Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mapambano ya CHADEMA na ACT-Wazalendo Yazidi Kupamba Moto.....Zitto Asema Ndo Kwanza Kumekucha, Mnyika Azidi Kumchafua Zitto

$
0
0
Ni dhahiri sasa vyama vya Chadema na ACT-Wazalendo vimeanza kuumana jino kwa jino kutokana na kupishana kwenye mikutano ya kisiasa inayoendelea mikoani.   Wakati vyama hivyo vikiendelea kuchuana na kujaza mamia ya wananchi kwenye mikutano yao, viongozi wake wamekuwa wakituhumiana kwa mambo mbalimbali.   Vyama hivyo vimekuwa vikipishana katika kanda tangu vilipoanza ziara za mikoani

Mwanafunzi darasa la nne ajinyonga chumbani

$
0
0
Mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Pugu jijini Dar es Salaam, Festo Filbert (11) amekutwa chumbani kwake akiwa amejinyonga hadi kufa kwa kutumia mkanda wa kuvalia nguo.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Ilala, Mary Nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana katika eneo la Majohe kwa Ngozoma.   Alisema sababu za kujinyonga mwanafunzi huyo bado hazijafahamika kwani

Mgawo wa Majimbo Waipasua Kichwa UKAWA....Mwafaka wa kugawana kufanyika Wiki Ijayo

$
0
0
Hatima ya kuachiana kwa majimbo ya uchaguzi kwa vyama vya siasa vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), inatarajiwa kujulikana wiki ijayo.   Itajulikana baada ya mkutano baina vyama washirika, uliolenga kutaka kufikiwa kwa mwafaka wa ugawanaji wa majimbo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.   Hayo yamethibitishwa na mmoja wa viongozi wa Ukawa, ambaye pia ni

Utabiri wa Rais Ajaye toka Ndani ya CCM

$
0
0
Mjumbe mstaafu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa, Bw. Mashimba Hussein, amesema mgombea urais wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao, atatoka miongoni mwa makada sita waliopewa adhabu kwa kosa la kuanza kampeni mapema; hivyo kukiuka taratibu za chama.   Bw. Mashimba aliyasema hayo jana katika mazungumzo maalumu na mtandao hu kuhusu hatima ya chama hicho kumpata mgombea mwenye sifa za

Mfanyabiashara Afia Hotelini na Kete 30 za Heroin

$
0
0
Mfanyabiashara wa dawa za kulevya, Kervin Mafita (40),mkazi wa Kinondoni, Dar es Salaam, amekutwa amekufa kwenye Hoteli  iliyopo jijini Arusha akiwa na shehena ya dawa hizo aina ya heroin tumboni mwake.   Meneja wa hoteli hiyo, Bw. Douglas Minja, alisema marehemu alifika hotelini hapo Aprili 12, mwaka huu, akiwa ameongozana na mama yake mzazi, mdogo wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka

Tusiwachukue Wanaijeria, tutoe ngoma kali tutaenda nao sawa – Diamond

$
0
0
Diamond Platnumz amewasihi wasanii wa Tanzania kuacha kulalamika kutawaliwa na muziki wa Nigeria bali wanatakiwa kutoa ngoma kali kuwapa ushindani. Diamond alitoa kauli hiyo kwenye 255 ya XXL kupitia kituo cha redio cha Clouds FM.   “Unajua huwezi kuwalaumu tu Wanigeria, wao walitumia taaluma yao na technique zao ili kuteka soko, sasa ukionekana unamind utaonekana pia hauna akili

Watanzania 18 Warejea Nyumbani Kutoka Yemen Ambako Hakukaliki Kutokana Na Vita

$
0
0
Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita.   Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani. Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

Rais Wa Zamani wa Misri Mohamed Morsi Ahukumiwa Miaka 20 Jela

$
0
0
Rais wa zamani wa Misri Bw. Mohamed Morsi amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya kusababisha kuuliwa waandamanaji mwaka 2012.   Korti ya makosa ya jinai mjini Cairo imetoa hukumu hiyo wakati Morsi na watuhumiwa wengine katika kesi hiyo, wengi wao wakiwa viongozi wa chama cha Udugu wa kiislam wakisimama ndani ya tundu la vigae katika ya ukumbi wa mahakama katika Chuo cha

Majambazi Yavamia Gari la Bonite (Coca Cola) Moshi na Kuwaua Dereva na Mlinzi Kisha Kupora Mamilioni ya Pesa

$
0
0
Mlinzi wa Kampuni ya Bonite, aliyetambulika kwa jina la Edson Shamba baada ya kupigwa risasi na majambazi mjini Moshi.    Dereva wa Kampuni ya Bonite aliyetambulika kwa jina  la Amini Mselemu mara baada ya kushambuliwa kwa risasi na majambazi.   ****** Tarehe 20/04/2015, majira ya saa 12 jioni, katika eneo la Soweto ya chini eneo la Radio Kli Fm, Kata ya Soweto, Tarafa ya Moshi

Siwema na Shamsa Ford 'Washikana Mashati' Kisa Penzi la Nay Wa Mitego

$
0
0
Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Msanii huyo, Siwema wameanza kuchimbana  mkwara baada ya hivi karibuni kurushiana madongo.   Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shamsa aliposti picha na maneno akielezea kuwa anajiona ni mwanamke bora kwa kuwa ameweza kuzaa kwa njia ya kawaida

Breaking News: Majambazi Yatiwa Mbaroni jijini Dar Yakiwa na Bunduki 2

$
0
0
Watuhumiwa wa Ujambazi wakiwa wamewekwa chini ya Ulinzi mara baada ya kutiwa mbaroni kwenye mataa ya Red cross katikati ya jiji Dar es salaam mchana huu.   Inaelezwa kuwa Majambazo hao walimvamia na kumpora raia mmoja wa kigeni (Mzungu) maeneo ya Kinondoni na kufanikiwa kukimbia, lakini kumbe wakati wanafanya tukio hilo kuna raia aliwaona na alijitolea kuwakimbiza kwa gari na

Kesi ya Mtoto Nasra Mvungi ( Mtoto wa Boksi) Yahamishiwa Mahakama Kuu Kanda Ya Dar Es Salaam........Baba Yake Mzazi Afutiwa Shitaka La Mauaji

$
0
0
Mtuhumiwa wa kesi ya mauaji ya mtoto Nasra Mvungi, Mariam Saidi akiwa chini ya ulinzi wa askari polisi wakati akirudishwa katika chumba cha mahabasu mara baada ya kusikiliza kesi inamkabiri ya mauaji ambapo kesi hiyo sasa itasikilizwa katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam.Picha Juma Mtanda. ************ Rashidi Mvungi baba wa Marehemu Nasra Mvungi ameondolewa katika

Jeshi Laingilia Kati Vurugu Afrika Kusini

$
0
0
Katika kuhakikisha vurugu dhidi ya raia wa kigeni zinakomeshwa nchini hapa, Serikali imetangaza kuwa, jeshi sasa litatumika kudhibiti ghasia zilizosababisha vifo vya watu saba, huku zaidi ya 5,000 wakitajwa kuyaacha makazi yao na kwenda kuishi katika kambi maalumu ili kuokoa maisha yao.   Hayo yamethibitishwa na Waziri wa Ulinzi wa Afrika Kusini, Nasiviwe Mapisa-Ngqakula na kuongeza

Shule 250 za Serikali Kuunganishwa na Intaneti

$
0
0
Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote imesaini mkataba na Kampuni za Mawasiliano kwa ajili ya kuziunganisha shule 250 za Serikali na intaneti pamoja na kuanzisha vituo 25 vya kuwafundishia walimu.   Utekelezaji wa mradi huo wa mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa kuunganisha shule, unategemewa kukamilika ndani ya mwaka huu.   Hayo yalibainishwa Dar es

Msaidizi Wa Gwajima Afikishwa Mahakamani..... Aachiwa Kwa Dhamana Hadi Mei 4 Mwaka Huu

$
0
0
Msaidizi wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, George Mzava, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.   Mzava (43), mfanyabiashara na mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, alifikishwa  mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka ya kukutwa na bastola ya kiongozi huyo na risasi kinyume cha sheria.   Wakili wa Serikali Mwandamizi, Tumaini Kweka,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 22 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  22  April  2015

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila Afikishwa Mahakamani Chini Ya Ulinzi Mkali Wa Polisi

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shtaka la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Hadija Nyembo. Kafulila alifikishwa mahakamani hapo jana saa 3:00 asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi. Mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo,  David Ngunyale, Wakili wa Serikali, Maryasinta

Dr Slaa Arejea Nchini Akitokea Marekani.......Aitupia Zigo La Lawama NEC kuwa Imeanza Na Mikoa Ya CCM Ili Kuhujumu Upinzani

$
0
0
Katibu mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kuandikisha wapigakura kwenye mikoa ambayo ni ngome ya CCM na kwamba ile yenye upinzani itaandikishwa kwa kulipua ili watu wengi wenye sifa ya kupiga kura wasiandikishwe.   NEC ilianza kuboresha Daftari la Wapigakura kwa kuandikisha wananchi wa Mkoa wa Njombe, ambako watu 300,080 waliandikishwa

Wema Sepetu Awatolewa Uvuvu Wanaomsema Ana Miguu Mibaya, Yenye Makovu na Michizi

$
0
0
Staa  wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao wameibuka kwa wingi mtandaoni wakiitoa karoso miguu ya staa huyo mara baada ya Wema kuweka picha kadhaa akiwa amevaa sketi ambayo inaonyesha miguu yake. “Naomba niwaulize nyinyi mnaojiona miungu watu.... Mlitaka nijiongeze nyama miguuni kwangu au...?    "Ndo ilivyo na kuacha kuvaa nguo za kuionesha siwezi... Ntavaa

Mwigulu atoa Sababu Nne Zinazowafanya Wananchi Wampendekeze Agombee Urais......Achekelea Kufananishwa Na Sokoine

$
0
0
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amebainisha sababu nne zinazowafanya wananchi wampendekeze kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.   Nchemba aliyasema hayo jana kwenye mahojiano wakati wa kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na ITV kuhusu tafiti zinazofanywa juu ya kukubalika kwa baadhi ya watia nia ya urais miongoni mwa wananchi wanaomtaja.    “Nisingependa kuwa refarii
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images