Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Jeshi la Wananchi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Laandaa Sherehe za Kumuaga Rais Kikwete

$
0
0
  Taarifa kwa Vyombo vya Habari Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinaandaa sherehe ya kumuaga Amiri Jeshi Mkuu tarehe 01 Septemba 2015 kwa gwaride rasmi litakalofanyika katika viwanja vya Uhuru, kuanzia saa 2.00 Asubuhi hadi saa 6.30 mchana.   Waandishi wa Habari mnakaribishwa katika uwanja wa Taifa kwa ajili ya Coverage ya tukio hilo la kihistoria.   Imetolewa  na  Kurugenzi  ya  Habari

Polisi Yakamata Majambazi 38 Yakiwa na silaha Nzito pamoja na Milioni 170......Majambazi hayo yanadaiwa na mafunzo ya Kijeshi

$
0
0
Jeshi la Polisi limewakamata watu 38 wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi ambao pia wamepatiwa mafunzo ya kigaidi katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Lindi. Sambamba na kukamatwa watu hao, polisi pia imekamata bunduki 10, risasi 300 na bomu moja la mkono. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna, Suleiman Kova ametangaza leo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Septemba 1

Lowassa Apokelewa Kifalme Njombe........Hapa kuna picha 14 za Mafuriko yake

$
0
0
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye viwanja vya Shirika la Nyumba (National Housing) Mjini Njombe tayari kwa kuhutubia Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu, anazoendelea kuzifanya kwa nchi nzima. Picha zote na Othman Michuzi, Njombe. Mgombea Urais

Magufuli Atikisa Songea......Aweka shada la maua kwenye Kaburi la Marehemu Kapteni John Komba

$
0
0
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania  kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia  kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa majimaji mjini Songea jana ambapo mkutano huo ulihudhuriwa na maelfu ya wananchi mkoani humo.  Akizungumza katika mkutano huo wakati akiomba kura Dr. John Pombe Magufuli aliwaambia wananchi hao kuwa  anataka kuijenga

Lowassa: Miaka 50 ya Kuteswa na CCM Imetosha......Watanzania Msiogope Kufanya Mabadiliko

$
0
0
Mgombea urais wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema mwaka huu ni wa mabadiliko ili kuiokoa nchi na madeni mengi ambayo yanasababisha uchumi kuyumba. Lowassa ambaye ameambatana na Waziri Mkuu wa mstaafu wa awamu ya tatu, Frederick Sumaye, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Laurence Masha, aliyekuwa Mwenyekiti wa

Dr. Slaa Kuongea na Vyombo vya Habari Leo Saa Nane Mchana

$
0
0
Baada ya kutoonekana hadharani kwa wiki kadhaa, hatimaye Katibu Mkuu aliyepumzika wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa atajitokeza hadharani leo na kutoa ufafanuzi kuhusiana na masuala mbalimbali yanayoelezwa kuhusiana na yeye. Taarifa zilizotufikia jana zilieleza kuwa Dk. Slaa atajitoa hadharani leo saa 8:00 mchana wakati atakapozungumza na waandishi wa habari

Sheria ya Makosa ya Mtandao kuanza kutumika leo.

$
0
0
Serikali imewatoa hofu wananchi kuhusu Sheria ya Makosa ya Mtandao inayoanza kutumika rasmi leo kuwa haijatungwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu, bali kwa maslahi mapana ya taifa na kuleta maendeleo ya nchi, kujenga uchumi imara na kupambana na wahalifu. Aidha,  serikali imewasisitizia wananchi kutumia vizuri mitandao kwa faida yao na taifa na

Ahadi za UKAWA zaitikisa Serikali

$
0
0
Wakati kampeni za Uchaguzi Mkuu zikiendelea kushika kasi, ahadi za mgombea urais Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa zimeanza kuichanganya Serikali na jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta aliibuka na kudai mgombea huyo anaahidi mambo ambayo tayari yanatekelezwa na Serikali ya CCM. Ahadi ambazo zimemshtua Sitta ni ile ya ujenzi wa reli mpya ya kati na kufufua shirika la

LIVE UPDATE Kutoka Serena Hotel Ambako Dr. Slaa Anaongea

$
0
0
1.Napenda  kumshukuru  mwenyezi  mungu  kwa  kutujalia  uzima. 2. Nimeamua  kujitokeza  leo  hii  ili  kukomesha  upotoshaji  na  kuuweka  wazi  ukweli. 3.Sina  tabia  ya  kuyumbishwa  na  ninasimamia  ninachokiamini. 4.Sina  ugomvi  na  kiongozi  yeyote  maana  siasa  sio  uadui. 5. Siasa  inapoongozwa  kwa  misingi  ya  upotoshaji, matokeo  yake  ni  vurugu. 6. Naweka 

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya leo Jumatano ya Septemba 2

Tundu Lissu: Dr Slaa ni Muongo watanzaia Mpuuzeni.....Kinachomsumbua ni tamaa ya Urais. Tunamtaka Arudishe mali zote za Chama

$
0
0
Katibu Mkuu wa  Chadema, Dk Wilbroad Slaa, jana  alitangaza rasmi kuachana na siasa  baada  ya  kutofautiana  na  chama  chake  katika  kumpokea  Edward  Lowassa  na  hatimaye  kumfanya  mgombea  urais  wa  chama  hicho  chini  ya  mwamvuli  wa  UKAWA. Dr. Slaa  alitoa  uamuzi  huo  jana  mbele  ya  waandishi  wa  habari  ambapo  pia  mbali  na  kutangaza  kuachana  na  siasa 

Serikali Yalikana Deni la Walimu

$
0
0
Sakata la madeni ya walimu limezidi kuchukua sura mpya baada ya serikali kusema haidaiwi na kwamba imebaini kuwapo kwa majina hewa ya walimu zaidi 4,000 yaliyowasilishwa kwa ajili ya malipo. Imesema imegundua hivyo baada ya kufanya uhakiki wa deni la Sh. bilioni 19.6 lililowasilishwa na walimu baada ya kuwalipa madai yao kwa mara ya mwisho mwaka 2013. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa

Maaskofu Wamjibu Dr. Slaa Baada ya Kuwatuhumu Kuhongwa na Lowassa......Gwajima Naye Ampa Makavu, Asema Slaa Ametumwa na CCM

$
0
0
Baadhi ya viongozi wa dini na wananchi wamesema shutuma za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kuwa baadhi yao walihongwa na Mgombea Urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa, ni upuuzi mtupu. Wamemtaka atoe ushahidi wa madai hayo kwa kutaja majina ya viongozi na kiasi walichohongwa, wakisisitiza kuwa hizo ni siasa za majitaka na

LOWASSA: Ujinga, umasikini na maradhi vitakuwa historia kwenye serikali yangu

$
0
0
Mgombea urais wa Chadema kwa mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa amesema akiwa rais wa Awamu ya Tano atafuta maadui watatu ambao ni ujinga, maradhi na umasikini waliodumu tangu nchi ipate uhuru mwaka 1961. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Uwanja wa Lembuka katika Kijiji cha Madaba mkoani Ruvuma, Lowassa aliyekuwa

Magufuli: Nitashusha bei ya saruji, mabati

$
0
0
Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema endapo atachaguliwa, atashusha bei ya vifaa vya ujenzi vikiwamo saruji na mabati kuanzia mwakani akisema tayari kuna viwanda vikubwa ambavyo vimeshaanza kujengwa nchini. Akiwahutubia wananchi wa Namtumbo, Ruvuma jana, Dk Magufuli alisema kuongezeka kwa viwanda hivyo akitolea mfano wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote ambacho

Picha 3 za Mkutano wa Lowassa Ruvuma

Aunt Ezekiel: CCM Siyo Baba Yangu Wala Mama Yangu

$
0
0
STAA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ amewajia juu wanaomsema kuwa amekikacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukimbilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa hajazaliwa na chama hicho bali amezaliwa Kisarawe. Aunt amesema kuwa hata kama huko alipo wakishindwa atakubali matokeo kwa kuwa lazima katika mchezo kuna upande utashinda na mwingine utashindwa hivyo atakubali

Watanzania waliotekwa na waasi DRC waachiwa

$
0
0
MASHEIKH sita wa Tanzania waliochukuliwa mateka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameachiwa huru usiku wa kuamkia jana.   Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa, Liberata Mulamula, alisema Balozi wa Tanzania nchini DRC kwa sasa yupo njiani kuelekea katika mji mkuu wa nchi hiyo, Goma kwa ajili ya kuwaona mateka

Sura ya mtoto wa Diamond itaonyeshwa kwa fedha

$
0
0
MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ na mpenzi wake, Zarina Hassani ‘Zari’, wamekubaliana kutoonyesha sura ya mtoto wao wa kike, Tiffah hadi atakapofikia siku arobaini tangu kuzaliwa kwake.   Alisema makubaliano ya kuendelea kumficha mtoto huyo asionekane kwa jamii yametokana na makubaliano waliyonayo na makampuni mbalimbali yanayomdhamini.   Diamond
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images