Msajili wa vyama vya Siasa nchini amewaasa
wanachama na viongozi wa Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA)
kutumia muda wao kufanya shughuli za siasa ili kuchangia maendeleo ya
nchi badala ya kutumia uwezo na muda wao kubuni mambo yanayoleta
mtafaruku na kuhatarisha amani ya nchi.
Pia
amepinga tamko la chama hicho la kuanzisha mafunzo ya kujilinda kwa
vijana wake nchi nzima.Kwa
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AIONYA CHADEMA
↧
↧
MWANAMKE ANYONGWA HUKO SHINYANGA BAADA YA MUMEWE KUMTUHUMU KUGAWA PENZI NJE YA NDOA YAO
Na Kadama Malunde, Shinyanga
MWANAMKE
mmoja Happiness Luhende mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Lubaga katika
manispaa ya Shinyanga, ameuawa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kunyongwa
na mume wake kwa kutumia kamba ya katani baada ya kumtuhumu kuwa
anamsaliti kwa kufanya mapenzi na wanaumme wengine.Tukio hilo
limetokea juzi jioni majira ya saa 12 jioni katika kata ya Lubaga,
ambapo
↧
MABINTI WAJIREKODI WAKIWA UCHI..... VIDEO YAVUJA
<!-- adsense -->
Maadili ya kitanzania yamekuwa yakiporomoka kila kukicha hasa kwa watoto wa kike ambao wengi wao wamekuwa wakiendekeza ufaska wa tamaduni za nchi za ng'ambo wa kujirekodi wakiwa uchi na kujipiga wakiwa uchi.
Hii ni video ya mabinti hao walioamua kujiumbua wenyewe( Ni sharti uwe mtu mzima )
<< BOFYA HAPA KUICHEIKI ILIKO>>
↧
BINTI ALIYEZALIWA BILA MACHO WALA PUA ATAKIWA KUTOA UBAVU WAKE ILI AFANYIWE UPASUAJI
Msichana Brave Cassidy Hooper (17) kutoka Charlotte, Kaskazini mwa
Carolina Marekani aliyezaliwa bila pua wala macho anategemea kufanyiwa
upasuaji mkubwa wa kurekebisha uso wake.
Brave anategemewa kufanyiwa upasuaji huo (July 31) mwaka huu ambapo
inategemewa sehemu ya mfupa utaondolewa katika ubavu wake kwaajili ya
kutumika kutengeneza paji la uso wake, mfupa huo utasaidia kama
↧
PESA MWANAHARAMU:.. LADY GAGA AKUBALI KUPIGWA UCHI ILI KUUPAMBA UKURASA WA MBELE WA GAZETI
Lady Gaga ametoa kali ya mwaka baada ya kukubali kufotolewa akiwa mtupu ili kuupamba ukurasa wa mbele wa gazeti la V magazine...
Baadhi ya fans wake wamefunguka na kudai kuwa uroho wa pesa utamponza huku wengine wakidai kuwa msanii huyo atakuwa amekubali kuanikwa hivyo ili kuvuta "attention" ya mashabiki wake kwa ujio wa albam yake mpya
↧
↧
WANAFUNZI WANUSURIKA KUFA BAADA YA BWENI KUTEKETE KWA MOTO HUKO IRINGA
WANAFUNZI 12 wa Shule
ya Sekondari ya Mlowa iliyopo Wilaya ya Iringa Vijijini wamenusurika kufa baada
ya bweni walilokuwa wamelala kuungua kwa moto na kuteketeza vitu ambayo
vilikuwemo ndani.
Tukio hilo linadaiwa lilitokea
baada ya hitilafu ya umeme wa nishati ya jua (Sola) iliyosababishwa na
wanafunzi ambao walikuwa wamelala katika bweni hilo kuunganisha nyaya kienyeji kwa ajili ya
↧
HII NDO HALI HALISI YA MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTER ALIYEMWAGIWA TINDIKALI
MFANYABIASHARA maarufu na Mmiliki wa
maduka ya Home Shopping Center (HSC), Said Mohamed Saad, ambaye wiki
iliyopita alimwagiwa tindikali maeneo ya Msasani City Mall, jijini Dar
es Salaam, sasa yuko Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
Wiki iliyopita majira ya saa moja jioni, mfanyabiashara huyo alimwagiwa
tindikali na mtu mmoja ambaye hakufahamika na mara baada ya kutenda
tukio hilo,
↧
ALIYETIMULIWA KANIKASI AKIWA NA VAZI LA NUSU UCHI ADAI KUWA KANISA LIMEMUONEA, WALIMSUKUMA AKAANGUKA NA WAMEHARIBU VIATU VYAKE VYA "UINGEREZA"..!!!
Wakati mwanamke wa kivazi kilichositisha ndoa kanisani kwa dakika kadhaa
akidai hakuwa na tatizo kuvaa vile, Katekista wa Kanisa Katoliki
Parokia ya Mtakatifu Peter, Yohane Maboko, amesisitiza kuwa alikiuka
maadili ya Kanisa.
Mwanamke huyo ambaye ameendelea kukataa kutaja jina lake, huku njia
zingine zikimtaja kwa jina la Restituta Kalemera, alidai juzi kuwa
kivazi hicho cha mabega wazi
↧
MAREKANI YAMPA ONYO RAIS KAGAME WA RWANDA....YAMTAKA KUACHA MARA MOJA KUWASAIDIA WAASI WA M23
Marekani imeitaka Rwanda kuacha kusaidia waasi wa kundi la M23 ambalo
linaendesha mapambano dhidi ya Serikali ya nchi jirani ya Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Congo (DRC).Taifa hilo kubwa duniani limesema
lina ushahidi wa kutosha kuonesha kuwa Rwanda inalisaidia kijeshi kundi
hilo la waasi na baadhi ya maofisa wake wamo. Hii ni mara ya
kwanza kwa Marekani kutoa kauli kali tangu kundi hilo
↧
↧
"ATAKAYETHUBUTU KUIVAMIA TANZANIA ATAKIONA CHA MTEMA KUNI. TUPO TAYARI KWA UCHOKOZI WOWOTE"....RAIS KIKWETE ATOA ONYO KALI
Rais Jakaya Kikwete ametuma ujumbe kwa wale wanaoitishia
Tanzania. Amewaambia wakithubutu watakiona cha mtemakuni kama ilivyokuwa
kwa Idd Amin wa Uganda.
Alisema mamlaka za ulinzi na usalama zilimdhibiti
Amin alipofanya uvamizi katika ardhi ya Tanzania mwaka 1978 na kwamba
hazitashindwa kufanya hivyo kwa mtu mwingine yeyote atakayechezea
usalama wa nchi.
↧
MWANAMKE E ALIYEPANGA KUMUUA MUMEWE AFIKISHWA MAHAKAMANI HUKO ARUSHA
Mwanamke anayedaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa ndoa na
mtoto wa mume huyo, amepandishwa mahakamani akiwa na mtuhumiwa mwingine
wa mauaji hayo.
Janeth Jackson (32), mkazi wa Moshono, Arusha na
Novatus Elias, walifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa
Mahakama ya Wilaya ya Arusha /Arumeru, Devotha Kamuzora, wakisomewa
makosa mawili ya kula
↧
MWANAFUNZI AJIUA BAADA YA KUBAKWA HUKO SUMBAWANGA
Mwanafunzi wa kidato cha nne,
Flora Athanas (18) wa sekondari Mzindakaya wilayani hapa amejiua kwa
sumu ya panya, baada ya kubakwa na mtu asiyefahamika.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, alisema jana kuwa mwanafunzi
huyo alibakwa usiku wa kuamkia Jumanne yeye na mwenzake, katika chumba
walimopanga, kutokana na kukosekana kwa mabweni katika shule hiyo.
Kwa mujibu wa
↧
VIDEO YA RAIS KIKWETE AKITOA ONYO KALI KWA WALIO NA NDOTO NA KUIVAMOA TANZANIA
↧
↧
DANGURO LA MAKAHABA LAFUMULIWA
Hili ni sakata la
kikongwe
mmoja anayedaiwa kumiliki idadi kubwa ya madanguro katika uwanja wake na
kuwapangisha makahaba katika eneo maarufu kwa jina la Kijiji cha
Makahaba.
Mwandishi wetu alipokea ujumbe mfupi ulioelezea ufuska
unaofanywa na mabinti ambao hupewa eneo na kujenga vibanda kisha kujiuza
kwa bei chee katika kijiji hicho maeneo ya Kigamboni jijini Dar.
Bada ya simu hiyo,
↧
HUYU NDO MSANII ALIYETANGAZA KUMPORA MUME WA AUNT EZEKIEL...
KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii anayechipukia katika filamu za
Kibongo, Isabella Fransis ‘Vai wa Ukweli’ anamtafuta ubaya gwiji katika
tasnia hiyo, Aunt Ezekiel kwa kusema anamtamani mumewe.
Vai wa Ukweli bila ya kupindisha maneno amedai kuwa hapati usingizi kutokana na kumzimia Sunday Demonte ambaye ni mume wa Aunt.
Akizungumza na mwandishi wetu, Vai alisema ili kuonesha kuwa
↧
MUME NA MKE WAUA MTOTO WAO WAKATI WAKIGOMBANA NDANI.....BAADA YA KUUA, MTOTO ATUPWA KWA JIRANI YAO
Polisi mkoani Rukwa inawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusababisha
kifo cha mtoto wao wakati wanapigana kutokana na wivu wa kimapenzi.Kamanda
wa polisi Mkoa Rukwa, Jacob Mwarwanda amesema tukio hilo lilitokea
usiku wa kuamkia Julai 22, saa 5:30 za usiku baada ya Livinus Choma(31)
na mkewe Grace Choma(28) ambao wote wakazi wa Malangali kugombana
usiku.Amesema baada ya mume na mke
↧
AMANDA NA BWANA MISOSI WAMWAGANA...
HATIMAYE wale wapenzi waliong’aa hivi karibuni, mwigizaji Tamrina
Mohamed Poshi ‘Amanda’ na Mbongo Fleva, Joseph Rushahu ‘Bwana Misosi’
wanadaiwa kumwagana rasmi
Habari kutoka chanzo ambacho ni mtu wa karibu wa wapenzi hao,
zilieleza kuwa Amanda na Bwana Misosi walishamwagana kimyakimya ikiwa ni
baada ya kushindwa kuelewana kitabia.
Baada ya kuzinyaka habari
hizo, mwanahabari wetu
↧
↧
"NILIJUA TU KWAMBA WANAFIKI WATAFURAHIA MATESO YANGU" ....AGNESS MASONGANGE
VIDEO Queen ambaye hivi karibuni alidaiwa kukamatwa na madawa
yanayosadikiwa ni ya kulevya ‘unga’ nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Agness
Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa alijua watu wengi watafurahia
kilichompata kwa kumuongelea kila wakati.
Akizungumza na mwanahabari wetu kwa njia ya simu akiwa Sauzi, Masongange
‘alishauti’ kuwa watu wengi wanamuongelea vibaya bila kujua nini
↧
KALA JEREMIAH NAYE ATANGAZA NIA YAKE YA KUMPIGIA KAMPENI LOWASSA....ANADAI LOWASSA NI JEMBE
Msanii wa Hip Hop na mshindi wa tuzo 3 za KTMA 2013, Kala Jeremiah
amefunguka kwa kuandika waraka mrefu kuelezea jinsi anavyomkubali waziri
mkuu wa zamani Edward Lowassa kwamba anafaa kuiongoza nchini.
Usome waraka wake huo wote;
Mimi Kala Jeremiah nilikuwa msanii wa kwanza Tanzania kumsema
mheshimiwa Edward Lowassa kupitia wimbo wangu uitwao wimbo wa taifa
baada ya mheshimiwa
↧
RAY C ATANGAZA KURUDI UPYA KWENYE GAME LA MUZIKI.....
Mabibi na mabwana mko tayari kwa ujio mwingine wa Ray- C. Malkia wa
kiuno bila mfupa Rehema Chalamila aka Ray-C ametangaza ujio wake rasmi
baada ya kuwa chimbo kwa kipindi kirefu toka apate matatizo miezi kadhaa
iliyopita.Ni baada ya siku chache kupita toka Ray-C atamke kuwa
anapenda sauti ya ‘dogo lake’ Recho na kuwa atakuja kufanya naye kazi,
leo amethibitisha kuwa mwezi Agosti ndio
↧
More Pages to Explore .....