Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Watanzania Washika Silaha Afrika Kusini....Wajiandaa Kujihami Dhidi ya Mashambulizi ya Wenyeji

$
0
0
Raia wa Tanzania wanaoishi Afrika Kusini sasa wanadaiwa kushika silaha tayari kwa mapambo dhidi ya vikundi vya raia wa Taifa hilo vinavyoshambulia wahamiaji wa Kiafrika.   Taarifa  kutoka kwa Watanzania hao zimeeleza  hatua hiyo imefikiwa baada ya kupatikana kwa taarifa zinazodai kuwa wenzao wawili wameuawa katika machafuko ya jiji la Durban ambayo chanzo chake ni mashambulizi

Wema Sepetu: Niacheni nipumzike na mimi ni binadamu

$
0
0
Mwigizaji Wema Sepetu amewataka watu wanomsakama kwa maneno waache apumzike kufanya hivyo kwani yeye ni binadamu kama ilivyo kwa wengine na anaumia kama wanavyoumia wengine.   Wema ambaye alikuwa akizungumzia ujumbe aliouandika hivi karibuni katika mtandao wa Instagram kuhusu kutopata mtoto, anasema kuna watu hawajali maumivu yake ndiyo maana kila kukicha wanamkashifu.   “Watu hao

Serikali Yarejesha Utaratibu wa Madereva kwenda Kusoma Kila baada ya Miaka Mitatu

$
0
0
Serikali imerejesha mafunzo ya madereva kila baada ya miaka mitatu wakati wa kumalizika kwa muda wa leseni zao, huku ikifafanua kuwa elimu watakayoipata ina umuhimu katika kazi zao, kutokana na mabadiliko mbalimbali yanayotokea katika sekta hiyo.   Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga, alitangaza uamuzi huo wa Serikali jana katika mkutano kati yake na viongozi wa madereva wa

Mwalimu ajinyonga, mtendaji agongwa na kufariki papo hapo

$
0
0
Watu wawili wamekufa mkoani Mara katika matukio mawili tofauti.    Akizungumzia matukio hayo Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Audax Mjaliwa alisema katika Mtaa wa Nyamatare Manispaa ya Musoma, mwalimu Tengeru Mongu (43) wa Shule ya Msingi Igina wilayani Serengeti alikutwa amejinyonga katika chumba cha binamu yake Mauma Machunde.   Akisimulia mkasa huo binamu wa marehemu huyo

Zitto Kabwe akanusha tuhuma dhidi ya Dk. Mengi...Asema wanaomhusisha ni walioumbuliwa na PAC

$
0
0
Siku moja tu baada ya Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, kutangaza usalama wa maisha yake kuwa hatarini, kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameibuka na kudai tuhuma alizohusishwa dhidi ya Mengi si za kweli. Dk. Mengi, alitangaza hofu yake juzi, wakati alipokutana na vyombo mbalimbali vya habari, kufuatia gazeti moja linalochapishwa kila wiki kuandika kuwa Rais

Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea Bidhaa zenye Ubora na Matokeo ya Haraka Zisizo na Madhara kwa Mtumiaji.

$
0
0
Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji.    Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.                  TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @

Lowassa athibitisha ubora wa afya yake

$
0
0
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowasa, jana alithibitisha kwa vitendo kuwa afya yake iko safi baada ya kutembea umbali wa kilomita tano kwa miguu kwenye matembezi ya kupinga mauaji ya albino nchini.   Kwa muda mrefu, Lowassa ambaye ni mmoja wa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, amekuwa akidaiwa kuwa na

Zitto Kabwe Aipasua Ngome Ya CHADEMA Jijini Mwanza......Melfu ya Wananchi Wafurika Viwanja vya Furahisha Kumsikiliza, Juhudi za CHADEMA Kuvuruga Mkutano Zakwama

$
0
0
Juhudi  za  Chama  cha  Demokrasia  na  Maendeleo  kuuvuruga  mkutano  wa  ACT -Wazalendo  jana  ziligonga  mwamba  baada  ya  Maelfu  ya  wananchi  kufurika  katika  viwanja  vya  Furahisha  kuwasikiliza  viongozi  wa  chama  hicho  huku  ulinzi  ukiwa  umeimarishwa  katika  kila  kona  ya  uwanja  huo. Mpekuzi  ilishuhudia  Difenda  tatu  za  polisi zikifanya  doria  katika  uwanja  huo

Mwasisi wa CCM Zanzibar, Mzee Hassan Nassor Moyo Afukuzwa Uanachama wa Chama Hicho

$
0
0
Mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM aliyepata kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, Mzee Hassan Nassor Moyo amefukuzwa uanachama wa chama hicho ambacho yeye ni mmoja wa waasisi wake, akiwa mwanachama namba 7.   Mzee Moyo (81) ni miongoni mwa viongozi waasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pia wa mwaka huo na mara tu baada ya

Mambo Makubwa Matatu Yanayompa Kichwa Mh. Sitta Kugombea kiti Cha Urais Mwaka Huu

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema anasubiri kukamilika kwa utaratibu wa CCM wa kugombea urais ili aingie rasmi kwenye mbio hizo kwa kuwa anaridhika na mambo matatu ambayo anasema yanamfanya ashawishike kugombea nafasi hiyo ya juu katika siasa nchini. Sitta, mwanasiasa mkongwe na Spika wa Bunge la Tisa, ni mmoja kati ya makada wa chama hicho tawala wanaotarajiwa kuchukua fomu za

CCM Kuing'oa CHADEMA Kwa Chopa Moshi Mjini

$
0
0
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kimeanza kulisaka Jimbo la Moshi Mjini kwa kutumia helikopta (chopa) ili kiweze kuibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi Mkuu ujao.   Katika mkutano wao wa hadhara uliofanyika jana kwenye Viwanja vya Soko la Pasua, Kata ya Bomambuzi, kada wa chama hicho Buni Ramole kwa jina maarufu 'Buni', alitumia usafiri huo kufika

Hapa kuna Sifa 13 Watakazozitumia CCM Kumteua Mgomea Urais Kupitia chama Hicho

$
0
0
Mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye atabeba jukumu la kupeperusha bendera ya chama hicho ili kukipa ushindi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, sasa tunahesabu siku.   Baadhi ya makada wa chama hicho wakiwemo wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), wanasema mchakato huo huenda ukaanza Mei mwaka huu.   Akizungumza na Mwandishi

Diamond Akiri Kulifahamu Tatizo la Wema la Kutopata Mtoto Muda Mrefu, Adai Walijaribu Kulitafutia Tiba Lakini Hawakufanikiwa

$
0
0
Kwa muda mrefu, Diamond Platnumz alikuwa akilijua tatizo la mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu la kutoshika mimba. Akiongea na kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Diamond alisema wakati wako pamoja waliwahi kuzunguka kwa wataalam mbalimbali kujaribu kupata tiba lakini hawakufanikiwa. Alisema ilifika wakati alimweleza tu kuwa akubali hali hiyo. Kuhusu kile Wema alichokiandika

Lulu: Sina cha Kusema Wala Tamko Kuhusu Kifo cha Seki

$
0
0
Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki. Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda Juzi, lililotaka kujua taarifa za yeye kuhusishwa na bilionea huyo pamoja na mambo

Gwajima Afunguka Tena....Asema Haogopi Mtu Wala Haogopi Kufa. Awashangaa Wanaomfuatilia huku Wakiongea kwa Kubana Pua

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima,amesema haogopi mtu yeyote wala kufa bali ataendelea kuinyoosha nchi anapoona haiendi sawa.   Alitoa kauli hiyo Dar es Salaam jana,wakati wa mahubiri yaliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika Packers Kawe.   Alisema uhusiano wake na watu mbalimbali wakiwamo wanasiasa utaendelea kubaki palepele.   Kwa mujibu Askofu Gwajima,

Kuna Taarifa za Muigizaji Wastara Juma kupata Ajali,Soma Hapa

$
0
0
Mwigizaji Wastara leo ameandika maneno zaidi ya 100 na kuambatanisha na picha kuthibitisha kuhusu ajali aliyoipata japo hajaandika kwa undani zaidi kuhusu ajali yenyewe.   Wastara baada ya kuweka hii picha haya ndio maelezo aliyoyatoa :   "DUA ZENU MUHIMU SANA KWA MBAO MNAONIPENDA NA MSIONIPENDA……hali hii imenichosha sana ya matukio ya ajali kila mara natamani kuwa na amani na

VURUGU AFRIKA KUSINI: Waziri Membe asema hakuna Mtanzania aliyeuawa, 21 kurejea nchini

$
0
0
Watanzania 23 waishio Afrika Kusini wamewekwa kwenye kambi maalumu ya Isipingo nchini humo ili kupewa ulinzi wa maisha yao yaliyo hatarini kufuatia mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni.    Watu hao ambao ndiyo idadi ya Watanzania waliotambulika kuwa hatarini nchini humo, wanatarajia kuwasili nchini muda wowote baada ya Serikali ya Afrika Kusini kuridhia.   Watakaorejea

Ommy Dimpoz Amwaga Machozi Jukwaani

$
0
0
Weekend iliyopita Escape One kulifanyika show iliyowakutanisha mastar wakubwa ndani na nje ya TZ kama Christian Bella, Ruby, Ali Kiba, Kassim Mganga, Ommy Dimpoz, Msami, na Alicious kutoka Kenya, Wote kwenye stage moja.   Moja ya hits ambazo zimependwa SANA ni ‘Nani Kama Mama‘- collabo ya Ommy Dimpoz na Christian Bella.   Soudy Brown alikuwa mmoja ya watu waliokuwa kwenye show hiyo Escape

TLP yampitisha Mrema kugombea ubunge Vunjo

$
0
0
Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imempendekeza Mwenyekiti wa chama hicho, Augustine Mrema kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo.    Kaimu Katibu Mkuu wa TLP Nancy Mrikaria, aliuambia mtandao huu  jana kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa kipindi kingine.   Alisema kamati imeridhia Mrema

Mtanzania asimulia vurugu Afrika Kusini........Asema Walengwa wakuu walikuwa Wanigeria, Wasomalia, Wachina

$
0
0
Wakati serikali ikitangaza kuwarejesha Watanzania 21 kati ya 23 walioko kwenye moja ya makambi yanayowahifadhi raia wa kigeni walioathirika na vurugu zilizohusisha mauaji, uporaji na watu kukimbia makazi nchini Afrika Kusini, Mtanzania aliyeko nchini humo, amesimulia jinsi raia wengi wa kigeni walivyoathirika. Joseph Moses, anayeishi mjini Durban, amesema pamoja na baadhi ya raia wa kigeni
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images