Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mkulima wa Darasa la Saba Ajitosa Urais CCM

$
0
0
KATIKA hali isiyo ya kawaida, mkulima kutoka Kijiji cha Mjimtala Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, Eldoforce Bilohe (43) jana alitinga makao makuu ya Chama Cha Mapindizi (CCM) kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea urais, bila kuwa na ada huku akiwa amebeba maji ya chupa kwapani.   Bilohe ambaye alisema elimu yake ni ya darasa la Saba, aliwasili makao makuu ya CCM muda wa

Lowassa Apata Wakati Mgumu Mkoani Mara Ambako ni Nyumbani kwa Wassira........ Maelfu ya Wananchi Wazuia Msafara Wake Wakitaka Wamuone

$
0
0
Waziri mkuu wa zamani Mh.Edward Lowasa aliyeko kanda ya ziwa kutafuta wadhamini amepata wakati  mgumu alipowasili mkoani Mara baada ya makundi ya wananchi wakiwemo vijana,wanawake na watoto   kumfuata kila alikokwenda wakitaka wapewe nafasi ya kumueleza kero zao jambo lililosababisha  zoezi la kumdhamini kuwa gumu licha ya kufanikiwa kwa kiasi kikubwa.   Heka heka za wananchi kutaka

Maneno ya Wema Sepetu Baada ya Kutuhumiwa Kutoka Kimapenzi na Mume wa Linah

$
0
0
Siku chache baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Esterlina Sanga ‘Linah’ kulalamika juu ya kitendo cha Wema Sepetu kumchukua aliyekuwa bwana’ake Nangari Kombo, muigizaji huyo ameibuka na kutoa maneno yanayoashiria kejeli, kuwa aache presha, kwani zile ni picha tu! Wiki iliyopita zilisambaa  picha  mtandaoni zikimuonyesha Wema Sepetu akiwa amepozi kitandani na kijana huyo,

Magufuli Aendelea Kusaka Wadhamini, Agoma Kuzungumza

$
0
0
Waziri wa ujenzi Dkt. John Pombe Magufuri ambaye pia ni miongoni mwa wagombea waliochukua fomu za kuwania mbio za uraisi wa awamu ya tano amesema hawezi kuthubutu kuzungumza chochote mbele ya hadhara ya wananchi katika kipindi hiki kigumu cha kutafuta wadhamini na kwamba kufanya hivyo nikukiuka maadili ya chama chake. Akizungumza mjini Bukoba wakati wa akitoa shukrani zake kwa

Urais 2015: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe Achukua Fomu ya Kugombea Urais

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe akionesha mkoba wenye fomu za kugombea urais katika ukumbi wa mikutano wa NEC mjini Dodoma.   **********   Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe jana amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya  kugombea Urais kwa tiketi ya chama cha

January Makamba Achukua Fomu ya Kugombea Urais

$
0
0
Mbunge  wa jimbo la Bumbuli, mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba baada ya kutangaza nia  jana juni 10, amechukua fomu  katika Ofisi Kuu za Chama Cha Mapinduzi mjni Dodoma  ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi.   Akizungumza mara baada ya kuchukua fomu Makmba alisema kwamba ataendelea na safari

Godbless Lema Asikitika Uandikishaji Kuahirishwa Jijini Arusha

$
0
0
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema uandikishaji wapigakura katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, uliokuwa uanze jana na kuahirishwa, umewasikitisha kama chama kwa kuwa wananchi hawakupewa taarifa za usitishwaji wa uandikishaji huo.   Licha ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu kusitishwa huko, wananchi walijitokeza jana kwenye

Watu 6 Mbaroni kwa Kukutwa na Mifupa 6 ya Binadamu

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Tabora, limewakamata na kuwafikisha mahakamani watu sita, kwa tuhuma za kukutwa na mifupa sita ya binadamu, inayodhaniwa kuwa ni ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).   Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Suzan Kaganda alisema watuhumiwa hao walikamatwa asubuhi ya Mei 22, mwaka huu wilayani Igunga.   Kaganda aliwataja

Zoezi la Uandikishaji wapiga kura Laendelea kwa Kusuasua mkoani Mwanza.

$
0
0
Zoezi la uandikishaji wa wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki (BVR) mkoani Mwanza linaigia siku ya tatu huku kasi ndogo ya uandikishaji ikishuhudiwa katika baadhi ya vituo vya kuandikishia wapiga kura kutokana na uhaba wa vifaa pamoja na wataalam, hali ambayo imelalamikiwa na baadhi ya wakazi wa kata za wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza.   Kufuatia hali hiyo baadhi ya wakazi wa

Mahakama ya Afrika iamuru Burkina Faso kusikiliza upya kesi ya mauaji ya mwandishi

$
0
0
BAADA ya miaka 16 tangu alipouawa mwandishi wa habari za uchunguzi wa nchini Burkina Faso, Norbert Zongo, hatimaye haki imetendeka juu yake baada ya hukumu ya kihistoria iliyotolewa na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (ACHPR) yenye makao yake jijini Arusha.   Katika hukumu hiyo iliyotolewa mwishoni mwa wiki, ACHPR  iliamuru Burkina Faso kuifungua na kuisikiliza upya kesi hiyo

Membe apata baraka za watumishi wa Mungu kugombea urais wa Tanzania

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akizungumza na viongozi wa dini ya kiislam wa Mtwara mjini juzi jioni, wakati wa dua maalum iliyoandaliwa na viongozi hao kwa ajili ya kumtakia kheri katika safari yake ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliyekaa (

Wanaotumia Dawa za Kufubaza Makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) Wapewa Darasa

$
0
0
WAKAZI wa Mtaa wa Sechelela Kata ya Tambukareli Chadulu (A) Dodoma wanaotumia  dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV), wametakiwa kuepuka matumizi ya unywaji wa pombe, uvutaji wa sigara na ngono uzembe. Rai hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Sechelela, Robarnt Pangaselo, alipokuwa akizungumza kwa niaba ya wanafunzi hao kwenye mkutano wa hadhara

Nassary Aandaliwa Sherehe Jimboni Kwake, Ni baada ya Kutatua Mgogoro wa Maji

$
0
0
Mbunge Joshua Nassar akiwa na mkewe Anande Nnko wakati wa sherehe ya kimila iliyoandaliwa na wananchi katika jimbo la Arumeru Mashariki baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa maji uliokuwepo katika baadhi ya vijiji. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassar akiwahutubia wananchi wa kata ya Leguruki na King'ori baada ya kufanikiwa kuvunjwa kwa bodi ya maji uliokuwa ikihudumia

Umoja wa Ulaya Wataka Uchaguzi wa Tanzania Ufanyike Kwa Uwazi

$
0
0
BALOZI wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini, Filiberto Sebregondi, ameshauri Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ufanyike kwa uwazi zaidi ili kulinda amani iliyopo nchini.   Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Balozi Sebregondi, alisema pia ni lazima Serikali ifanye maandalizi ya kutosha na wagombea washiriki kwa amani katika kipindi chote cha kampeni.   “Mwaka huu ni wa muhimu

Urais 2015: Waziri Membe Atinga Jijini Mbeya, Apata Wadhamini 800

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na wananchi waliofika kumpokea nje ya Ofisi ya CCM Mkoa wa Mbeya jana, baada ya kuwasili mkoani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini watakaotia saini fomu zake za kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo

Kiongozi wa waasi wa ADF Aliyekamatwa Tanzania Agoma Kurudishwa Uganda

$
0
0
KIONGOZI wa Kundi la Kigaidi la Waasi la ADF  nchini Uganda, Jamil Mukulu amedai  hataki kurudishwa kwao kwa sababu hana imani na mahakama yoyote nchini Uganda.   Anadai anaamini kesi yake ikisikilizwa nchini humo hawezi kutendewa haki ni bora ikasikilizwa katika mahakama yoyote lakini si huko.   Mukulu  alidai hayo kwa kupitia Wakili wake Martin Rwehumbiza ambaye aliwasilisha hoja

Serikali Yatoa Onyo Kwa Raia Wa Kigeni

$
0
0
IDARA  ya Uhamiaji Mkoa wa Shinyanga imesema  imebaini kuwabaadhi ya raia wa kigeni wanatafuta mbinu ya kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.   Imesema   imejipanga kuhakikisha raia hao hawapati nafasi yoyote ya kujiandikisha huku ikiwaonya wakazi na waandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kupitia mfumo mpya wa BVR kuwa makini na wageni  hao.   Ofisa Uhamiaji

Makada 17 CHADEMA Kumkabili Ndassa

$
0
0
MAKADA 17 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wametangaza nia ya kuchukua fomu za kugombea nafasi ya ubunge  jimbo la Sumve linaloongozwa na Richard Ndassa (CCM).   Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika juzi Wilaya ya Kwimba, Katibu wa Jimbo la Sumve, Cosmas Jilala,   aliwataja baadhi ya makada hao kuwa ni  Mpelwa  Kalungubhale, Ng’holo Malimi, Madaka Sunday,

Lowassa Apokelewa Kwa Kishindo Mkoani Simiyu, Apata Wadhamini 5,000

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mpinduzi(CCM) na wananchi baada ya kupokea majina ya wanachama zaidi ya 5000 waliomdhani kugombea Urais mkoani Simiyu jana.    Wanachama wa Chama cha Mapinduzi(CCM) wakicheza baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kukabidhiwa majina ya wanachama wa chama hicho zaidi ya 5000 waliomdhani

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 11 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe 11  Juni 2015
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images