“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje”. Hii ni moja ya kauli ambayo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM.
CCM ilikuwa na Wagombea zaidi ya 40
ambao walitangaza nia na kuchukua fomu za Kugombea Urais 2015 lakini
baadae Chama hicho kikampitisha
Lowassa Akaribishwa Rasmi UKAWA......Hapa kuna picha na kilichojiri Leo Katika mkutano wa UKAWA na Waandishi wa habari
↧
↧
Ijue Sayansi ya Kusimama na Kusinyaa kwa UUme ( Sayansi ya Nguvu za Kiume)
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu
Hatua mbili Muhimu katika Kusimama kwa Uume
Ili mwanaume aweze
↧
IKULU Yaukana Mshahara Wa Rais Kikwete........Yasema Gazeti La Mwananchi Limepotosha
Gazeti la Mwananchi la Jumatatu, Julai 27, 2015, kwenye ukurasa
wake wa 26 limechapisha habari yenye kichwa cha habari, “Marais watano
wanaotajwa kuongoza kwa mishahara minono barani Afrika ni hawa hapa”.
Katika habari hiyo ambayo gazeti hilo linadai chanzo chake ni “uchambuzi
wa mtandao wa African Review” inadaiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
↧
Mbunge Wa CHADEMA Ahamia ACT-Wazalendo
Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange
(kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti
maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa
mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam jana mchana.
Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya kukabidhiwa.
↧
Mbunge Mwingine wa CHADEMA Arudisha Kadi na kujiunga na CCM
MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
Mkoa wa Mara, Leticia Nyerere ameng'atuka rasmi jana katika chama hicho
na kudai kuwa anarudi nyumbani katika chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika ukumbi wa idara ya habari
maelezo jijini Dar es Salaam, Leticia alisema kuwa katika suala la
kuhamia Chadema hakutafakari kwa kina
↧
↧
Kwa Nini UKAWA Wameamua LOWASSA Awe Mgombea wao wa Urais??..... Tundu Lissu Amelijibu Swahi hili kwa Ufasaha Kabisa
Kwa Nini UKAWA Wameamua LOWASSA Awe Mgombea wao wa Urais??..... Tundu Lissu Amelijibu Swahi hili kwa Ufasaha Kabisa hapo chni:
Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now.
Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka
↧
Shindano la ‘Big brother Africa’ kutofanyika mwaka huu
Kumekuwa na uvumi mkubwa juu ya shindano kubwa la TV Africa, Big Brother Africa (BBA) kutokufanyika mwaka huu na inadaiwa sababu ni ukosefu wa wadhamini wa shindano hilo.
Waandaaji wa shindano hilo, Africa Magic na Endemol wamesema shindano hilo la BBA 2015 linaweza lisifanyike mwaka huu na hivyo kuahirishwa mpaka mwakani.
Manager wa Multichoice Ghana, Anne Sackey amethibitisha uvumi wa
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 28
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 28
↧
Hatupo tayari kuungana na chama kingine - TLP
Chama cha TLP kimesema hakipo tayari kuungana na chama kingine chochote kile kwa makubaliano ya kumsimamisha mgombea mmoja badala yake kitasimamisha mgombea wake makini ambaye ataingia katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais.
Kauli hiyo imetolewa na naibu katibu mkuu wa chama cha TLP taifa Dominata Rwechungura wakati akiongea na wananchi wa kata ya Kishogo wilayani Bukoba ambapo
↧
↧
Kada mkongwe wa CCM Ambaye Alikuwa Waziri Katika Serikali ya Mwl. Nyerere Atimkia CHADEMA
Kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi na ambaye aliwahi kuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, Nazar Nyoni (84), amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Nyoni ambaye pia aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Elimu katika Serikali ya Awamu ya Kwanza, alisema ameamua kujiunga na Chadema baada ya kuvutiwa na maneno ya wabunge waliomaliza muda wao, Tundu
↧
Mrembo akuhumiwa jela kwa video tata mtandaoni
Mnenguaji wa kike nchini Misri, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuonekana kwenye video yenye utata mtandaoni.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama moja nchini humo kwa kosa la
kuchochea ngono baada ya kuonekana katika video yenye utata katika
mtandao.
Mrembo huyo aliyetambulika kwa jina la Reda al – Fouly alitiwa
mbaroni, mara baada ya video hiyo ya miondoko ya Pop
↧
Breaking News: LOWASSA Atangaza Rasmi Kuhamia CHADEMA.....Asema CCM siyo Baba Yake Wala Mama Yake
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa ametangaza rasmi kukihama chama cha mapinduzi, CCM mchana huu na kutangaza kuhamia CHADEMA.....
Lowassa ametoa kauli hii Bahari Beach , Dar akiwa sambamba na viongozi mbalimbali wa UKAWA ambao wamekutana na waandishi wa habari kuzungumzia hatima yake kuelekea ikulu pamoja na mapungufu yaliyojitokeza wakati wa
↧
Sentensi 50 Alizozisema Edward Lowassa Leo Wakati Akikabidhiwa Rasmi Kadi ya CHADEMA.......Yapo pia maneno ya Mbowe,Lipumba, Makaidi na Mbatia
1.Nimetumia wiki mbili kutafakari hatma yangu ktk Siasa, najua wengi wamesubiri kwa hamu.
2.Watu wangu wamesema fanya maamuzi magumu.. Namshukuru Mke wangu na familia wamekuwa na mimi ktk kipindi kigumu-
3.Nawashukuru watu wengi waliojitokeza kuniunga mkono wakati natafuta wadhamini-
4.Uchaguzi wa Mgombea CCM ulijaa chuki dhidi yangu, Kamati ya Maadili haikutakiwa kuchagua Mgombea-
↧
↧
Hapa Kuna Picha 5 Za Lowassa Na Mkewe Wakikabidhiwa Rasmi Kadi Za CHADEMA
Mhe. Freeman Mbowe (katikati) kulia kwake ni Regina Lowassa (mke wa Lowassa) na kushoto kwake ni Edward Lowassa baada ya kukabidhiwa kadi cha Chadema.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi,
James Mbatia akimpongeza Edward Lowassa punde baada ya kujiunga na
CHADEMA chama kimojawapo kinachounda umoja wa UKAWA.
Mke wa Edward Lowassa, Regina Lowassa akikabidhiwa kadi ya CHADEMA na Mwenyekiti wa
↧
CCM Kumjibu LOWASSA Leo
Baada ya Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kutangaza
kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuhamia Chadema jana katika ukumbi
wa Bahari Beachi jijini Dar es salaam, chama cha Mapinduzi kimetoa
taarifa ya kuzungumza na Vyombo vya Habari leo.
Taarifa hiyo ya chama cha Mapinduzi haijafafanua kuwa ajenda
itakuwa nini katika kikao hicho lakini kwa mujibu wa watafiti wa masuala
ya
↧
CCM Wamjibu LOWASSA........Wasema Kuhama kwake Hakuna madhara na kwamba Watapata ushindi wa kishindo
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Dar, Juma Simba Gaddafi jana aliongoza mkutano wa CCM na waandishi wa habari uliofanyika Peacock Hotel Dar, na haya ndo mambo aliyoyasema;
"CCM inatoa shukrani kwa ushirikiano mlioutoa katika Mkutano wetu Mkuu wa Kumtambulisha Mgombea Urais Dk. Magufuli pale Mbagala, CCM ni Chama chenye busara tumeona tuwashukuru
"Tume ya Uchaguzi
↧
Mwigulu Nchemba Atoa Ufafanuzi Baada ya Kuhojiwa na TAKUKURU
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Mashariki ameipongeza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Singida kwa kumwita yeye na kumhoji kwa kuwa hilo ndilo jukumu lao la msingi.
Mwigulu aliyasema hayo wakati akitoa ufafanuzi juu ya kuhojiwa kwake na taasisi hiyo kuhusu tuhuma za kukiuka Sheria ya gharama za Uchaguzi na Sheria za Kuzuia na
↧
↧
LOWASSA Kuchukua Fomu ya Kugombea Urais LEO kwa Mbwembwe na Shamrashamra!!
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa alitambulishwa rasmi kuhamia CHADEMA July 28 2015 Dar es Salaam akiwa ameongozana na mke wake, Regina Lowassa pamoja na watoto wao.
Kwenye Orodha ya Viongozi wa UKAWA ambao walikuwepo kumpokea na kumkabidhi kadi ya CHADEMA, alikuwepo James Mbatia, Prof. Lipumba, Dk. Emmanuel Makaidi, Salum Mwalimu na Freeman Mbowe.
Salum Mwalimu
↧
Habari Zilizopo Katika magazeti ya Leo Alhamisi ya July 30
Habari Zilizopo Katika magazeti ya Leo Alhamisi ya July 30
↧
Naibu Spika Job Ndugai ampiga Mgombea mwenzie
Mbunge wa Kongwa aliyemaliza muda wake ambaye pia ni naibu spika wa Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amempiga mgombea mwenzie kwa nafasi ya ubunge, Dk. Joseph Chilongani kwa madai ya kumpiga picha wakati anafanya fujo kwenye mkutano wa kampeni wa kura za maoni.
Tukio hilo limetokea jana jioni wakati wagombea wa ubunge kwa tiketi ya CCM wakiwa kwenye mkutano na wanachama
↧
More Pages to Explore .....