MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma,
Laurent Hoya, amefariki dunia ghafla jana alfajiri baada ya kuanguka
chooni. Kifo hicho kimetokea nyumbani kwa marehemu Nkuhungu katika
Manispaa ya Dodoma.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi jana, Mkuu wa Wilaya ya
Chamwino, Fatma Ally alisema Hoya ambaye alikuwa na tatizo la ugonjwa wa
moyo, alianguka chooni jana
MWENYEKITI WA HALMASHAURI AFARIKI DUNIA BAADA YA KUANGUKA CHOONI
↧
↧
MAMA BAGHDAD AMUOMBEA MSAMAHA MWANAE KWA CHID BENZ...AOMBA WAKUTANE PAMOJA NA NA WA MITEGO
Baada ya jana Chidi Benz kuweka wazi kuwa hategemei kumsamehe
Baghdad kwa ‘blunder’ aliyoifanya ya kuwashirikisha yeye na Nay wa
Mitego bila kuwaambia, mama mzazi wa Baghdad amekuja hadharani na
kumuombea msamaha mwanae.Mama huyo ameongea leo kwenye segment
ya 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM kuhusu nia yake ya kutaka
kumaliza tofauti zilizopo kati ya mwanae na Chidi.Mama
↧
WANASAYANSI WAGUNDUA NJIA ZA KUCHAJI SIMU KWA MKOJO
Wanasayansi wa maabara ya Bristol Robotics Uingereza wamegundua njia ya
kutumia mkojo kama chanzo cha kuzalisha umeme wa kuchaji betri za simu,
na kudai kuwa wa kwanza kutengeneza “the world’s first microbial fuel
cells (MFC) powered mobile phone”.
Watafiti hao walielezea juu ya ugunduzi wao kupitia jarida la ‘Physical Chemistry Chemical Physics’.
Dr Ioannis Ieropoulos
↧
MZEE MAGALI WA BONGO MOVIE AKIMBILIA BONGO FLAVA
Mwaka 2013 utakuwa na surprise nyingi sana... So far tumeshapata
surprise kibao ikiwemo ile ya jana ya promoter na Mkurugenzi wa
Watanashati Entertainment, Ostaz Juma na Musoma kuingia kwenye hip hop
na kurekodi wimbo mmoja aliomshirikisha Young Killa.Surprise
zinaendelea na sasa inakuja bombshell nyingine. Kwa mujibu wa mtangazaji
wa Take One ya Clouds TV, Zamaradi Mketema,
↧
SEHEMU NYETI 12 ZINAZOMPA RAHA MWANAMKE
<!-- adsense -->
Tendo la ndoa au ngono ndilo tendo la
furaha lililo kuu kwa binadamu. Wakati tendo hilo kwa wanyama lipo kwa
ajili ya kuzaa,kwa upande wa binadamu ni zaidi ya kuzaa.
Mapenzi au tendo
la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia
tendo hili.Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia
↧
↧
SAKATA LA SISTA WA KANISA KATOLIKI ALIYEBAKWA NA KUNDI LA WANAUME WATATU
Sista aliye mafunzoni ametekwa na
kubakwa kwa wiki nzima na kundi la wanaume watatu katika kile
kinachohisiwa kuwa ni shambulio la kulipiza kisasi, vyombo vya habari
nchini India vimeripoti.
Sista huyo
mwenye miaka 22 alidaiwa kutekwa kwenye stesheni ya treni na binamu zake
na kisha kushikiliwa mateka na kubakwa kwa zaidi ya siku kadhaa sababu
waliishutumu familia yake kwa kifo cha
↧
MZEE MANDELA ASHEREHEKEA MIAKA 95 LEO HUKU AKIWA MAHUTUTI HOSPITALINI
Afrika Kusini leo wanasherehekea
miaka 95 ya kuzaliwa kwa Mzee Nelson Mandela huku rais huyo wa zamani
bado yuko mahututi hospitalini.
Ilikuwa
ikitabiriwa kwamba shujaa huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi kwamba
angeruhusiwa kwenda kusherehekea siku yake ya kuzaliwa lakini bado yuko
hospitali kutokana na kurejea maambukizi kwenye mapafu.
Kituo cha
Kumbukumbu ya Nelson Mandela na
↧
RAIS KIKWETE AMTAKA RAIS WA SUDAN AWASAKE WATU WALIOHUSIKA NA MAUAJI YA WANAJESHI WA TANZANIA HARAKA IWEZEKANAVYO
Rais Jakaya Kikwete amefanya
mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Sudan, Omar Bashir, kuhusu kuuawa
na kujeruhiwa kwa askari wa Tanzania, walioko katika ulinzi wa
kimataifa wa amani katika jimbo la Darfur.
Taarifa ya
Ikulu iliyotumwa kwa vyombo vya habari jana, imeeleza kuwa katika
mazungumzo hayo, Rais Kikwete alimtaka Rais Bashir kuchukua hatua za
haraka kuwasaka na kuwakamata
↧
WASTARA JUMA AANZA KUSAKA MUME WA KUMUOA BAADA YA KIFO CHA MUMEWE
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma amesema hana haraka ya kuolewa kwani anahitaji mume na si mwanaume wa kupita
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Wastara alisema kwa sasa
yupo huru kutoka na mtu yeyote ampendaye kutokana na sheria na dini
inavyosema ila kwa sasa shughuli za kuigiza zimembana.
‘Nahitaji mume
na si mwanaume wa kupita, awe mvumilivu, mchapakazi pia awe na
↧
↧
"NIPO TAYARI KUPIGANA NA JACK WOLPER ENDAPO ATAENDELEA KULITUMIA JINA LANGU KUJIPATIA UMAARUFU"...BABY MADAHA
Staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ ameomba
pambano la ngumi dhidi ya Jacqueline Wolper ili waweze kumaliza ubishi
wa bifu lao.
Akipiongea na mwandishi wetu, Baby alisema amechoshwa
kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke,
wakutane kwa ngumi ili amuoneshe cha mtema kuni.
“Asiniambie mimi natafuta kiki, mimi ni msomi kuliko yeye,
↧
FEZA WA TANZANIA AGONGANISHA MABWANA BAADA YA KUINGIA KUONGA NA NJEMBA IKIWA UCHI BAFUNI
Shemeji yetu Mbotswana, Oneal amechukizwa na kitendo cha Feza Kessy kwenda kuoga na mwanaume mwingine.
Jana jioni, Feza ilimlazimu amuombe msamaha mpenzi wake huyo aliyeoneshwa kuumizwa roho na kitendo hicho.
“Umefanya tena leo asubuhi. Umeniacha kitandani na kwenda kuoga na mwanaume aliye UCHI. I was so disappointed”, alisema Oneal ambaye hata hivyo hakumtaja mwanaume huyo.
“What was
↧
CCM YAPINGA KODI YA LINE ZA SIMU
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekuja juu na kuitaka Serikali kuangalia
njia nyingine mbadala ya kukusanya kodi na kuachana na mpango wa kuanza
kuwatoza wananchi tozo ya Sh 1,000 kila mwezi kwa kila laini ya simu ya
kiganjani.
Hatua hiyo, inatokana na kilio cha wananchi ambao tangu Bunge la
Bajeti kwa mwaka 2013/14 kupitisha sheria hiyo, kumekuwa na manung’uniko
mengi.Uamuzi huo,
↧
HABARI ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA "TANZANIA DAIMA" KUHUSU UDINI WA LIPUMBA YAWACHEFUA CUF
Habari iliyoandikwa na Gazeti la Tanzania Daima ikimhusisha Prof. Lipumba na udini imewachefua CUF na kuwafanya watoe waraka mkali wakiita Serikali kulichukulia hatua gazeti la Tanzania Daima kwa uchochezi wa kidini..
Chama hicho kimedai kuwa Lengo la Gazeti la Tanzania Daima na Mwandishi wake ni kupandisha hasira za Waislam
<<HABARI IKO HAPA>>
------------------------
↧
↧
DIAMOND "AWAPA MAKAVU" WATU WANAOCHUKIA MAFANIKIO YAKE....
Inaonekana Diamond amechoshwa na haters wanaosubiri aanguke kimuziki na
kumcheka...
Kupitia mtandao wa Instagram, Diamond ameamua
kutupia picha inayomuonyesha akianguka kutoka juu (angani) na kufikia
chini kwa kichwa kwenye barabara ya lami.
Picha hiyo ilisindikizwa na
maelezo yanayosema , "Najua hiki ndio mnachokisubiri, kwahiyo endeleeni kusubiri"...# Haters
<!-- adsense -->
↧
MASHABIKI WAMPONDA WEMA SEPETU BAADA YA KUYAANIKA MATITI YAKE MTANDAONI
“Did I miss a spot…? I dunno,” ni maneno ya Wema kwenye picha aliyoiweka
leo katika mtandao wa Instagram.
Hata hivyo mashabiki wengi
wamemshambulia mrembo huyo kwa kile wanachohisi hakupaswa kuiweka katika
mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.
Haya ni baadhi ya maoni:
nanchesca5 Girl, I’m not trying to fix you,But this is the holy month.Keep it calm.It won’t hurt.
princesswawiey R
↧
UCHAWI WAIBUKA TAZARA: NJIWA ATUA NA BARUA YA VITISHO OFISINI
Njiwa akiwa na ujumbe wa barua kama inavyo onekana
Njiwa akiwa amedhoofu kwa Baridi akiwa katika choo cha wanaume
Hii ni sehemu alipokutwa Njiwa huyo
Majengo nje ya Ofisi ya Afisa Mwajiri
Baadhi ya wafanyakazi wakielekea eneo la tukio
Afisa Mwajiri (Mwenye shati ya bluu) Na baadhi ya wafanyakazi wakishuhudia tukio
Mashuhuda wakitoka eneo la tukio
Barua iliyoletwa
↧
VODACOM WAZINDUA CHARGER YA SIMU INAYOTUMIA MIONZI YA JUA
Vodacom Tanzania sasa wanauza charger za simu zinazojulikana kama
ReadySet Charge ambazo zinatumia njia mbadala ya chanzo cha nishati …
Charger hizo zinazotumia mionzi ya jua zinawafaa wafanyabishara ndogo
ndogo kwa matumizi tofauti katika kazi zao …
Pichani chini; Mfanyabiashara maeneo ya Ubungo akioneshwa jinsi kifaa hicho kinavyofanya kazi …
<!-- adsense -->
↧
↧
SERIKALI YASISITIZA KUWA "KODI YA LINE ZA SIMU" IKO PALE PALE
Waziri wa Fedha, William Mgimwa,
amesisitiza uamuzi wa Serikali kuendelea kutoza Sh 1,000 kwa kila mwezi
kwa laini ya simu, licha ya kampuni za simu na wanasiasa kupinga.
Akizungumza
na mwandishi juzi, Mgimwa alikumbusha wanaolalamikia kodi hiyo, kwamba
suala la ulipaji kodi kwa taasisi au watu binafsi, ni la kisheria
kulingana na mapato yao na hali halisi iliyopo.
Pia alieleza
↧
CHADEMA YAJITOA KUWANIA UMEYA WA ARUSHA
Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), kimeamua kuachana na kuwania umeya wa Jiji na badala yake
kimemwomba Meya, Gaudence Lyimo (CCM), atende haki.
Katibu wa
Kanda ya Kaskazini wa chama hicho, Amani Golugwa alisema jana, kwamba
Chadema haina uroho wa madaraka kama baadhi ya watu wanavyofikiri, bali
inasimamia vipaumbele vya maendeleo.
Hata hivyo, kauli hiyo
inapingana na
↧
WEMA SEPETU APANDISHWA KIZIMBANI KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KUMTUKANA MENEJA WA HOTELI
KUNA kila dalili kwamba mrembo anayetamba kwenye filamu za
Kibongo, Wema Isaac Sepetu jela inamwita na
anatakiwa kufanya maombi ili kukwepa kifungo maishani mwake.
Hali
hiyo inafuatia staa huyo kupandishwa kizimbani kwa mara nyingine tena
Jumatano iliyopita, pale alipopanda katika Mahakama ya Mwanzo ya Kawe
jijini Dar kwa kosa la kumpiga na kumtukana matusi ya nguoni meneja wa
↧
More Pages to Explore .....