<!-- adsense -->
Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia
mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko
wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii
pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti mbalimbali
Mwandishi wetu amefanikwa kuzinasa picha za Manaiki akiwa chini ya ulinzi wa polisi huku akiwa amevishwa
MANAIKI SANGA ATIWA MBARONI.....PICHA ZA UCHI ZIMEMPONZA....HIZI NI PICHA ZINGINE 400 AKIWA MTUPU
↧
↧
FOOLISH AGE YA LULU MICHAEL YAPIGWA STOP KUTOKANA NA MAVAZI YA NUSU UCHI YALIYOTUMIKA.
Msanii
wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akiweka sahihi yake kuashiria
amekubaliana na taratibu zote alizoelekezwa na Bodi ya Filamu wakati wa
ukaguzi wa filamu yake ya “Foolish Age”.Katibu
Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo akiwaonyesha wajumbe
pamoja na wahusika wa Kampuni ya Proin Promotions baadhi ya maeneo
muhimu ya kufanyiwa marekebisho wakati walipowasilisha filamu
↧
PICHA ZA UCHI ZA MPENZI WA DIAMOND ZAVUJA....
<!-- adsense -->
Mwanamziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amegeuka gumzo nchini Kenya
baada ya mrembo mmoja aliyejipatia jina kupitia Runinga ya KTN, Angel
Maggy kutangaza penzi lao upya kwa mara nyingine.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari za burudani vya Kenya, mara baada ya
Diamond kufanya shoo mbili katika Miji ya Nairobi na Mombasa nchini
humo, alipogeuza kisogo kurejea Bongo ndipo
↧
MTOTO AFANYISHWA MAPENZI MDOMONI NA ZEE LA MIAKA 54 HUKO MPANDA
Fundi baiskeli mmoja
mkaazi wa mtaa wa Nsemlwa, wilaya ya Mpanda, mkoa wa Katavi, Athumani
Mussa (54) amefikishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Wilaya
ya Mpanda kwa tuhuma za kumlawiti (kunajisi) mdomoni mtoto msichana (4)
baada ya kumdanganya kumpatia mdoli wa kuchezea.Mtuhumiwa
alifikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka na mwendesha
mashitaka mkaguzi wa
↧
"NAJIONA MWENYE FAHARI KUTONGOZWA NA NAY WA MITEGO"...NISHA
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema hata kama
msanii Nay wa Mitego akiwa na mpenzi mwigine kwa sasa lakini anajivunia
kupendwa na kijana huyo kwani alihangaika sana kumpata.
Akizungumza
na mwandishi wetu, Nisha alisema Nay alimfuatilia kwa kipindi kirefu na
alimzungusha kama miaka miwili kabla hata hajawa staa.
“Nikivuta ile
picha ya kumdengulia kiasi kile mpaka
↧
↧
KANISA LACHOMWA MOTO JIJINI DAR
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Kati,
Usharika wa Segerea Wilaya ya Ilala, limechomwa moto na watu
wasiojulikana usiku wa kuamkia jana.
Tukio hilo lilitokea saa saba usiku, wakati
waumini wa kanisa hilo wakiwa katika mkesha wa maombi ya maandalizi ya
mkutano wa injili unaoanza leo.
Mchungaji wa kanisa hilo, Noah Kipingu
↧
MADIWANI WALIOTIMULIWA BUKOBA WAMFANYA KAGASHEKI APIGWE MARAFUKU KUSHIRIKI SIASA HADI 2015
Suala la kutimuliwa kwa madiwani wanane wa CCM katika Manispaa
ya Bukoba limeingia sura mpya baada ya Kamati Kuu kuwazuia Meya, Dk
Anatory Amani na Mbunge wa Bukoba Mjini, Balozi Khamis Kagasheki
kushiriki katika siasa mkoani humo hadi mwaka 2015.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho
zinaeleza kuwa uamuzi huo umefikiwa baada ya kubainika mgogoro wa
viongozi hao,
↧
JWTZ YATOA UFAFANUZI KUHUSU MWANAJESHI WAKE ALIYETOROKA NA KUKIMBILIA RWANDA
JESHI LA wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kwa kusema kuwa
askari wake aliyetoroka jeshini Luteni Kanali Coelestine C. Seromba kwa
kusema kuwa ni mzaliwa wa Kagera na siyo Rwanda.Jeshi hilo
limevitaka vyombo vya habari kuacha kuripoti taarifa potofu za afisa
huyo ambaye alikuwa akikabliwa na tuhuma za makosa ya kijeshi na baadaye
akatoweka wakati mchakato wa kumfungulia
↧
VIOJA VYA TRAFIKI FEKI MBELE YA HAKIMU MFAWIDHI -ILALA
JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar
alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya
Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya
trafiki.
Tukio hilo lilijiri mahakamani hapo
Agosti 22, mwaka huu ambapo mshitakiwa alikana mashitaka mbele ya Hakimu
Mfawidhi, Joyce Minde.
Trafiki feki huyo alitumia muda mwingi
kujificha sura ili kamera
↧
↧
POMBE YAMFANYA MADEE AWE MILIONEA
Hit maker wa Sio Mimi aka Pombe yangu,
Madee amesema hadi sasa ameshaingiza zaidi ya shilingi milioni 130
kutokana na show mbalimbali alizopata hivi karibuni tangu aachie wimbo
wake huo.
Madee amesema pamoja na show za kawaida,
makampuni ya simu yameshamsainisha show zaidi ya 12 ambazo zimekuwa
zikimpa mkwanja wa nguvu.
Akiongea na mwandishi wetu, Madee
amesema pia muziki
↧
SAKATA ZIMA LA KUKAMATWA KWA FREEMAN MBOWE, TUNDU LISU NA MSIGWA. MKOANI IRINGA LEO.
RPC Ramadhan Mungi.
Mwenyekiti
wa CHADEMA Freeman Mbowe, wabunge Tundu Lissu, Peter Msigwa, Joseph
Mbilinyi (Sugu), David Silinde na viongozi wengine wa mkoa na Wilaya ya
Iringa mjini, akiwemo Diwani Nyalusi, wamekamatwa na Jeshi la Polisi,
Kituo Kikuu Iringa na kuhojiwa kwa masaa matatu.
Viongozi hao walikamatwa majira
ya saa 3 asubuhi katikati ya mji wa Iringa wakati
↧
HATIMAYE "FOOLISH AGE" YA LULU MICHAEL YARUHUSIWA BAADA YA KUZUIWA
Bodi ya ukaguzi wa filamu Tanzania imeridhia na kuiruhusu filamu ya Foolish Age ya Lulu Michael iingie sokoni baada ya kuizuia hapo juzi....
Filam hiyo ilizuiliwa kutokana na mavazi ya nusu uchi yaliyokuwa yamevaliwa na washiriki wake na kumtaka Lulu Michael aifanyie marekebisho kwa kuviondoa vipande hivyo ambavyo vilikuwa kinyume na maadili
↧
DILLISH TOKA NAMIBIA AIBUKA MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA 2013
Fainali za Big Brother zimefikia tamati usiku huu zikiwa na washiriki watano ambao ni Beverly, Melvin, Cleo, Elikem na Dillish.
Mshiriki wa kwanza kutolewa alikuwa ni Beverly akifuatiwa na Melvin huku Elikem akiwa ni mshiriki wa tatu kutolewa..
Mchujo huo uliwafanya Cleo na Dillish waingie katika masaa ya fainali za mwisho ambapo Cleo alielemewa
↧
↧
NICK MBISHI ATANGAZA RASIMI KUWA YEYE NI MUATHIRIKA WA UKIMWI
Tumekuwa tukishuhudiwa vituko mbalimbali vya wasanii wetu ambao wamekuwa wakihangaika usiku na mchana kuusaka umaarufu....
Wapo ambao wamekuwa wakivua nguo zao jukwaani, wapo ambao wamekuwa wakipiga picha za uchi na kuzitupia mitandaoni.Yote hiyo ni kutafuta Jina au umaarufu ambao mimi binafsi nauita ni umaarufu wa kishamba.....
Leo Nick Mbishi
↧
MTOTO WA MIAKA 8 AOLEWA NA MWANAUME WA MIAKA 38...POLISI WAINGILIA KATI.
Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samson (38), mkazi
wa Kijiji cha Mindukeni, Tarafa ya Tarawanda katika Wilaya ya Bagamoyo,
Pwani amefanya maajabu ya milenia baada ya kudaiwa kuoa mtoto mwenye
umri wa miaka nane .
Habari za kiuchunguzi zilisema kuwa mwanaume huyo
ambaye tayari alishaoa mke wa kwanza, alidaiwa kumtorosha mtoto huyo
nyumbani kwao, Iringa.
Ilidaiwa kuwa Samson alifanya
↧
WEMA SEPETU ADAIWA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA
Skendo ya mastaa mbalimbali Bongo kutajwa katika biashara na
usafirishaji wa madawa ya kulevya ‘unga’ linazidi kuchukua sura mpya
ambapo tayari majina ya wasanii wawili wakubwa, Wema Isaac Sepetu na
Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ yametajwa huku kinachowaponza
kikijulikana.
Habari zinadai kuwa mastaa hao wameanza kujutia tambo zao za kutangaza
utajiri walionao hivyo kuibua maswali kuwa
↧
DADA YAKE MBOWE AIKIMBIA CHADEMA NA KUJIUNGA CCM.....ADAI CHADEMA HAINA JIPYA
DADA wa
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Grace Mbowe,
amejiunga na Chama Cha Mapinduzi ( CCM) akitokea Chadema, kwa kile
alichodai haoni jambo jipya katika chama hicho.Grace amesema
amehama kutokana na kuwepo propaganda zisizotekelezeka. Hata hivyo,
amesisitiza kwamba kuwepo kwake katika Chadema, siyo kwa sababu ya
familia.Alikabidhi kadi hiyo jana kwenye
↧
↧
BINTI APEWA KICHAPO JIJINI ARUSHA BAADA YA KUKATISHA MITAA AKIWA NUSU UCHI...
Msichana
mmoja
ambaye jina lake halikujulika amejikukuta katika wakati mgumu baada ya
kuzomewa na kuchapwa viboko na kundi la watu katika eneo la soko la
nmc jiji arusha kwa madai ya kuvaa nguo fupi hali iliyowalazimu
wasamaria wema kuingilia kati na kutumia nguvu kubwa ili kumwokoa na
kumsitili kwa kumfunika na nguo zingine.
Watu walio shuhudia tukio hilo wamedai kuchukizwa na
↧
WAKENYA WAWILI WAKUBALIANA KUMUOA MWANAMKE MMOJA
Wanaume
wawili nchini Kenya wameibuka na mbinu isiyo ya kawaida ya kupata
suluhu ya kupigania mwanamke ambaye wote wanampenda kwa kusaini mkataba
wakikubaliana kuishi nae kwa zamu.
Silvester Mwendwa ni mmoja wa wanaume hao. Ameeleza BBC kwanini binafsi anamuhusudu mwanamke huyo.
Mmoja ya wa wanaume hao alisema haoni ubaya wowote kwa yeye na mwenzake kumuoa mwanamke mmoja.
↧
JESHI LA POLISI LAMWAGA AJIRA.....
JESHI la Polisi nchini, limetangaza ajira mpya kwa vijana waliohitimu
kidato cha nne na sita mwaka jana. Taarifa za jeshi hilo, ambazo
zimewekwa kwenye mtandao wa jeshi hilo, zinasema vijana katika mikoa
yote wanatakiwa kufika kwenye ofisi za makamanda wa polisi mikoa kwa
ajili ya usaili.Taarifa hiyo, ilisema kila mkoa umepangiwa siku
yake na kwamba kila kijana anapaswa kuwa na vyeti
↧
More Pages to Explore .....