WATU wanaodhaniwa kuwa magaidi
wamevamia Kituo cha Polisi Stakishari kilichopo Ukonga jijini Dar es
Salaam, jana usiku na kuua askari na raia kisha kupora silaha.
Kwa mujibu wa taarifa za awali ni kwamba watu hao walifika kituoni
hapo wakiwa katika pikipiki wakidai kwamba walikuwa wamembeba mtu
aliyepata ajali wakihitaji msaada wa polisi kabla ya kuwabadilikia
ghafla na kuanza
Picha za Mauji ya Polisi na Raia yaliyofanywa na Majambazi Usiku wa Kuamkia leo Jijini Dar
↧
↧
Mwigizaji Mkongwe wa Kenya, Mzee Ojwang Afariki Dunia
MWIGIZAJI nguli raia wa Kenya, Benson
Wanjau 'Mzee Ojwang' amefariki dunia jana jioni akiwa Hospitali ya Taifa
ya Kenyatta, alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa homa ya
mapafu (Pneumonia).
Mzee Ojwang atakumbukwa katika Vipindi vya Televisheni kama Vitimbi, Vioja Mahakami, Vituko na Kinyonga.Amefariki akiwa na umri wa miaka 78.
Mambo 9 Usiyoyajua kuhusu mzee Ojwang
1.
↧
Lulu Michael awapa presha Wasanii Wa Kike Wanaotaka Ubunge Wa viti maalum
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameonesha
kuwaumiza vichwa watu baada ya kutweet kitu ambazo kilileta sintofahamu
katika jamii inayomzunguka.
Akitolea ufafanuzi wa tweet aliyoiweka ambayo watu wamedai kuwa ni
dongo amesema kuwa aliandika tweet hiyo kama utani na kusema kuwa huweza
pia ikawa na ukweli ndani yake.
Amesema kuwa utani wake umefanya watu
↧
Soko La Wakulima Kahama Lateketea Kwa Moto
SOKO la Wakulima lililoko Mtaa wa Majengo, wilayani Kahama mkoani
Shinyanga limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo majira ya saa nane.
Chanzo cha moto huo kinadhaniwa kuwa ni shoti ya umeme iliyotokea kwenye
jengo hilo, hivyo kusababisha jengo lote kushika moto na kuungua hadi
kuteketea.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo ni kwamba hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa
↧
UKAWA Wasema Magufuli Hawatishi na Hawamuogopi!!
Dakika chache baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa
mgombea wake wa urais, viongozi wa vyama vya upinzani wamesema
hawatishwi na Dk Magufuli na wanamuona kama kada wa kawaida miongoni mwa
wengi waliopo CCM na kwamba hawezi kuleta mabadiliko yoyote.
Wamesema vita yao ni kuondoa mfumo wa uongozi uliopo na si ya mtu mmojammoja.
Wakizungumza jana viongozi hao, hasa wanaounda
↧
↧
Majambazi Yalitikisa Tena Jiji la Dar es Salaam
Mmoja wa watu
wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa
mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni jijini Dar es Salaam leo mchana
kwa madai ya kupora kiasi kikubwa cha fedha. Watu hao wanadaiwa kuwa
walikuwa wanne.
Kijana mwingine anayedaiwa kuwa ni jambazi akiwa amekamatwa.
Watuhumiwa hao wanne wa ujambazi wakiwa ndani ya Noah kabla ya kupelekwa Kituo
↧
NEC Yatangaza Mjimbo Mapya 26 ya Uchaguzi
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya
uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika
Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kukata kwa majimbo
hayo wamezingatia idadi ya watu pamoja na Jiografia katika majimbo
mapya.
Amesema
↧
Mjue Kwa Undani Mgombea Urais wa CCM, Mh. John Pombe Magufuli
AJIRA ya kwanza ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Joseph Magufuli (55) ilikuwa ni ualimu na atasherehekea siku yake ya kuzaliwa siku nne tu baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Kwa mujibu wa wasifu wake uliogawiwa kwa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM uliomchagua kuwa mgombea juzi katika Ukumbi wa Mikutano wa CCM uliopo Dodoma, Magufuli alianza kazi akiwa
↧
Natamani mngeelewa jinsi ninavyompenda Zari – Diamond
Diamond Platnumz anatamani watu waelewe jinsi anavyompenda mpenzi wake Zari Tlale aka The Bosslady.
Wawili hao wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza mwezi ujao.
Hitmaker huyo wa ‘Nana’ amepost picha kwenye Instagram inayomuonesha
akilibusu tumbo la mpenzi wake huyo na kuandika, “I wish you can
understand how Much i Love this Woman… Thanks God for the life have
always prayed for."
↧
↧
Kesho Hapatoshi Dar es Salaam........Magufuli Anatambulishwa kesho na UKAWA nao Wanamtambulisha Dr Slaa Kesho hiyo hiyo
KITENDAWILI cha kumpata mgombea urais wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), huenda kikateguliwa kesho kwa vyama hivyo kumtangaza Dk. Wilbrod Slaa.
Ukawa inaundwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR Mageuzi, Chama cha Wananchi (CUF) na NLD.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya vikao vya Ukawa vilivyofanyika mfululizo mwishoni mwa wiki,
↧
Mkuu wa Jeshi la Polisi Azungumzia Tukio La Majambazi Kuvamia Kituo Cha Polisi Jana.......Asema Waliouawa ni Polisi 4 na Wananchi 3
Mkuu
wa Jeshi la Polisi
nchini, Ernest Mangu akizungumza na waandishi wa habari leo katika kituo
cha Stakishari Ukonga jijini Dar es Salaam, kutokana na Askari wa Jeshi
la Polisi na raia wa eneo hilo kuuwawa na majambazi waliovamia katika
kituo hicho usiku wa kuamkia leo.
Viongozi wa Jeshi la Polisi
nchini wakiongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini, Ernest Mangu, wakitembelea
↧
Mwenyekiti ACT-Wazalendo Azomewa Ukerewe
KATIBU wa Chama cha ACT- Wazalendo Mkoa wa Mwanza, Robart Gwanchele, juzi alijikuta katika wakati mgumu baada ya wananchi kumzomea wakati akihutubia mkutano wa hadhara mjini Nansio.
Wananchi hao walimzomea baada ya Gwanchele kuanza kuwashambulia madiwani na wabunge wa Chadema kwamba licha ya kuongoza jimbo hilo miaka mitano, bado wameshindwa kutatua kero za wananchi.
↧
Tukio la Kituo cha Polisi Kutekwa: Viongozi Wa Dini Wacharuka.......Wamtaka Rais Kikwete Afanye Mabadiliko ya Jeshi la Polisi
VIONGOZI mbalimbali wa dini nchini wameandaa maandamano kwa lengo la kumuona Rais jakaya kikwete ili kumuomba alifanyie mabadiliko makubwa Jeshi Polisi.
Mabadiliko hayo ni pamoja na kubadili mawaziri wote wa mambo ya ndani, mkuu wa jeshi hilo (IGP) na MA-CP wawili ambao wametajwa kuendesha jeshi hilo kimtandao kinyume na taratibu za kijeshi.
Maandamano hayo yamefikiwa na
↧
↧
Emmanuel Mbasha Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.
Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.
Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 14
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya July 14
↧
Urais UKAWA Hali Tete......Lipumba Asusa Kuhudhuria Kikao
Vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
jana vimeshindwa kumtangaza mgombea urais kama ambavyo ilikuwa
imetangazwa hapo awali huku wakiahidi mgombea huyo kujulikana ndani ya
siku ya siku saba.
Aidha, Jana kulikuwepo na kikao cha vyama vinavyounda ukawa
kilichofanyika kuanzia saa 4.00 asubuhi kwenye Hoteli ya Colosseum
jijini Dar es Salaam, lakini
↧
Atakayewataja Watu Walioteka Kituo na Kuua Polisi Atapewa zawadi ya Milioni 50
Jeshi la polisi nchini Tanzania limetangaza kutoa zawadi ya
shilingi za kitanzania million 50 kwa mtu yeyote mwenye taarifa za
uhakika na za haraka zitakazofanikisha kuwakamata wote waliovamia kituo
cha polisi stakishari na kuua askari na raia waliokuwa katika kituo
hicho usiku wa kuamkia jana.
Akitoa tarifa mbele ya wanahabari kamishna wa polisi kanda maalum ya
Dar es Salaam
↧
↧
Diamond asema Zari atajifungulia Tanzania, ayataja majina mawili ambayo wamevutana kumpa binti yao
Diamond Platnumz ambaye ameonesha kuwa na shauku kubwa ya kuwa baba,
amesema kuwa mpenzi wake Zari yupo Tanzania kwasababu zimebaki wiki
chache kabla hajajifungua.
Akizungumza kwenye exclusive Interview ya Mambo Mseto na Willy M.
Tuva wa Radio Citizen ya Kenya, Diamond amesema kuwa anataka mtoto wake
azaliwe nyumbani Tanzania.
Diamond na Zari ambao wanatarajia mtoto wa kike, kila
↧
Kingunge Aendelea Kumlilia LOWASSA......Asema CCM ni Chama cha Watu wote na Lowassa si fisadi kama inavyodaiwa.
Mwanasiasa Mkongwe katika medani za siasa nchini Tanzania ameibuka na kuzungumza na Waandishi wa Habari leo kuhusiana na mchakato wa kumpata mgombea Urais CCM uliopelekea jina la Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kukatwa.
Akizungumza katika mkutano huo Kingunge amesema Kamati ya Maadili huko nyuma ilikuwa ni chombo cha kuandaa taarifa ili kuisadia Kamati Kuu katika kuwajadili wagombea
↧
Matokeo ya Ualimu 2015 Nayo Yako Hewani
Tafadhali bofya kwenye jina la mtihani husika kuangalia
1.DSEE
2.DTE
3.GATCE
4.GATSCCE
↧
More Pages to Explore .....