Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwanamke Abambwa na Sungusungu Akifanya Mapenzi Kwenye Kichaka na Dereva teksi.

$
0
0
Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.   Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar,

Treni Mpya Ya Kisasa Yaanza Safari za Mwanza kuelekea Dar

$
0
0
Treni mpya ya kisasa ya Deluxe jana imeanza safari zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Mwanza.   Akizungumza jijini Dar es Salaam jana Meneja Uhusiano wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), Midladjy Maez, alisema safari hii ni ya pili tangu treni hiyo izinduliwe Aprili Mosi mwaka huu ambapo ilikwenda Kigoma.   “Safari za Delux zitakuwa kwa wiki mara moja, siku ya Jumapili itaondoka

Serikali Yanawa Mikono Al-Shabab Mtanzania

$
0
0
Wakati mama mzazi wa Mtanzania Rashid Mberesero anayetuhumiwa kuwa kati ya wafuasi wa Al-Shabaab walioua wanafunzi 148 wa Chuo Kikuu cha Garissa nchini Kenya akitaka msaada wa Serikali ili akamwone mwanawe huyo, Jeshi la Polisi limesema halina uwezo wa kumsaidia.   Jeshi hilo limesema halina uwezo wa kumsaidia mama huyo, Fatma Ally kutokana na sheria mpya za ugaidi zilizopitishwa

Pinda: Watanzania Waishio Ughaibuni Hawatapiga Kura

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Watanzania waishio ughaibuni hawataweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi wakati wa Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu.   Alisema pamoja na kwamba Watanzania hao wanatakiwa kupiga kura wakati wa uchaguzi huo, jambo hilo halitawezekana kwa sababu kuna mambo kadhaa ambayo Serikali inabidi iyatekeleze kabla ya uchaguzi huo.   Waziri

Wanachama wa Chama Kipya Cha ACT- Tanzania Wapigwa Marufuku Kushabikia UKAWA'

$
0
0
Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kila mwanachama anapaswa kuwaunga mkono wagombea watakaopitishwa na chama hicho katika nafasi mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao, kwani kinyume chake ni kukisaliti na adhabu yake ni kufukuzwa.    Mwenyekiti wa chama hicho, Anna Mghwira alisema mwishoni mwa juma kuwa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu, chama hicho kinahitaji

Gwajima Amtaka Rais Kikwete Awakemee Polisi Wanaomuandama......Achangiwa Mamilioni ya Hela na Waumini Wake

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuvikemea vyombo vya dola vinavyomfuatafuata vikihoji mambo binafsi na kwamba akishindwa kufanya hivyo itakuwa wazi kwamba yeye ndiye anawatuma.    Akihubiri mamia ya waumini wa kanisa hilo jana, Gwajima alisema amekuwa akifuatwafuatwa na vyombo vya Serikali utadhani yeye si raia wakati ni Mtanzania

Shule Za Sekondari za Serikali Zafungwa Kwa Kukosa Chakula

$
0
0
Shule mbalimbali za sekondari za bweni zinazomilikiwa na Serikali zimefungwa kutokana na kukosa chakula.   Uchunguzi umebaini takribani kwenye mikoa yote kuna shule zimefungwa na nyingine ziko hatarini kufungwa kwa kukosa chakula.   Mkoani Dodoma Shule ya Sekondari Mpwapwa iliyopo katika Wilaya ya Mpwapwa ilitakiwa kufunguliwa tangu Aprili 8, lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa

Zitto Kabwe Afunika Morogoro.....Mamia ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wa Chama Chake Cha ACT-Wazalendo

$
0
0
Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro kabla kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe hajaanza kuhutubia. (Picha na Said Powa) Kiongozi wa chama hicho akiwahutubia wananchi. Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT -Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini Morogoro.

Chama Kipya Cha Siasa Kiitwacho "Chama Cha Kijamaa na Uzalendo" Chasajiliwa Jijini Dar

$
0
0
CHAMA cha siasa ili kiweze kuendeshwa vizuri kwa misingi ya utawala bora na baadae kifikie malengo yake ya kuchukua dola ni lazima kiwe na katiba yenye misingi ya kidemokrasia. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam na Msajili Msaidizi wa Vyama vya siasa, Sisty Nyahoza wakati wa kukabidhi cheti cha muda kwa Chama cha Kijamaa na Uzalendo Tanzania (C.K.U.T). Alisema demokrasia ya

Lipumba na Wafuasi Wake Wapata Dhamana Upya

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba,  na wanachama wenzake ambao mwanzo walifunguliwa kesi ya kushiriki maandamano haramu, wamepewa dhamana  upya katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.   Dhamana hiyo imetokana na  kesi yao ya awali ambayo ilifutwa na kuanza kupitiwa upya.   Katika kupewa dhamana upya, watuhumiwa  hao japokuwa walikuwa nje kwa dhamana,  

Polisi Yawaonya Wamiliki wa Mabasi

$
0
0
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani limewaonya wamiliki wa mabasi ya abiria kuacha tabia ya kuwaamuru madereva wao kwenda mwendo wa kasi na kwamba halitasita kuchukua hatua dhidi ya wamiliki hao. Aidha, jeshi hilo pia limesisitiza umuhimu wa madereva wote wa vyombo vya moto nchini kwenda kusoma kwani hatua hiyo itawapa umahiri wa kazi yao na hivyo kupunguza kiwango cha

Mama Ajifungua Mtoto na Kisha Kumtupa Katika Shimo la Takataka ( Jalala) jijini Mwanza

$
0
0
Mama mmoja mkazi wa kata ya Mkuyuni-Sokoni wilayani Nyamagana jijini Mwanza (jina lake halikufahamika mara moja) amejifungua mtoto wa kiume na kisha kumtupa kwenye shimo la kutupa taka (jalala) eneo a Mkuyuni jijini hapa.   Akizungumza na waandishi wa habari, mmoja wa watoa taarifa kwa viongozi wa serikali aliyetoa sharti la kutotajwa jina lake amesema:   “Mimi ni mfanya usafi

Rais Kikwete: Sijapokea Majina ya Waliohukumiwa Kunyongwa

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hajaletewa majina ya watu 16 waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya maalbino nchini kwa sababu safari ya kisheria ya majina hayo kufikishwa kwake ni ndefu.   Rais Kikwete aliyasema hayo  Jumapili, Aprili 12, 2015 wakati alipozungumza katika ibada maalum ya kuwekwa wakfu na kusimikwa kwa Askofu

Miili 15 ya Waliokufa Katika Ajali ya Basi Morogoro Yazikwa Pamoja

$
0
0
Mamia ya wakazi wa wilaya za Kilosa na Kilombero wamejitokeza katika mazishi ya pamoja ya watu 15 kati ya 19 waliofariki katika ajali ya basi ya Nganga ambalo liligongana na fuso kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu Ruaha wilayani Kilosa mkoani Morogoro.   Akizungumza kwa niaba ya serikali,mkuu wa wilaya ya Kilosa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 14 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 14  April  2015

Lowassa atajwa tena.....Kada mkongwe atoa ya moyoni juu ya kifungo chake.

$
0
0
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kutafakari jinsi kitakavyompata mgombea wake atakayepeperusha bendera ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu, Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho mkoa wa Arusha, Yona Merisho Nnko (74), ametoa ya moyoni akisema adhabu iliyotolewa na chama chao kwa makada  sita kwa madai ya kuanza mapema kampeni za urais, inamlenga

Serikali Yapata Kigugumizi Shule za Sekondari Kufungwa Kutokana na Kukosa Chakula

$
0
0
Kizungumkuti kimezidi kujitokeza katika suala la kufungwa kwa shule za sekondari za bweni za serikali kwa kile kinachoelezwa ni ukosefu wa chakula kutokana na wazabuni kugoma, baada ya serikali kutoa tamko ikieleza kuwa kuwa imelipa fedha za wazabuni hadi Machi, mwaka huu. Katika tamko hilo, serikali inazikana taarifa zinazotolewa na baadhi ya wakuu wa shule hizo kuwa zinakabiliwa na

Madereva Wa Mabasi Kugoma Tena April 18 Iwapo Sharti la Mikataba Halitatimizwa......Msimamo huo Walimweleza Zitto Kabwe

$
0
0
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Bw. Zitto Kabwe, ameitaka Serikali kuhakikisha madereva wote wa magari ya mizigo na mabasi ya abiria, wanapewa mikataba ya ajira kabla ya Aprili 17, mwaka huu. Bw. Kabwe aliyasema hayo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Uwanja wa Ndege, mkoani Morogoro baada ya kushiriki mazishi ya watu zaidi ya 17 walioteketea kwa

Nape awajibu wanaoishinikiza CCM itoe ratiba ya uchaguzi

$
0
0
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amesema chama hicho hakitaendeshwa kwa mashinikizo ya watu wanaotaka kitangaze haraka ratiba ya uteuzi wa wagombea wake kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao.    Kauli ya Nape imekuja baada ya baadhi ya makada wa chama hicho kuhoji inakuwaje CCM kinachelewa kutoa ratiba ya mchakato wa uchaguzi, wakati muda unasonga.  

JWTZ iliandaa mabasi 300 kuukabili mgomo wa madereva

$
0
0
Kutokana na mgomo wa madereva wa mabasi ya abiria nchi nzima uliofanyika Ijumaa iliyopita, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lilikuwa limeshaandaa mabasi 300 ambayo yangetumika kusafirisha abiria, imebainika.   Chanzo cha habari kutoka serikalini kimebainisha kuwa JWTZ ilikuwa imeweka tayari mabasi hayo na kuwa walikuwa wakisubiri taratibu za kufanya kazi hiyo, ikiwa ni
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images