MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima jijini Mwanza, Samson Gwajima na Ofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Amin Neigwa, wamevamiwa na majambazi ambao wamewajeruhi vibaya kwa kuwakata mapanga vichwani.
Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana katika Mtaa wa Lyila, Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza.
Akizungumza kwa taabu na mwandishi wetu
Mchungaji Gwajima Avamiwa.....Apigwa Panga Kichwani na Kulazwa ICU
↧
↧
Picha 10 za Mkutano wa ACT- Wazalendo Mkoani Iringa.......Watu walijaa Kumsikiliza Zitto Kabwe Akimwaga Sera
Wanannchi wakiendelea kufuatilia
Kiongozi wa Chama, Mwenyekiti na Katibu Mkuu
Kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO Zitto Kabwe akiimba Wimbo wa Taifa
Ndugu Habibu Mchange katika wimbo wa Taifa
Mwenyekiti wa chama
Afande Sele Akihutubia
↧
Wanajeshi Walioongoza Mapinduzi Yaliyoshindwa Burundi Wakamatwa
Majenerali watatu waliojaribu kufanya jaribio la mapinduzi nchini
Burundi wamekamatwa, lakini kiongozi wao aliyeongoza jaribio hilo la
kumpindua Rais Pierre Nkurunziza bado “yuko mafichoni“
Baada ya makabiliano makali ya udhibiti wa makao makuu ya redio na
televisheni ya taifa kushuhudiwa jana, barabara za mji mkuu Bujumbura
zimesalia kuwa tulivu hii leo.
Rais Nkurunziza ambaye
↧
Mheshimiwa Lowassa Awasili Jijini Arusha Kuongoza Harambee ya Ujenzi wa Msikiti wa Patandi
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasili jijini Arusha kuongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa msikiti wa Patandi.
Waziri
Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akilakiwa na baadhi ya viongozi wa dini ya
Kiislamu jijini Arusha alipowasili kwa ajili ya kuongoza harambee ya
kuchangia ujenzi wa msikiti wa Patandi.
↧
Miswada 9 ya Sheria Yasainiwa na Rais Kikwete
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Kikwete
ameshasaini miswada 9 katika ya 14 iliyopitishwa na bunge katika mkutano
wake wa 19 ukiwemo wa sheria ya makosa ya mitandao pamoja na muswada wa
sheria ya takwimu iliyozua utata.
Akitoa taarifa kuhusu kusainiwa kwa miswada hiyo leo Bungeni Spika wa
Bunge Anna Makinda amesema miswada mitano iliyobaki atatolea ufafanuzi
↧
↧
Msajili Amuonya Kadawi Limbu Kujitambulisha Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo.....Asema akiendelea Hatua Kali Za Kisheria Zitachukulia Dhidi Yake.
OFISI ya Msajili wa Vyama vyama vya siasa nchini, imemuonya Mwanachama wa ACT Wazalendo, Kadawi Limbu na kumtaka kuacha kujitambulisha kama mwenyekiti wa Chama hicho katika maeneo mbali mbali vinginevyo itamchukulia hatua za kisheria.
Limbu amepewa onyo hilo kwa barua ya Mei 5 mwaka huu yenye kumbu kumbu namba HA.322/362/20/98, iliyosainiwa na Sisty Nyahoza msajili msaidizi wa vyama
↧
CCM yaituhumu CUF kuingiza wapigakura Unguja
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kimegundua mbinu na
udanganyifu unaofanywa na Chama cha Wananchi (CUF) cha kutoa wapigakura
Pemba na kuwaingiza katika majimbo ya uchaguzi yaliyopo Unguja kwa lengo
la kuongeza kura za urais.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Vuai Ali Vuai alisema hayo katika
mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Mabata eneo la
Mwanakwerekwe
↧
Rais Kikwete Aagiza Ujenzi Wa Kidato Cha 5 Na 6 Kila Kata.......Lengo ni Kila Atakayefaulu Form 4 Aingie Form 5
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Wakuu wa Mikoa na Maofisa Elimu wote
nchini, kuanza ujenzi wa shule maalumu za kidato cha tano na sita kwa
kila kata na wakishindwa, katika shule za sekondari za kata, wachague
baadhi na kujenga madarasa ya vidato hivyo.
Alitoa agizo hilo jana katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya
Elimu, yaliyoadhimishwa kitaifa katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
↧
Maoni: Rais Pierre Nkurunziza ni Mshindi Alieshindwa
Hakuna njia nyingine ila kusonga mbele nchini Burundi katika harakati za
kuitekeleza katiba ya nchi.Hayo anasema mwandishi wa DW, bwana Claus Stacker
katika maoni yake.
Rais Pierre Nkurunziza ambae hapo awali alikuwa kiongozi wa waasi kwa
mara nyingine amethibitisha kwamba yeye ni kamanda hodari wa
kijeshi.
Amefanikiwa kuwazuia wanajeshi waasi kumwondoa madarakani. Na
jumuiya
↧
↧
Picha ya Waziri Nyalandu Akiwa Amempakata Askari Yafika Bungeni.......Msikilize Mbunge Nassari akiongelea sakata hilo.
Waziri Nyalandu akiwa amembeba mmoja wa askari wa kike.
Kitendo hicho kimeonekana kuwakera wabunge ambao wamepaaza sauti na kuhoji uhalali wa waziri kumshika kiuno Askari wa kike....
Hapo chini kuna audio ya Mbunge Nassari akiongelea sakata hilo.
↧
Shuhudia Namna Zitto Zitto Kabwe na ACT-Wazalendo Walivyopigwa Mvua Kubwa Wakiwahutubia Wakazi wa Njombe
Mamia ya wakazi wa Njombe Wakiwa mkutanoni kabla ya mvua kunyesha
Hapa ni baada ya mvua kuanza
Licha ya mvua kubwa, wananjombe walionyesha uzalendo wa kutosha
↧
Wabunge wa CCM nusura wazichape bungeni
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Gosbert Blandes (Karagwe)
na Rosemary Kirigini (Viti Maalumu) jana nusura wakunjane mashati nje ya
Ukumbi wa Bunge, baada ya Kirigini kukasilishwa na kauli iliyotolewa na
mwenzake akimtuhumu Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Dari Rwegasira.
Blandes alitoa shutuma hizo jana wakati akichangia
mjadala wa makadirio ya matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa
↧
Lowassa Alitikisa Jiji La Arusha.....Mitaa Yafungwa, 'Safari ya Matumaini' Kutangazwa Rasmi Mei 24 Mwaka huu
Shughuli mbalimbali jijini Arusha jana zilisimama kwa muda
wakati umati wa watu ulipofurika kumlaki Waziri Mkuu wa zamani, Edward
Lowassa aliyewasili mkoani hapa kwa ajili ya kuendesha harambee ya
ujenzi wa Msikiti wa Patandi ulioko wilayani Arumeru.
Lowassa, ambaye jana aliweka bayana kuwa
atatangaza rasmi nia yake ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, alienda
kuendesha harambee
↧
↧
Uwoya: Siogopi Maneno ya Watu, Ila Mwacheni Mwanangu..
Kufuatia kitendo cha baadhi ya mashabiki kuwashambulia mastaa kwenye
kurasa zao mitandaoni kushamili, Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya
ameibuka na kuweka angalizo hili kwa followers wake.
"Mamboz! Nataka niulize swali hivi kunamtu nilimlazimisha kuni follow au
ni kwa mapenz tuuu? sasa kwanini mtu anataka kuchukua jukumu la mzazi
wangu kujifanya anajua sana maisha yangu wakati toka
↧
Wema Sepetu Aeleza Kwanini Hampendi tena Diamond na Kwanini Zari Hamtishi Kwenye Fashion
Wema Sepetu hampendi tena Diamond Platnumz na anasema kila anapoukumbua
uhusiano wao, anakumbuka mambo mabaya zaidi kuliko mazuri.
“Hapana simpendi [Diamond], yalishaisha hayo, nilishampendega, niliwahi kumpenda sana, lakini hamna tena, yaani hata sishtuki,” Wema alikiambia kipindi kifupi cha Kabali cha EFM.
“Nikimkumbuka Diamond most of the things ambavyo ninavikumbuka sio
vitu
↧
Diamond Amuita Jokate Makombo...."Mwacheni Ali Kiba Ajilie Makombo"
Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amemuita mpenzi wake
wa zamani Jokate Mwegelo kuwa ni makombo na kudai kama zilipendwa huyo
anatembea na hasimu wake Ali Kiba, hakuna jipya kwani anakula makombo.
Diamond ametoa kauli hiyo Jumatano iliyopita wakati mwanahabari wetu
alipotaka kujua anajisikiaje kuona wapenzi wake wa zamani Jokate na Wema
Sepetu ‘Madam’ wanamuunga mkono Ali
↧
Matangazo ya Nafasi za Kazi KCB, NMB, TANESCO, Equity Bank na Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini na Wale walioitwa kwenye Usaili
Hapa kuna mkusanyiko wa matangazo mbalimbali ya kazi kama ifuatavyo;
1. Nafasi za kazi Tanesco
2. Nafasi za Kazi benki ya NMB
3.Nafasi za Kazi Benki ya KCB
4. Afisa mtendaji daraja la 2 na 3 Misungwi Mwanza
5. Walioitwa kwenye usaili tarehe 18 na wale wa tarehe 25
6. Walioitwa kazini
Kuyaona yote hayo na Matangazo mengine ya Kazi
↧
↧
Photos From Diamond Platnumz' Interview With BBC In London.
google_ad_client = "ca-pub-9495610419384841";
google_ad_slot = "3088887306";
google_ad_width = 336;
google_ad_height = 280;
Superstar Diamond Platnumz took flight from Dudai to London, and while
in London he had interview with BBC. Here are some pics .......
google_ad_client = "ca-pub-9495610419384841";
google_ad_slot = "3088887306";
↧
Baba aua binti yake, amzika nyumbani kwake
JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera, linamshikilia Gerald Paulo (34) kwa kosa la kumpiga binti yake, Anisia Gerald (14), sehemu mbalimbali za mwili wake na kumyonga kwa kutumia kanga.
Akizungumzia tukio hilo mjini hapa juzi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea Mei 7, mwaka huu katika Kijiji cha Rugazi Kyaitoke kisha alichimba kaburi nyuma ya nyumba
↧
Kizimbani kwa kesi ya viungo vya binadamu
WAKAZI wawili wa Kijiji cha Bukigi kilichopo Kata ya Malampaka mkoani Simiyu, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kupatikana na viungo vya binadamu.
Waliofikishwa juzi katika Mahakama ya Wilaya ya Maswa mbele wa Hakimu Tumaini Marwa, ni Matheyo Yumbu (50) na Juma Mihangwa (28).
Ilidaiwa mahakamani hapo na Mwendesha Mashtaka wa Polisi, Nassibu Swedy kuwa Mei 5, mwaka huu, saa 11 alfajiri
↧
More Pages to Explore .....