CHAMA cha Democratic Party (DP) kimetangaza kwenda mahakamani kukishtaki Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na makada wake sita kutokana na kukiuka sheria ya nchi, taratibu pamoja na kanuni za uchaguzi.
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa chama hicho Mchungaji Christopher Mtikila, wakati akizungumza na waandishi wa habari. Alisema makada hao pamoja na chama chao
Mchungaji Mtikila Atangaza Kuwafikisha Mahakamani Wasaka Urais 6 wa CCM......Yumo Lowassa, Sumaye,Membe,January Wassira na Ngeleja
↧
↧
Davina : Natamani Kuchepuka Ila Naogopa Ndoa Yangu Kuvunjika
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ amekiri kuwa makundi
huwa yanaharibu watu walio kwenye ndoa kwa kuwalaghai kwamba wakaonje
nje kwa lengo la kuangalia radha nyingine hali amabayo wakati
mwingine mawazo hayo humjia lakini ghafla huhisi kama mumewe atamuona
na kuhatarisha ndoa yake.
Akizungimza na Tanuru la Filamu , Davina alisema kwamba alipata
wakati mgumu wakati
↧
Pius Msekwa Asema Atakayekatwa Jina na Akaona Ameonewa Anaruhusiwa Kuhama Chama.......Kaongelea Pia Jinsi Escrow Inavyoitesa CCM
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya
uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho
chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili
kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Msekwa, ambaye ni mmoja wa viongozi wa zamani
wanaotarajiwa kutoa mapendekezo yatakayokuwa msingi wa kupata mgombea wa
urais wa CCM, alisema
↧
Chanel Ten, Star tv, TBC Zaadhibiwa na TCRA
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu ya faini kwa vituo vitatu vya televisheni nchini kwa kuonyesha vipindi vilivyokiuka kanuni za huduma ya utangazaji (maudhui ) ya mwaka2005.
Uamuzi huo ulitolewa jijini Dar es salaam jana na kamati ya Maudhui ya TCRA chini ya mwenyekiti wake Mhandisi Margaret Munyagi ambapo alivitaja vituo hivyo kuwa ni Channel Ten, Star TV na TBC1.
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya July 9
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya July 9
↧
↧
Biashara ya NGONO Yashamiri Mkoani Dodoma.........Makahaba Wazagaa Kila Kona
BIASHARA ya ngono imeshamiri mkoani Dodoma wakati huu ambao vikao vya kumpata mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) vimekwisha kuanza.
Uchunguzi uliofanywa katika baadhi ya kumbi kama Club Maisha, Club Laazizi na Matei Lounge, Chako ni Chako, umebaini kuwapo idadi kubwa ya kina dada wakiwa wamevaa nusu uchi.
Katika maeneo ya katikati ya mji wa Dodoma zilikuwapo hekaheka
↧
Kingunge Amtolea Uvivu Nape Nnauye......Ashauri Avuliwe Uongozi, Ashangaa Viongozi Kumfumbia Macho
Mwanasiasa mkongwe wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru amemshukia
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye kwa kauli zake
alizodai zinaminya demokrasia na kwamba CCM haiwezi kusimama
wanapopambana wenyewe kwa wenyewe.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa
jana, Kingunge (pichani), ambaye hivi karibuni aliweka bayana kumuunga
mkono Mbunge wa Monduli, Edward
↧
Dewji Atangaza Kutogombea Tena Ubunge Singida Mjini
Mbunge wa Singida Mjini (CCM) na mfanyabiashara maarufu nchini,
Mohammed Dewji amewaliza baadhi ya wapigakura wake wakati akitangaza
kutogombea tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa ya madai ya
kubanwa na majukumu ya kifamilia na biashara.
Dewji ambaye amekuwa mwakilishi wa jimbo hilo kwa
awamu tatu mfululizo, alitangaza uamuzi wake huo kwenye mkutano wa
hadhara
↧
Nassari Afunguka.......Asema Ajali ya Helikopta Aliyopata ni ya Kishirikina, Ndesamburo Asema Atanunua Nyingine
Wakati Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akisema
anashindwa kuamini kilichotokea na kunusurika katika ajali ya helikopta
juzi, mmiliki wa chopa hiyo, Philemon Ndesamburo amesema atanunua
nyingine haraka kabla ya kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Kauli hizo zilitolewa jana ikiwa ni siku moja
baada ya helikopta hiyo inayomilikiwa na Ndesamburo kupitia kampuni yake
ya Keys
↧
↧
Prof. Mwandosya Awaangukiwa Wabunge wa UKAWA........Asema siyo Picha Nzuri Rais Kuvunja Bunge Bila Wabunge Hao
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalum Prof.Mark Mwandosya amesema sio kitendo kizuri kwa wabunge wa upinzani kususia Bunge wakati Rais Jakaya Kikwete atakapokwenda kuvunja Bunge hilo leo.
Akizungumza bungeni mjini Dodoma jana wakati akichangia Mswada wa Sheria wa Kuanzisha Tume ya Utumishi wa Walimu alisema si jambo zuri hata kidogo kwa jambo kubwa la Taifa kama hilo
↧
Tano Bora ya Urais CCM Itatoka Ndani ya Kundi Hili.......Majina yao Kuanikwa leo, wengine 33 Kufyekwa.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya RaisKamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo inakutana kuchuja majina ya makada wake 38 waliorejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia chama hicho na majina 33 ni lazima yapigwe panga ili kupeleka majina matano kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kupigiwa kura.
Kwa mujibu wa habari kutoka mitandao ya kijamii, kwenye vijiwe na mijadala
↧
Hotuba ya Rais Kikwete Wakati wa Kuagana na Wabunge na Kulivunja Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Spika;
Tunayo kila sababu ya kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehma kwa kutujalia uzima na kutuwezesha kuishuhudia siku hii adhimu katika historia ya Bunge letu na nchi yetu. Hatimaye siku ya kuvunja Bunge la Kumi imewadia ili kuwezesha hatua husika za mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ziweze kutekelezwa.
Nakushukuru sana Mheshimiwa Spika kwa kunipatia nafasi hii ya
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 10
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 10
↧
↧
Moshi Mweusi Watanda CCM.......Rais Kikwete Apangua Ratiba ya Vikao vya Kamati ya Maadili na Kamati Kuu, Kingunge Amvaa Kinana
WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, akipangua ratiba ya vikao muhimu vya Kamati ya Usalama na Maadili pamoja na Kamati Kuu vilivyotarajiwa kufavyika juzi na jana, Mwanasiasa maarufu, Kingunge Kombale-mwiru jana alikuwa uso kwa uso na Katibu Mkuu wa chama hicho katika jitihada za kumuokoa Edward Lowassa.
Katika siku ya jana kulikuwe na minong’ono ya hapa na
↧
Ijue Sayansi ya Kusimama na Kusinyaa kwa UUme ( Sayansi ya Nguvu za Kiume)
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu
Hatua mbili Muhimu katika Kusimama kwa Uume
Ili mwanaume aweze
↧
Vikao Vyote vya CCM Kufanyika Leo Na Majina ya 5 Bora na 3 Bora Yatajulikana leo
KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye
amesema, leo hii majina matano ya makada wa chama hicho walioomba
kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, yatajulikana, na kufuatia majina matatu ya makada hao ambayo
yatapelekwa mbele ya Mkutano Mkuu utakaofanyika Jumamosi Julai 11, 2015.
Nape amesema vikao vyote vinaanza leo saa
↧
Wananchi Bunju Wachoma Kituo Cha Polisi
KITUO cha Polisi cha Bunju A, kilicho Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, kimechomwa moto na wananchi waliokuwa wakiwatuhumu Askari Polisi kutotekeleza majukumu yao ya kazi kwa ufasaha.
Tukio la kuchomwa kwa kituo hicho limethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Camillus Wambura, ambaye alisema wachomaji walitekeleza uhalifu huo najira ya saa 3.00 asubuhi.
↧
↧
Hivi sasa ni Saa tano Usiku......Kikao cha Kamati Kuu Bado Kinaendelea
Macho na Masikio ya Watanzania bado yako mjini Dodoma kujua majina ya tano bora ya Urais wa CCM.
Leo vimefanyika vikao viwili ambavyo ni kikao cha kamati ya maadili na kikao cha kamati kuu ambacho kinatarajiwa kutoa majina matano ambayo yanapelekwa katika kikao cha Halmashauri kuu ya taifa na kubakiza majina matatu ambayo yatapigiwa
↧
Breaking News: Hatimaye 5 Bora ya CCM Imejulikana....Lowassa Kaenguliwa
Kikao cha Kamati Kuu ya chama cha mapinduzi (CC) kimemalizika hivi punde(saa saba usiku)
mjini Dodoma.
Tovuti ya CCM imeyatangaza majina matano yaliyopitishwa na Kamati ya CCM
(CC) kuwa ni ;
1) Bernard Membe
2) John Magufuli
3) Asha Rose Migiro
4) January Makamba
5) Amina S. Ali
↧
Mpasuko CCM: Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa Wapinga Jina la Edwarad Lowassa Kukatwa
Habari za Hivi punde kutoka makao makuu ya CCM mkoani Dodoma ni
kwamba wajumbe wa kamati kuu watatu ambao ni Dkt. Emmanuel Nchimbi,
Sophia Simba na Adam Kimbisa wamepinga maamuzi ya kamati ya kumkata
mmoja wa wagombea maarufu na kumweka mgombea asiyekuwa maarufu.
Akizungumza usiku huu majira ya saa saba za usiku Dkt. Nchimbi
amesema kwamba wao watatu hawajakubaliana na maamuzi
↧
More Pages to Explore .....