Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mgomo Wa Madereva Walitikisa jiji la Dar......Polisi Wanatumia Mabomu ya Machonzi, Wananchi nao Wameshika Mawe Kuwakabili Polisi

$
0
0
Haya ni baadhi ya matairi ya magari yaliyochomwa na baadhi  ya Wananchi maeneo ya stendi kuu ya Ubungo jijini Dar. Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanyisha wananchi hao.   Baadhi ya Wananchi hawakukubaliana  na hilo nao wakaanza kushika mawe na kuwarushia Polisi, ikawa ni mawe VS Mabomu. Haya yote chanzo ni mgomo wa Madereva ulioanza leo.  

Mgomo wa Mabasi: Tax Zapanda Bei Musoma......Kutoka Musoma Kwenda Mwanza ni Laki 4

$
0
0
Abiria zaidi 1000 waliokuwa wakisafari kutoka Musoma kwenda Dar es salaam kupitia mikoa ya Mwanza na Shinyanga na wale wa kwenda mpakani mwa Tanzania na Kenya Sirari pamoja na wa ndani ya mkoa wa Mara wameshindwa kusafari baada ya madareva kuitisha mgomo. Baadhi ya madereva ambao wamekutwa katika kituo kikuu cha mabasi ya Bweri mjini Musoma,wamesema kuwa mgomo huo umeitishwa kwa ajili ya

Mgomo Wa Madereva: Serikali Yakubali Kufuta Agizo la Kuwataka Madereva Kwenda kusoma ili Kumaliza Mgomo

$
0
0
Waziri wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudencia Kabaka amefanikiwa kumaliza mgomo wa madereva baada ya kutangaza kufuta agizo lililokuwa likiwataka madereva wa mabasi na malori kwenda kusoma tena katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Kuhusu suala la Madereva kusoma, Serikali na Madereva wamekubaliana kukutana mwezi huu tarehe 18 kuzungumza njia mbadala ya kutumika. Miongoni mwa malalamiko

Taarifa ya Jeshi la Polisi Nchini Kufuatia Upotoshwaji Unaoenezwa Kwa Njia ya Mtandao ili Kuwatia Watu Hofu

$
0
0
Katika siku za hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi ya watu wachache wasiofahamika kutunga na kusambaza ujumbe kupitia simu za mikononi na mitandao mbalimbali ya kijamii wenye lengo la kuwatia hofu wananchi, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.    Aidha, watu hao wanaosambaza taarifa hizo wanajifanya kwamba taarifa hizo zimetoka kwenye taasisi za kimataifa na taasisi zingine

Zitto Kabwe Leo Amefanya Mkutano wa Kwanza Songea Kukitambulisha Chama Kipya Cha ACT-Tanzania.......Watu Walikuwa Wengi Sana, Kapata Mapokezi Mazuri

$
0
0
Picha Kiongozi wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Z.Kabwe akihutubia umati mkubwa wa wana Songea waliohudhuria kumsikiliza,ikiwa ni ziara yake ya kwanza toka ang'atuke katika chama cha CHADEMA. Picha Hapa ni Mapokezi ya Viongozi wa Kitaifa wa chama cha ACT Wazalendo  Songea Afande Sele akisalimia wanamkutano Viongozi wa Kitaifa wa ACT Wazalendo  Wanasongea wakiwa kwenye mkutano

Tishio la Ugaidi Jijini Mwanza: Wanafunzi Wa Chuo Cha SAUT Waumia Wakati Wakikimbizana Kuokoa Roho Zao......Chakufurahisha ni kwambwa,Waliyekuwa Wanamkimbia ni Mwanafunzi Mwenzao

$
0
0
Baadhi  ya  wanafunzi  wa  Chuo  Cha  SAUT Kilichopo  jijini  Mwanza  wamejikuta  wakiumia  vibaya  baada  ya  kuanza  kukimbia  hovyo  wakidhani  wamevamiwa  na  magaidi. Cha  kufurahisha  ni  kwamba  waliyekuwa  wanamkimbia  kumbe  alikuwa  ni  mwanafunzi  mwenzao.... Taarifa  kutoka  Chuoni  hapo  zinaarifu  kuwa  wanafunzi wa shahada ya uzamili katika biashara  walikuwa na mtihani

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 11 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe 11  April  2015

Tishio La Ugaidi: TANESCO Na Vyuo Vikuu Wajihami......Wanafunzi,Wafanyakazi Watakiwa Kuvaa Vitambulisho Masaa Yote

$
0
0
Kusambaa kwa taarifa za uwezekano wa kutokea kwa shambulio la kigaidi katika miji ya Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam na Mwanza, kumesababisha baadhi ya taasisi muhimu kama vyuo vikuu na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuchukua hatua za kujihami.   Taarifa zilizotufikia jana zilieleza kuwa Tanesco na baadhi ya vyuo, vimeweka taarifa ya tahadhari na kutoa masharti kwa wafanyakazi na

Bidhaa za magendo zaipatia TRA mil 258/-

$
0
0
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya kodi na faini ya jumla ya Sh milioni 258.5 kutokana na bidhaa mbalimbali za magendo zilizokamatwa katika kipindi cha Februari na Machi mwaka huu.   Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi huduma na elimu kwa mlipa kodi Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.   Alisema bidhaa hizo zilikamatwa katika Mikoa ya

Ajali ya Lori na Pawatila Yaua Watu 7 Manyara

$
0
0
Watu saba wamekufa na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea katika kijiji cha Endagau tarafa ya Endasaki wilayani Hanang’ mkoani Manyara baada ya lori aina ya Fuso kugongana na powatila.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alisema lori hilo yenye namba za usajili T 781 AAC likitokea Katesh kuelekea Babati liligongana na pawatila iliyokuwa imebeba

Rais Kikwete Apokea Ripoti Ya Oparesheni Tokomeza

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Ripoti ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza katika hafla fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam.   Mara baada ya kupokea ripoti hiyo, Rais Kikwete aliishukuru Tume kwa kazi nzuri na kuongeza kuwa amefurahi kuwa suala zima la Operesheni Tokomeza sasa limefika mwisho wake.   Aidha, Rais amesema kuwa Serikali itaisoma ripoti hiyo na katika wiki mbili itatoa

Baba Ahukumiwa Kifungo cha Maisha Jela Kwa Kosa la Kumbaka Mtoto wake Wa Miaka 9 na Kumsababishia Ujauzito

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Shinyanga imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa mtaa wa Kitangili katika manispaa ya Shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mtoto wake wa kambo, mwanafunzi wa darasa la tatu.   Alimbaka mtoto huyo kutimiza masharti ya mganga ili kutoa tiba kwa mkewe.   Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi mwandamizi wa wilaya,

Mawakili wa Gwajima ( Peter Kibatala ) Waiandikia Barua Polisi Kuhoji Uhalali Wa Nyaraka 10 Zlizoombwa na Vifungu Vya Sheria Vilivyotumika

$
0
0
Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.   Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi

Lulu Awaogopa Wachawi Kutaja Baba Kijacho Wake

$
0
0
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anaogopa wachawi kumtaja mhusika wa mimba aliyonayo.   Lulu alifunguka hayo juzikati wakati mwanahabari wa GPL alipotaka kujua mhusika wa mzigo alionao ndipo msanii huyo aliposema aachwe kwanza maana wachawi ni wengi.   “Mh! Naomba mniache kwanza maana mjini hapa wachawi ni wengi, mambo yakiwa freshi kila

Hamisa Mabeto Ajifungua Mtoto wa Kike

$
0
0
Mwanamitindo kiwango Bongo, Hamisa Hassan Mobeto amejifungua mtoto wa kike hivi karibuni na kuwashangaza wengi kwani mimba hiyo ilikuwa na usiri mkubwa tofauti  na wafanyavyo mastaa wengine.

Mbio za Urais CCM: Benard Membe Ataka Jina la Edward Lowassa Lisikatwe.......Atamani Akutane Naye Tatu Bora Ili Amwonyeshe Uwezo Wake

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, ambaye jina lake linatajwa kutaka kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, anaelezwa kutamani kuingia katika hatua za mwisho za kinyang’anyiro hicho na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.   Vyanzo vya habari ndani CCM vinasema kwamba Membe amekua akionyesha kutamani kuingia

Kauli ya Wema Sepetu Yawaliza Wengi. Aweka wazi kuwa hawezi kupata mtoto.

$
0
0
Kupitia ukurasa wake wa instagram,  mwanadada wema Sepetu ameamua kuvunja ukimya kwa kuamua kuweka wazi kuwa hana uwezo wa kushika ujauzito... hiki ndicho alichosema!   "Ningekuwa na uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana... But sina... Na siwezi kumkufuru mwenyezi mungu.... Au mngependa niwe nawaambia jinsi ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe... Is

Rais Kikwete Aonya Chokochoko za Siasa Kupitia Dini

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete amesema wakati taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani baadaye mwaka huu, kumeibuka nyufa zinazojengwa na baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashabiki wao ambao wanatumia tofauti za dini zilizopo nchini kwa uchu wa kuingia madarakani.   Kwa hali hiyo, amewaomba viongozi wa dini kuchukua hatua kwa kukemea tatizo hilo ili kuliponya taifa na

Basi Lagongana Uso Kwa Uso La Lori Na Kisha Kuwaka Moto.....Watu 18 Wafariki Dunia

$
0
0
Watu 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.   Ajali hiyo imehusisha basi la Kampuni ya Nganga linalofanya safari zake kutoka Wilaya ya Kilombero kuelekea mkoani Mbeya na kugongana na lori hilo

Habari Zilizopo Katika Mafazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 13 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Mafazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe 13  April  2015
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images