Ingawa hakuwa akitajwa mara kwa mara kwamba ni mmoja wa wagombea
tishio, kupitishwa kwa jina la Dk Asha-Rose Migiro kuingia katika tano
bora ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, siyo jambo la ajabu.
Rekodi yake kitaifa na kimataifa lakini pia
jinsia, ni mambo ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa Waziri huyo wa
Katiba na Sheria, kuvuka hatua hiyo ya kwanza.
Dk Migiro ambaye pia ni
Migiro athibitisha; kimya kingi kina mshindo mkuu
↧
↧
Balozi Amina Salum Ali alivyovuka kiunzi cha Kamati Kuu
Mwanadiplomasia Amina Salum Ali alitangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mei 21 jijini Dar es Salaam.
Akizungumza kuhusu nia yake hiyo, Balozi Amina
ambaye alikuwa Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika (AU) kwenye Umoja wa
Mataifa (UN) alisema wanawake wamekuwa wanyonge kugombea nafasi za juu
za uongozi kwa kukosa fedha, lakini sasa ni wakati mwafaka kwao
↧
#Tano Bora: Magufuli Alivyopiga chenga Panga la CCM
Kama alivyowashangaza wengi pale alipojitokeza kuchukua fomu za
kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais Mei 29 mwaka huu, ndivyo Dk John
Magufuli alivyowashangaza tena jana kufikia hatua hii ya tano bora.
Bila makeke, majivuno wala majigambo, Magufuli
ambaye ni waziri wa ujenzi alipochukua fomu alisema tu kuwa kipaumbelea
chake ni kutekeleza ilani ya uchagzi ya CCM.
Hata katika
↧
Waasi wa Burundi Wapanga Kumpindua Rais Nkurunziza
Mmoja wa viongozi wa mapinduzi yaliyozimwa nchini
Burundi hivi karibuni ya kutaka kumwondosha madarakani Rais Pierre
Nkurunziza, amesema mikakati mingine inaendelea kupangwa ili kumng’oa
kiongozi huyo madarakani.
Waasi hao wameyaambia mashirika ya habari ya
kimataifa kuwa wamekuwa wakiwapa mafunzo polisi na askari kwa ajili ya
jaribio lingine la kumwondoa Rais Nkurunziza.
↧
Mgombea Urais wa UKAWA Kuwekwa Hadharani Muda Wowote Kuanzia Leo
Hatimaye leo wabunge wote wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba
ya Wananchi (Ukawa) wanakutana na viongozi wao kumchagua
mgombea urais atakayeviwakilisha vyama hivyo katika Uchaguzi Mkuu wa
Oktoba 25.
Mkutano huo wa wabunge umekuja baada ya vikao
kufanyika mfululizo wiki hii, huku kukiwa na mvutano kuhusu nani au
chama gani kisimamishe mgombea urais.
“Tumeshakubaliana namna ya
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 11
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 11
↧
Mabilioni Ya Pesa Yakamatwa Dodoma.......Membe Akanusha Kuhusika Nayo
Kuna habari zimeenea mitandaoni kwamba
kuna mtu ambae amekamatwa na mabilioni ya pesa Dodoma, kingine ni kwamba
amekamatwa na simu ikiwa na maelekezo kwamba pesa hizo ni za kuwapatia
Wajumbe.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameandika ujumbe @Twitter kukanusha kuhusika na mtu huyo
“Kuna taarifa za uongo zinazoenezwa kwamba kuna “Mtu wa Membe”
↧
Mpasuko CCM: Wajumbe Waanzisha Varangati........Rais Kikwete Apokelewa Kwa Wimbo Wa Tuna Imani Na Lowassa.....!!!!.....Tuna Imani na Lowassa
Mambo yamezua jambo ambapo wajumbe wa mkutano wa Halmashauri kuu inayokutana hivisasa chini Rais Dkt Jakaya Kikwete wameonesha wazi kupinga uamuzi wa mbunge wa Monduli Edward Lowassa jina lake kukatwa.
Hayo yamedhihirika hivisasa wakati Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt Jakaya Kikwete akiingia kufungua mkutano huo ambapo imezoeleka wajumbe huimba kuwa na imani na Mwenyekiti ambaye ni Rais
↧
Ninayo Video Ya Wajumbe Wa Halmashauri Kuu Wakiimba kuwa na Imani na Lowassa...........Wameimba mbele ya Rais Kikwete
Mambo yamekua mambo ndani ya ukumbi wa CCM huko mjini Dodoma baada ya baadhi ya wabunge walipoanzisha pambio hili mbele ya Rais Kikwete.
Mkutano unaendelea......Tazama video hapo chini.
↧
↧
Polisi Wenye Mbwa Waongezwa Dodoma Kudhibiti Waandamanaji........Wafuasi wa Lowasa Waamua KUTAMBAA Kupinga Jina Lake Kukatwa
Wapambe wa Lowassa wakitambaa kupinga Edward Lowassa jinalake kukwatwa kamati kuu.
Gari linalotoa maji ya washawasha nje ya jengo la makao makuu CCM.
Polisi pamoja na mbwa wake wakilinda usalama nje ya jengo la Makao makuu CCM.
Baadhi ya waaandamaji wakipinga Edward Lowassa kukatwa.
Polisi watumia mbwa kuwafukuza waandamanaji nje ya majengo ya makao makuu CCM.
↧
Live Dodoma: Polisi Watumia Mabomu Kuwatawanya Wafuasi wa Lowassa Waliokuwa Wakiandamana
Wapambe wa Mbunge wa Monduli Edward Lowassa hivisasa wanafanya maandamano makubwa nje ya ofisi za CCM hapa makao makuu ya CCM wakipinga Mbunge huyo kuchujwa katika tano bora.
Wapambe hao wanaimba nyimbo mbalimbali za kukiponda chama cha Mapinduzi kwa madai kuwa chama hicho sio cha kindugu na pia sio cha kifalme.
Kwa namna nyingine hali si shwari hapa mkoani Dodoma ambapo sintofahamu
↧
Update Mpya Toka Dodoma.......Wapambe wa Lowassa Bado Wamekinukisha, Dr. Shein Kapitishwa Kugombea Urais Zanzibar na Mkutano mkuu ni saa 3 Usiku
Kazi ya upigaji kura inaendelea hivi sasa katika mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC), ambapo majina matatu yatapatikana na kupelekwa katika mkutano mkuu utakaoanza majira ya saa 3:00 usiku.
Aidha, mkutano huo umempitisha mh. Ali Mohamed Shein kuwa Mgombea wa Urais kwa upande wa Zanzibari.
Maandamano nje ya ukumbi yanaendelea kushinikiza jina la Lowassa Lirudishwe.
↧
Kingunge Atabiri Anguko la CCM Iwapo Chama Hicho Hakitapitisha Mgombea Anayekubalika Kwa Wananchi Wengi
Kingunge Ngombare Mwiru, ambaye ni kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametabiri anguko na mpasuko mkubwa ndani chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, endapo chama hicho kitaacha kumpitisha mgombea urais anayekubalika kwa wananchi wengi.
Kauli hiyo imekuja mara baada ya jina la Edward Lowasa kuenguliwa kutoka majina matano yaliyopendekezwa na Kamati Kuu ya Halmashauri
↧
↧
Breaking News: Tatu Bora ya CCM Hii Hapa.....Membe Kaenguliwa
Kikao cha HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) kimekamilika na kufanikiwa kuwateua wagombea wake 3 ambao ni…
1) John Magufuli
2) Asharose Migoro
3) Amina Salum Ali
↧
Mkutano mkuu wa CCM Waahirishwa Usiku huu.......Mgombea Kujulikana kesho Saa Nne
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ametangaza kuahirishwa kwa mkutano mkuu wa CCM hadi kesho saa nne asubuhi ambapo mgombea rasmi wa chama cha mapinduzi atatangazwa baada ya kura za wajumbe kuhesabiwa. Zoezi la upigaji kura limemalizika muda mfupi uliopita.
Waliopigiwa kura na mkutano mkuu usiku huu ni wale waliofanikiwa
↧
Urais CCM........Magufuli Apata Ushindi wa Kishindo
Chama cha mapinduzi, CCM kimemteua Dr .Magufuli kuwa mgombea wa Urais 2015.
Uteuzi wa Dr. Magufuli umetokana na ushindi wa kishindo alioupata baada ya mkutano mkuu kukutana jana usiku kwa ajili ya kupiga kura ili kupata jina moja kati ya matatu yaliyokuwa yamependekezwa na Halmashauri kuu ya CCM.
Matokeo ni kama ifuatavyo
1.Magufuli.....87%
↧
Urais 2015: Magufuli amteua makamu wa Rais Mwanamke
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuri mara baada ya kuteuliwa
kuipeperusha Bendera ya Chama cha Mapinduzi(CCM) katika uchaguzi mkuu
ujao amemteua Samia Suluhu Hassan kuwa makamu wake wa Rais endapo
atashinda katika uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza kwa furaha katika ukumbi mpya wa CCM uliopo hapa mkoani
Dodoma Magufuli amesema alipoteuliwa kuwa Naibu waziri Samia alikuwa
ndiye
↧
↧
Video: Magufuli Aahidi Kupambana na Wezi,Wala Rushwa, Wabadhilifu na Wazembe Katika Serikali Yake
Magufuli Aahidi Kupambana na Wezi,Wala Rushwa, Wabadhilifu na Wazembe Katika Serikali Yake
↧
Urais 2015: Membe, Kigwangalla wakubali yaishe
Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe
pamoja na Mbunge wa Nzega Dkt. Hamisi Kigwangalla wamekubali
kushindwa katika kinyang’iro cha kuomba ridhaa ya kuteuliwa ndani ya
chama cha Mapinduzi CCM zoezi lililohitimishwa leo.
Akizungumza na Mwandishi wetu mara baada ya
Magufuli kutangazwa mshindi , Mh. Bernad Membe amesema angechaguliwa mtu mwingine
↧
Team Lowassa: Tumemkubali Dk John Magufuli
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi ambaye pia
alikuwa mwanamkakati katika kambi ya Edward Lowassa katika mbio za
urais, amesema kambi yake inamuunga mkono mgombea urais aliyeteuliwa na
chama kwa sababu anauzika.
Dk Nchimbi amesema Dk John Magufuli ni mgombea anayeuzika tofauti na wengine na kwamba
kambi yao inamuunga mkono katika kukiwezesha chama kuendelea kushika
↧
More Pages to Explore .....