CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeendelea kuwavuta wasanii kujiunga na chama hicho, ambapo sasa wasanii wanne wa muziki wa kizazi kipya, maarufu Bongofleva na filamu, wanatarajiwa kutangazwa kuhamia chama hicho wiki hii.
Wasanii hao wanadaiwa tayari kukubali kuingia kwenye chama hicho na wanatarajiwa kutangazwa rasmi hadharani katika mkutano wa hadhara utakaofanyika jijini
LADY JAYDEE, AFANDE SELE, MKOLONI NA JB WAKIMBILIA CHADEMA
↧
↧
MWANAUME ANYWESHWA VIROBA NA "KULIWA JICHO" ( KABAANG) BAADA YA KULEWA
JESHI la Polisi mkoani Singida linamtafuta kijana mmoja mkazi
wa Kibaoni katika manispaa hiyo kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake na
kumharibu vibaya sehemu za haja kubwa baada ya kumnunulia pombe kali
aina ya viroba jogoo tisa.
Kamanda wa polisi mkoani hapa, Geofrey Kamwela, alisema kuwa tukio
hilo lilitokea juzi saa 3:00 usiku eneo la soko la Kibaoni, kata ya
Kindai, na kumtaja
↧
HII NDO VIDEO MPYA YA DIAMOND..." MY NUMBER ONE"
↧
CHADEMA WAMKANA AFANDE SELE....WADAI HAWAJAWAHI MUOMBA AGOMBEE UBUNGE MOROGORO
Gazeti
la Habari Leo la siku ya leo tarehe 2 Septemba lenye kichwa cha habari
"Chadema kuzoa wasanii mastaa" pamoja na mambo mengine, mwandishi
amemnukuu mmoja wa wasanii toka mkoa wa Morogoro akisema amewahi kuombwa
na viongozi wa mkoa wa CHADEMA kugombea Ubunge. NAOMBA KUWEKA KUMBUKUMBU SAHIHI. 1. Mimi ndiye mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Morogoro, ninayeongoza Baraza la Uongoz la mkoa
↧
GEORGE BUSH ATANGAZA KIFO CHA MANDELA WAKATI HAJAFA
Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amejikuta ‘akiingia chaka’
kwa kutangaza ‘kifo’ cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini Nelson Mandela
ambaye bado yuko hai.
Kosa hilo limetokea jana asubuhi (September 1) kwa bahati mbaya baada
ya msemaji wa rais huyo wa 41 wa Marekani kujichanganya kwa kutosoma
vizuri habari inayomhusu Mandela kupitia Washington Post hivyo kumfanya
Bush
↧
↧
RWANDA YAPANDISHA USHURU WA MAGARI YA MIZIGO YANAYOTOKA TANZANIA
RWANDA imeamua ‘kucheza rafu’ kwa kuanza kuhujumu Bandari ya Dar es Salaam, kwa kupandisha ushuru wa barabara kwa magari ya mizigo yanayotoka Tanzania pekee kuanzia Rusumo hadi Kigali, kutoka dola za Marekani 152 za awali, hadi 500.
Kwa mujibu wa taarifa za uhakika kutoka ndani ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kilichomalizika hivi karibuni Arusha, ushuru huo
↧
MASANJA MKANDAMIZAJI AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUSINGIZIWA KUWA ANAUZA BANGI
<!-- adsense -->
Jana zilisambaa habari kwamba masanja mkandamizaji na msanii Diamond wamedakwa na polisi na possport zao za kusafiria zimezuiwa....
Taarifa hizo zimemfanya Masanja afunguke na kudai kwamba habari hizo si za kweli, ni habari zenye lengo la kumchafulia jina.
Masanja ameenda mbali zaidi na kudai kwamba yeye ni mtumishi wa mungu,
↧
KASHFA YALIKUMBA JESHI LA POLISI TENA-CCTV ZAZIMWA KURUHUSU UJAMBAZI
SIKU chache baada ya tukio la wizi mkubwa wa fedha katika Benki ya
Habibu mjini Dar es Salaam, siri nzito zimeanza kuvuja kuwa polisi
wanadaiwa kuhusika katika tukio hilo kwa kuhujumu kamera za usalama za
CCTV zinazomilikiwa na jeshi hilo.
Katika tukio hilo, watu wanaodaiwa
kuwa majambazi walipora dola za Marekani 20,000 ambazo ni sawa na Sh
milioni 32 za Tanzania.
Katika tukio
↧
MWANAMKE ANASWA NA SARE ZA JWTZ
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limemkamata Saida Mohamed
(30), mkazi wa Mwasonga Kigamboni, akiwa na sare za Jeshi la Wananchi
Tanzania (JWTZ).
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana,
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleimani Kova,
alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa Agosti 31, mwaka huu, katika eneo la
Mwasonga, Kigamboni.
Alisema
↧
↧
Baada ya mshindi wa Big Brother kutangaza kuwa hamjui baba yake, Mkenya ajitokeza na kudai ni baba yake.
Wiki iliyopita wakati mshindi wa $ 300,000 za Big Brother The Chase
Dillish Mathews kutoka Namibia akifanyiwa mahojiano na mwandishi wa
Namibia, alisema anahamu ya kukutana na baba yake mzazi ambaye
hawajawahi kuonana.
Dillish Mathews & Abdi Guyo
Baada ya siku chache kupita hatimaye jana (September 2)
↧
U.N yawataka waasi wa M23 wasalimishe silaha zao haraka
Umoja wa Mataifa, UN umewataka waasi wa kundi la M23 kuweka silaha chini
ili kumaliza mapambano yanayofanyika mashariki mwa Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo na kuleta athari mbaya kwa wananchi.
Umoja huo umesema kumalizwa mapambano kati ya majeshi ya umoja huo na
waasi wa M23 kutasaidia kupatikana kwa njia za kuleta suluhu baina ya
pande hizo mbili.
Wito huo umetolewa
↧
Maiti yafukuliwa na kutupwa nje ya mgahawa jijini Mwanza
Jeneza la mwili wa mtoto ambalo lilikutwa limetelekezwa mbele ya mlango wa mgahawa wa Ester.
---
JENEZA lenye mwili wa mtoto mchanga, limezua taharuki kwa wananchi na wakazi wa
Mtaa wa Ihago, Kata ya Mahina, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza.
Tukio hilo la kushangaza na la aina yake, lilitokea Agosti
29, mwaka huu, majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya kugunduliwa na
mfanyabiashara
↧
Kisa cha aunt Ezekiel kupigwa chupa ni penzi la Jeff linalogombaniwa na warembo
Siri ya Aunt Ezekiel kupigwa chupa club na kujeruhiwa mkono wake imefichuka.Habari za uhakika zinadai kwamba Aunt alipigwa chumba na mrembo wa kike katika harakati za kugombea penzi la mwanaume...
Mwanaume aliyekuwa akigombaniwa ni Jeff ambaye anadaiwa kuwa ni boyfriend wa Yvonne ( aliyempiga aunt chupa )..
Kutokana na aibu hiyo, mastaa kadhaa
↧
↧
Rwanda yanywea..Malori yaruhusiwa kupita kwa tozo ya zamani
Naibu
Waziri wa Uchukuzi Dk. Tzeba amethibitisha kuwa Serikali ya Rwanda
imeruhusu malori ya Tanzania yaendelee na safari kwa kulipa dola 152
badala ya 500 zilizoanza kutozwa hapo jana.
Akiongea toka mkoani Dodoma, Tzeba ameweka wazi kuwa Waziri wa Fedha wa Rwanda aitwaye Gatete na wa waziri wa Uchukuzi wa Rwanda aitwaye Rwakabamba, wameridhia tozo ya dola 152
iendelee
↧
Serikali yajibu mapigo kwa mtandao wa Kenya ulioanza kuichokonoa Tanzania
Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari- (MAELEZO) Assah Mwambene akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusu mtandao wa kijamii wa nchini Kenya ulioituhumu Serikali ya Tanzania.
--------------
Na Fatma Salum-MAELEZO
SERIKALI ya
Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu tuhuma mbalimbali dhidi yake
zilizotolewa na mtandao wa kijamii wa nchini Kenya
↧
Afisa utumishi wa manispaa ya Ilemela afikishwa mahakamani kwa rushwa ya ngono
Afisa utumishi wa manispaa ya Ilemela ndugu Songoma leo amefikishwa mahakamani akikabiliwa na kesi ya rushwa ya ngono kwa mwalimu aliyekuwa akiomba kuhamishwa toka Ngudu kuja Mwanza.
Akisomewa shitaka lake mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama ya Mwanza, ofisa wa TAKUKURU Bi. Debora amedai kuwa Songoma alitenda kosa hilo may tano mwaka jana
↧
JWTZ yakamata wanajeshi wanne wa Rwanda waliokuwa Kongo
ASKARI wa Umoja wa Mataifa wanaolinda amani nchini Kongo (Monusco),
wakiongozwa na vikosi vya Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wamedai
kuwakamata maofisa wanne wa jeshi la Rwanda, katika mapigano ya wiki
iliyopita nchini Kongo.Akizungumza na MTANZANIA Jumatano kwa
sharti la kutotajwa jina, mmoja wa askari aliyepo ndani ya kikosi cha
JWTZ huko nchini Kongo, alisema maofisa hao
↧
↧
Mke anayenyonyesha mtoto wa miezi miwili afumaniwa gesti akisaliti ndoa yake
Usiku wa
kuamkia juzi ulikuwa mbaya kwa mke wa mtu, Rukia Issa au mama Sabrina
baada ya mumewe, Shukuru Nia kumfumania gesti na mwanamme mwingine huku
yeye akiwa na kichanga cha miezi miwili na nusu..
Rukia ambaye ni mkazi wa Goba, Wilaya ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam alifumaniwa katika gesti moja (jina
tunalo) iliyopo Mbagala, Dar akiwa na mwanamme aliyefahamika kwa jina la
Ally
↧
" Siri ya ushindi wa Francis Cheka dhidi ya mmarekani ilikuwa ni tendo la ndoa ( Ngono ) "...Mkewe afunguka
SIRI ya ushindi alioupata bondia maarufu nchini, Francis Cheka ‘SMG’
dhidi ya Mmarekani Phil Williams imefichuka baada ya mke wa bondia huyo
kutoka Morogoro, Tosha Azenga kutoa la moyoni.
Akizungumza katika mapokezi ya mumewe mwishoni mwa wiki iliyopita
alipowasili mkoani hapa, Tosha alisema mumewe amekuwa akifanya vizuri
kutokana na ukweli kwamba kila anapokaribia pambano huwa
↧
Dillish amkana mwanaume wa Kenya aliyedai kuwa ni baba yake mzazi
Baada ya mwanaume mkenya Abdi Galgayo
Guyo aliyejitokeza juzi katika ofisi za Standard Media Kenya na kudai
kuwa ndiye baba mzazi wa mshindi wa BBA The Chase Dillish Mathews kutoka
Namibia, Dillish amemkana na kusema baba yake ana asili ya Somalia.
Mashabiki mbalimbali wamemuuliza Dillish
kuhusu Guyo kupitia twitter, lakini Dillish ambaye ameonesha
kushangazwa na habari hizo, jana
↧
More Pages to Explore .....