MIHADHARA ya dini iliyokuwa imepigwa marufuku na Serikali imeruhusiwa
kuendelea kwa masharti ya kutojihusisha na mahubiri yanayolenga
kupandikiza chuki miongoni mwa Wakristo na Waislamu. Serikali pia
imewataka viongozi wote wa dini kuwakataa na kuwapiga marufuku watu
wanaojiingiza katika nyumba za ibada huku wakiwa na malengo ya siasa.
Akizungumza katika kongamano la Umoja wa Wahadhiri
SERIKALI YARUHUSU TENA MIHADHARA YA DINI ILIYOKUWA IMEPIGWA MARUFUKU.
↧
↧
EAC YAINGILIA KATI MZOZO WA TANZANIA NA RWANDA
Wakati Tanzania ikisema kuwa iko tayari kukaa meza moja na
jirani yake Rwanda kumaliza hali ya uhasama iliyoanza kujitokeza katika
siku za hivi karibuni, Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Afrika
Mashariki, Dk Richard Sezibera amesema jitihada za kidipolomasia
zinafanyika kutatua tofauti hizo za kimawazo.
Bila kutaja taasisi wala wanaohusika katika
jitihada hizo za
↧
MADIWANI WALIOTIMULIWA BUKOBA WARUDSHWA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa imejadili na kutolea maamuzi pamoja na
mambo mengine suala la Madiwani wanane waliotangazwa kufukuzwa uanachama
na Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera.Katika maamuzi yake,
Kamati Kuu imebatilisha uamuzi uliofanywa na Halmashauri Kuu CCM ya Mkoa
wa Kagera Agosti 13, 2013 wa kuwafukuza uanachama Madiwani hao. Hivyo
↧
"WABUNGE WENGI NI WAUZA UNGA NA MADAWA YA KULEVYA"....WILLIAM LUKUVI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge),
William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni
mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya lakini
Serikali haiwezi kuwataja hadharani kwa haraka.
Majibu hayo ya Waziri Lukuvi yamekuja baada ya
wabunge kumbana na wengine wakizomea baada ya kueleza ugumu wa kutaja
majina ya
↧
MWANAUME ALIYEKIRI KUCHANGIA MKE NCHINI KENYA ATIMULIWA KAZI....
Mwanaume
wa nchini Kenya ambaye aliridhia kusaini mkataba wa kuchangia
mwanamke mmoja na mwanaume mwenzake amefukuzwa kazi na bosi wake.
Mwanaume
huyo Sylvester Mwendwa, ambaye mwishoni mwa wiki alitangaza hadharani
penzi lake hilo la mkataba na mwanamke mjane, amesema bosi wake
amemfukuza kazi ya bucha aliyokuwa akiifanya baada ya kusikia habari
hiyo.
Mwendwa
ambaye alikiri kuwa
↧
↧
CAG ADAI KWAMBA MAGUFULI SIYO FISADI.....ATOA UFAFANUZI WA KINA KUHUSU ZILE BIL. 252
MKAGUZI na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amesema taarifa ya Sh bilioni 252 zilizokuwa zimeoneshwa katika taarifa ya Wizara ya Ujenzi, zilihamishwa kwenda Wakala wa Barabara (Tanroads) kulipia madeni ya wakandarasi na kwamba hapakuwa na ufisadi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Utouh alisema vyombo vya habari viliripoti suala hilo tofauti,
↧
KAGAME HATAKANYAGA TENA ARDHI YA TANZANIA.....WABUNGE WA RWANDA WASUSA JIJINI ARUSHA
RAIS Paul Kagame wa Rwanda, sasa hayupo tayari kukanyaga ardhi ya
Tanzania kutokana na kile kinachoonekana kuwa ni mgogoro wa kidiplomasia
unaoendelea kati yake na Rais Jakaya Kikwete. Wakati hayo yakifikia hapo, kikao cha Bunge la
Afrika Mashariki (EALA), linakoketi mjini Arusha kilivunjika baada ya
Spika wa bunge hilo, Magreth Zziwa, kugongana kauli na Mbunge mmoja wa
Rwanda jambo
↧
AUNT EZEKIEL APIGWA CHUPA USIKU AKIWA CLUB
MWIGIZAJI wa sinema za kibongo, Aunt Ezekiel Grayson
‘Gwantwa’ amenusurika kupasuliwa paji la uso kwa chupa baada ya kupigwa
mkononi...
Usiku wa kuamkia
Jumatatu, nje ya Ukumbi wa Billicanas, mwanamke aliyejulikana kwa jina
moja la Yvonne alimpiga Aunt kwa chupa tupu ya bia na kumpasua mkono wa
kushoto.
Watu walioshuhudia tukio hilo wamedai kuwa,
wakati Yvonne anatekeleza ukatili
↧
RAY C AANZA KUKIRUTUBISHA KIUNO CHAKE....HIZI NI PICHA 3 AKIWA GYM
Zaidi ya sauti yake na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo zinazoshikika
kiurahisi, umaarufu wake mwingine mkubwa toka enzi hizo ni kiuno bila
mfupa kwa jinsi alivyokua akicheza nacho.Huu ni uwezo uliofanya mpaka
maneno ya kiuno bila mfupa yakapata umaarufu kupitia yeye.
Siku kadhaa baada ya kutangaza kurudi kwenye muziki kama zamani,
Ray C akiwa ametoka kwenye matibabu ya matumizi ya dawa
↧
↧
"FAMILIA IMENITENGA BAADA YA KUOA ALBINO'...MUME
KIJANA aitwaye Priscus Mushi, mkazi wa Mbezi jijini Dar ambaye ni
muumini wa Kanisa la Efatha linaloongozwa na Mchungaji Josephat Mwingira
ameanika masikitiko yake baada ya kutengwa na baadhi ya ndugu kufuatia
kuoa mlemavu wa ngozi ‘albino’ aitwaye Tumaini Murungu.
Akizungumza
katika Ukumbi wa Maji uliopo maeneo ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
ambapo sherehe za ndoa zilifanyika, Mushi
↧
BASI LA HOOD LAUA MTU MMOJA NA KUJERUHI 15
Mtu mmoja amefariki
dunia na 15 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hood likitokea
kilombero kwenda jijini Dar es salaam kumgonga mtembea kwa miguu na
kisha kuacha njia na kupinduka katika eneo la Kiembeni Mikese Mkoani
Morogoro.
Mkuu
wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Morogoro Bonifasi Mbao
akizungumza kwenye eneo la tukio amesema chanzo cha ajali hiyo ni
↧
SHEIK PONDA AFIKISHWA MAHAKAMANI TENA.....KESI YAAAHIRISHWA HADI SEPTEMBA 11
Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa
Ponda jana alisababisha kusimama kwa shughuli za Serikali wilayani
Morogoro baada ya ofisi kadhaa ikiwamo ya Mkuu wa Wilaya na baadhi ya
mitaa kufungwa ili kupisha kusikilizwa kwa kesi inayomkabili katika
Mahakama ya Mkoa wa Morogoro.
Tofauti na Agosti 19, mwaka huu wakati
aliposafirishwa kwa helikopta, jana Sheikh Ponda
↧
WABUNGE WA TANZANIA NAO WASUSIA KIKAO CHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI
Kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (EALA), jana kilivunjika kwa
mara ya pili baada ya Wabunge wa Tanzania, kutoka ndani ya ukumbi
wakipinga kanuni kuvunjwa juzi.
Baada ya wabunge wa Tanzania kutoka nje, Spika wa
Bunge hilo, Margareth Zziwa aliahirisha Bunge kwa dakika 15 ili kuweka
mambo sawa, lakini jitihada za kuwashawishi ziligonga mwamba na kuamua
kuahirisha Bunge hadi leo.
↧
↧
VIDEO YA MTOTO WA MIAKA 14 ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU....
Kwa kawaida miaka 14 inafaa kuwa ndio unafurahia ujana na utoto wako.
Lakini sivyo kwa msichana mmoja huko Bungoma, ambaye sasa ni mzazi, na
si wa mtoto mmoja, bali watoto watatu, aliojifungua kwa pamoja.
Msichana
huyo mdogo anasema alipewa ujauzito huo na kijana wa umri wa miaka
kumi na sita, na kama anavyiripoti Agnes Penda ni taarifa ambayo
inaongeza tu idadi ya visa vya
↧
CHUPI NA SHANGA ZA MSANII SHILOLE ZAANIKWA NJE- FIESTA
↧
VIDEO YA UCHI YA MRISHO NGASA AKIWA NA MDOGO WAKE FLORAH MBASHA GESTI YAVUJA
<!-- adsense -->
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars na mchezaji wa
Yanga, Mrisho Ngasa, ameingia kwenye scandal nzito baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja mtandaoni.
Mkanda huo
unamuonesha mchezaji huyo akiwa kwenye ‘suti yake ya kuzaliwa’ pamoja na
msichana wakivunja amri ya sita.
Huku kukisikika muziki wa aina mbalimbali ukiwemo wa reggae, wapenzi
hao
↧
MWIGULU NCHEMBA ATAKA MBOWE NA DR. SLAA WAKAMATWE KWA MAUAJI YA RAIA
MBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), amechafua hali ya
hewa bungeni kwa kuitaka Serikali kuwachukuliwa hatua viongozi wa juu wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mbunge huyo alisema
mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe pamoja na Katibu Mkuu wake, Dk.
Wilbroad Slaa, wanapaswa kuchukuliwa hatua kwa madai ya kusababisha
mauaji ya raia.
Mwigulu, ambaye pia ni
↧
↧
UPDATE: MAJAMBAZI YALIYOVAA SARE ZA POLISI YAVAMIA HABIB AFRIICAN BANK NA KUPORA MAMILIONI
↧
TRAFFIKI FEKI ALIYEKAMATWA HIVI KARIBUNI ALIKUWA NI MFUNGWA WALIYETOROKA GEREZANI
MAZITO tena yameibuka kuhusu yule
trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es
Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar akikabiliwa na kesi ya
kujifanya askari wa usalama barabarani.Habari za ndani kutoka
Gereza la Isanga, Dodoma zinadai kuwa, trafiki huyo ana mambo mengi ya
kushangaza ambayo Watanzania wengi hawayajui.Mtoa habari wetu alisema kuwa, James
↧
RAY C AOKOKA RASIMI...HIZI NI PICHA ZAKE AKIBATIZWA
↧
More Pages to Explore .....