Picha za maelfu ya wananchi waliojitokeza kuuaga mwili wa askofu Kulola jijini Mwanza hapo jana
↧
↧
JWTZ lasitisha likizo....Hali ya utayari wa Kijeshi ( Military readiness) yatangazwa.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limesitisha wapiganaji wake
kwenda likizo na kuwaita waliokuwa likizo kurudi makambini. Kwa mujibu
wa vyanzo vya ndani kabisa vya kiinteligensia vijulikanavyo kama
‘KAINZI’, uamuzi huo umeenda sambamba na kuweka hali ya utayari wa
kijeshi (military readiness) kufikia asilimia 50 ( katika hali ya utulivu
na amani nchini hali ya utayari wa kijeshi
↧
Shoga lafumaniwa na mkewe "likiliwa jicho" ( likiliwa tigo)
Kuna kitu ningependa niwashirikisha
marafiki wa ukurasa huu ingawa ni aibu lakini ni vyema pia na akina dada
wenzangu na hata vijana wa kiume wajifunze kutoka kwangu.
Mimi ni binti wa miaka 30 na nimebahatika kupata watoto wawili wakiume na wakike na namshukuru muumba kwani wana afya tele.
Niliolewa miaka 5 iliyopita na kijana mmoja ambaye tulikuwa wapenzi kwa takribani miaka sita na
↧
Mwanamke akamatwa na madawa ya kulevya katika uwanja wetu wa ndege mchana huu
Mama mmoja wa kinigeria amekamatwa na madawa ya kulevya mchana huu katika uwanja wa ndege wa JNIA akijaribu "kum-bypass " Dr.Mwakyembe.
Mwana mama huyo aliyetambuliwa kwa jina la Ojo Athnonie alikuwa amevaa
bai bui kwa juu na kufunika sura yake yote.....
Taarifa zinaarifu kwamba mama huyo alikuwa akienda na Ethiopian Airways na hivi sasa yuko chini ya ulinzi
↧
Uzalendo wamshinda DJCHOKA na kujikuta akikata MAUNO hadharani
Video mpya ya msanii Diamond imeendelea kufanya vizuri kwa kuwakuna watu wa rika mbalimbali ambao uzalendo umekuwa ukiwashinda na kujikuta wakimwaga "radhi" ili kukata kiu yao....
Katika upekuzi wangu, nimefanikiwa kumnasa Dj Choka akizungusha kiuno chake hadharani baada ya mzuka kumpanda wakati akisikiliza ngoma mpya ya Diamond....
Mcheki hapo
↧
↧
Picha 15 za mazishi ya askofu Kulola yaliyoongozwa na Rais Kikwete jijini Mwanza leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha waombolezaji wakati wa mazishi ya Askofu Moses Kulola leo.
Mtoto wa Marehemu Askofu Kulola, Willy Moses Kulola (kushoto) akiwa amesimama nyuma ya jenza la mwili wa marehemu baba yake.
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa (kushoto) akishiriki ibada ya mazishi ya Askofu Kulola.
Katibu
Mkuu wa Chadema, Dkt Wilbroad Slaa (wa tatu
↧
Picha 12 za mama wa kinigeria aliyekamatwa na madawa ya kulevya katika uwanja wetu wa ndege
Jitihada za kurejesha heshima kwa viwanja vya ndege nchini
zilizoanzishwa na waziri wa uchukuzu Dk. Harisson Mwakyembe zinaonekana
kuzaa matunda baada ya mwanadada kutoka nchini Nigeria Anthonia Ojo
(25) kukamatwa na kete 99 za madawa ya kulevya dar es salaam leo.
Mwanamke huyo amekamatwa akieleke Roma Italia kupitia Paris Ufaransa
kwa ndege ya Ethiopian Airways na aliingia
↧
Hali ya msanii Banza Stone ni mbaya
NGULI wa muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ ameanza
kuugua tena ambapo tangu Sikukuu ya Iddi hadi sasa yupo hoi kitandani.
Akizungumza
kwa huzuni na mwandishi wetu, Banza alisema alipomaliza shoo ya Sikukuu
ya Iddi na Bendi ya Extra Bongo, alianza kuugua, akaenda Hospitali ya
Yemen iliyopo Sinza, Dar ikagundulika ana malaria kali ambapo alipewa
dozi ya siku saba.
“
↧
Mapenzi yamponza Aunt Ezekiel....Mkono uliopigwa chupa waanza kuoza
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson
‘Gwantwa’ yupo hatarini kukatwa mkono kutokana na jeraha la chupa
alilolipata hivi karibuni.
Tukio la Aunt kupigwa chupa na mwanamke
aliyetajwa kwa jina moja la Yvonne nje ya Club Bilicanas, Posta jijini
Dar, lilitokea Agosti 26, mwaka huu wakati staa huyo alipokwenda
kujiachia na mshosti zake.
Baada ya kupigwa chupa siku hiyo, Aunt
↧
↧
Rais Kikwete na Paul Kagame wakutanishwa na Rais wa Uganda
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameitisha mkutano wa dharura wa
marais wa nchi za Maziwa Makuu (ICGLR), kujadili hali ya usalama
Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Rais Jakaya Kikwete ni miongoni mwa waalikwa
kwenye mkutano huo ambao pia unatarajiwa kuhudhuriwa na Rais wa Rwanda,
Paul Kagame.
Wakati hali ya
↧
Ndugu wa bilionea aliyeuawa Arusha wazimia mahakamani baada ya kesi hiyo ku.....
Ndugu wa mfanyabiashara Erasto Msuya (43)aliyeuawa kwa kupigwa
risasi Agosti 7, mwaka huu, wameangua kilio na kuzimia katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi mjini Moshi, Kilimanjaro baada ya mahakama kuhairisha usikilizaji
wa kesi hiyo.
Ndugu hao ni dada wa marehemu, Antuja Msuya na Bahati Msuya ambao katika tukio hilo, wote walipoteza fahamu.
↧
Kesi ya waziri mkuu Mizengo Pinda kutajwa septemba 16 mwaka huu...DPP adai kuwa hiyo ni kesi FEKI
KESI ya kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda kutokana na kauli yake ya kuruhusu wanaokaidi maagizo ya Dola wapigwe, itatajwa Septemba 16 mwaka huu katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Kesi hiyo ilifunguliwa Agosti mosi mwaka huu na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), dhidi ya Waziri Pinda na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wakipinga kauli hiyo
↧
Hatimaye mshindi wa Big Brother afanikiwa kumpata baba yake ( Ni yuleyule aliyemkana )
Hatimaye teknolojia imefanikisha kuwakutanisha wazazi wa mshindi wa
Big Brother Afrika ‘The Chase’ Dillish Mathews baada ya mwanaume mmoja
aitwaye Abdi Galgayo Guyo kuja hadharani na kudai kuwa ni baba mzazi wa
mshindi huyo wa The Chase.
Siku moja tu iliyopita, Pulse iliandika habari kuhusu mwanaume wa
Kenya aitwaye Abdi Galgayo Guyo aliyetembelea ofisi za Standard Media ya
Kenya na
↧
↧
Video ya ngono ya wabongo yavuja.....Ni siku chache baada ya ile ya Mrisho Ngasa kunaswa
↧
Breaking news: Freeman Mbowe atimuliwa bungeni
Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh Mbowe ametolewa nje ya
Bunge, baada ya kukaidi amri ya Naibu spika Mh Ndugai alipomwamuru akae
na Mh Mbowe kutokutii amri hiyo.
Mh ngudai aliamuru askari wa Bunge
kumtoa nje, hata hivyo baadaye wabunge karibu wote wa upinzani walitoka
pia isipokuwa Mh. Augustin Mrema wa TLP.
Upinzani Bungeni unadai muswada
wa katiba 2013 unamapungufu.
↧
Mwanafunzi wa darasa la pili huko PWANI abakwa na wanafunzi wenzake wanne na kuharibiwa vibaya
MATUKIO ya uvunjifu wa
maadili kwenye shule mbalimbali hapa nchini yameendelea kushamiri baada ya
wanafunzi wanne wa Shule ya Msingi Lulanzi wilayani Kibaha mkoani Pwani
kutuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la pili na kumsababishia maumivu
yaliyopelekea kulazwa Hospitali ya Tumbi kwa matibabu.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana babu wa mtoto huyo,
Jacob Mrope alisema tukio
↧
Picha tano za Rais Kikwete alipokutana na Kagame wa Rwanda huko Uganda
Rais Jakaya Kikwete leo amefanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa
Rwanda katika mkutano wa saba wa kimataifa wa nchi za maziwa makuu,
unaofanyika Kampala, Uganda.
Haijafahamika mara moja walichozungumza, hizi ni picha za mkutano wao.
Marais hao wamekutana wakati ambapo uhusiano kati ya nchi hizo mbili unaendelea kuzorota.
<!-- adsense -->
↧
↧
Video ya wabunge wa Upinzani wakitoka NJE ya Bunge baada ya Freeman Mbowe kutimuliwa leo mchana.
Kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani Bungeni Mh Mbowe alitolewa nje ya
Bunge leo mchana baada ya kukaidi amri ya Naibu spika Mh Ndugai alipomwamuru akae
na Mh Mbowe kutokutii amri hiyo.
Mh ngudai aliamuru askari wa Bunge
kumtoa nje, hata hivyo baadaye wabunge karibu wote wa upinzani walitoka
pia isipokuwa Mh. Augustin Mrema wa TLP.
TAZAMA VIDEO YA TUKIO ZIMA HAPO CHINI.
<!--
↧
Wabunge wa UPINZANI nchini Kenya nao WASUSA na kutoka nje
Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Kenya wameondoka
bungeni wakati mjadala mkali ukiendelea kuhusu kuunga mkono au kupinga
nchi hiyo kujiondoa kutoka katika mahakama ya kimataifa ya ICC.
Wabunge hao wameondoka bungeni baada ya kusema
kuwa kamwe hawataungana na upande wa serikali kuunga mkono hoja hii ya
kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC.Ni kutokana na
↧
Mheshimiwa SUGU anasakwa na polisi kwa kosa la kuwakashifu walinzi wa Bunge
Taarifa
kutoka Dodoma zinadai kuwa kuna Askari mmoja ambaye ni miongoni mwa
walinzi wa Bunge ameenda kufungua faili Polisi Dodoma na kusema kuwa
ametishiwa kupigwa na Mbunge Sugu...
Baada ya kufungua Jalada hilo polisi
wamechukua Difenda 6 na wameingia mitaani kumtafuta ili awekwe ndani
mpaka kesho ndio afikishwe mahakamani asubuhi.
Credit:Jf
<!-- adsense -->
↧
More Pages to Explore .....