph  inavyoonyesha  hapo  chini
Kama  una  tangazo, basi  wasiliana  nasi  kwa  kutuandika  email  ambapo  tutakutumia  bei  ya  matangazo.

Email  yetu:  mpekuziblog@gmail.com


Mrema: Nakuja Dar es Salaam wiki ijayo Kumpongeza Rais Magufuli na Kuendelea Kumsihi Aitimize ahadi Yake ya Kuniajiri ili Tuendelee Kutumbua Majipu

$
0
0

Mwenyekiti wa taifa wa Chama cha TLP na aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo la Vunjo, Agustino Mrema anatarajia kusafiri kuja jijini Dar es salaam kwa lengo la kumpongeza Rais Magufuli na kumkumbusha ahadi aliyompa mwaka jana ya kumpatia kazi Serikalini.

Akizungumza kupitia kipindi cha Sun Rise kinachoruka kupitia Times fm, Mrema amempongeza Rais kwa jitihada za ukusanyaji kodi na kupambana na Ufisadi kwa nguvu.

“Tuweke itikadi pembeni Rais wa sasa anaweka juhudi katika kukusanya kodi, na mimi nilikuwa napiga nalo sana kelele hili swala, ila akipewa ushirikiano baada ya miaka mitano tutasheherekea mafanikio yake.

“Wiki ijayo natarajia kuja Dar, na nafikiri nitaonana na Rais kwanza nimpongeze alafu nimsisitize anipe nafasi kuna sehemu nazijua tuzisafishe, siwezi kusema mpaka nionane nae ndio nitamueleza”.

Mrema pia alijivunia rekodi yake ya uongozi katika Serikali ya Tanzania, kama kigezo kimoja wapo cha kumpatia ‘Chambirecho’ ya kupewa nafasi katika Serikali ya Magufuli.

Tujikumbushe: Tazama Video Hii ya Ezekiel Wenje Akizungumzia Ufisadi wa Kutisha Uliofanywa na Wilson Kabwe Katika Jiji la Mwanza

$
0
0

Mkurugenzi  wa Jiji la Dar es Salaam aliyesimamishwa kazi Jana, Wilson Kabwe alishawahi kutuhumiwa kwa Ufisadi wa kutisha alioufanya Jijini Mwanza.

Kabla ya kuhamishiwa jijini Dar es salaam, Kabwe alikuwa ni mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ambaye alihamishiwa Mwanza akitokea Mbeya baada ya kutuhumiwa kwa  tuhuma kadha.

Tuhuma hizo zilitolewa na Ezekiel Wenje aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana kipindi cha awamu ya nne.

Tazama Video hii Jinsi Wenje alivyolipua Ufisadi huo

Ujue Mfumo wa Nguvu za Kiume Unavyofanya Kazi Na Jinsi Ya Kukabiliana na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume

$
0
0

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani.

Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ?

Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu

HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME

Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo :

Hatua  ya  kwanza, ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Na  hatua  ya  pili  ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION

JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA.

1. HATUA   YA  KWANZA:
DAMU  KUTIRIRIKA  KWA  KASI KUINGIA  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME  NA  KUUFANYA  UUME  KUSIMAMA  NA  KUWA  MGUMU.

Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu iliyopo  kwenye  ubongo,  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  uti  wa  mgongo, ambayo  nayo  hupeleka  taarifa  hadi  kwenye  mishipa  ya  uume. 
 
Taarifa  inapofika  kwenye  mishipa  ya  uume  huifanya  mishipa hiyo  ku-relax  na  hatimaye   kufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka  na  kutanuka. Mishipa  ya  ateri  inapo  tanuka  na  kufunguka, huruhusu  damu  kuingia  kwa  kasi  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  huume  kusimama.

Ni  muhimu  kujua  kuwa, mishipa  ya  uume  inapo relax  hupelekea  kuisukuma na  hatimaye  kuiziba  mishipa  ya  vena  iliyo  karibu  na  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuiondolea  uwezo  wa  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.

N.B: Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili.  Au  kwa  lugha  nyingine  unaweza  kusema, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

2. HATUA  YA  PILI  :
DAMU  KUENDELEA  KUHIFADHIWA  KATIKA  UUME  WAKATI  UUME  UKIWA  UMESIMAMA  NA  HIVYO  KUUFANYA  UUME  UENDELEE  KUDUMU  KATIKA  TENDO LA NDOA   KWA  MUDA  MREFU.

Uume  ulio  simama, ili  uendelee  kusimama, ni  lazima  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo   wa  kunyonya  damu  kutoka  katika  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyinginezo  za  mwili. .

Mishipa  ya  Vena  ndio  inayo  husika  na  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume na  kupeleka  sehemu  nyingine  za  mwili.  Ili  uume  uendelee  kusimama  lazima  mishipa  hii  ya  vena  iwe imezibwa. Ili  iweze  kuzibwa   ni  lazima  misuli  laini  ya  kwenye  uume  iwe - ime  relax na  hivyo  kuifanya  mishipa  ya  vena  kushindwa  ku  nyonya  damu  kutoka  kwenye  uume.

Endapo  mishipa  ya  vena  itazibuka , basi  itanyonya  na  kutoa  damu yote  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume uliosimama  na  kuipeleka  sehemu  nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  huo ulio simama  na  utasinyaa  mara  moja.

JINSI  UUME  UNAVYO  SIMAMA  NA  KUSISIMKA.
Tumeisha  zifahamu  hatua  mbili  muhimu  katika  kusimama  kwa  uume

Jinsi  Uume  unavyo  simama: Katika  uume  kuna chemba  yenye  mishipa  laini  sana, ambayo  ndio  huufanya  uume  kusimama.

Mishipa  hii  ipo kama  sponji  hivyo  huweza  kunyauka  na  kutanuka.

Damu  inapoingia  ndani  ya  mishipa  hii  huufanya  uume  kusimama  na  kuwa  mgumu  kama  msumari.

Damu  inapoendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  mishipa  hii  wakati  wa  tendo  la  ndoa, huufanya  uume  uendelee  kusimama.

Mwanaume  unapo  patwa  na  wazo la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  fahamu  iliyo  kwenye  ubongo  hupeleka  ishara  kwenye  uti  wa mgongo, ambao  nao  hufikisha   taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume.

Taarifa  ikisha  fika  kwenye  mishipa  ya  uume, huifanya  mishipa  ya  uume  ku-relax  na  mishipa  ya  uume  inapo  relax, hufanya  mambo  makuu  mawili;

i. Kwanza  hufanya  mishipa  ya  ateri  kufunguka na  hivyo  damu  kutiririka  kwa  kasi  sana  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume

( Mishipa  ya  ateri  ndio  inayo  tumika  kama  njia  ya  kuingiza  damu  kwenye  uume. Bila  mishipa  ya  ateri  imara  na  yenye  afya, damu  haiwezi kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  damu  isipoweza kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, basi  uume  hauwezi  kusimama )

ii.Pili huibana  mishipa  ya  vena  na  hivyo  kuizuia    kunyonya  damu  kutoka  kwenye  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu nyingine  za  mwili. Matokeo  yake  kuufanya  uume  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Kumbuka ,kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  neva  iliyo  karibu  na  mishipa ya  uume, ni kunyonya  damu kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili. Kwa  lugha  nyingine, kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  kwenye  mishipa  ya  uume ulio simama.

Kadri  damu  inavyo  zidi  kuingia  ndani  ya mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo  zidi  kuwa  mgumu  na  kukakamaa.

Na  kadri  damu  inavyo  hifadhiwa  ndani  ya  mishipa  ya  uume, ndivyo  uume  unavyo endelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa kwa  muda  mrefu.

Baada  ya  kumaliza  kufanya  tendo  la  ndoa,mishipa  ya  uume inarudi  katika  hali  yake  ya  kawaida (inanyauka ), ikisha  nyauka, mishipa  ya  ateri  inanyauka  pia, vena  zinafunguka  na  kunyonya  damu  katika  mishipa  ya  uume  na  kuirejesha  katika  sehemu nyinginezo  za  mwili  na  hatimaye  uume  kurudi  katika  hali  ya  kawaida  ( Flaccid ).

Hali  hii  itaendelea  kujirudia  kwa  kadri  utakavyo  kuwa  ukiendelea  kufanya  tendo  la  ndoa.

Mambo  Muhimu  Katika  Kuufanya Uume  Usimame na  Kuendelea  kudumu  katika  kusimama  kwa  muda  mrefu wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ili  uume  uweze  kusimama  imara  kama  msumari na  uendelee  kusimama  imara  na  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo la  ndoa, ni  lazima  mambo  yafuatayo yawepo.

1.Mishipa ya   uume iliyo  imara  na  yenye  afya  njema.
2.Mfumo   mzuri  wa damu  katika   mwili  mzima.
3.Mtiririko  imara  wa  damu kuingia  na  kutoka  ndani  ya  mishipa  ya  uume.
4.Ushirikiano  wenye  afya  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume.

Ili  mwanaume  aweze  kuwa  imara  katika  tendo  la  ndoa, ni  lazima  mambo  manne  niliyo yataja  hapo  juu  yawe  sawa  sawa  bila  hitilafu  yoyote. Kinyume  chake, mwanaume  hawezi  kuwa  na  nguvu  za  kiume.

MAMBO   YANAYO SABABISHA   UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Tumeshajua   nguvu za  kiume  ni  nini, jinsi  uume  unavyo  simama, hatua  za  kusimama  kwa  uume, pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  uume  uweze  kusimama  na  kuwa  na  uwezo  wa  kuendelea  kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Ni  vyema  tukajua  mambo  yanayo  sababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume, mambo  yanayo  sababisha  uume  ushindwe kuendelea  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa   pamoja  na  mambo  yanayo  fanya  mtu  ashindwe  kurudia  tendo  la  ndoa.

Yafuatayo  ni  mambo  yanayo  sababisha  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.

1. MAGONJWA  YANAYO  SHAMBULIA  MFUMO  WA  DAMU  PAMOJA  NA  MISHIPA  YA  DAMU.

Damu  ndio  nishati  inayo wezesha  kusimama  kwa  uume  na kuufanya  kuwa  mgumu na  imara  kama  msumari.

Damu  ndio  nishati  inayo weza   kuufanya  uume uendelee kusimama  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

Damu  ndio  nishati  inayo  upa  uume  uimara  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  moja.

Hivyo  basi  ili  uume  uweze  kuwa  imara na  wenye  nguvu, pamoja  na  kuwa  na  uwezo  wa  kumudu  na  kustahimili   tendo  la  ndoa  wakati  wowote , basi  ni  lazima   mwanaume  awe  na mfumo  imara  wa  damu  utakao  ruhusu  kutiririka  kwa  damu  kwenda  katika  sehemu mbalimbali  za  mwili  ikiwamo  uume.

Ili  mfumo  uweze  kuwa  imara  ni  lazima  mhusika  awe  na  damu  ya  kutosha, na  pili  awe  na  mishipa  ya  damu  yenye  afya.

Katika  mwili  wa  mwanadamu,kuna  mishipa  inayo  tumika  kusafirisha  damu  kutoka  katika  sehemu moja  ya  mwili kwenda  katika  sehemu  nyingine  ya  mwili  ikiwemo  uume. Mishipa  hiyo  ni  kama  vile  vena (veins), atery ( ateri) na  capillary  ( kapilari )

Mishipa  hii  ya  damu  inapaswa  kuwa  imara  na  yenye  afya  njema  wakati  wote.   Mishipa  hii  ikipatwa  na  hitilifu, basi  itazuia  kusafirishwa  kwa  damu  katika  sehemu  mbalimbali za  mwili  wa  mwanadamu  na  hatimaye  kufanya  suala  la  kuwa  na  nguvu  za  kiume  kwa  mhusika  kuwa  ugumu  kwa  sababu   ya  kushindwa  kupeleka  damu  kwenye  mishipa  ya  uume.

Magonjwa  kwenye  mishipa  ya  damu  huzuia   kutirika  kwa  damu kwenye  ogani  muhimu   kama  vile  moyo, ubongo na  figo.

VIASHIRIA  VYA  MAGONJWA  KWENYE  MISHIPA  YA  DAMU.
Utajuaje  kwamba  una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu ?

Ukiwa  una  matatizo  yafuatayo ya  kiafya, ni  ishara  kwamba, una  magonjwa  kwenye  mishipa  yako  ya  damu:

1.  Kolestrol ( Ama  lehemu  kwenye  damu )
Kolestrol  nyingi  kwenye  damu, huzuia  kutiririka  kwa  damu. Kolestrol  ikizidi  kwenye  damu,  hupelekea  kuziba   mishipa  ya  ateri  ambayo  kazi  yake  ni  kupeleka  damu  kwenye  uume. Matokeo  yake  ni  mhusika  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake barabara  kwa  sababu uume  hauwezi  kusimama  bila  damu  kuingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume.  
 
Hivyo  basi pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, yakupasa  kutibu  kolestrol. Unaweza  kuondoa  kolestrol  kwenye  damu  kwa  kutumia  dawa  mbali  za  asili  kama  vile mdalasini,uwatu, habbat sodah  etc.  Jinsi  ya  kujitibu  kolestrol  kwa  kutumia dawa asilia  tafadhali  tembelea


2. Shinikizo  Kubwa  la  Damu
Shinikizo  Kuu la  Damu husababisha  mishipa  ya  ateri  ambayo  hutiririsha  damu  iingiayo  kwenye  uume  kuziba  na  kushindwa kutanuka  kwa  kiwango  inachotakiwa  kutanuka.

Pia  huifanya  mishipa  laini  katika  uume   kushindwa  ku-relax  na  hivyo  kushindwa  kuizuia  mishipa  ya  vena  ya  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  kwenye  maeneo  mengineyo  ya  mwilini.

Matokeo  yake  kunakuwa hakuna  kiasi  cha  kutosha  cha  damu  iingiayo  kwenye  uume  na  hivyo  kufanya  uume  ushindwe  kusimama.

Vile  vile  hata  kiasi  kidogo  cha  damu  kinacho  ingia  kwenye  uume, kinashindwa  kuendelea  kuhifadhiwa  ndani  ya  uume  wakati uume  ukiwa  umesimama, na  matokeo yake  ni  uume  kusinyaa  ndani  ya  kipindi kifupi  sana  tangu  usimame.

Pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa   pia  kutumia  dawa  asilia  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  kuu  la  damu.

Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  tatizo  la  shinikizo  la  damu  kwa  njia  ya  asilia, tembelea :


3.  Ugonjwa  wa  kisukari :
Ugonjwa  wa  kisukari  ni  miongoni  mwa  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  ukosefu wa  nguvu  za  kiume.  Kusimama  kwa  uume  kunategemeana  na  kutiririka  kwa  damu  mwilini. Kisukari  huathiri  mishipa  ya  damu pamoja  na  usambazaji  wa  damu  kwenye  ogani  muhimu  mwilini  kama  vile  moyo, ubongo, figo  na  uume.

Kiukweli, mwanaume  mwenye  kisukari  yupo  katika  risk  kubwa  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume,m tena  katika  kiwango  kikubwa  sana.

Unashauriwa pamoja  na kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume, tumia  pamoja  na  dawa  mbalimbali  za  asili  kwa  ajili  ya  kubalance  sukari  yako mwilini. 
 
Zipo  dawa  mbalimbali  za  asili  zinazo  saidia  kubalance  kiwango  cha  sukari  mwilini. Dwa  hizo  ni  pamoja na mdalasini, unga  wa  uwatu, mbegu  za  uwatu, manjano, majani  ya  manjano,mbegu  za  katani, nakadhalika.
 
 Namna  ya  kutumia  dawa  hizo  kujitibu  tatizo  la  sukari, tafadhali  tembelea :http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

4. Magonjwa  ya  figo
Tatizo  la  ugonjwa  wa  figo  huathiri  vitu vingi  ambavyo  ni  muhimu  sana  katika  kuufanya  uume  uweze  kusimama  na  kuendelea  kudumu  katika  kusimama.

Tatizo  la  figo, huathiri  homoni, huathiri kutiririka   kwa  damu  kwenda  kwenye  mishipa  ya  uume. Huathiri  mfumo  wa mishipa  ya  neva  pamoja  na  nishati  ya  mwili mzima.

Pamoja  na  dawa  ya  kutibu  tatizo  la  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia, kutibu  tatizo  la  figo.
 
 Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  mbalimbali  ya  figo  kwa  kutumia  dawa  mbalimbali  asilia, tembelea : http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/jitibu-kisukari-presha-shinikizo-la.html

5.  Ugonjwa  wa  moyo
Moyo  ndio  supplier  mkubwa  wa  damu  katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili.  Ugonjwa  wa  moyo  hupunguza  uwezo  wa  moyo  kusambaza  damu  kwenye  mishipa  mbalimbali  ya  damu  na  hivyo  kuathiri  utendaji  kazi  wa  mishipa ya  damu  kama  vile  ateri  na  vena.
 
 Matokeo  yake  ni  mishipa  hiyo  kushindwa  kupeleka  damu  ya  kutosha  katika  uume  pamoja  na  kushindwa  kuifanya  mishipa  ya  uume  kurelax na  matokeo  yake,. Ukosefu  wa nguvu  za  kiume. 
 
Hivyo  basi, pamoja  na  dawa  ya  nguvu  za  kiume, unapaswa  pia   kutibu  tatizo  la  moyo. Kufahamu  jinsi  unavyo  weza  kutibu  ugonjwa  wa  moyo  kwa  dawa  asilia, tembelea :


6.  Kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena.
Kazi  kubwa  ya  mishipa  ya  vena  kwenye  uume   kunyonya  damu  iliyomo  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuipeleka  katika  sehemu  nyingine  za  mwili. 
 
 Mishipa  ya  vena  iliyopo  karibu  na  uume  kazi  yake  kubwa  ni  kuhakikisha  hakuna  damu  yoyote  kwenye  mishipa  ya  uume. ( KUMBUKA  KUWA  DAMU  NDIO  HUFANYA  UUMU  USIMAME, HIVYO  CHOCHOTE  KILE  KITAKACHO  FANYA  DAMU  ISIKAE  NDANI  YA  MISHIPA  YA  UUME , KITAFANYA  UUME  USINYAE  )

Ili  uume  uendelee  kusimama  ni  lazima, mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa  kunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  kupeleka  nje  ya  mishipa  ya  uume.

Na  ili  mishipa  ya  vena  isiwe  na  uwezo  wa    kunyonya  damu  kutoka  kwenye   mishipa  ya  uume  ulio  simama  na  kuipeleka  kwenye  sehemu  nyingine  za  mwili,  ni  lazima  mishipa  ya  uume  iwe  imara  na  thabiti  isiyo  na  hitilafu  yoyote  ile.

Mishipa  ya  vena  ikipwaya, mwanaume  hutokuwa  na  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wako, na  ikitokea  umefanikiwa  kuusimamisha  basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana  na  utasinyaa  ndani  ya  muda  mfupi  sana, kwa  sababu  damu  iliyo  ingia  ndani  ya  uume  wako  na  kuufanya  usimame, itanyonywa  ndani  ya  muda  mfupi  sana  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  wako  usimame.

Tatizo  la  kupwaya  kwa  mishipa  ya  vena  linasababishwa  na  kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  ugonjwa  wa  kisukari.

KUPIGA  PUNYETO  KWA  MUDA  MREFU:  Kupiga  punyeto  kwa  muda  mrefu  ni  moja  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  tatizo  la  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.  Asilimia  kubwa  ya  vijana  wenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, linasababishwa  na  upigaji  wa  punyeto  kwa  muda  mrefu.

JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Unapopiga  punyeto  unakuwa  unaiminya  mishipa  ya  uume   ambayo  ndio  inaufanya  uume  usimame.

Matokeo  yake  unaifanya  mishipa  hiyo  ilegee na  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  tena.

Mishipa  ya  uume  iliyo  legea  kutokana  na  upigaji  punyeto, huleta  madhara  yafuatayo  :

i. Huondoa  uwezo  wa  mishipa  ya  uume  kurelax.
( Unapopata  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa, mishipa  ya  uume  ina relax  , mishipa  iki  relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kupanuka  na  kuruhusu  damu  kingie  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  hatimaye  kuufanya  uume  usimame  na  kuwa  mgumu)

ii.Mishipa   ya  kiume  ikishindwa  ku relax  husababisha  mishipa  ya  ateri  kuziba

iii. Mishipa  ya  ateri  ikiziba, damu  haiwezi  kutiririka  kuingia  kwenye  mishipa  ya  uume, na  hata  ikitokea  damu  imeingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  basi  huingia  kiasi  kidogo sana   tena  kwa  presha  ndogo  sana  hivyo  basi  hata  kama  uume  utasimama   basi  utasimama  ukiwa  legelege  sana

iv.Mishipa  ya  uume  ikishindwa  kurelax  basi  haitakuwa  na  uwezo  wa  kuipush  na  kuiziba  mishipa  ya  vena  ambayo  ndio  hunyonya  damu  kutoka  kwenye  mishipa  ya  uume  ulio  simama. Matokeo  yake  basi, damu  kidogo  iliyo  ingia  ndani  ya  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kusimama, hunyonywa  na  kutolewa  nje  ya  mishipa  ya  uume  ndani  ya  sekunde  chache  sana  na  hivyo  kuufanya  uume usinyae  ndani  ya  muda  mfupi  sana.

v.         Mishipa  ya  uume  kulegea
vi.       Uume  kurudi ndani  na  kusinyaa  na  kuwa  kama  uume  wa  mtoto

6. Tatizo  la  unene  kupita  kiasi : Tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi  ni  miongoni  mwa  mambo  yanayo  sababisha  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Unene  kupita  kiasi  humuweka  mtu  katika  hatari  ya  kupatwa  na  magonjwa  kama  vile  kisukari, presha, moyo  na  shinikizo  kuu  la  damu. 
 
Na  magonjwa  ya  kisukari, moyo,presha  na  shinikizo  la  damu  husababisha  upungufu na  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, na  hivyo  kumuweka  muhusika  katika  hatari  kuu  ya  kupatwa  na  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Hivyo  basi  kwa  wewe  mwenye  tatizo  la  unene  na  uzito  kupita  kiasi , pamoja  na  kutumia  tiba  ya  nguvu  za  kiume,  ni  vyema  ukafanya  na  mpango  wa  kupunguza  unene  na  uzito  wako.

JINSI  YA  KUPUNGUZA  UZITO  NA  UNENE  KWA  KUTUMIA  TIBA  ASILIA, TAFADHALI  TEMBELEA:


7.   Matatizo  Katika  mfumo  wa  Ubongo
Uume  hauwezi  kusimama   bila  ya  kuwa  na  ushirikiano  na  ubongo.  Ili mtu  uume  uweze  kusimama, mtu  lazima  apate  wazo  la  kufanya  tendo  la  ndoa  (UBONGO  UNA HUSIKA  HAPO ), akishapata  wazo, ubungo  hupeleka  ishara  kwenye  mishipa  ya  fahamu  iliyopo  katika  uti  wa  mgongo  ambayo  nayo hupeleka  taarifa  kwenye  mishipa  ya  uume  then  uume  usimama.   
 
Hivyo  basi  ili  mtu  aweze  kuwa  na uwezo  wa kusimamisha  uume  wake  ni lazima  kuwa  na  mawasiliano  mazuri  na  imara  kati  ya mishipa  ya  fahamu ( ubongo ), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo   na  mishipa  ya  kwenye    uume.  Bila  ushirikiano  kati  ya  vitu  hivyo  vitatu, uume  hauwezi  kusimama.

Magonjwa  yanayoweza  kuathiri  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  ubongo  na  mishipa  ya  uume, yanaweza  kusababisha  kushindwa  kusimama  kwa  uume.

Magonjwa  hayo  ni  pamoja  na  kiharusi,kupoteza  kumbukumbu  (  Alzheimer ), multiple  sclerosis pamoja  na  ugonjwa  wa  Parkinson.

Ni  vyema  mgonjwa  akatibiwa  kwanza  magonjwa  hayo  kabla  ya  kuanza  kutumia  dawa  ya  nguvu  za  kiume.  Kufahamu  jinsi  ya  kujitibu  magonjwa  tajwa  hapo  juu  kwa  njia  asilia,tafadhali  tembelea

Mambo   mengine  yanayo  sababisha  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  pamoja  na  maumivu & majeraha  kwenye  uti  wa  mgongo,  chango  la  kiume , ngiri  na  matatizo  katika  homoni.

VIASHRIA  VYA  MTU  MWENYE  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

Mtu  mwenye  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume  huwa  na  dalili  zifuatazo ;

1. Kushindwa  kabisa  kusimamisha  uume  wake
2. Uume  kusimama  ukiwa  legelege
3. Kuwahi  kumaliza  tendo  la  ndoa
4. Mwanaume  kutokuwa  na uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  katika  baadhi  ya  staili  ( Mara  nyingi   mwanaume  huyu huwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa    staili  moja  tu ).  
 
Hapa  mwanaume  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  ya   “ missionary” pekee.  Ikibadilishwa   staili, mwanaume  anakuwa hana  tena  uwezo  wa  kusimamisha  uume  wake  japo  katika  hali  ya lege  lege

5. Uume  kutokuwa  na  uwezo  wa  kusimama  wenyewe   bila  kushikwashikwa  ama  kutomaswa kwa  muda  mrefu.

6. Uume  kusinyaa  ukiwa  ndani  ya  mwanamke.

7. Uume  kusinyaa, pindi  inapotokea  activity  yoyote  ya  kiungo  ama  ogani  nyingine  ya  mwanaume  wakati  wa  tendo  la  ndoa. Kwa  mfano, wakati  wa  tendo  la  ndoa, ikitokea  mwanaume  amekohoa  au  kupiga  chafya, uume  nao  unasinyaa.

8. Uume  kusinyaa  mara  tu  baada  ya kutolewa  ndani  ya  uke ( Kwa  mfano  kama  unafanya  tendo  la  ndoa, halafu  uume  ukatoka  nje, kitendo  cha  kuushika  kuurudisha ndani, tayari  una  sinyaa )

9. Kutokuwa  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa.
10.  Kupatwa  na  maumivu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

VIASHIRIA  VYA  MWANAUME  ASIYE 
NA  TATIZO  LA UKOSEFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Mwanaume  asiye  na  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, huonyesha  ishara  zifuatazo ;

i. Uume  husimama  ukiwa  imara  kama  msumari.

ii.Hukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu  ( Wastani  ni  kati  ya  dakika  20  hadi  45  )

iii.Huweza  kurudia  tendo  la  ndoa  zaidi  ya  mara  tatu  bila  misuli  ya  uume  kuchoka.

iv. Huweza  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  staili  yoyote  ile

v. Uume  husimama  wenyewe  bila  kushikwa  shikwa  wala  kuwa  stimulated  kwa  namna  yoyote  ile

vi.Kwa  ufupi  anakuwa  na  uwezo  wa  kufanya na  kukamilisha  tendo  la  ndoa  kwa  uukamilifu  mkubwa.

TIBA  ASILIA  YA  TATIZO  LA  UKOSEFU/UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.
Dawa  asilia  ya  JIKO   ni  dawa  asilia  inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.

MFUMO   WA  DAWA
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO ni  mkusanyiko  wa  dawa  nne  asilia  zenye  uwezo  mkubwa  sana  katika kutibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume.

Dawa  hizi  zipo  katika  mfumo  wa  MIZIZI  na  UNGA  UNGA.

JINSI   DOZI  YA  DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inafanya  kazi  zifuatazo  katika  mwili  wa  mwanadamu.

KAZI  INAYO  FANYWA  NA  DAWA  YA  JIKO .
Dawa  ya  JIKO  inasadia  katika  mambo  makuu yafuatayo:

1.  Inasaidia   kuimarisha  mishipa  ya  uume  ulio legea  na  hivyo  kuufanya  uume  uwe  na uwezo  wa  kusimama  barabara  kama  msumari  wakati  wa  tendo  la  ndoa.

2. Inasaidia  kusafisha  mishipa  ya  kwenye  uume  na  hivyo  kusaidia  katika  kuongeza  kasi  ya  msukumo  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  kwenye  uume.

3. Huongeza  damu  mwilini

4. Husaidia  kuongeza  msukumo (pressure)  wa  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  na  hivyo  kuufanya  uume  kuwa  na  nguvu  za  ajabu.

5. Huipa  misuli  ya  uume  uwezo  wa  kuziba  wa  kuizuia  mishipa  ya  vena   kunyonya  damu  kwenye  mishipa  ya  uume  wakati  wa  tendo  la  ndoa  na  matokeo  yake  kukupa  uwezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu( Kuzuia  hali  ya  kufika  kileleni  haraka  )

6. Husaidia  kurelax  mind  na  hivyo  kumfanya  mtu  awe  na  uwezo  wa  kuconcentrate  wakati  wa  tendo la  ndoa   bila  kuathiriwa  na  msongo  wa  mawazo

7.  Hurejesha, kuimarisha  na  kuboresha  ushirikiano  kati  ya  mishipa  ya  fahamu  ya  kwenye  ubongo  (nerves), mishipa  ya  kwenye  uti  wa  mgongo  pamoja  na  mishipa  ya  kwenye  uume

8. Humfanya  mwanaume  awe  na  uwezo  wa  kurudia  tendo  la  ndoa  mara  nyingi  zaidi  bila  kuchoka.
9. Husaidia  kuongeza  hamu  ya  tendo  la  ndoa.

10.Husaidia  kuurudisha  nje  uume  ulio ingia  ndani.

11. Husaidia  kutibu  side effects  za  punyeto  na  matumizi  ya  muda  mrefu  ya dawa  kali  za  (za  kizungu ) za  kuongeza  nguvu  za  kiume.

12. Husaidia  kutibu  chango  la  kiume.
13. Dawa  hii  huwasaidia  hata  wanawake  wanao sumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  wa  hamu ya  tendo  la  ndoa.

BEI  YA  DAWA:  Dozi  ya  dawa  ya  JIKO  inapatikana  kwa  gharama  ya  SHILINGI  ELFU  THEMANINI  TU  (Tshs.80,000/=)

DAWA  HII  IMETHIBITISHWA  NA  MKEMIA  MKUU  WA  SERIKALI.

MAHALI  TUNAPOPATIKANA :
Dozi  ya  dawa  ya  JIKO, inatolewa  na  duka  la  dawa  asilia  la  NEEMA  HERBALIST    NUTRITIONAL  FOODS  CLINIC. Tunapatikana  jijini  DAR ES  SALAAM, katika  eneo  la UBUNGO    karibu  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING  nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA.

Kwa  wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, tunatoa  huduma  ya kuwapelekea  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY )

Kwa  wateja  waliopo  nje  ya  DAR  ES  SALAAM, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi, wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa   njia  ya  boti  na  kwa  wateja  waliopo  Ulaya, America  na  Arabuni, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  DHL  au POSTA.

WASILIANA  NASI  KWA  SIMU  NAMBA
0766  53  83  84.
Na  kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, endelea  kutembelea:

www.neemaherbalist.blogspot.com

Hiace Yateleza Kwenye kivuko, Yatumbukia bahari Ya Hindi

$
0
0

Jeshi la Zimamoto linaendelea kuutafuta mwili wa mwanamke mmoja aliyekuwa ndani ya gari aina ya Hiace ambalo limetumbukia bahari ya Hindi leo alfajiri mara baada ya kuteleza kutoka kwenye kivuko kilichokuwa kinaelekea upande wa Kigamboni.

Kwa mujibu wa msemaji wa jeshi hilo, Briton Monyo, ajali hiyo imetokea majira ya saa 10 alfajiri na hadi sasa wameweza kuupata mwili dereva wa gari hilo anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 29-30.

Monyo anasema gari hilo litakuwa limetitia chini kwa eneo ambalo tukio limetokea lina kina kirefu cha maji, tope jingi na vumbi na huku jeshi likiwa halina vifaa vifaa kama darubini ya majini.

Hata hivyo, ndugu wa mwanamke anayetafutwa wanasema jana walitoka Mbeya kwenye msiba wa ndugu yao na gari walilopanda la magazeti liliwaacha eneo Feri saa 10 alfajiri wakati huo kivuko kilikuwa kimefika ndipo walipoingia na kukutana na Hiace na kukubaliana na dereva kuwafikisha makwao mara baada ya kuvuka ng’ambo ya pili.

Hata hivyo, mwanamke huyo alikuwa amechoka na kuingia ndani ya Hiace  huku ndugu wengine tisa wakakaa sehemu ya abiria ya kivuko.

“Lakini kabla panton halijaanza kuondoka tulishangaa Hiace ikiserereka na kutumbukia” mmoja wa ndugu hao alisema.

"Waziri Kitwanga sio 'size yangu'.....Size yangu mimi ni Rais Magufuli, bosi wake".- kasema Zitto Kabwe

$
0
0

Kiongozi Mkuuwa Chama cha Allience for Change and Transparency(ACT), Zitto Zuberi Kabwe, ameibuka na kujibu mashambulizi juu ya taarifa zinazoenezwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kupitia Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) za kumhujumu Rais Dk. Magufuli katika utendaji wake.

Kiongozi huyo amesema anaushahidi wa moja kwa moja juu ya vitendo vinavyofanywa na Waziri huyo katika kueneza propaganda zinazolenga kuiyumbisha Serikali .
 
“Nina ushahidi usio na mashaka wa Kitwanga kupanga Vijana wanaojiita wa UVCCM kufanya mikutano na Waandishi wa Habari na anawalipa fedha kufanya hivyo, nataka ieleweke wazi kuwa nina muunga mkono Rais katika kazi ya kusafisha Nchi … nitakuwa mtu wa ajabu nisipo muunga mkono katika vita dhidi ya ufisadi” amesema Zitto Kabwe.
 
Zitto amemtaka Waziri Kitwanga kuepuka siasa za porojo na kusema waziri huyo si ‘size’ yake na hana mpango wa kumtoa katika nafasi ya uwaziri hivyo aache kulalamika na kueneza uzushi.
 
“Kimsingi nashangaa mtu kama yeye (Kitwanga) kuweza hata kuwa Waziri wa Wizara nyeti kama hiyo, zaidi ya yote Waziri Kitwanga sio ‘size yangu’. Naanzaje kuhangaika na Kitwanga? Ili iweje? Namsihi asijipandishe chati kwamba mimi nataka kumtoa (uwaziri) . Ningetaka kumtoa wala asingejua maana ningeshughulika na aliyemteua” Amesisitiza Kabwe.
 
Hata hivyo Kabwe amemtaka Waziri Kitwanga kujipima kama bado anastahili kuendelea kukaa katika nafasi yake ya uwaziri kutokana na kashfa ya kampuni anayo imiliki iitwayo Infosys kwa kushirikiana na Kampuni ya Lugumi kuiingizia Serikali hasara ya shilingi bilioni 34 kupitia Zabuni ya kununua vifaa vya kutekeleza mradi wa utambuzi wa vidole kwenye Vituo vya Polisi nchini.
 
“Nawasihi Watanzania wote kumdharau Waziri Kitwanga nakumtaka ajibu tuhuma zinazomkabili za kampuni yake binafsi kufanya kazi na Idara katika Wizara anayosimamia na kwamba ajipime kama anatosha kuendelea kumsaidia Rais kazi.” Aliongeza Kabwe.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images