Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Noti Bandia Zawaliza Wafanyabiashara Msimu wa Christmas

$
0
0
Misimu wa sikuu za Christmas na Mwaka Mpya ilikuwa na neema kwa wafanyabiashara wengi nchini lakini iliacha vilio vya utapeli kwa baadhi wa wafanyabiashara hususan maeneo ya pwani waliojikuta wametoa mali halali na kupewa fedha bandia. Baadhi ya wamiliki wa Maduka na watoa huduma za simu pesa wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepata hasara kubwa baada ya kusambaa kwa noti bandia za shilingi

CCM Kuwashitaki Wakuu wa Shule 15 Kwa Ubadhirifu wa Fedha

$
0
0
JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha. Akizungumza jana jijini Dar es SaIaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Abdallah Bulembo alisema zaidi ya shule 26 walizozifanyia ukaguzi, 15 zimekutwa zikiwa na upungufu na kubwa ikiwa ni pamoja na ubadhirifu wa fedha. “Katika

Mbunge wa Kinondoni Mhe. Maulid Mtulya Awasilisha Pingamizi Mahakamani kuhusu Zoezi la Bomoabomoa Katika Jimbo Lake

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia amewasilisha mahakamani shauri la kupinga zoezi la ‘bomoabomoa’ linaloendelea jijini Dar es Salaam. Shauri hilo lenye uwakilishi wa wananchi nane linatarajiwa kusikilizwa katika mahakama Kuu kitengo cha Ardhi, leo (Januari 4). Kwa mujibu wa Mtulia, Shauri hilo lilifunguliwa mahakamani hapo Desemba 22 na kupata faili rasmi Desemba 28 mwaka

Basi la Luwinzo Lagongana na Lori Asubuhi Hii.......Wawili wafariki Dunia Huku wengine Wakijeruhiwa

$
0
0
Basi la abiria la kampuni ya Luwinzo linalofanya safari za Dar es salaam - Njombe limegongana na lori asubuhi hii likitokea Njombe kuelekea Dar.  Abiria wawili wameripotiwa kufariki dunia huku majeruhi wakiwa ni wengi. Ajali imetokea maeneo ya Kinegembasi Kata ya Mbalamaziwa wilayani Mufindi.

Waziri Mkuu Afurahishwa na Hali ya Chakula Mkoani Ruvuma

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA HALI YA CHAKULA MKOANI RUVUMA WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefurahishwa na hali ya chakula mkoani Ruvuma, ikiwa kati ya mikoa inayotegemewa kwa uzalishaji wa chakula kwa wingi nchini. Akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali jana jioni (Jumapili, Januari 3, 2016) katika ukumbi uliopo Ikulu ndogo

BAKWATA Yaitaka TRA Isipendelee Taasisi za Dini....Yadai Kanisa Katoliki Linaongoza Kusamehewa Lakini Halijalimwa Barua Yoyote

$
0
0
Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata) pamoja na taasisi zake limeiomba Serikali kutoa ufafanuzi masuala ya misamaha ya kodi kwa taasisi za dini ili kuondoa changamoto zinazoweza kusababisha upendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa jana, mwenyekiti wa Taasisi ya Kiislam ya Imam Bukhary, Sheikh Khalifa Khamis alisema kama utaratibu wa kudai taarifa za matumizi ya

Saed Kubenea Akana Tuhuma Dhidi Yake.....Asimulia Jinsi Alivyosoma, Akana Kuiba Laptop ya Prof. Lipumba

$
0
0
==> Hili  ni  Tamko  La  Saed Kubenea(mbunge wa ubungo)  kupangua Tuhuma Mbalimbali zilizoelekezwa  kwake   NIMESOMA andishi la anayejiita Seif Rashid, lililochapishwa kwenye mitandao kadhaa ya kijamii, pamoja na baadhi ya magazeti. Andishi limejielekeza katika kunijadili binafsi: Jinsi nilivyofanikiwa kuwa mbunge wa jimbo la Ubungo, kuwa mmiliki wa kampuni ya Hali Halisi Publishers

Askari Polisi Atiwa Mbaroni Jijini Mwanza Kwa Tuhuma za Mauaji

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani mwanza limemshikilia askari no.F.4965 PC JOEL FRANCIS Kwa tuhuma za  kumpiga na kumsababishia kifo kijana Donard Magalata aliyekuwa akiishinaye nyumbani kwake Askali huyo alimpiga kijana donald mara baada ya kubaini kuwa pochi yake iliyokuwa na kadi mbili za benk na kitambulisho cha kazi havipo.

Tamko La Mhe. Dr. Hamisi A. Kigwangalla (mb) Naibu Waziri Wa Afya, Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini

$
0
0
Ndugu Waandishi wa Habari, Ninapenda kutoa taarifa kwa umma, kuhusu mwenendo wa ugonjwa wa kipindupindu ulioanza tarehe 15 Agosti, 2015 katika mkoa wa Dar es Salaam na kusambaa kwa kasi katika Mikoa mingine 21 ya Tanzania Bara ambayo  ni  Pwani, Morogoro, Iringa, Kilimanjaro, Dodoma, Kigoma, Geita, Mara, Manyara, Arusha, Shinyanga, Tabora, Singida, Tanga, Lindi, Rukwa, Kagera, Katavi,

PICHA: Rais Magufuli Akutana Na Abdallah Bulembo ,Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),DPP na Mufti Mkuu wa Tanzania Ikulu jijini Dar es salaam

$
0
0
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kisha kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM Alhaji Abdallah Bulembo Ikulu jijini Dar es salaam January 4,2016 Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha kisha kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM Alhaji Abdallah Bulembo Ikulu jijini

Yaliyojiri Leo Ikulu Baada Ya Rais Magufuli Kukutana na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),DPP na Mufti Mkuu wa Tanzania

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne Ikulu Jijini Dar es salaam ambapo pamoja na kutakiana heri ya Mwaka Mpya, wamezungumzia mambo mbalimbali kuhusu mustakabali wa Serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungumzia yaliyojiri katika Mazungumzo hayo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za

CCM Yalaani Vijana 1500 Kujitangaza Mashoga Mkoani Iringa

$
0
0
Picha ya Maktaba Chama  Cha Mapinduzi Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa kimewataka vijana waliopo wilayani  humo kuacha  kujihusisha na masuala ya ushoga. Akizungumza na waandishi wa habari jana,Katibu wa CCM Wilaya ya Mufindi,Jimson Mhagama alisema hatua ya vijana kuingia katika ushoga ni sawa na kulidhalilisha taifa. Kauli ya Mhagama imekuja mara baada ya kuwepo kwa taarifa za vijana

Watu 8 Wakiwemo Polisi Wafariki Dunia Kwa Kusombwa na Maji Kibaigwa Mkoani Dodoma

$
0
0
WATU 8 wamefariki dunia katika ajali iliyosababishwa na gari kusombwa na maji huku watu 6 wakiwa wa  familia moja. Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma, Davidi Misime amesema majira ya saa tatu usiku Jumapili, wananchi wa Kibaigwa walitoa taarifa jeshi la polisi kwa madai kwamba kuna gari limesombwa na maji na limetumbukia katika mkondo wa maji.Amesema baada ya jeshi kupata taarifa

Breaking News: Naibu Waziri -Tamisemi Suleiman Jaffo Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza

$
0
0
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora, Suleiman Jaffo, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauli ya Manispaa ya Ilemela, John Wanga kutokana matumizi mabaya ya madaraka.   Waziri Jaffo amefikia hatua hiyo baada ya kubaini kuwepo kwa ufujaji wa fedha za ujenzi wa uzio wa halmashauli hiyo uliogharimu Sh. 347 milioni pamoja na kukaidi kuhamia kwenye nyumba ya

Mwigulu Nchema Atumbua Majipu Mengine.......Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa Ranchi za Taifa Pamoja Na Wakurugenzi wa Bodi ya NARCO

$
0
0
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba jana alifanya ziara ya siku moja kukagua mradi wa ujenzi wa machinjio ya kisasa ya ranchi ya Taifa ya Ruvu. Akiongea  na waandishi  wa  habari baada ya ziara hiyo, Waziri Nchemba  alisema ujenzi wa ranchi hii ya Taifa ya Ruvu ulianza mwaka 2010 lakini hadi sasa haujakamilika kutokana na uzembe  na kukosa uzalendo kwa baadhi ya watumishi

Serikali Yanunua Mashine Mpya Ya CT-Scan Katika Hospitali Ya Taifa Ya Muhimbili Yenye Uwezo Wa Hali Ya Juu

$
0
0
Na Magreth Kina-Maelezo Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye  uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam. Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Januari 5

Makamu Wa Rais Mama Samia Nae Ameanza Kazi Rasmi ......Jana Kaanza na haya Baada ya Kutua Geita.

$
0
0
Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan jana jioni aliwasili  mkoani Geita  na akakutana na uongozi wa mkoa huo ambapo alisisitiza suala la  wananchi kunufaika na mgodi wao wa dhahabu wa Geita Gold Mine.… "Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye mgodi wa Geita Gold Mine nikaangalia hali ya watu wa Geita nikawa na majonzi makubwa…sikuridhika kuwa na mgodi mkubwa kama

Waziri Mkuu Awaonya Wanyonyaji wa Wakulima....Aziagiza Halmashauri Kujenga Vituo vya Ununuzi Vijijini Badala ya Kuendelea Kutumia Mawakala

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kanda ya Songea, wakati akiendelea na ziara yake mkoani Ruvuma.    Akizungumza na wafanyakazi wa Wakala hiyo, wadau wa kilimo pamoja na wananchi jana, (Jumatatu, Januari 4, 2016) nje ya majengo ya Wakala mara baada ya kukagua mahindi yaliyohifadhiwa katika maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya

Pam D Ft Mesen Selekta – Popo lipopo (Official Video)

$
0
0
Pam D Ft Mesen Selekta – Popo lipopo (Official Video)
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images