Aliyekuwa
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba alirejea nchini jana jioni
akitokea Kigali, Rwanda alikokwenda mara tu baada ya kujiuzulu wadhifa
huo siku nane zilizopita.
Profesa
Lipumba aliwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius
Nyerere (JNIA) saa 10.10 jioni kwa ndege ya Rwanda Air.
Akihojiwa
na Azam Tv kwa simu akiwa Kigali, siku tatu baada ya
Profesa Lipumba Awasili Nchini Akitokea Rwanda.....Asema Hataiunga Mkono UKAWA
↧
↧
Picha: Kinachoendelea Uwanja wa Kimataifa Jijini Mbeya Wakati Wapenzi wa UKAWA Wakimsubiri Lowassa Uwanjani Hapo
Mgombea Urais wa UKAWA Kupitia CHADEMA Leo atakuwa Jijini Mbeya kwa ajili ya kutambulishwa na kusaka wadhamini.
Hapa kuna picha kadhaa za shamrashamra za wananchi wakimsubiri kwa hamu kubwa uwanja wa ndege wa Songwe.
Endelea Kuwa nasi.
↧
CCM Wakanusha Habari Iliyoenea Kuwa Mgombea Wake, Dr John Magufuli Ameahidi Kugawa Laptop Kwa Walimu Wote Nchini
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha uvumi ulioenea sehemu mbalimbali
kuwa Mgombea wa Urais kupitia tiketi ya Chama hicho,Dkt.John Pombe
Magufuli amewaahidi Walimu kuwapa Kompyuta kama CCM itapita madarakani.Akizungumza
na Waandishi wa Habari katika Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya Chama
hicho,Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye amesema kauli hiyo
siyo ya kweli na haikutolewa na
↧
JWTZ Wakanusha Kunyang'anywa Kadi Zao za Kupigia Kura
Mkurugenzi
wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali
Ngemela Lubinga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa
habari Dar es Salaam leo.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Mkutano na wanahabari ukiendelea.
JESHI
la Wananchi Tanzania (JWTZ), limekanusha kuwanyang'anya kadi za kupigia
kura maofisa na askari wake kama ilivyodaiwa na mmoja wa
↧
Lowassa Yupo Jijini Mbeya Kwa Ajili ya Kutambulishwa na Kutafuta Wadhamini.........Hapa Kuna Picha Toka Viwanja vya Ruanda Nzove
↧
↧
Lowassa Avunja REKODI Jijini Mbeya
↧
LOWASSA Aahidi Kuunda Serikali Makini Itakayofanya Kazi Masaa 24 Kuwahudumia Wananchi
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana alipokewa na maelfu ya watu mjini Mbeya ambao kwenye uwanja wa Ruanda, Nzovwe, aliwaambia wananchi kuwa hatataka mchezo katika serikali atakayoiongoza.
Pamoja na Jeshi la Polisi kutangaza kuzuia msafara wakati wa ziara ya waziri huyo mkuu wa zamani, hali ilikuwa tofauti jana wakati zaidi ya magari 20 yalimsindikiza kutoka
↧
Nec: Fomu za Urais kurejeshwa Alhamis ijayo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imetangaza siku ya urejeshaji fomu za Urais na Makamu wa rais kuwa ni Alhamis ijayo.
Aidha, imepiga marufuku maandamano na badala yake watu saba tu ndio wataruhusiwa kusindikiza wagombea.
Taarifa ya Nec kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na Mkurugenzi wa NEC, Ramadhani Kailima, ilisema urejeshaji fomu utaanza saa 1:30 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.
↧
Daktari feki akamatwa Dodoma, tayari ametibu watu 20
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi wa Katesh katika wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Mohammed Abdallah (35), baada ya kukutwa akitoa huduma za kidaktari ambazo hana utaalamu wake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema Abdallah alikamatwa Agosti 12, mwaka huu saa tisa mchana katika kijiji cha Nyerere kata ya Hogoro tarafa ya Zoissa wilaya ya Kongwa, akiwa
↧
↧
Mtabiri: Kifo cha mgombea Urais Mwaka huu kipo palepale
MTABIRI maarufu Bongo, Maalim Hassan Yahya ameibuka na kusema kwamba utabiri aliowahi kuutoa kwamba kuna mgombea urais atafariki, bado upo palepale.
Maalim Hassan alisema kuugua ghafla kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ni dalili tu za ukamilifu wa utabiri wake lakini suala la mgombea urais kudondoka na kufa akiwa jukwaani akifanya kampeni
↧
Leo LOWASSA Yupo Jijini Arusha Kusaka Wadhamini.......Hapa kuna Picha 5 Akiwasili Uwanja wa Ndege
↧
Jionee Mafuriko ya LOWASSA Jijini Arusha
↧
Mafuriko ya LOWASSA Yatanda Kila Kona ya Nchi.....Wanachama Maarufu wa CCM Wahamia UKAWA
KAMBI kuu ya upinzani katika siasa za Tanzania, imezidi kuimarika. Matukio mawili, moja la jana, jingine leo hii, yametokea na kuongeza nguvu ya kampeni ya kuitoa CCM madarakani chini ya kaulimbiu ya “Toroka uje.”
Katika tukio la kwanza jana jioni, kambi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ilimpokea Omari Ayubu Kimbau, kada machachari wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akihamia Chama cha
↧
↧
Rais Kikwete Ammwagia Sifa MAGUFULI.........Awafananisha Wapinzani na Moto wa Mabua ambao Hauwaki Ukadumu
RAIS Jakaya Kikwete amesema ukiona Waziri anajisifia kafanya mambo kadhaa kwa uwezo wake, huyo ana matatizo ya ufahamu na ni mpenda sifa, kwa sababu mambo anayoyafanya anatekeleza majukumu aliyopewa na Rais na kwa mujibu wa muongozo aliopewa.
Alisema hayo jana wakati akiagwa jijini Dar es Salaam na taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Ujenzi, huku akiongeza kuwa vuguvugu za kisiasa
↧
Mgombea Urais wa Chama cha ACT-Wazalendo Kujulikana Leo
MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, anatarajiwa kujulikana leo baada ya Kamati Kuu ya chama hicho kupendekeza jina la mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho.
Jana Kamati Kuu ya chama hicho ilikutana jijini Dar es Salaam, kujadili majina ya wagombea wa nafasi ya urais na ubunge.
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wa chama hicho, Samson Mwigamba alisema
↧
Msafara wa Lowassa Ulivyopigwa MABOMU Na Polisi Jana jijini Arusha
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.
Tukio hilo, ambalo lilifanyika mbele ya msafara wa Lowassa, lilitokea jana eneo la Daraja la Nduruma katika Jiji la Arusha na kusababisha umati wa watu kutawanyika na wengine kutelekeza magari yao.
Wakati Mwenyekiti
↧
Breaking News: Polisi Watumia Mabomu ya Machoz Mwanza Kuwatawanya wafuasi wa Lowassa
Muda huu polisi wanapiga mabomu uwanja wa ndege jijini Mwanza kuwatawanya wananchi waliokusanyika kumpokea Lowassa.Mabomu yamepigwa muda mfupi baada ya ndege inayosadikiwa kuwa ni ya Lowassa kutua uwanjan, hali iliyowafanya wananchi walipuke kwa furaha huku wakiimba nyimbo za Chadema.Kadhia hiyo iliwafanya Polisi watumie nguvu ya ziada kuwatawanya
↧
↧
Rais Kikwete Ahutubia Baraza la Vijana wa CCM ( UVCCM) Jijini Dar
Mwenyekiti
wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya
Mrisho Kikwete akihutubia kwenye Baraza la Vijana wa CCM.
Wajumbe wa Baraza la Vijana wa CCM wakimsikiliza kwa makini mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Wajumbe wa Baraza la Vijana wakiwa kwenye hamasa ya hali ya juu.
Dk. Emmanuel Nchimbi akizungumza na wajumbe wa Baraza la Vijana wa
↧
Kingunge Ngombale Mwiru Avuliwa Ukamanda wa UVCCM Taifa.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-
1. Lilimvua Ukamanda Mkuu ndugu Kingunge Ngombale Mwiru. Maamuzi hayo yalitolewa kutokana na tabia na mwenendo wake wa hivi karibuni kuenda tofauti na maadili na taratibu za
↧
Lowassa Avunja Rekodi ya Mapokezi Jijini Mwanza
↧
More Pages to Explore .....