Shirika la habari la serikali nchini
China, limeripoti ongezeko la wanandoa wanaotengana kufuatia matumizi
ya kupita kiasi ya mtandao wa facebook jambo ambalo limefanya wapenzi
kutumia muda mwingi kwenye mtandao huo.
Ripoti hiyo imedai kuwa ndoa nyingi
zinavunjika na kupelekea kupeana talaka kutokana na wachumba wanatumia
muda wao mwingi wakiwa kwenye mtandao huo na hivyo
Facebook yawa mwiba China, talaka nje nje
↧
↧
LIPUMBA: Tutaitisha Maandamano Mikoa Yote Yenye GESI
Chama cha Wananchi (CUF), kimesema
kitaitisha maandamano kwenye mikoa yenye gesi ili kulishinikiza Bunge
kupinga muswada wa mafuta na gesi uliopitishwa juzi.
Akihutubia wakazi wa Manispaa ya Kigoma/Ujiji na viunga vyake, Mwenyekiti wa Taifa wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, alisema haoni mantiki na hakuna sababu ya kufanya haraka kupitisha muswada huo.
“Suala
hili linahitaji mjadala
↧
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza Ashitakiwa Mahakamani Jijini Arusha Kwa Kukiuka Katiba Ya Nchi Hiyo
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza
ameshitakiwa katika Mahakama ya Afrika Mashariki iliyopo jijini Arusha
kutokana na hatua yake inayotajwa kukiuka Katiba ya nchi hiyo kwa
kuwania kipindi cha tatu cha Urais.
Kesi hiyo pia inamjumuisha
Mwanasheria Mkuu wa Burundi, Tume ya Kitaifa ya Uchaguzi kwa nchi ya
Burundi pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa mujibu
wa
↧
Ali Kiba Finally Talks About His Beef With Diamond
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Multiple
awards winning Tanzanian super star, populalrly known as Ali kiba is no
doubt one of Tanzania’s most resourceful entertainers.
Ali Kiba won
accolades in five categories, outshining his main competition, Diamond
Platnumz in the recently concluded Kilimanjaro Tanzania
↧
Achakazwa Sura na Mke Mwenziye
“Dunia imeharibika na binadamu hawana upendo wamegeuka kuwa na tabia kama za wanyama kila kukicha…” hiyo ni kauli yake Rehema Gwaya (41) mkazi wa Barabara ya Sokoine, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.
Rehema ambaye ni mjasiriamali mdogo anayejishughulisha na kuuza juisi, alipatwa na mkasa wa kumwagiwa mafuta ya moto ya kupikia ambayo yalikuwa yanatumika kwa ajili ya kuchomea maandazi.
↧
↧
Ali Kiba Aendelea Kulikana PENZI La Jokate
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Tanzanian superstar Ali Kiba has denied ever dating Jokate Mwegelo who used to date the popular Diamond Platnumz.
Ali Kiba who has been in Kenya for his Coke Studio Africa season 3
recording,said that he and Jokate are not dating but they are just
friends.
“Jokate is just one of my best friends. We
↧
Mtoto atekwa, abakwa hadi kupoteza maisha
Mtoto mmoja aliyetambulika kwa jina la Ester Banzi, mkazi wa
Tabata Msimbazi, jijini Dar es Salaam, ametekwa na kubakwa hadi kupoteza
maisha baada ya mtu asiyefahamika kufanya kitendo hicho na kutokomea
sehemu isyojulikana.
Inadaiwa kuwa siku ya tukio mtoto huyo alikutwa amefariki baada ya
kuingiliwa kimwili na mwanaume ambaye inadaiwa kuwa alimteka kwanza
kabla ya kufanya kitendo.
↧
Diamond: Hakuna msanii ambaye nimewahi kumlipa wala yeye kunilipa kufanya collabo
Diamond Platnumz amesema kuwa ameshafanya collabo na wasanii A-list
karibu wote wanaofanya vizuri Afrika, lakini hakuna hata mmoja ambaye
amewahi kumlipa wala wao kumlipa kwaajili ya collabo hizo.
“Nimefanya collabo na wasanii tofauti tofauti, karibuni A-list wote ya wanaofanya vizuri Afrika nimeshafanya nao.” Alisema kupitia XXL ya Clouds Fm.
Ameongeza kuwa mwanzoni haikuwa
↧
‘You are so pretty’, ni kauli ya Jay Z alipomuona Vanessa Mdee
Vanessa Mdee anaweza kumfanya Beyonce anune au apate wivu kwakuwa
muimbaji huyo wa ‘Nobody But Me’ aliwahi kulivutia jicho la rapper
mwenye nguvu zaidi duniani, Sean Carter aka Jay Z.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Vanessa alisema yeye
mwenyewe alipokuna na rapper huyo wa ‘Run This Town’, mdomo wake
ulipigwa ganzi kwa muda na maneno kushindwa kumtoka.
“Ooh my God! I was
↧
↧
Mambo Yameanza Kupendeza Dodoma.......Tazama Picha 11 za Ukumbi Mpya Wa CCM Utakaotumika Kumtangaza Mgombea Atakayeteuliwa na CCM
Muonekano
wa nje wa Jengo jipya la Ukumbi wa Mikutano wa kisasa wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Mkoani Dodoma.
Ukumbi huu utaanza kutumika rasmi Julai
10 - 12, 2015 wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM wa kupitisha jina la Mgombea
Urais atakayeipeperusha bendera ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwezi
Oktoba mwaka huu. Ukumbi huu unauwezo wa kuchukua Watu zaidi ya 3000.
Katibu wa NEC,
↧
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari Apata Ajali ya Chopa
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari
amepata ajali ya Chopa baada ya kuanguka juu ya mti jana jioni katika
Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha.
Hakuna aliepoteza
maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani wake wako
Hospitali ya Seriani mkoani Arusha kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali hiyo.
↧
Chadema wachuana ubunge Tabora Mjini
WANACHAMA watano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
wametangaza kuingia katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa katika
Ukawa kuwania ubunge jimbo la Tabora Mjini.
Walitambulishwa jana katika mwendelezo wa mikutano ya hadhara
iliyoandaliwa na uongozi wa chama hicho mkoa ambao jana ulifanyika
katika kata ya Mpera katika Manispaa ya Tabora.
Wanachama wanaowania
↧
CCM Kumtangaza Mgombea wake wa URAIS Jumamosi ya Tarehe 11........Tukio Hilo Litarushwa Na Vituo Mbalimbali ya TV Live kwa masaa Sita
Jana tarehe 7 mwezi wa saba tumeanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20.
Pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho kitateua jina la mgombea wa urais kwa chama cha mapinduzi kwa upande wa
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya July 8
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya July 8
↧
Mgombea ACT -Wazalendo Aahidi Kuwasaidia Wanawake
MTIA nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kahama kupitia Chama cha
ACT Wazalendo, Clara Masanja amesema endapo atapewa ridhaa na chama
hicho na kushinda nafasi hiyo, atahakikisha anawajengea wanawake ujasiri
ili waweze kujipigania wenyewe katika kupata nafasi za uongozi wa juu.
Mgombea huyo, aliyasema hayo mjini hapa jana wakati alipotangaza nia
yake ya kuchukua fomu ya kuombea
↧
Nape: Hakuna Nafasi ya Kukata Rufaa Majina Yakikatwa
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakutakuwa na nafasi ya
kukata rufaa kwa wanachama wa chama hicho walioomba ridhaa ya chama
kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya Urais iwapo majina yao
yatakatwa.
Kauli hiyo imetolewa mjini Dodoma jana na Katibu wa
Itikadi na Uenezi wa Chama hicho, Nape Nnauye alipokutana na waandishi
wa habari wakati akitoa taarifa ya ratiba ya vikao
↧
CHADEMA Yaitisha Kikao cha Dharura Kujadili Adhabu Waliyopewa Wabunge wa UKAWA Bungeni
Homa ya Uchaguzi Mkuu imeifanya Chadema kuitisha kikao cha
dharura cha Kamati Kuu ili kujadili mambo ya kitaifa, ikiwamo adhabu
waliyopewa wabunge wa Ukawa kabla ya kutoa tamko.
Kikao hicho kilichofanyika jana, pia kilihusisha
wabunge walioadhibiwa kwa kufanya fujo bungeni wakipinga kuwasilishwa
kwa miswada mitatu ya mafuta na gesi kwa hati ya dharura na hivyo kupewa
adhabu tofauti
↧
↧
Mashabiki Wampa MAKAVU Lucy Komba Baada ya Kuweka Picha Mtandaoni Akichezea Maungo yake Nyeti
Staa wa Bongo Movies aliehamishia makazi ughaibuni, Lucy Komba ambaye
ameolewa na ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu
walioishambulia picha yake hiyo hapo juu aliyoiweka kwenye ukurasa wake
mtandaoni.
Lucy alianza kwa kuweka picha hiyo ya kuchora ambayo ndiyo ilileta
utata na kuibua majibizano ya maneno kati ya watu ambao waliona kuwa
picha hiyo haina shida na
↧
Rais Kikwete Ajiandikisha Kupiga Kura Kwa Kutumia BVR Kijijini Msoga........NEC Yasema Watu Milioni 11 Wamekwisha Jiandikisha Mpaka sasa
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian
Lubuva amesema hadi sasa wameshaandikisha wapigakura zaidi ya milioni
kumi na moja kati ya milioni 24 wanaotarajiwa kuandikishwa nchini kote.
Kutokana na idadi hiyo, Jaji Lubuva amesema NEC ina uhakika wa kukamilisha kazi hiyo ya uandikishaji mapema Agosti mwaka huu.
Alisema hayo jana alipokuwa Msoga, Chalinze
wilayani
↧
Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Kuwazuia Wananchi Kwenda Dodoma Hadi Mkutano wa CCM Uishe YAPINGWA
Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuwazuia
wananchi kusafiri kwenda Dodoma hadi Mkutano Mkuu wa CCM
utakapomalizika, imepingwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa
chama hicho, Mtemi Yareld.
Juzi, Mulongo alinukuliwa na vyombo vya habari akiwaagiza polisi kuwazuia watu wanaotaka kusafiri kwenda Dodoma.
Kauli kama hiyo pia ilitolewa na Kamanda wa Polisi
wa
↧
More Pages to Explore .....