Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Waziri Sitta Awatimua Vigogo wa Kampuni ya Reli nchini (TRL)..... Madeni Kipande Wa TPA Kafukuzwa Kazi Rasmi

$
0
0
SERIKALI imewasimamisha kazi karibu viongozi wote wakuu wa Kampuni ya Reli nchini (TRL), kwa kile kilichoelezwa kuwa hujuma ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kununua mabehewa chakavu. Waliosimamishwa ni pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Kipallo Kisamfu, Mhandisi Mkuu wa Mitambo, Ngosomwile Ngosomiles, Mhasibu Mkuu, Mbaraka Mchopa, Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Jasper Kisiraga na Meneja Mkuu wa

Sakata la Kuwatukana Makada wa CCM: Mahakama Yampa Paul Makonda Siku 7 Kuwasilisha Utetezi Wake

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa siku saba kwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paulo Makonda, kuwasilisha utetezi wake dhidi ya kesi ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM, Dar es Salaam, John Guninita.   Guninita na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Mgana Msindai wamefungua kesi hiyo, wakiiomba Mahakama imwamuru Makonda awaombe msamaha na kuwalipa kila mmoja Sh milioni

Sakata la Emmanuel Mbasha Kubaka: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa

$
0
0
Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.   Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo. Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala

Dereva Wa Bajaji Asimulia Jinsi Magaidi 10 Walivyonaswa Morogoro Wakiwa Na Silaha Msikitini............Imamu Awakana 'Magaidi' Hao

$
0
0
Siku moja baada ya Jeshi la Polisi kukamata watu tisa waliokuwa na milipuko, sare za jeshi na silaha za jadi msikitini mkoani Morogoro, imebainika kuwa walikamatwa saa tatu kabla ya kutoka kwenye eneo hilo na kwenda kutekeleza azma yao.   Ingawa haijajulikana kuwa watu hao walikuwa waende wapi, habari hizo zimebainisha kwamba walipanga kuondoka saa 11 alfajiri, lakini polisi

Zitto Kabwe Ni Balaaa!!! Hizi ni Picha 10 za Mkutano wa ACT Mkoani Tabora.......Watu Walijaa kupita maelezo

$
0
0
Kiongozi  Mkuu  wa  Chama  cha  ACT-Wazalendo  akiwahutubia  mamia  ya  Wananchi  Mkoani  Tabora  Jana. 

Breaking News: Ajali ya Daladala yaua watu 19 Leo jijini Mbeya

$
0
0
Ajali ya Daladala imeua watu 19 eneo maarufu kama Uwanja wa ndege, Kiwila, Mkoani Mbeya baada ya daladala hiyo kutumbukia kwenye Mto.   Habari  toka  eneo la tukio zinaarifu kuwa watu wawili tu ndio wamepona akiwemo kondakta.    Ajali hii imetokea baada  ya Coaster zinazofanya safari zake kati ya Mbeya na Kyela kugoma hivyo baadhi ya daladala za mjini kuamua kubeba abiria.

Breaking News: Polisi Wenye Silaha za Moto Waizingira Nyumba ya Askofu Gwajima Huko SalaSala jijini Dar

$
0
0
Habari zilizotufikia muda huu zinasema nyumba ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josepht Gwajima (pichani) imezingilwa na la Polisi wenye  silaha  za  moto kuanzia Majira ya saa moja asubuhi ya leo, huku Askofu huyo akijifungia ndani ya nyumba yake akikataa kufungua mlango.   Taarifa  toka  nyumbani  kwa  Gwajima zinaarifu kuwa zaidi ya magari manne ya Polisi aina ya Difenda

Askofu Gwajima Atiwa Mbaroni na Kufikishwa Mahakamani na kisha Kuachiwa Kwa Dhamana

$
0
0
Asubuhi ya leo imeripotiwa stori ya Askari Polisi wakiwa na silaha kuizunguka nyumba yake, Mbezi Salasala DAR.. waumini wake, waandishi wa habari pamoja na watu wengine walikuwa pembeni pia, kuangalia kinachoendelea.   Muda mfupi baadae imeripotiwa kwamba Askofu huyo alienda Kituo cha Polisi Centre lakini haikuchukua muda mrefu akatolewa na kupelekwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DAR

Lulu Michael Afuta Akaunti Yake Instagram

$
0
0
Muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ aliyekuwa na wafuasi wengi kwenye Instagram, ameamua kujiondoa baada ya kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu kufuatia kifo cha mtu aliyewahi kuwa mpenzi wake.   Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakiweka picha zinazomuonesha

Picha Zikionyesha Hali Ilivyokuwa Nyumbani Kwa Gwajima Leo Baada Ya Kuzingirwa Na Jeshi La Polisi

$
0
0
Askari wakiwa nyumbani kwa Gwajima.    Makamanda wa polisi wakiwa tayari kwa lolote.   Gari lililombeba Gwajima likitoka ndani ya nyumba yake kuelekea kituo kikuu cha polisi kwa ajili ya mahojiano. Mawakili wa Gwajima wakisalimiana na mmoja wa maofisa wa polisi mara baada ya kufika eneo la tukio.   Waandishi wa habari wakiwa eneo la tukio. Waumini wa Gwajima wakiwa

NEC: Hatutaahirisha Uchaguzi Mkuu Oktoba, wala Kuiongezea Muda Serikali iliyopo Madarakani

$
0
0
Tume ya uchaguzi nchini (NEC)imesema tarehe ya Uchaguzi mkuu Mwaka huu iko pale pale  ambapo ni siku ya terehe 25 mwezi octoba mwaka huu.   Kauli ya NEC inakuja ikiwa ni siku moja kupita baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Freeman Mbowe kuitangazi serikali kiama endapo itasogeza mbele tarehe ya uchaguzi mkuu  Akifanunua Kauli hiyo ya Mbowe leo Jijini Dar es

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 18 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe  18  April  2015

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.   Vituo hivyo vyote vipo katika eneo la Nkuhungu, lililopo katika Manispaa ya Dodoma.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, alisema wanafanya uchunguzi katika vituo hivyo

Watanzania Hatarini Ghasia za Afrika Kusini

$
0
0
 Watanzania wanaoishi Afrika Kusini, wako hatarini kutokana na vurugu zinazofanywa na wenyeji wa nchi hiyo, dhidi ya wananchi wengine wa asili ya Afrika wanaoishi nchini humo. Akizungumza na mwandishi jana, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Nchi, Mkumbwa Ally, alisema Mtanzania mmoja amechomewa duka lake, huku wengine 15 wakiwa katika kambi maalumu, wakisubiri msaada wa kurejeshwa

Wachimbaji wadogo wa dhahabu 19 wafariki dunia kwa kufukiwa kifusi Kahama.

$
0
0
Wachimbaji wadogo wa dhahabu mkoani Shinyanga, maarufu 'manyani', wamekufa katika machimbo madogo ya Kalole wilayani Kahama, baada ya kufukiwa na kifusi usiku wa kuamkia jana.Vifo hivyo vilitokana na mvua zinazoendelea kunyesha.   Akizungumza kwa simu, Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Benson Mpesya alisema wachimbaji hao walikumbwa na mauti hayo baada ya kuingia ndani ya mashimo hayo kwa njia ya

Mtazame Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza Akiongelea Tetesi za Yeye Kuwa Amefariki Dunia kwa Ajali ya Gari-BONGO FUSE

$
0
0
Juzi Kila Kona kwenye mitandao kulizuka habari kuwa Hussein Machozi Amefariki Dunia kitu ambacho kumbe hakikua Kweli ..   Msikilize Hussein Machozi Kwa Mara ya Kwanza akiongelea Tukio hilo na Pia habari ya yeye kukimbia Kenya Baada ya Kufumaniwa na Mke wa Mwanasiasa wa Kenya Hotelini Wakibanjuka....... Bongo Fuse TV Inakuletea Uhondo Huo Hapa Chini:

CHADEMA wamtaka Rais kutokusaini Muswada wa sheria ya Uhalifu wa Mtandao

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka wadau wa habari na taasisi mbalimbali, zikiwemo za kimataifa kuangalia kwa makini na kujadili baadhi ya vifungu vilivyopo katika muswada wa habari ili kuishawishi serikali kutousaini kwa kuwa unalenga kubana uhuru wa vyombo vya habari nchini.   Akizungumza Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika, alisema miswada

Dk.Mengi ashtushwa na tuhuma zinazodai kuwa ana nia ya kutaka kuiangusha serikali ya Rais Kikwete.

$
0
0
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.    Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumapili Ya Tarehe 19 April 2015

$
0
0
Habari  Zote Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo  Jumapili  Zinapatikana  >
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images