Kufuatia kauli za Serikali magazetini
kuhusu mimi na kodi ya umiliki wa kadi za simu; nijibu tu kwa ujumla
kwamba SITAACHA. Badala yake naomba kuwapatia namba zao: Makamba
0767783996 na Mgimwa 0754/0684765644, tunachohitaji ni kauli ya
Serikali kuwa kodi imesitishwa na itaondolewa na sio siasa chafu.
Kwa mliotaka msimamo wangu juu ya kauli ilinukuliwa jana tarehe 18
Julai 2013 na
NAMBA ZA SIMU ZA MAWAZIRI ILI KUWATUMIA MAONI KUHUSU KODI YA SIMU
↧
↧
PICHA ZA UCHI ZA MISS UTALII TANZANIA ZAVUJA MITANDAONI
Wakati maelfu ha waumini wa dini la Kiislam duniani wakiwa ndani
ya mfungo mtukufu ,hali imekuwa tofauti kwa aliyekuwa mshiriki
wa shindano la kumtafuta Miss Utalii Taifa maarufu kwa jina la Faithiya Madoud ambaye ameamua kupiga picha za uchi kwa makusudi ...
Kwa mujibu wa chanzo cha picha, mrembo huyu anadaiwa kujipiga akiwa uchi ili ajiongezee
↧
VIDEO YA KIJANA AKIFANYA MAPENZI NA MBWA YANASWA
<!-- adsense -->
Katika hali ya kushangaza na kuashiria miisho ya dunia, kijana mmoja amenaswa " live " akifanya mapenzi na mbwa.
Katika video hiyo, kijana huyo anaonekana akitoa ushirikiano wa kutosha mithili ya mbwa dume anayesaka watoto.
Video iko hapo chini: ( Ni kwa watu wazima pekee)
<<VIDEO IKO HUKU>>
↧
BASI LA NAJMUNISA LAPATA AJALI NA KUUA WANNE DODOMA
Basi la Najmunisa linalofanya safari zake kati ya mikoa ya Dar es
Salaam na Mwanza limepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma na
kuua watu wanne huku likiacha majeruhi kadhaa.Basi hilo lililokuwa linaelekea Mwanza lilipata ajali hiyo baada ya kupasuka tairi la mbele.Mali za abiria inaelezwa zipo salama kutokana na uwepo wa Check Point ya polisi jirani na eneo la ajali.
↧
PICHA ZA USHUHUDA WA WANACHAMA 5 WA CUF WAKIELEZA JINSI WALIVYOTESWA NA ASKARI HUKO MTWARA
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kutoka (kulia) ni, Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mtwara Mjini, Ismaili Njalu. Katibu wa Wilaya ya Mtwara mjini, Said Kulanga na Mwenyekiti wa Wilaya ya Mtwara mjini, Salum Mohamed wakiwaonesha waandishi wa habari majelaha waliyoyapata baada ya kupigwa na Wanajeshi wa Wananchi (JWTZ) katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya Chama hicho Dar es
↧
↧
HIKI NDO KICHAPO WANACHOPEWA WAASI WA M23 NA JESHI LA KONGO ( FARDC )
Goma -DRC.
WAKATI mapigano yakizidi kuwa makali kati ya wanajeshi wa DR
Congo (FARDC) na kundi la waasi wa M23, wanajeshi wa DRC wako hatarani
kushitakiwa kwa tuhuma za kuwatesa waasi na kunajisi maiti zao.
Wanajeshi hao wanatuhumiwa kwa kosa la kukiuka haki za binadamu
na sheria za Umoja wa Matifa (UN) inayokataza ukiukwaji wa haki za
binadamu huku ukikataza watuhumiwa na mateka wa
↧
BAADA YA JANUARI MAKAMBA KUDAI KUWA MNYIKA NI "MNAFIKI".....ZITTO KABWE NAYE AMEAMUA KUINGILIA KATI MZOZO HUO
↧
MMILIKI WA HOME SHOPPING CENTRE AMWAGIWA TINDIKALI
Taarifa za awali zinadai kwamba Mfanyabiashara Said Mohamed Saad ambaye ni Mmiliki wa Home Shopping Centre (Dar), amwagiwa tindikali saa mbili ya usiku huu maeneo ya Msasani City Mall ....
Taarifa hizo zinadai kwamba mtuhumiwa aliyefanya kitendo hicho alitoka mbio, mlinzi akamkimbiza lakini
bahati mbaya akateleza na kuanguka na jamaa akawahi pikipiki na kutoweka
eneo la tukio
<!--
↧
MR. NICE APATA SHAVU JINGINE NCHINI KENYA BAADA YA KUTEMWA NA GRANDPA
Ikiwa ni zaidi ya mwezi mmoja toka staa wa Bongo Luca Mkenda aka Mr Nice
apoteze nafasi ya kufanya kazi na label ya GrandPa ya Kenya kwa shutuma
za uvivu, kushindwa kutoa ushirikiano na ukiukaji wa mkataba hatimaye
mlango mwingine umefunguka kwa nyota huyo wa ‘Kikulacho’.
Mr Nice ambaye bado yuko Kenya anatarajia kujiunga na label nyingine nchini humo ‘Candy Records’
ambayo ina
↧
↧
MUME AZIMIA BAADA YA MKE WAKE KUNASWA AKIJIUZA
Mume na mke wakiongea
Seleman Yasin (78), mkazi wa Mtaa wa Mtamba, Msasani jijini Dar es
Salaam, juzi Alhamisi alizimia baada ya kupata taarifa za mkewe, Saida
Abdalah ‘Mama Hamisi’ (21), kunaswa kwa tuhuma za ukahaba na kupandishwa
kizimbani kwenye Mahakama ya Jiji.
Imedaiwa mahakamani hapo kuwa
Mama Hamisi alinaswa kwenye msako wa machangudoa uliofanyika usiku wa
kuamkia juzi maeneo
↧
CHRISTOPHER GEORGE YOHANA NI ASKARI WA TANZANIA ALIYETEKWA NA WAASI WA M23
Waasi wa M23 wa DR Congo, wanadai kuwa wamemkamata askari wa Tanzania
anayeitwa Christopher George Yohana, wakati akishirikiana na waasi wa
Rwanda (FDLR) wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya maelfu ya Watusi mwaka
1994.
Waasi hao wa M23 wameweka picha ya passport ya mateka huyo kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter.
Kwa mujibu wa chimpreports.com,
M23 wameripoti kumkamata
↧
BBA: MSHIRIKI WA TANZANIA ( NANDO) HUENDA AKASHITAKIWA KWA KOSA LA KUMDHALILISHA MSHIRIKI WA KIKE TOKA GHANA
Mshiriki wa pekee katika Jumba la BBA
The Chase , Selly kutoka nchini Ghana, amesema ya kwamba yupo mbioni
kumfungulia mashtaka mshiriki kutoka nchini Tanzania Nando kwa kitendo
cha kumdhalilisha na kumsingizia amemuambukiza Ugonjwa wa Zinaa.Baada
ya kutolewa katika jumba hilo wiki iliyopita, Selly ameshauriwa na mama
yake na tayari wamewasiliana na Waandaji wa Shindano hilo. " Nimepima
↧
"WANAUME WALIO MSAIDIA SAJUKI WAMENIGEUKIA NA KUNITAKA KIMAPENZI"-WASTARA JUMA
Wastara Juma amefunguka kuwa wanaume
wengi waliokuwa wakimsaidia wakati mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa
mgonjwa wanamgeuka na sasa wanamtaka kimapenzi.
Akizungumza
kupitia Kipindi cha Take-One katika Runinga ya Clouds chini ya Zamaradi
Mketema, Wastara alisema baadhi ya watu ambao walikuwa karibu naye
wakati Sajuki anaumwa sasa hivi wamegeuka na kumtaka kimapenzi, jambo
ambalo
↧
↧
PICHA 20 ZA MAPOKEZI YA WANAJESHI WALIOUAWA HUKO DARFUL SUDAN
Miili ya wanajeshi saba mashujaa wa Tanzania waliofariki wakiwa kazini
wakitekeleza ulinzi wa amani wa kimataifa katika mkoa wa Darfur nchini
Sudan, imewasili leo kwa ndege maalumu ya Umoja wa Mataifa.Kaimu
Mkurugenzi wa habari wa JWTZ, Meja Joseph Masanja amesema miili hiyo
imewasili leo Jumamosi majira ya saa 9.45 alasiri katika uwanja wa ndege
wa kimataifa wa JNIA na imehifadhiwa
↧
VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA
<!-- adsense -->
Katika hali ya kushangaza na kuashiria miisho ya dunia, binti mmoja amenaswa " live " akifanya mapenzi na CHUPA YA SODA.
Katika video hiyo, binti huyo anaonekana akitoa ushirikiano wa kutosha mithili ya mwanamke anayesaka mtoto.
Video iko hapo chini: ( Ni kwa watu wazima pekee)
<< VIDEO IKO HUKU>>
↧
VIDEO YA MAPOKEZI YA WANAJESHI WETU WALIOFARIKI HUKO SUDANI
Vilio majonzi na simanzi vimetawala katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Julias Kambarage Nyerere wakati ndege yenye namba B 737-400 iliyobeba miili ya wanajeshi wa Tanzania waliopoteza maisha nchini sudan ilipokuwa ikikanyaga katika ardhi ya tanzania tayari kupokelewa na ndugu jamaa na marafiki.
<!-- adsense -->
↧
"HAKUNA MFANYABIASHARA MKUBWA NCHINI ALIYEFANIKIWA BILA KUTOA RUSHWA SERIKALINI"....REGINALD MENGI
MWENYEKITI
wa kampuni za IPP, Reginald Mengi ametoboa siri kuwa hakuna
mfanyabiashara wa Tanzania aliyefanikiwa katika biashara kubwa kwa
kusaidiwa na serikali bila ya kutoa rushwa.
Mfanyabiashara huyo ambaye
pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania
(MOAT), alisema yeye aligoma kutoa rushwa kwa watendaji wa serikali
jambo lililosababisha kupoteza fursa
↧
↧
MSANII WA BONGO MOVIE ( MR. BOMBA ) AFARIKI DUNIA...MSIBA UPO BUGURUNI MALAPA- DAR
Msanii wa zamani wa Kundi la Kaole Sanaa. Mr Bomba amefariki dunia
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu
na kansa ya uvimbe wa kwenye ini.
Msiba utakuwa Buguruni Malapa jijini
Dar es salaam nyumbani kwa marehemu alipokuwa akiishi. Mwili utaagwa
siku ya Jumatatu nyumbani kwake Buguruni na kusafirishwa kijijini kwao
Mpwapwa Dodoma siku hiyo ya Jumatatu
↧
VIDEO YA JOTI AKITOA "MAKAVU LIVE" MSIBANI
↧
ASILIMIA 48.3 YA WANAUME TANZANIA WAMEBAMBIKIWA WATOTO NA WAKE ZAO
Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali nchini imesema karibu
nusu ya watu waliojitokeza kupima vinasaba (DNA) ili kubaini uhalali wa
watoto wao, vipimo vimeonesha si wazazi halisi wa watoto waliopimwa.
Takwimu
hizo ni kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2010, ikionesha
kuwa, asilimia 48.32 ya wazazi 'wanalea' watoto wasio wa kwao wakati
asilimia 51.68 ndio wazazi halali.
Hayo
↧
More Pages to Explore .....