Siku chache baada ya kigogo mmoja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kubainika kumiliki nyumba 73, wafanyakazi wengine wa mamlaka hiyo wamekutwa na mamilioni ya shilingi waliyoficha majumbani mwao.
Taarifa kutoka ndani ya TRA zinapasha kuwa tangu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awasimamishe kazi maofisa kadhaa wa mamlaka hiyo, Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na kitengo cha uchunguzi cha
Vigogo TRA Wakutwa na Mamilioni Nyumbani Kwao
↧
↧
Sugu Awataka Madiwani Wa Chadema Kufukuzana na ‘Kasi’ ya Magufuli
Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu
amewataka madiwani wa jimbo hilo waliochaguliwa kwa tiketi ya Chadema
kuhakikisha wanafanya kazi kubwa kushindana na kazi ya rais John
Magufuli.
Sugu alitoa kauli hiyo hivi karibuni katika kikao cha kumchagua diwani atakayewania nafasi ya Umeya kwa tiketi ya chama hicho.
Aliwataka
madiwani hao kuchapa kazi na
↧
Watuhumiwa 8 wa Upotevu wa Makontena 349 Wafikishwa Mahakamani
KASI ya utendaji kazi wa Rais Dk.John Pombe Magufuli na Waziri Mkuu
Majaliwa Kasim Majaliwa imeanza kuwagusa baadhi ya watendaji wa Serikali
baada ya maofisa wanane wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), akiwemo
Kamishna wa Forodha wa mamlaka hiyo Tiagi Masamaki (56) kufikishwa
mahakamani kwa tuhuma za kutoa makontena 329 bandarini bila ya kulipiwa
kodi na kuisababishia Serikali hasara ya
↧
Rais Magufuli amteua Valentino Mlowola Kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John P. Magufuli, amemteua Valentino Mlowola, kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Lilian Mashaka aliyeteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu.
Kabla ya Uteuzi Mlowola alikuwa ni Kamishna wa Polisi na Mkurugenzi Intelijensia ya Makosa ya Jinai katika Jeshi la Polisi.
Pia,kabla ya kuteuliwa kuwa Kamishna wa Polisi
↧
TRA Yakusanya Bilioni 5 za Kodi ya Makontena 329......Wafanyakazi 35 Wasimamishwa Kazi
BAADA ya Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa kufanya ziara ya kushitukiza katika Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kubaini upotevu wa Makontena 329, mapya yaibuka kwa Makampuni 43 kuhusika kukwepa kodi ya Sh.Bilioni 12.6 katika Bandari Kavu inayomilikiwa na Said Salim Bakhressa.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)
↧
↧
Kasi ya Rais Magufuli Haiko Kwenye Makontena Bandarini tu, imepita na TFF Ambapo TRA Imesitisha Safari Ya Timu Ya Taifa Ya Vijana
Ikiwa bado siku moja Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atimize mwezi mmoja toka aapishwe kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeshuhudia mengi yakitokea katika suala zima la upambanaji na watu wanaokwepa kodi sambamba na kusimamishwa kazi kwa viongozi kadhaa wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) waliopo Bandarini.
December 4 kasi ya
↧
HakiElimu Yamzima Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
TAASISI isiyo ya kiserikali ya HakiElimu leo imezindua ripoti iliyobainisha madudu yaliyofanywa katika utawala wa Awamu ya Nne chini ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete.
Ndani ya ripoti hiyo iliyobeba miaka 10 ya utawala wa Rais Kikwete sekta ya elimu, imeeleza kuwa katika uongozi wake, ubora wa kiwango cha elimu uliporomoka kuliko wakati mwingine wowote katika histolia ya Tanzania.
Katika
↧
Wafanyakazi Tanesco na Wachina Wawili Wafikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Ufisadi
Wafanyakazi wawili wa Tanesco na raia wawili wa China wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Kagera kwa tuhuma za kutenda makosa kumi na sita na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni moja.
Watuhumiwa kutoka Tanesco Isaack Tibita na Olver Mushumbusi kwa nyakati tofauti walikuwa mameneja Wilayani Karagwe wanadaiwa kushirikiana na wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi wa
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Desemba 5
↧
↧
Jinsi Kitambi Kinavyopatikana na Jinsi Kinavyoondolewa na Dawa ya Mkataa Kitambi
Kitambi ni ile hali ya tumbo kuwa kubwa na kuchomoza kwa mbele na wakati mwingine kufikia hatua ya kunin’ginia.
JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati ya bilioni 50 hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika sehemu mbalimbali za mwili wa binadamu.
Kwa wanawake seli hizo zipo sana
↧
Ujue Mfumo wa Nguvu za Kiume Unavyofanya Kazi Na Jinsi Ya Kukabiliana na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu
HATUA MBILI MUHIMU KATIKA KUSIMAMA KWA UUME
Ili mwanaume aweze
↧
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete atunukiwa Heshima ya Companion Award na Commonwealth Partnership for Technological Management (CPTM)
Taasisi ya Commonwealth Partnership for Technological Management (CPTM) inayojishughulisha na kukuza ushirikiano katika nyanja ya sayansi na teknolojia kwa nchi za Jumuiya ya Madola, imemtunuku Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete, heshima ya Juu ya CPTM (Companion Award) kwa kutambua mchango wake katika kuhamasisha ukuaji wa matumizi ya sayansi na teknolojia ikiwemo matumizi ya huduma za fedha
↧
Ujerumani Yamsifu Raid Magufuli Kwa Kupamvana na Ufisadi Kwa Vitendo.....Yaahidi Kumpa Ushirikiano
Serikali ya Ujerumani imeeleza kufurahishwa na kasi ya kupambana na rushwa na ufisadi ya Rais John Magufuli na kuahidi kumpa ushirikiano katika masuala ya maendeleo.
Ujerumani inakuwa nchi ya kwanza ya kigeni kuvutiwa na kasi ya Rais Magufuli ambaye ameonekana kuelekeza nguvu katika si tu kupambana na maovu hayo tangu aapishwe Novemba 5, bali pia kuchochea maendeleo ya watu wenye kipato
↧
↧
Serena Hotel Yazushiwa Kufungwa Kwa Kutolipa Kodi
HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi.
Tetesi hizo zilianza kusambaa kwenye mitandao ya kijamii jana asubuhi, zikieleza kuwa maofisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA) wameifunga hoteli kufunga kwa kukwepa kuliko kodi serikalini.
Mbali ya
↧
Undani Kigogo Wa Bandari Kufa kwa Presha!
WAKATI Rais John Magufuli akiwa kwenye zoezi la kutumbua majipu kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), mshtuko mkubwa umetokea kufuatia kigogo mwenye wadhifa wa Artsan One (TPA) jijini Dar, Elia Eliampenda Kimaro (51) kufariki dunia ghafla kwa shinikizo la damu (presha) akiwa nyumbani kwake, Mikwambe, Kigamboni, Dar.
Kimaro alifariki dunia Novemba 30,
↧
Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam Awaagiza Wakurugenzi Kuwaondoa Ombaomba Waliko Barabara za Jiji
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za jiji la Dar es Salaam, kuwaondoa ombaomba wote walioko katika barabara za jiji, kwani wanachangia uchafu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini jana, Sadiki alisema utekelezaji wa kauli ya Rais John Magufuli ya kutumia siku ya Desemba 9 mwaka huu kufanya usafi, utakwenda sambamba na kuwaondoa
↧
Orodha ya majina yaliyotajwa na TRA ya kampuni na watu waliokwepa ushuru wa kontena 329
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) juzi ilitaja majina ya kampuni 43 na
wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa
ushuru, na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita.
Akizungumza na waandishi wa habari juzi jijini Dar es Salaam, Kaimu
Kamishna Mkuu wa TRA, Dk. Philip Mpango alisema Mamlaka hiyo iliagizwa
na Waziri Mkuu Majaliwa kuchukua hatua
↧
↧
Mkuu wa Mkoa Wa Dar es Salaam Amsihi Yussuf Manji Akubali Kuachia Ufukwe wa Coco Beach Ili Uwanufaishe Watanzania Wote
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amemuomba mmiliki wa Kampuni ya Q Consult inayomilikiwa na mfanyabiashara Yussuf Manji kutumia busara kukubali kuuachia ufukwe wa Coco jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Sadiki alisema Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Ardhi katika uamuzi wake imeiamuru Manispaa ya Kinondoni, kutekeleza
↧
Ukimya wa Lowassa,Sumaye na Mbowe Kuhusu MAJIPU Yanayotumbuliwa na Magufuli Wazua Maswali
Ukimya wa wanasiasa walioongoza harakati za kupambana na ufisadi katika majukwaa ya kisiasa, wakati huu Serikali ikichukua hatua za wazi na haraka kukabiliana na ubadhirifu wa mali za umma, umeibua maswali kuhusu uzalendo kwa nchi yao.
Miongoni mwa wanasiasa waliohusishwa na maswali hayo ni pamoja na aliyekuwa Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na
↧
Gazeti la Dagens Nyheter(Sweden); Magufuli atajwa Kuwachonganisha Marais Wenzake na Wapiga Kura Wao!
Dagens Nyheter ni gazeti kubwa kushinda yote nchini Sweden, ndio 'Daily News' lao kwa maana ya jina la gazeti.
Katika toleo lake la Ijumaa Desemba 4, habari za John Magufuli zimepamba pia gazeti hilo.
Amemwagiwa sifa, na ikaandikwa pia, kuwa Magufuli amewaweka katika wakati mgumu marais wenzake wa nchi jirani kwa vile wapiga kura wao wameonyesha wivu wao kwa Watanzania kupata Rais wa
↧
More Pages to Explore .....