Wakati Serikali imeeleza nia yake
ya kuangalia upya utozaji wa kodi ya kila mwezi kwenye laini za simu za
mkononi, imeeleza pia mpango wa kufunga mtambo maalumu ili kubaini
malalamiko ya kampuni za simu kudaiwa kuiba fedha za watumiaji.
Katika kile
kinachoonesha kusikiliza kilio cha wananchi, Serikali imesema inapitia
maoni na mapendekezo yaliyotolewa na wadau ili kuiangalia upya sheria
SERIKALI YALEGEZA MSIMAMO KUHUSU KODI YA LINE....WAZIRI WA FEDHA AKUBALI KUWAPELEKEA WABUNGE WAJADILI UPYA
↧
↧
COMPUTER ZA USHAHIDI ZILIZOTUMIKA KWENYE UWIZI WA ATM ZAIBIWA NDANI YA KITUO CHA POLISI - MAKAO MAKUU MWANZA
Siri za wizi uliotokea Makao Makuu ya Polisi mkoani Mwanza
zimeanza kuvuja ambapo imebainika kuwa kompyuta aina ya laptop
zilizoibwa ndani ya chumba cha vielelezo zilikuwa za ushahidi wa kesi ya
wezi wa mashine za kuchukulia fedha(ATM).
Katika wizi huo wa benki ambao ulifanyika kwenye
mashine za ATM mbalimbali na watuhumiwa watatu kunaswa Februari 10,
↧
WAVAA VIMINI WAPIGWA MARAFUKU KUINGIA HOSPITALI YA MKOA WA DODOMA
MGANGA Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Dk Ezekiel Mpuya amesema
tangazo lililotolewa hospitalini hapo la kuwataka watu kuvaa mavazi ya
heshima wanapoingia hospitalini hapo lilikuwa likihusu watumishi wa
hospitali hiyo na si wananchi wa kawaida.
Akizungumzia suala hilo juzi, Dk Mpuya alisema kuwa Katibu wa
Hospitali hiyo alitoa tangazo hilo kimakosa hali ambayo ilisababisha
↧
SHILOLE ATANGAZA BIFU LA NGUMI BAADA YA SINTAH KUMPONDA KUWA ANAUWEZO MDOGO KIMUZIKI
MWIGIZAJI wa kike wa filamu na muziki Bongo zuwena Mohamed ‘Shilole’
amemtangazia hali ya hatari msanii mwenzake wa filamu na mtangazaji wa
televisheni Christina John ‘ Sintah’ kuwa popote atakapomkuta lazima
amchape kwa kipigo ambacho hatasahau katika maisha yake...
Shilole ametoa kauli hiyo kufuatia kuandikwa na mwanadada huyo katika mtandao wake akimbeza
kwa kejeli.
.
“Ni kweli sisi
↧
LADY JAYDEE NA JUMA NATURE WAJIPANGA KUTOA NGOMA YA PAMOJA
Baada ya
kumpa shavu The Heavy Weight MC Profesa Jay kwenye joto hasira, Lady JayDee
a.k.a Anaconda anaendeleza utamaduni wa kuwapa mashavu wasanii wakongwe na
wakali..hivi karibuni alirekodi wimbo na Q chilah, and guess Who’s next, ni
Juma Kassim Nature Kiroboto.
Kupitia
akauunti yake ya twitter Anaconda amewapa fans wake good news kuhusu ujio wa
ngoma yake na Juma Nature, huku
↧
↧
"MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR UMEKUFA KISHERIA"....HII NI KAULI YA TUNDU LISSU
↧
MAPENDEKEZO YA CCM KUHUSU RASIMU YA KATIBA MPYA
<!-- adsense -->
Mapendekezo ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wanachama na viongozi wake.UTANGULIZI1.1
Mnamo tarehe 03/06/2013 Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitangaza rasimu
ya kwanza ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.1.2 Rasimu hii ya Katiba itajadiliwa katika mfumo wa aina mbili wa mabaraza:Mabaraza ya Katiba ya
↧
LINAH AKANUSHA MADAI YA KUBAKWA USIKU BAADA YA KULEWA
Mrembo na mwanamuziki wa kike nchini,
Linah Sanga amezikanusha ripoti zilizosambazwa leo kuwa amebakwa na
rapper Kimbunga na kudai kuwa ameshangazwa mno na taarifa hizo.
Taarifa hizo zimeanza kusambazwa leo
mchana baada ya akaunti ya Facebook inayoonekana kuwa ya rapper Kalapina
yenye jina ‘KalApina Kikosi Cha Mizinga’ kuandika:
“Mtoto kimbunga amechamba ana leta usela
mavi mambo ya
↧
MSANII SHETTA AMALIZA BIFU NA BABA YAKE BAADA YA KUZINGUANA TANGU AKIWA NA MIAKA 7
Baraka za mwezi Mtukufu wa Ramadhan zimeitembelea familia ya Baba
Qayllah, Shetta Bilal. Baada ya miaka mingi ya maelewano hafifu na baba
yake mzazi, leo baba na mwanae wameamua kusameheana
Kupitia Instagram, Shetta amepost picha (hiyo juu) akiwa na baba yake
mzazi Mzee Bilal ambaye ni Sheikh, pamoja na mdogo wake Awab na
kuandika: Wit my daddy n my young broda Awab….. #happyday baada
↧
↧
JOSEPH LUDOVICK AFUNGUKA....ADAI KWAMBA MATESO YOTE ANAYOYAPATA NI KWA AJILI YA CHADEMA
SIKU chache baada ya Mahakama kumuachia kwa dhamana mshitakiwa
mwenza wa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, Joseph Ludovick, amefunguka na
kuelezea tuhuma ambazo zimekuwa zikielekezwa kwake, ikiwamo uhusiano
wake na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba.
Ludovick, ambaye anadaiwa kurubuniwa na
↧
KILA MTU ANAHAKI YA KUPENDA...." NATAFUTA MPENZI WA KIUME ILI AWE MUME WANGU BAADAE"
<!-- adsense -->
Huu ni mkusanyiko wa maombi ya wadau wanaosaka wapenzi na wake au waume....
Ili kurahisisha zoezi hili, kuna forum imeanzishwa (MZALENDO FORUM ) ambako maombi yote yamewekwa huko.....
Hiyo ni sehemu maalum ya kumtafuta umpendaye...Jiachie kwa kadri ya uwezo wako na mungu atakupa chaguo lako....
-----------------------------
OMBI LA
↧
ASKARI WA JWTZ WALIOUAWA DARFUR KUAGWA LEO MAKAO MAKUU YA JESHI
Askari saba wa Jeshi la Ulinzi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ), waliouawa katika jimbo la Darfur nchini
Sudan, wanatarajiwa kuagwa leo kwenye viwanja vya makao makuu ya jeshi
hilo.
Miili ya
wanajeshi hao iliwasili nchini juzi kwa ndege maalumu katika Uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu J. K Nyerere, Terminal One na kwenda
kuhifadhiwa kwenye Hospitali ya Rufaa ya Lugalo jijini Dar es
↧
WATOTO WAWILI WABAKWA NA BABA ZAO JIJINI DAR
Ukatili wa kutisha umewakuta watoto wawili wa familia tofauti wakidaiwa
kubakwa na wazazi wao huku mmoja akifanyiwa unyama huo na baba yake
mzazi na mwingine baba yake mdogo.
Habari zilizopatikana kutoka kwa
ndugu, wazazi na majirani wa watoto hao zilisema kuwa wote walifanyiwa
ukatili huo siku moja kwa nyakati na mazingira tofauti wilayani Temeke,
Dar hivi karibuni.
Watoto hao ambao
↧
↧
MAJUNGU YAWAFANYA "SCORPION GIRLS" WAZINGUANE
MEMBA wa Kundi la Scorpion Girls, Isabela Mpanda ‘Bela’ na Miriam Jolwa
‘Jini Kabula’ wametofautiana hadi kufi kia hatua ya kutukanana na
kutupiana nguo nje.
Mpango mzima ulitokea hivi karibuni Kijitonyama
jijini Dar, nyumbani kwa Isabela ambapo chanzo cha ugomvi huo ni baada
ya Isabela kumsifi a mtandaoni X-memba wa kundi lao, Jacqueline Pentezel
‘Jack wa Chuz’ kwa kununua gari, ndipo
↧
UFAFANUZI KUHUSU BOMU LILILOPIGWA JANA KATIKA MKUTANO WA CHADEMA
Ikiwa ni takribani mwezi mmoja tu tangu bomu lilipolipuka kwenye mkutano
wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), mkoani Arusha, jana
tukio kama hilo lilitokea jijini Dar es Salaam kwenye mkutano wa Mbunge
wa Ubungo (Chadema), John Mnyika, ambao aliutishia kwa lengo la
kuwaelezea wananchi mrejesho wa yaliyojiri bungeni hivi karibuni na
kuhamasisha wananchi kushiriki kutoa maoni kwenye
↧
"WANAOPINGA KODI YA LINE ZA SIMU NI WANAFIKI WASIOPENDA MAENDELEO "....MIZENGO PINDA
WAKATI Serikali ikiahidi kutazama upya
tozo ya Sh 1,000 kwa laini za simu ili kupunguza mzigo kwa wananchi,
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, amesema tozo hiyo si ya kuwaumiza wananchi
bali mapato yake yatakwenda moja kwa moja kusaidia kueneza umeme
vijijini.
Alisema hayo alipozungumza kwenye
mkutano wa hadhara mjini Songea juzi, katika ziara yake ya wiki moja
mkoani Ruvuma, baada ya
↧
UBAGUZI WAZIDI KUIANGAMIZA CHADEMA
UBAGUZI baina ya vyama vya upinzani
uliopata nguvu bungeni wakati wa kuanzisha Kambi Rasmi ya Upinzani chini
ya Chadema, umeanza kutafuna chama hicho chenye ushawishi mkubwa kuliko
vyama vingine vya upinzani Tanzania Bara.
Uundwaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani
bungeni, ulitokana na msimamo wa Chadema yenye wabunge wengi bungeni,
kukataa kushirikisha vyama vingine vya upinzani,
↧
↧
POLISI MKOANI MWANZA YAFAFANUA KWA KINA KUHUSU VIELELEZO VYA KESI VILIVYOIBIWA KITUONI HAPO
WATU wasiofahamika idadi yao wanaodhaniwa wezi, wameiba vielelezo katika
stoo ndogo ya Kituo Kikuu cha Polisi Kati, Wilaya ya Nyamagana, mkoani
Mwanza baada ya kuvunja madirisha.Tukio la wizi huo lilifanyika
Julai 15, mwaka huu, majira ya usiku wa kuamkia Jumatano katika jengo la
Polisi Wilaya ya Nyamagana.Akizungumza na gazeti la MAJIRA
jana, Kamanda wa Polisi Mkoa Naibu Kamishna wa
↧
"ONGEZEKO LA KODI YA INTERNET NI MZIGO KWA WANANCHI"...HII NI KAULI YA TIPSA
CHAMA cha watoa huduma za mitandao (intaneti) Tanzania (TISPA)
kimeilalamikia sheria mpya ya kodi na ushuru wa bidhaa hiyo
iliyotangazwa hivi karibuni na serikali kwa kusema itachangia ongezeko
la gharama za huduma hiyo kwa watumiaji wa kawaida.Akizungumza
na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa TISPA,
Gregory Almeida, alisema kuongezeka kwa gharama hizo kutafanya
↧
PICHA ZA RAIS KIKWETE ALIPOWAONGOZA WANANCHI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA WANAJESHI WALIOFARIKI DARFUL
Rais
Jakaya Kikwete, mkewe Mama Salma, wakitoa heshima za mwisho mbele ya
majeneza yenye miili ya Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) waliopoteza maisha Jimboni Darfur nchini Sudan Julai 13,
2013 kutokana na shambulizi la ghafla, wakati wa zoezi la kutoka
heshima zao za mwisho kuaga miili ya askari hao leo katika Uwanja wa
Wizara ya Ulinzi Upanga jijini
↧
More Pages to Explore .....