Mtu mmoja jana alisema sasa hivi wasafiri watokao Tanzania
wanakaguliwa kwa makini zaidi ya ilivyokuwa hapo awali kutokana na
matukio ya kukamatwa na dawa za kulevya! Hii ni sifa mbaya mno kwa raia
na Taifa zima!Iliyopachikwa hapo chini ni taarifa kutoka kwenye tovuti ya Serikali ya Hong Kong ya Julai 26, 2013
Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking
cases,
MTANZANIA MWINGINE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HONG KONG
↧
↧
MWANAMKE APEWA KICHAPO KIKALI BAADA YA KUZINI NA MCHUNGAJI WA KANISA JIJINI DAR
MWANAMKE anayejulikana kwa jina la Nabii Juliana wa Kanisa la Miracle
Assemblies of God, amepigwa na wananchi wenye hasira kali baada ya
kudaiwa kuingilia ndoa ya Mchungaji Richard Kiondo.
Tukio hilo la aina yake ambalo lilikusanya umati wa watu, lilitokea hivi
karibuni maeneo ya Ukonga Mazizini, jijini Dar ambapo nabii huyo
alipigwa hadi kuchaniwa nguo.
Akielezea mkasa huo, mtoto wa
↧
MWANAFUNZI ATUPIWA MAJINNI NA KUJIKUTA AKIWA UCHI GETINI KWA KAKA YAKE
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Pasco (21) ambaye pia ni
mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Samaritan
iliyopo wilayani Rorya mkoani Mara amekutwa getini kwa kaka’ke, Edward
Raphael akiwa amefungwa kamba na matunguri.
Tukio hilo lilijiri hivi karibuni huko Yombo-Buza jijini Dar na kuibua
sekeseke la aina yake kutokana na mazagazaga ya kichawi aliyokutwa
↧
USABATO WADAIWA KUKIANGAMIZA CHUO CHA AURUSHA (UoA)
<!-- adsense -->
Haya ni malalamiko ya mdau anayesimulia jinsi USABATO unavyokiangamiza chuo cha Ausha...
Katika maelezo yake aliyoyatoa mzalendo forum, mdau huo anaripoti kuwa bila kuwa msabato huwezi kuajiriwa chuoni hapo, bila kuwa msabato huwezi kushinya uongozi wowote wa wanafunzi.....
Je kuna ukweli wowote???
HUU NDO UJUMBE WAKE
<<USABATO WA CHUO CHA
↧
PROGRAM YA AJIRA KWA VIJANA WALIOHITIMU VYUO VIKUU NCHINI....
PROGRAMU YA AJIRA
Programu hii itatekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu nchini,Taasisi za fedha na wabia wa maendeleo.Kwa kuanzia utekelezaji wake utaanza kwa kuendeleza programu ya mfano iliyoanzishwa na Idara ya kilimo, uchumi na Biashara katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (DAEA-SUA) na hatimaye kuwafikia wahitimu wa vyuo vingine vya elimu ya juu katika
↧
↧
VIDEO YA MWANACHUO AKIKATA MAUNO NUSU UCHI....
<!-- adsense -->
Katika hali isiyo ya kawaida, mwanafunzi mmoja wa kike wa chuo
kikuu maarufu hapa nchini ametoa kali ya mwaka baada ya kuamua
kupiga chini kitabu na kuanza kukata mauno huku akiwa na
kikanga kimoja kiuoni na sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa
wazi hasa matiti....Video iko hapo chini:
<<VIDEO IKO HAPA>>
↧
MBUNGE NASSARI ASOTA POLISI KWA MADAI YA KUMPIGA KADA WA CCM
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari jana
alishikiliwa na jeshi la polisi mkoani Arusha kwa saa tatu na nusu kwa
tuhuma za kumshambulia kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein
Warsama siku ya uchaguzi mdogo wa udiwani Kata ya Makuyuni, wilayani
Monduli.
Nassari
aliyefika Kituo Kikuu cha Polisi Arusha saa 2:30 asubuhi jana ili
kuitikia wito wa kutakiwa kuripoti kituoni hapo,
↧
HAUSIBOI ALIYEMLAWITI BINTI WA MIAKA MINNE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA JELA HUKO MPANDA
Mahakama
ya Hakimu Mkazi ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi imemhukumu kijana,
Baraka Juma (22) mkazi wa kijiji cha Nkungwi wilayani humo, kifungo
cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kumlawiti
mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne baada ya kumhadaa na
kumlewesha bia.
Akisoma
hukumu hiyo juzi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Chiganga
↧
MBUNGE WA CCM (IDD IZAN) NA WENGINE WAHUSISHWA KATIKA TUHUMA NZITO ZA MADAWA YA KULEVYA
Ni jambo la wazi wamba biashara ya madawa ya kuleya ni biashara ambayo mara nyingi hubebwa na watu wenye nazo au wenye
madaraka fulani makubwa.Ni biashara ambayo ina faida kubwa na ya haraka
pengine kupita aina nyingine yeyote ya biashara (halali na haramu).
Na
kutokana na nguvu ya vyombo mbalimbali vya dola ulimwenguni katika
kupambana na biashara hii, ni wazi kwamba bila kuwepo
↧
↧
RAIS PAUL KAGAME HATARINI KUSHITAKIWA ICC
ONYO lililotolewa na Ikulu ya Marekani dhidi ya Serikali ya Rwanda,
linalomtaka Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame, kuacha kuwasaidia waasi wa
kikundi cha M23, lina kila dalili zinazomuweka kwenye kundi la viongozi
wa Kiafrika ambao hatma yao baada ya kuachia madaraka inazungukwa na
wingu la mashaka.Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye mapema
wiki hii alikaririwa na vyombo vya habari
↧
"SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"...LULU MICHAEL
MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema
baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza
katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake.
Lulu alisema hayo juzi,
katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha
Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.
“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha
↧
"WALIOPENDEKEZA SERIKALI TATU NI WAZEE WANAOSUBIRI KUFA"...NAPE NNAUYE
MZIMU wa serikali tatu bado unaendelea kukitesa Chama Cha Mapinduzi
(CCM), ambapo jana, Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,
alipinga tena uwepo wa serikali tatu na kudai kuwa waliotoa maoni hayo
ni wazee wanaosubiri kufa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika
kongamano la Umoja wa Vijana (UVCCM) la kujadili mchakato wa Katiba
Mpya, katika ukumbi wa Arnatouglo, Nnauye
↧
NAPE NNAUYE AYAKANA MATUSI YAKE KWA WAZEE
Nape Nnauye ameamua kuvunja ukimya na kutoa utetezi wake kuhusu kauli yake chafu iliyochapishwa na gazeti la Mtanzania likimtuhumu kuwatusi wazee waliopendekeza uwepo wa serikali tatu.....
Huu ni utetezi wake:
"Nimestushwa sana na stori ya gazeti la Mtanzania inayodai kuninukuu kuwa
nimesema wazee waliopendekeza serikali tatu wanasubiri kufa!
Kwakweli
↧
↧
AIBU: KAMANDA WA CHADEMA AREKODIWA AKIJIELEZA JINSI ALIVYOKUBALI KUCHEZEWA NYETI ZAKE NA KUSAGWA NA JIKE MWENZAKE
<!-- adsense -->
Miezi michache baada ya kuvuja kwa video inayomuonesha mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare akidaiwa kupanga mauaji ya mwandishi wa habari,video nyingine ya kamanda wa chama hicho,Linda Bezuidenhout imenaswa live....!!
Tofauti na video ya Lwakatare,hii ya Linda inaonesha mambo ya
↧
"NIKIKUTA NINA VIRUSI VYA UKIMWI NI LAZIMA NIJIUE MAANA SIPO TAYARI KUCHEKWA".....BABY MADAHA
Msanii wa filamu bongo,Baby Madaha amefunguka kwamba siku akianza kuona dalili za ugonjwa wa UKIMWI ndani ya mwili wake atakunywa sumu kwa kuhofia kuchekwa na jamii.
Akiongea na mwandishi wetu,Madaha amedai kuwa kwa sasa anaamini hana ngoma maana siku zote hutumia Kinga (kondom) ili asiambikizwe gonjwa hilo japo hana uhakika asilimia zote
↧
"SIJAWAHI PIGA PICHA ZA UCHI...NIMEMFAHAMU SINTAH KUPITIA SKENDO YA KUGAWA PENZI KWA NATURE"...RAYUU AFUNGUKA TENA
Jana, Bongomovies.com imefanya interview kwa
njia ya simu na mwanadada msanii Rayuu alaice Bungenzi kuhusiana na mambo
mablimbali yanayoandikwa kwenye mitandao na tovuti mbalimbali nchini.
Katika interview hiyo waliweza kupata mambo manne kama ifuatavyo:
1. Hajawai kupiga picha za utupu na kuzisambaza ili kupata umaarufu
Akiongea kwa msisitizo Rayuu amesema kuwa hajawai kupiga
↧
MSHIRIKI WA TANZANIA (NANDO ) ATIMULIWA BIG BROTHER BAADA YA KUGOMBANA NA MSHIRIKI MWENZAKE
Jana
usiku mara tu baada ya Sulu na Annabel kutolewa kwa kura za watazamaji,
Big Brother aliwaita washiriki pamoja katika kikao cha dharura kufuatia
ugomvi uliotokea kati ya Nando na Elikem. Itakumbukwa kwamba
siku ya ijumaa ilitokea hali ya kutoelewana kati ya Nando na Elikem.
Wawili hawa walitukanana sana na kutishiana mno. Ugomvi huo ulianzishwa
na Nando. Kwa mujibu wa sheria za Big
↧
↧
AGNESS MASOGANGE AFUTIWA DHAMANA YAKE NA KURUDISHWA RUMANDE
HUKU akiwa hajui nini hatima ya kesi inayomkabili ya kunaswa na madawa
ya kulevya nchini Afrika Kusini, Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’
amepata balaa jipya
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini ambacho kipo nchini humo, Masogange na
mwenzake aliyekamatwa naye, Melisa Edward wamefutiwa dhamana hivyo
wamerudi tena rumande.
Habari zinadai kuwa, dhamana za wawili hao zimefutwa kufuatia
↧
UKOO WATISHIWA KUTEKETEZWA KWA USHIRIKINA HUKO TABORA
Watu watatu wa ukoo mmoja wameuawa kwa kukatwa mapanga
kutokana na imani za kishirikina katika Wilaya ya Nzega Tabora, huku
ujumbe mkali wa kuuawa kwa watu wengine ukiachwa katika Kijiji cha
Nsanga.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji hicho kilichopo
Kata ya Ikindwa Nzega, Julai 25 mwaka huu, ambapo Mkuu wa Wilaya ya
Nzega Bituni Msangi alisema sababu ya
↧
JACK WOLPER AMJIBU MBAYA WAKE ALIYETANGAZA KUWA YEYE NI KAHABA
Msanii nyota wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amewataka wasanii wa bongo movie kuacha tabia ya kupigana majungu ya kinafiki ambayo huchangia kujenga bifu za kijinga....
Akiongea na mpekuzi wetu, wolper alidai kuwa kuna mipaka ya watu kuishi lakini kuna baadhi ya wasanii wanaamini kwamba majungu ndo mshahara wao kiasi kwamba wasipomsengenya mtu
↧
More Pages to Explore .....