Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ofisa afya amwagiwa maharage ya moto

$
0
0
OFISA Afya wa Kata ya Nyasubi wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Mkola Vedastus (27), amenusurika kifo baada ya kumwagiwa maharage ya moto yaliyokuwa jikoni.   Tukio hilo lilitokea juzi wilayani hapa baada ya ofisa huyo kumwagiwa maji hayo na shemeji yake, Anna Makula.   Akizungumza juzi akiwa Kituo cha Afya cha Igalilimi alipolazwa, Vedastus alisema alikutwa na mkasa huo jioni wakati

CCM Yatangaza Tarehe za Vikao Vyake Vikubwa Vitakavyofanyika Mjini Dodoma

$
0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akifafanua jambo mbele ya waandishi wa Habari leo (hawapo pichani) ,jijini Dar es Salaam, kuhusiana na kubadilika kwa tarehe ya mkutano wao kufuatia kuingiliana na Mkutano wa Baraza la Wawakilishi. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye Akizungumza na waandishi wa Habari leo ,jijini Dar es Salaam, kuhusiana na kubadilika kwa tarehe ya

Vanessa Mdee Reveals Why She Quit Her Radio Presenting Job

$
0
0
google_ad_client = "ca-pub-9495610419384841"; google_ad_slot = "3088887306"; google_ad_width = 336; google_ad_height = 280; The lovely Vanessa Mdee is no longer on radio. Well, her songs are, but she will no longer be hosting her show at Choice FM.   Before she embarked on her musical career the lass was working as a presenter and she had attracted a

Raza aibukia sakata la Escrow .....Ataka SUKI kuwaangukia wahisani

$
0
0
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.   Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es

Profesa Lipumba aibua mapya BVR

$
0
0
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeibua madai mapya katika zoezi la uandikishaji wa wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR) linaloendelea katika mikoa ya Kusini.   Chama hicho kilitembelea mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara na kubaini kuwa katika baadhi ya maeneo kadi ya mpiga kura inasomeka tofauti na kituo alichoandikishwa.   Akizungumza na waandishi wa habari  jana jijini Dar

Wanawake 140 hufariki kwa uzazi Sengerema

$
0
0
HATUA ya wanawake wengi kuchelewa kwenda hospitali kwa wakati pindi wanapokuwa wajawazito, imewafanya 140 kufariki kwa mwaka katika Mkoa wa Mwanza kwa uzazi huku 53 kati yao wakitoka katika Wilaya ya Sengerema mkoani hapa. Kauli hiyo imetolewa jana na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Ismael Sarumbo, wakati wa uzinduzi wa chumba cha upasuaji na wodi ya wazazi katika Hospitali Teule ya

Njaa yabisha hodi Wilaya ya Chamwino

$
0
0
WANAWAKE wa Kijiji cha Suli Kata ya Fufu wilayani Chamwino mkoani Dodoma, wameiomba Serikali iwape msaada wa chakula cha dharura kutokana na kukabiliwa na baa la njaa wilayani humo.   Kutokana na hali hiyo, wananchi hao wameanza kwenda maporini kutafuta ubuyu kwa ajili ya chakula.   Wakizungumza kijijini hapo kwa nyakati tofauti, walisema hivi sasa hali imekuwa mbaya kwao na

Diamond Platnumz' Superhit Show In London.

$
0
0
google_ad_client = "ca-pub-9495610419384841"; google_ad_slot = "3088887306"; google_ad_width = 336; google_ad_height = 280; Yesterday Diamond Platnumz had a successfull music show in London. Here are some photos although they are not clear but we promise to bring to you clear pics when we get them..... google_ad_client = "

Rais Pierre Nkurunziza Ahutubia Hadharani......Akwepa Kuzungumzia Jaribio La Mapinduzi, Atoa Onyo Kwa Al Shabaab

$
0
0
KWA mara ya kwanza tangu kuwapo jaribio la kumpindua Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kiongozi huyo jana alijitokeza hadharani kuzungumza na waandishi wa habari.   Hata hivyo, licha ya wanahabari wengi kutarajia kuwa atazungumzia jaribio la kumpindua, lakini mazungumzo yake yote hakugusia jambo lolote linalohusu mgogoro wa kisiasa, badala yake alizungumzia tishio la al-Shabaab.

Rais Pierre Nkurunziza Atimua Na Kupangua Baraza La Mawaziri

$
0
0
Siku sita baada ya jaribio la mapinduzi kutofanikiwa, rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amefanya mabadiliko katika serikali yake Jumatatu wiki hii. Mawaziri watatu ikiwa ni pamoja na Waziri wa Ulinzi, Jenerali Pontien Gaciyubwenge, Waziri wa Mambo ya Nje, Laurennt Kavakure pamoja na Waziri wa Biashara, wamefutwa kazi. Alain Nyamitwe, kaka wa Willy Nyamitwe, Mshauri Mkuu wa rais

Majambazi Wakamatwa Wakitaka Kuiba Katika Benki ya NMB Tawi la Sinza Mori-Dar

$
0
0
Polisi jijini Dar wamewakamata watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kuiba pesa katika benki ya NMB iliyopo Sinza-Mori, Dar.   Tukio hilo limetokea mchana wa leo katika Benki ya NMB tawi la Sinza-Mori jijini Dar ambapo majambazi hao walikamatwa wakiwa katika harakati za kutekeleza tukio hilo.   Majambazi hao baada ya kukamatwa wamepelekwa katika kituo cha Polisi

Shilole Ajitetea..... Adai Amesikitishwa na Mtu Aliyempiga Picha Huku Maziwa Yake Yakining'inia NJE

$
0
0
Baada ya picha chafu za Shilole kusambaa mtandaoni hadi kupelekea BASATA kumuandikia barua ya onyo, muimbaji huyo wa ‘Nakomaa na Jiji’ amevunja ukimya. Shilole amesema kuwa hata yeye hakupenda kile kilichotokea jukwaani wakati akitumbuiza Ubelgiji hivi karibuni, kwa sababu ilikuwa bahati mbaya na hakudhamiria kukaa uchi kama wengi wanavyosema. Shishi ambaye ni mama wa watoto wawili

Wema Sepetu And Aunty Ezekiel End Their Hostility And Become Friends Again.

$
0
0
google_ad_client = "ca-pub-9495610419384841"; google_ad_slot = "3088887306"; google_ad_width = 336; google_ad_height = 280; Since last week there have been constant news about Wema Sepetu and Aunty Ezekiel's friendship coming to an end.    Even yesterday some newspapers, and blogs had news of the two celebs swearing not to bury each other when they

Mkosamali Aisasambua Ofisi ya Rais, Amgomea Waziri Mkuchika

$
0
0
MBUNGE wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi) jana alimgomea Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, Kapteni George Mkuchika ambaye alimtaka kufuta kauli yake ambayo alidai inamdhihaki rais wa nchi.   Mkosamali alibishana na waziri huyo katika mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa mwaka 2015/2016 mjini Dodoma jana.   Mkuchika aliomba mwongozo kwa

Lady Jaydee azungumzia maisha ya utoto, alivyoanza muziki, changamoto za umaarufu na mengine

$
0
0
Na Fred Bundala,Bongo5 Hii ni mara ya kwanza nakutana na Lady Jaydee na kumfanyia interview ndefu. Kwangu nimeichukulia kama heshima kubwa kwa mwanamuziki huyu mkongwe kuamua kutafuta muda na kuja kuchill na mimi. Kabla sijaanza kuongea naye, namuambia Lady Jaydee kuwa hii itakuwa interview ‘positive’ zaidi kuwahi kuifanya katika miaka ya hivi karibuni.   “Sisi kwetu tumezaliwa

Mawaziri wa Afrika Mashariki Watoa Maazimio Matatu Kuhusu Mgogoro wa Burundi

$
0
0
MAWAZIRI wa Afrika Mashariki kutoka nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), walikutana jana kwa saa 1:08 asubuhi jijini Arusha kujadili hali ya uchaguzi nchini Burundi kutokana na maazimio matatu.   Miongoni mwa maazimio hayo ni kuitaka Tume ya Uangalizi ya Uchaguzi wa Burundi kutoka nchi za EAC, inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba kuendelea na kazi hiyo nchini humo mara moja

Hukumu dhidi ya Freema Mbowe ni Julai 17

$
0
0
HUKUMU ya kesi ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe, iliyotarajiwa kutolewa jana katika mahakama ya Wilaya ya Hai, imeahirishwa  hadi Julai 17 mwaka huu baada Mbowe kushindwa kufika mahakamani. Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),ilidaiwa  alishindwa kufika mahakamani

Mahakama:Watoto wa Vigogo BoT Wanaokabiliwa na Tuhuma za Kughushi Vyeti Wana Kesi ya Kujibu

$
0
0
WAFANYAKAZI wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), wanaokabiliwa na tuhuma za kughushi vyeti vya kidato cha nne  wamekutwa wana kesi ya kujibu.   Uamuzi huo ulitolewa jana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi wanane wa upande wa mashtaka na kuona kwamba kuna haja kwa washtakiwa kujitetea.   Washtakiwa katika kesi hiyo ni Justina Mungai, Christina

Mgonja Kuanza Kujitetea Leo.......Anatuhumiwa kwa Matumizi Mabaya ya Ofisi na Kuisababishia Serikali Hasara ya Bilioni 11.7

$
0
0
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja anatarajia kuanza kujitetea leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh  bilioni 11.7.   Washtakiwa hao walipanda kizimbani jana mbele ya Mahakimu Wakazi Sam Rumanyika na Saul Kinemela, wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya Mgonja kuanza

Ikulu Yatengewa Sh bilioni 20

$
0
0
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Kombani, amewasilisha makadirio ya bajeti ya Sh bilioni 585 kwa ajili ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016.    Kati ya fedha hizo, Sh bilioni 20 zimetengwa kwa ajili ya Ofisi ya Rais (Ikulu), ikiwa ni matumizi ya kawaida kwa ajili ya ofisi hiyo na taasisi zake.   Akiwasilisha makadirio hayo bungeni jana,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images