Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Membe: Nikikatwa Nitampigia Kampeni Profesa Mwandosya

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema kama CCM haitampitisha kuingia tano bora, atampigia kampeni kwa moyo wa dhati Profesa Mark Mwandosya iwapo ataingia fainali ya kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea urais.    Membe aliyasema hayo jana alipokuwa akizungumza na wanachama   wa CCM kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa

Kinana: Wagombea Urais Mjinadi bila Kukashifiana

$
0
0
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mkuu, kujinadi bila kukashifiana na kudhalilishana.   Aidha, Kinana ambaye ameonya juu ya vitendo vya rushwa katika mchakato huo wa kupata wagombea, amewataka viongozi wanaosimamia mchakato wa kura za maoni kwenye kata na wilaya kutenda haki kwa

Ahukumiwa Jela Miaka Miwili Kwa Kujiandikisha ‘BVR’ Vituo 3 Tofauti

$
0
0
MKAZI wa kijiji cha Masange kata ya Masange tarafa ya Bereko wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Adam Salum (28) jana alihukumiwa kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani baada ya kukiri shitaka la kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapigakura katika vituo vitatu tofauti kwa kutumia majina matatu tofauti.   Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kondoa Jangandu

NEC Yatangaza Mikoa Mipya uandikishaji kwa BVR

$
0
0
Tume ya Taifa ya Uchaguz i(NEC) imetangaza mikoa mipya itakayoingia katika zoezi la uandikishaji kwa BVR,zoezi litakalohusisha kuandikisha wananchi wenye sifa za kupiga pamoja na kupata kitambulisho chao papo hapo.   Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa jana na tume hiyo imebainisha kuwa mikoa hiyo ni kama ifuatavyo; Geita, Simiyu, Mwanza, Shinyanga, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro,

Dive: Mwana FA Aliokoa Maisha Yangu Kipindi Nimekata Tamaa Na Kutaka Kujiua

$
0
0
Mtangazaji wa redio nchini Tanzania, Diva The Bawse, amedai kuwa hatakuja kusahau msaada alioupata kutoka kwa mwanamuziki nchini Mwana FA, baada ya kutaka kujiua na mwanamuziki huyo kufanikiwa kumshawishi hadi kubadili azma yake.   Amedai kuwa alianza kazi akiwa katika umri mdogo jambao ambalo changamoto zilimfanya alie na kutamani kujiua lakini mwanamuziki huyo alitokea na kuweza

Soma Bajeti ya Mwaka 2015/ 2016 Iliyowasilishwa na Waziri Wa Fedha Jana Bungeni

$
0
0
Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma jana.   SOMA BAJETI YA MWAKA 2015/16 HAPA===>>>BAJETI

Kesi Ya Kulawiti Inayomkabili Mwenyekiti Wa CCM Yapigwa Kalenda hadi Juni 26

$
0
0
1.Kesi ya Kulawiti: KESI ya kulawiti inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi (CCM) wilaya ya Uyui mkoani Tabora,  Mussa Ntimizi, imeahirishwa hadi Juni 26 mwaka huu itakapotajwa tena. Wakili wa Serikali,  Juma Massanja,  alisema kesi hiyo imeahirishwa kutokana na kutohudhuria  mashahidi wa upande wa mashtaka. Ilisomwa juzi mbele ya Hakimu Jocktan Rushwera. Mwisho ------- 2

Mbunge ataka taaluma ya gesi Mtwara, Lindi

$
0
0
MBUNGE wa Lindi Mjini, Salum Barwany (CUF), ametaka Serikali kutoa taaluma ya gesi na mafuta kwa wananchi wa Mkoa wa Lindi na Mtwara.   Akiuliza swali bungeni jana, Barwany alisema kuna taarifa kupitia vyombo vya habari kuhusu juhudi za Serikali za kutoa taaluma ya gesi na mafuta.   “Je wananchi wa Mkoa wa Lindi na Mtwara wananufaikaje na je ni vijana wangapi hadi sasa wamepatiwa

Wahitimu wa afya 400 kwenda hospitali za rufaa

$
0
0
SERIKALI ina mpango wa kuwapeleka wahitimu wa sekta ya afya wapatao 400 katika hospitali  rufaa nchini.   Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Stephen Kebwe wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Viti Maalum, Diana Chilolo (CCM).   Katika swali lake, Chilolo aliitaka Serikali kupelekea madaktari katika hospitali ya Ikungi kwa kuwa

Serikali Yatoa Maelekezo Kwa Wenye Magari Mabovu Barabarani

$
0
0
WAMILIKI wa magari wametakiwa kufuata sheria ya kuyaondoa barabarani magari yao  yanayopata ajali ndani ya saa sita.   Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Al-Shaymaa Kwegyir (CCM).   Katika swali lake, Kwegyir alitaka Serikali kutunga sheria ya kuwawajibisha wamiliki wa magari yanayopata ajali kulipa

Serikali Yaahidi Kutekeleza Ahadi yake ya Elimu Ya Sekondari BURE Kuanzia 2015/2016

$
0
0
SERIKALI imesema itaanza kutekeleza ahadi yake ya kutoa elimu ya sekondari bure katika mwaka wa fedha 2015/16.   Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi, Celina Kombani wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Lushoto, Henri Shekifu (CCM).   Katika swali lake, Shekifu alitaka kujua kama tangazo hilo la Serikali la kutoa elimu ya sekondari bure

Wakazi Wa Mgao Wamvaa Halima Mdee Kwa Kuwadhalilisha......Wamtaka Afute Kauli Yake

$
0
0
KUFUATIA taarifa iliyotolewa  na Waziri Kivuli, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Halima Mdee kuhusu utoaji wa ardhi kwa bilionea Alhaji Aliko Dangote, wakazi wa kijiji cha Mgao, Halmashauri ya Mtwara Vijijini wamemtaka kufuta kauli yake. Wakitoa malalamiko yao kwa vyombo vya habari, baadhi ya wakazi wa kijiji hicho ambao walijitambulisha kwa majina ya Seif Said na Mohamed

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kushepu Maziwa, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kuondoa Michirizi na Zingine Nyingi

$
0
0
Je Unapenda Kuongeza Hips, Makalio, Urefu na Unene wa uume na Nguvu za Kiume bila Madhara? Markson Beuty tunakupatia hizo na Zingine nyingi zenye matokeo ya haraka na uhakika zisizo na kemikali wala madhara ..   Tuna uzoefu wa Miaka 15 na Bidhaa zetu ni za mimea na Matunda na zimethibitishwa          TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=.

Mwanamke Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumuua Mwanae Mchanga Kwa Kumtumbukiza Chooni

$
0
0
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Dainees Fredrick (30), mkazi wa Kambi ya Raha, wilayani Hai, kwa tuhuma za kumuua mtoto wake mchanga muda mfupi baada ya kumzaa kwa kumtumbukiza chooni. Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alifanya kitendo hicho siku moja baada ya kujifungua ambapo alimfunga mtoto huyo wa kiume kwenye kanga na kumweka kwenye mfuko wa plastiki kisha kumtumbukiza

Kortini kwa Kulawiti Mtoto

$
0
0
MKAZI wa Mbezi Beach   Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.   Mbele ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai   kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu  huko Kawe.   Mtuhumiwa alikana shtaka hilo na  alirejeshwa

Siro Atoa Ushahidi Kesi ya Profesa Lipumba

$
0
0
MKUU wa Operesheni Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Simon Siro (54) ametoa ushahidi katika kesi inayowakabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30 na kudai   mkutano huo ulipigwa marufuku kutokana na taarifa za intelijensia za kuwapo kwa  tishio la ugaidi. Siro aliyaeleza hayo juzi mbele ya Hakimu Mfawidhi  wa  Mahakama ya Hakimu Mkazi

Lowassa Avunja Rekodi Mkoani Shinyanga.......Wananchi Waumizana Wakigombea Kumuona, Avuna Wadhamini 7,114

$
0
0
Mh. Lowassa, akipokea fomu zilizojazwa na wana CCM waliomdhamini mkoani Shinyanga, kutoka kwa katibu wa CCM wilaya ya Shin yanga mjini Charles Sangula, Juni 11, 2015. Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akipungia mkono wana CCM na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga, alipokuwa akiondoka ofisi za chama hicho wilaya ya Shinyanga mjini mara baada ya kupata wana

Bajeti kuu ya Serikali 2015/ 2016: Kodi ya Pombe na Sigara Haijaongezwa.....Petrol, Dizel na Mafuta ya taa Kodi Imepanda.....PAYE Imepunguzwa, Penshen Imeongezeka

$
0
0
Kwa mara kwanza Bajeti ya 2015/16, ambayo ni ya mwisho ya Serikali ya Awamu ya Nne, haijaongeza kodi katika bidhaa za pombe na sigara, badala yake imeendelea kupandisha kodi katika mafuta huku ikiminya uingizaji wa bidhaa nchini kwa ajili ya kulinda viwanda na wazalishaji wa ndani na kuongeza ajira. Pia, bajeti hiyo ya mwisho kwa utawala wa Rais Jakaya Kikwete imeweka kipaumbele katika

Urais 2015: Wassira Awashambulia Wagombea Wenzake......Awabeza Wanaojaza Watu Wengi kwenye Mikutano, Asema hata yeye Akiamua Anaweza!!

$
0
0
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira amewashambulia  watangaza  nia  wenzake  kwa  madai  kuwa  wanatumia  pesa kusaka uongozi.   Alisema Tanzania inapita katika msimu mgumu kisiasa kutokana na baadhi ya watu kutumia mabilioni ya fedha kusaka uongozi wa nchi, wakati uongozi si biashara.    Wasira alitoa kauli hiyo jana wakati akiwashukuru wanachama wa CCM

Urais 2015: January Makamba Apokelewa Kishujaa Mkoani Iringa, Apata Wadhamini 600

$
0
0
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, ameungwa mkono na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) mkoani Iringa ambako alipata wadhamini zaidi ya 600.    Akizungumza na wadhamini wake hao, January alisema endapo atafanikiwa kuwa rais atahakikisha CCM inalirudisha Jimbo la Iringa Mjini ambalo kwa sasa linaongozwa na Mchungaji Peter Msigwa kutoka Chama
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images