Muimbaji wa Bongo Flava, Pipi amedai kuwa yeye na mume wake hutumia simu moja.
Pipi alikuwa akiongea na kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.
“Unajua kama mtu sio mwaminifu katika ndoa yako hiyo ndio itakuwa tabu
na mtu akiamua kucheat anaweza hata bila simu japo watu wengine wanaona
ni wivu lakini hiyo ni misingi ambayo tumejiwekea tokea tulivyoana,”
alisema.
“Mimi na mume wangu
Pipi adai ‘kushare’ simu na mume wake
↧
↧
Wanachama wawili CUF wapigwa risasi kwenye uandikishaji kwa BVR
Wanachama wawili wa CUF wamepigwa Risasi na watu
wasiofahamika waliojifunika sura zao wakati wa kuandikisha wakupiga
kura Makunduchi, Zanzibar.
Tukio hilo limetokea jana ambapo majeruhi hao wamelazwa katika Hospital ya Hospitali ya Arahma.
↧
Wabunge 35 wa UKAWA Wafukuzwa Bungeni
Wabunge 35 wa kambi ya upinzani bungeni jana walitolewa nje ya
ukumbi wa bunge na spika wa bunge Anne Makinda na kupewa adhabu ya
kutokuhudhuria vikao vitano kwa madai ya kukiuka kanuni za bunge .
Mara baada ya kikao cha bunge kuanza spika wa bunge alinza kwa
kuwakumbusha wabunge namna ya kufuata kanuni hasa pale wanapotaka
kuondoa muswada wowote.
Hali ilibadilika ghafla
↧
Nyota ya Diamond Platnumz Inazidi Kung'ara.......Katajwa Kuwania Tuzo za Uganda (Uganda Entertainment Awards 2015 )
Diamond Platnumz ameendelea kutajwa kuwania tuzo mbalimbali barani Afrika.
Akiwa ni miongoni mwa wanaowania tuzo za MAMA zitakazotolewa mwezi huu, muimbaji huyo wa ‘Nana’ ametajwa kuwania tuzo zingine za Uganda zijulikanazo kama Uganda Entertainment Awards 2015 (UEA)
Platnumz anawania kipengele cha Best African Act akichuana na Wizkid (Nigeria), Patoranking (Nigeria), Tiwa Savage (
↧
Lungi Maulanga alizwa na vibaka
Msanii wa Bongo Movie nchini, Lungi Maulanga amejikuta akilizwa na
vibaka baada ya kuibiwa baadhi ya vitu vya ndani wakati akiwa katika
mtoko wa usiku hali ambayo imemtia hasara na kumrudisha nyuma
kimaendeleo.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa msanii huyo amedai kuwa tukio hilo
lililotokea maeneo ya Magomeni, jijini Dar es Salaam limempa Lungi hasara kwani kitendo hicho ni
↧
↧
Zitto Kabwe Awataja Walioficha Mabilioni ya Fedha Uswisi
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo katika viwanja vya Mwembeyanga
jana amewataja watanzania walioficha mabilioni ya Fedha katika Benki za
nje ya nchi.
Akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es salaam Zitto Kabwe amesema
hivi sasa uchumi wa nchi umeshikwa na watu wachache hususani
wafanyabiashara ambao pia wameshika siasa au kwa wao kushiriki kwenye
siasa moja kwa moja au
↧
Dr Shein Apitishwa Kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia CCM.
Kamati kuu maalum ya chama cha mapinduzi Zanzibar kwa kauli moja
imempitisha Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais wa Zanzibar kupitia
chama cha mapinduzi.
Hatua hiyo imefikiwa baada ya wajumbe wa NEC wa Zanzibar wanounda
kamati maalum ya Zanzibar kukutana hapa Zanzibar katika ofisi kuu ya CCM
na kuamua kumuidhinisha Dr Shein kugombea tena kiti hicho cha urais
baada ya wajumbe
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 6
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya July 6
↧
Utafiti Urais 2015: Lowassa Aongoza Mbio za Urais.........Dr Slaa Ashika Nafasi ya Pili
Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata
mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura
ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa Utafiti na Elimu ya Demokrasia
(REDET) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, inamweka kileleni Waziri Mkuu
wa zamani, Edward Lowassa, kuwa changuo la kwanza la wengi kwa kujipatia
asilimia 27.0 ndani ya chama hicho.
↧
↧
Rose Mhando Apigwa Pingu Dodoma......Asafirishwa Kwenda Dar
Kufuatia skendo ya utapeli inayoendelea kumwandama mwimbaji wa nyimbo
za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kupigwa pingu mkoani Dodoma,
baadaye akasafirishwa hadi Dar kwa msimamizi wa kazi zake, Alex Msama,
kwa lengo la kumlipia deni alilokuwa akidaiwa.
Habari kutoka kwa chanzo zimeeleza kwamba, hivi karibuni, Rose
alilipwa Sh. milioni 3 kwa ajili ya shoo huko Makambako mkoani
↧
Rais Kikwete Awakemea Wanaotumia fedha ili kupata madaraka
RAIS Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa dini nchini kutowapa mwanya wanasiasa wenye dhamira ovu ya kuwafarakanisha Watanzania bali waendelee kukemea matumizi mabaya ya fedha, rushwa na hujuma katika Uchaguzi Mkuu hasa kipindi hiki.
Alisema ipo haja ya viongozi hao kuendelea kuwakemea wanasiasa wanaopenda madaraka kwa gharama yoyote wakitumia fedha kununua ushindi au ubaguzi wa rangi,
↧
Diamond Afanyiwa Kufuru Nigeria
Staa grade one kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
amefanyiwa kufuru ya bonge la pati na msanii mwenzake kutoka nchini
Nigeria, Kingsley Chinweike Okonkwo ‘KCEE’.
Kwa mujibu wa chanzo cha karibu kilichosafiri na staa huyo ambaye
yupo nchini humo kwa ziara yake inayofahamika kama ‘Nana Tour’, tangu
Diamond alipofika siku ya kwanza akiwa na mameneja wake, Salam, Babu
↧
Sakata la Walimu wa Kike Kufanyishwa Mapenzi Usiku KICHAWI Lachukua sura mpya
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza, katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina na kutishiwa maisha, limeendelea kuumiza vichwa vya viongozi wilayani humo.
Viongozi hao, leo wanatarajia kukutana katika kikao ambacho kitamshirikisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya, Ofisa Utumishi na Ofisa Elimu wa Wilaya hiyo ili kujadili hatima ya walimu wa shule
↧
↧
Mbunge Wa CHADEMA Ajivua Uanachama......Asema Kama CHADEMA Wanaubavu Wakalikomboe hilo Jimbo
MBUNGE wa Mpanda Mjini,
Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya
kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.
Akizungumza katika
mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa
jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo,
aliwaambia wananchi kuwa
↧
Basil PesaMbili Mramba na Daniel Yona Wahukumia Kifungo cha Miaka Mitatu na Faini ya Milioni 5 Kila mmoja
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, imewahukumu kifungo cha miaka mitatu jela aliyekuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Bazil Mramba na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona baada ya kuwatia hatiani kwa makosa mawili.
Akizungumzia hukumu hiyo, Wakili wa washtakiwa hao, Peter Swai, amesema kwamba hukumu hiyo imetolewa na jopo la majaji watatu ambao ni Jaji Samu Rumanyika, Jaji John
↧
UKAWA Wajitoa Rasmi Bungeni....Waondoka Mjini Dodoma
UMOJA wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya wananchi UKAWA leo
umetangaza rasmi kususia vikao vya bunge vilivyobaki kwa madai ya
kukiukwa kwa kanuni za bunge.
Akitangaza msimamo huo mjini Dodoma katika mkutano na waandishi wa
habari, kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe
amesema wabunge wote kutoka katika vyama vinavyounda umoja huo
hawataingia tena
↧
Kiunzi cha kwanza Urais CCM Ni Kesho- Dodoma
Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM itakutana kesho mjini Dodoma
kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za wagombea 38 wanaoomba
kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake kwenye kikao cha Kamati
Kuu inayokutana keshokutwa.
Habari kutoka ndani ya CCM zinasema kuwa kamati
hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete
wakati mwingine hukasimisha shughuli
↧
↧
Joto La Urais CCM: Ulinzi Waimarishwa Dodoma......Polisi Yapiga Marufuku Watu Wasio na Kazi Maalumu Kwenda Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime amewataka wageni
wasiokuwa na shughuli muhimu ya kufanya mkoani hapa kutokuja katika
kipindi cha juma hili ili kuepusha usumbufu utakaojitokeza.
Misime alitoa agizo hilo jana wakati akizungumza
na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu wiki hii ambayo inatarajiwa
kuwa na ugeni mkubwa wa wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM ambao amesema
↧
Tanzanian Women That Men Should Avoid Marrying At All
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
#1. The High Maintenance Chick
If
this type of woman breaks a nail, she expects you to drop everything
you’re doing to drive her to the salon immediately.
Her daddy always
told her she was a princess and she expects to be treated like one at
all times. She has
↧
Lowassa Asukiwa Zengwe Ili Jina Lake LIKATWE
Wakati joto la uchujaji wa majina ya
wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) likizidi kuongezeka,
taarifa zimezidi kuzagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kwamba,
mikakati ya kumuondoa Edward Lowassa kwenye orodha ya watia nia nayo imezidi kupamba moto.
Ofisa mmoja wa CCM makao makuu mjini
hapa, alisema kuwa wanachofanya wao kama watendaji ni kuandaa majina ya
wagombea
↧
More Pages to Explore .....