BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na
Majini (SUMATRA CCC), limetishia kufungua kesi dhidi ya wamiliki wa
magari watakaogoma na kusababisha usumbufu kwa wasafiri.
Tishio hilo limekuja baada ya Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania
(Taboa) kusema kuwa kitaitisha mgomo endapo serikali haitapunguza ushuru
wa mabasi kutoka asilimia 25 kufikia asilimia 10.
Wamiliki wa Mabasi Kushitakiwa
↧
↧
Rais Kikwete Apata Tuzo ya Utawala Bora
RAIS Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo na Taasisi ya African Achievers
Awards, yenye makao makuu Afrika Kusini, kwa kutambua mchango wake
katika kuimarisha, kuendeleza na kudumisha Utawala Bora, kwa miaka 10 ya
uongozi wake.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, ilisema Kikwete
anaungana na watu wengine wachache waliowahi kupokea tuzo hiyo tangu
ilipoanzishwa na kutolewa kwa
↧
Nyambari Nyangwine Awalalamikia Vijana wa CCM Kumzomea Hadharani
MBUNGE wa Jimbo la Tarime anayemaliza muda wake, Nyambari Nyangwine,
amedai kuchezewa rafu akisema kuna baadhi ya vijana wamekuwa wakinywa
pombe aina ya viroba kwa ajili ya kumzomea ili aonekane hakubaliki
kutetea nafasi yake.
Nyangwine ambaye anatetea nafasi yake kupitia Chama Cha Mapinduzi
(CCM), sasa akigombea Tarime Vijijini, ametaka mchatako wa kumpata
mgombea ambaye
↧
Magufuli Awataka Wananchi Wachague Wabunge Wachapakazi wa CCM Ili Iwe Rahisi Kwake Kuunda Baraza Zuri la Mawaziri
MGOMBEA urais mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli,
amewaomba wananchi wa mkoa wa Morogoro na mingine nchini, kuchagua
wabunge wachapakazi kama yeye wanaotokana na CCM.
Lengo la ombi hilo, ni
ili yeye atakapochaguliwa na Watanzania kuwa Rais, ateue wabunge hao
kwenye nafasi ya uwaziri watakaowatumikia kikamilifu.
Akielezea uzoefu wake, Dk Magufuli alisema
↧
Rais Kikwete Ateua Mkurugenzi mpya wa Tume ya Uchaguzi
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya utendaji katika Tume ya
Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa kumteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala wa
Tume hiyo, Kailima Kombwey kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni
Sefue, Kombwey ambaye aliapishwa jana jioni, anachukua nafasi ya
aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius Mallaba, ambaye
↧
↧
Diamond Platnumz ashinda tuzo nyingine Afrika Kusini ‘African Achievers Awards’.
Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African
Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini, Tuzo
aliyoshinda Diamond ni ya Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’.
↧
Batuli: Rushwa ya Ngono iliniondoa Kaole
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono.
Batuli alifunguka hayo Jumatano alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka
↧
Video fupi ikimuonyesha Rais Obama akicheza wimbo wa Sauti Sol Kenya.
Sauti Sol ni kundi maarufu la muziki kutokea nchini Kenya ambalo
limefanikiwa kuvuka hata mipaka na kuteka kwenye nchi jirani kama
Tanzania, Rwanda, Burundi na nchi nyingine za Afrika mpaka kupelekea
kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kama za MTV na BET 2015.
Kundi hili lilipata mwaliko maalum wa kwenda kuimba Ikulu ya Kenya
kwenye party ya kumkaribisha Rais Barack Obama wa Marekani
↧
Video ya Rais Obama alivyosalimia kwa Kiswahili Kenya
Ndege ya Rais Obama ilitua July 24 2015 saa mbili usiku Jomo Kenyatta International Airport, Historia ikaandikwa kwa Rais huyo wa kwanza wa Marekani kutembelea Kenya.
Obama ni mmoja ya Marais wacheshi sana na wanaopenda stori za utani utani hivi wakati mwingine.
July 25 2015 Rais Obama amefungua Kikao cha Global Entrepreneurship Summit Nairobi Kenya, baada ya kukaribishwa na mwenyeji
↧
↧
Obama Aitaka Kenya iongeze Mapambano dhidi ya al Shabaab
Rais wa Marekani Barack Obama jana (25.07.2015) alifanya mashauri na mwenyeji wake Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi na kujadili maswala kadhaa yakiwemo usalama, uwekezaji na uongozi.
Rais wa Marekani Barack Obama ameitaka Kenya kuongeza jitihada za kulikabili kundi la wanamgambo wa al Shabaab kutoka Somalia.
Obama amesema Marekani inahitaji kushirikiana kwa karibu zaidi na
↧
Wiki Ya Mtikisiko: Lowassa na Timu Yake Wasubiriwa kwa Hamu UKAWA.......Zaidi ya Viongozi 950 Wa CCM Kutimkia CHADEMA Wiki hii
Ni wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali
itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa
yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza
kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania.
Hali hiyo
inatokana na vuguvugu la kisiasa linalohusisha viongozi wenye ushawishi
kuhama vyama vyao vya siasa na kutimkia kwenye vyama vingine, ikiwa ni
siku
↧
Mbowe Aundiwa Zengwe Ubunge Hai
Wanachama wa Chadema wamedai kufichua mpango unaofanywa na
baadhi ya viongozi wa CCM wa kumwekea pingamizi Mbunge wa Jimbo la Hai,
Freeman Mbowe ili asiwanie ubunge.
Kiini cha mipango
hiyo ni hukumu ya Mahakama ya Wilaya ya Hai iliyomtia hatiani kwa kosa
la kumshambulia mwangalizi wa ndani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010,
Nassir Yamin.
Katika hukumu hiyo, iliyotolewa Juni 17
↧
Zitto Kabwe: Hatuna Mpango wa Kujiunga na UKAWA
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema hakipo tayari kujiunga na Ukawa kama
ambavyo habari za uvumi zimekuwa zikizagaa katika baadhi ya vyombo vya
habari kuwa chama hicho kipo mbioni kujiunga na
Ukawa.
Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe
jana na kusema kuwa taarifa zinazoenea kuwa chama hicho kitajiunga na
Ukawa sio za kweli.
"Leo( jana ) siku nzima nilikua
↧
↧
Picha ya Diamond na Zari Wakiwa Nusu UCHI Yawavuruga Mashabiki...
Stori zilizo zagaa mtaani ni kuwa wawili hawa( Diamond na Zari ) wanatarajia kupata mtoto wao hivi karibuni, lakini picha hii imeibua hisia tofauti miongoni mwa mashabiki wa mastaa hawa.
Kundi kubwa kubwa linawalaumu wasanii hawa kwa kupiga picha kama hii huku likidai ni kumdhalilisha mtoto aliyeko tumboni.
Aunt Ezekiel aliwahi piga picha kama hii
↧
Mbatia apita bila kupingwa kura ya maoni Vunjo.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amepita bila kupingwa katika mchakato wa kumtafuta mgombea ubunge jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro kupitia chama hicho.
Mbatia amepitishwa baada ya vikao vya Kamati ndogo kwenye ngazi ya matawi, kata na jimbo kumpa alama ‘A’ sawa asilimia 100 baada ya kuwa mgombea pekee aliyejitokeza kuomba kuteuliwa na chama chake kuwania
↧
Familia ya Bobby Brown yathibitisha kifo cha Bobbi Kristina.
Bobbi Kristina Brown ,mtoto wa marehemu Whitney Houston ambaye
alikuwa gwiji wa muziki wa R&B ,amefariki dunia baada ya kupoteza
fahamu kwa muda wa miezi sita tangu alipokutwa taabani kwenye bafu lake
na pindi alipofikishwa hospitalini na kukutwa na matatizo kwenye ubongo.
Bobbi amekufa akiwa na umri wa miaka 22,huku akivutiwa kuwa muigizaji na muimbaji mahiri na mwenye ubora wa aina
↧
Mbunge Wa CHADEMA, Salvatory Machemli Apigwa Chini Katika Kura za Maoni.......Awakasirikia Wapambe Wake, Awanyang'anya Pikipiki
MBUNGE anayemaliza muda wake, Salvatory Machemli, amekuwa Mbunge wa kwanza wa jimbo kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kubwagwa kwenye kura za maoni zinazoendelea ndani ya chama hicho.
Machemli, aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe mkoani Mwanza, alijikuta akishindwa kupata kura za kutosha katika uchaguzi huo uliofanyika juzi mjini Nansio, Ukerewe.
Awali, uongozi wa Chadema Makao
↧
↧
Msindai Ajitwisha Msalaba Wake......Aachana na Lowassa
Aliyekuwa mmoja wa wapambe wakubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa wakati wa safari ya matumaini, Mgana Msindai, sasa ameelekeza nguvu kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo jipya la Mkalama mkoani Singida.
Msindai alikuwa mpambanaji mkubwa kuhakikisha Lowassa anafanikisha ndoto ya kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao, hata kufikia hatua ya
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 27
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 27
↧
LOWASSA Atua Rasmi CHADEMA.......Kutangazwa Muda Wowote Ndani ya Wiki Hii
Mpango wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Mtandao huu uliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza
↧