Hatima ya msanii anayeshiriki katika video za wasanii wa muziki wa bongo fleva,
Agnes Jerald 'Masogange' na mwenzake Melisa Edward, waliokamatwa Afrika
Kusini na dawa za kulevya kesi yao inatarajiwa kusomwa tena tarehe 13
Agosti mwaka huu nchini humo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya Tanzania,
Godfrey Nzowa aliweka wazi kuwa
AGNESS MASOGANGE ATAPANDISHWA KIZIMBANI TENA TAREHE 13 AGOSTI MWAKA HUU
↧
↧
"WAKATI KIKWETE AKIONGOZA KUOMBA KONDOMU KWA OBAMA, MAGAZETI NAYO YALIISHIA KUANDIKA HABARI YA KUSHIKANA VIUNO".... GODBLESS LEMA
CHAMA cha
demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza kuanza kutoa mafunzo ya kujihami
kwa vijana wao maarufu kama Red brigedi kuanzia Agosti mosi, mwaka huu.
Akitangaza
tarehe hiyo jana wakati wa mkutano wa chama hicho uliofanyika Mbalizi wilaya ya
Mbeya Vijijini, kiongozi wa ulinzi wa chama hicho kanda ya Nyanda za juu kusini
Lucas Mwampiki, alisema kuwa ameamua kuweka wazi adhima
↧
WALIOWAUA WANAJESHI WA TANZANIA WATAJWA.....NI KUNDI LA "JANJAWEED" LINALOUNGWA MKONO NA SERIKALI YA SUDAN
WAKATI miili ya wanajeshi saba ikiwa imeagwa jana katika Viwanja vya
Makao Makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania, imeelezwa kuwa kundi la
Janjaweed linaloungwa mkono na serikali ya Sudan ndilo lililowavamia na
kuwaua askari hao nchini humo na kuwajeruhi wengine 17 .
Wanajeshi
hao wa Tanzania ambao walikuwa ni sehemu ya Jeshi la Kulinda Amani la
Umoja wa Mataifa (Unamid), walifanyiwa
↧
HUYU NDO MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE ALIYEMWAGIWA TINDIKALI
MSHTUKO mkubwa ulijiri Jumamosi iliyopita, ikiwa ni baada ya kusambaa
kwa habari za kumwagiwa tindikali, mfanyabiashara mwenye ‘levo’ ya
ubilionea, Said Said Mohammed, 42, ambaye ndiye mmiliki na Mkurugenzi
Mkuu wa Home Shopping Centre.
Said ambaye kwa utambulisho mwingine
anajulikana kama Said Mohammed Saad, alimwagiwa tindikali Ijumaa
iliyopita, saa 2 usiku, lakini habari zake zikavuma
↧
"WAGANGA MSITOE DAWA KWA MAJAMBAZI ILI TUSIWAKAMATE....TUPENI DAWA SISI ILI TUWAKAMATE"
Inaripotiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Polisi katika wilaya ya Mufindi, PCD
Ambwene Manyasi amewataka waganga wa jadi kuacha mara moja kuwapatia
majambazi dawa za kutokukamatwa na polisi, na badala yake waganga hao
wawapatie askari polisi dawa za kuwaona na kuwakamata wahalifu.Eliasa
Ally wa gazeti la Majira anaripoti kutoka Mufindi kuwa kauli na wito
huo umetolewa na OCD huyo katika Ukumbi wa
↧
↧
VIDEO: MAKAHABA YAKODISHA JUMBA LA NGONO.....BIASHARA YAFANYIKA MCHANA KWEUPE
↧
MJANE ALIYETIMULIWA KATIKA MSIBA WA MWANAJESHI WA JWTZ AJITOSA TENA KUHUDHURIA MAZISHI YA MUMEWE
FAMILIA ya Marehemu, Fortunatus Msofe, ambaye ni mmoja wa wapiganaji
wa JWTZ, waliofia Darfur, wamemzuia aliyekuwa mchumba wake Amina Juma
kushiriki katika mazishi na kumfungia mlango wa nyumba ya marehemu
asiingie ndani mara tu baada ya taarifa za kifo cha marehemu kuwafikia.
Hata
hivyo Amina amelazimika kwenda Tanga kushiriki shuguli za mazishi ya
marehemu pamoja na kwamba familia ya
↧
NAY WA MITEGO ASHANGAA KUONA WASHINDI WA BSS WAKIFULIA LICHA YA KULIPWA PESA ZA KUTOSHA
Hit maker wa Muziki Gani, Nay Wa Mitego ametuma salamu kwa mwandaaji
ya shindano la Bongo Star Search, Rita Paulsen kuhusu zawadi wanayopewa
washindi wa shindano hilo ambayo huwa haiwafikishi popote.
“Hizi Salamu ziende kwa Madam Rita na bongo star search. Mshindi
analipwa nini mbona kama magumashi?! Namuona Walter Chilambo kapigika km
zamani, haji ramadhani kachoka yupo kitaani.
↧
VIJANA WAUANA JIJINI MBEYA WAKIGOMBANIA PENZI LA MSICHANA
Mnamo tarehe 21/07/2012 majira ya saa 23:30hrs huko kijiji cha
Nkwangu wilaya ya Chunya mkoa wa Mbeya, Seni s/o Sandu, miaka 20,
Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu aliuawa kwa kupigwa fimbo kichwani
na Tolo s/o Seko, miaka 20, Msukuma, mkulima na mkazi wa Nkwangu.
Chanzo ni ugomvi wa kumgombania msichana aitwaye Holo d/o Kulwa, miaka 16, Msukuma mkulima na mkazi wa Nkwangu.
Mtuhumiwa
↧
↧
POLISI WAFANIKIWA KUMKAMATA MVUTA BANGI ANALIYEMUUA MDOGO WAKE KWA KUMKATA MAPANGA HUKO SINGIDA
Jeshi la polisi mkoa wa Singida limefanikiwa kumkamata Elibariki Alphoce
(21) mkazi wa kijiji cha Kizega wilaya ya Iramba, anayetuhumiwa kumuua
mdogo wake Mariam (9) mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya
msingi Kizega.Elibariki
anatuhumiwa kumuua mdogo wake Mariam Julai 16 mwaka huu katika kijiji
cha Kizega kwa kumkatakata kwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na
kisha
↧
NAY WA MITEGO ATANGAZA KUMPIGIA KAMPENI LOWASA KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA 2015
Haya ni mashairi aliyoyaandika Nay wa mitego kwenda kwa mtoto wa Rais a.k.a Riz One akimtaka amwambie baba yake kuwa mtwara hawataki korosho, wanataka gesi na pia Lowassa asiache kugombea urais maana yupo tayari kumpigia kampeni-2015
----------------
MASHAIRI YAKE:
Naongea na Riz one hey Riz
One, we si mtoto wa raisi Riz one. Mwambie dingi yako Masela
↧
'NASUMBULIWA NA FANGASI SEHEMU ZA SIRI....TATIZO LILIANZA MWAKA 2008."...NAOMBA USHAURI WA MATIBABU
<!-- adsense -->
Huyu ni mtanzania mwenzetu ambaye amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuwasha sehemu zake za siri.Leo ameamua kuziweka aibu pembeni na kulianika tatizo lake akiamini kuwa jamii itamsaidia KIMAWAZO.
-------------------
HUU NI UJUMBE WAKE:
Mficha maradhi mauti humuumbua.Mdogo wangu wa kiume amekuwa
akisumbuliwa na tatizo la kuwasha sehemu zake za siri tangu mwaka
↧
IRENE UWOYA NA LUCY KOMBA WASHIKANA UGONI
NYOTA wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krrish’ ametoa
kali ya mwaka baada ya kudai kwamba amemshika ugoni msanii mwenzake,
Lucy Komba mara baada ya kuziona picha za msanii huyo akiwa na mumewe,
Hamad Ndikumana ‘Kataut’ wakiigiza filamu.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu kutokea nchini
Swaziland, Uwoya amepinga vikali utetezi unaosemwa kwamba Lucy na
↧
↧
KAHABA LANASWA LIKIFANYA NGONO KATIKA MAKABURI YA MALAPA BUGURUNI
LICHA ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani watu wengi kuogopa kufanya maovu,
jimama anayekwenda kwa jina la Joyce Benson (34), amefumwa akifanya
ngono katika makaburi ya Malapa, Buguruni jijini Dar.
Joyce amekamatwa usiku wa kuamkia Alhamisi iliyopita saa nane katika
maeneo hayo akifanya biashara haramu ya kuuza mwili wake katika makaburi
hayo kwa njia ya kujipatia fedha.
Joyce mwenye umbile la
↧
RAIS KIKWETE AINGILIA KATI KODI ZA LINE.....AMEZITAKA MAMLAKA HUSIKA ZIKUTANE HARAKA ILI TATIZO LIISHE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameagiza Wizara za Serikali zinahusika
na kodi na mawasiliano pamoja na makampuni ya simu za mikononi nchini
kukutana mara moja kutafuta jinsi gani ya kumaliza mvutano wa kodi mpya
ya kadi za simu hizo za mikononi.
Rais
kikwete ametoa maelekezo hayo jioni ya leo, Jumanne, Julai 23, 2013
wakati alipokutana na
↧
VAZI LA NUSU UCHI LAZUIA NDOA KUFUNGWA JIJINI DAR....PADRI AGEUKA MBOGO NA KUWATIMUA WAPAMBE
KIVAZI cha ndugu wa maharusi, kimesababisha patashika katika Kanisa
Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Peter, baada ya Paroko Msaidizi wa Kanisa
hilo, Padri Paulo Haule, kusitisha ibada mpaka mhusika atoke akavae
vizuri.
“Ninatoa dakika 10 kwa aliyeingia na mavazi ambayo hayatakiwi
kanisani humu kutoka mara moja akavae vizuri, la sivyo ndoa yao
haitafungwa,” alisema Padri Haule wa Kanisa
↧
BEYONCE AUMBUKA BAADA YA NYWELE ZAKE KUNASWA NA FENI AKIWA KATIKA SHOW HUKO CANADA
Jumatatu usiku (July 22) Beyonce alikuwa na show huko Montreal, Canada...
Wakati anaimba wimbo wake wa ‘Hallo’ ghafla nywele zake zikanaswa na
feni iliyokuwa nyuma yake jukwaani hapo, nina uhakika kwa msanii
mwingine angeweza hata kupoteza mwelekeo na huenda ingemharibia show..
Lakini uzoefu na kujiamini vilimsaidia Bey mama wa mtoto mmoja (Blue
Ivy) ambaye hakutetereka na aliendelea
↧
↧
POLISI 117 WATIMULIWA KAMBINI KWA UTOVU WA NIDHAMU
Wanafunzi 117 wa Polisi,
wamefukuzwa katika Chuo cha Taaluma na Mafunzo ya Polisi (MPA),
kilichopo Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.
Waliotupiwa virago
na kufutwa kwenye kozi hiyo ni wale waliopoteza sifa za kuendelea na
mafunzo ya kijeshi baada ya kukutwa na makosa ya utovu wa nidhamu, utoro
na matatizo ya kiafya.
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Matanga
Mbushi, ambaye ni mkuu wa
↧
FREEMAN MBOWE ATIWA MBARONI KWA TENA
Mwenyekiti wa Taifa Chadema na Kiongozi wa upinzani bungeni Freeman
Mbowe le amekamatwa na Jeshi la polisi nchini na kuwekwa chini ya
ulinzi mkali kwa takribani masaa matatu.
Taarifa zinadai kwamba, Mbowe alitiwa nguvuni na polisi baada ya kuwatuhumu kuhusika na mlipuko wa bomu la arusha katika mkutano wa CHADEMA.
Kuachiwa huru kwa Mbowe kumetokana na majadiliano ya kina kati ya polisi
↧
BAADA YA KUPIGWA CHINI BIG BROTHER, HUDDAH AAMUA KUMALIZA HASIRA ZAKE KWA KUJIPIGA UCHI
Wengi waliamini kwamba Big Brother imempa fundisho mrembo huyu na kutegemea mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuuuheshimu mwili wake baada ya Video zake za uchi kuvuja akioga bafuni...
Hali imekuwa ni tofauti kwa mrembo huyu asiyeijua thamani ya mwili wake.Tabia ni ngozi.Skendo,picha za uchi huenda ziko katika mishipa ya damu yake....
↧
More Pages to Explore .....