Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tukitafakari Mauaji ya Garissa, Hii Ndo Tanzania Tunayoitaka.....

$
0
0
Tanzania  Tunayoijua  ni kwamba Watanzania ni ndugu na tumechanganyika. Hata hivyo, Wahenga walisema; " Kamba hukatikia pabovu."   Siku zote, uzoefu ni mwalimu mzuri sana. Mathalan, uzoefu unatufundisha, kuwa kuwasha moto ni jambo jepesi sana, lakini, kuuzima moto, yaweza kuwa ni kazi ngumu sana.   Ona, moto ulioanza kwenye nyumba moja ya nyasi kijijini, waweza kusambaa haraka na

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA) Chasema Mgomo wa Madereva Kesho ni Batili.....Kimesema Wamiliki Hawataki Magari Yao Yatumike Kuwagombanisha Na Serikali

$
0
0
Chama  cha  wamiliki  wa  mabasi  Tanzania, TABOA  kimesema  mgomo  wa  madereva  unaotarajiwa  kuanza  kesho  ni  batili. Sababu  kubwa  ya  madereva  hao  kugoma  ni  kuishinikiza  serikali  kuweka  mfumo  mzuri  wa  ajira  na  kupinga  kanuni  inayowataka  kurudia  kusoma  katika  chuo  cha  taifa  cha  usafirishaji,NIT  kila  leseni  zao  zinapokwisha  muda. Kwa  mujibu  wa  TABOA,

Breaking News: Watu 10 Wafariki Dunia Baada Ya basi La NGORIKA na RATCO Kugongana Uso Kwa Uso

$
0
0
Watu 10 wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha magari matatu katika eneo la Mkata kijiji cha Mbweni wilayani Handeni Mkoani Tanga majira ya saa 5 asubuhi ya leo.   Akizungumza na Mwandishi wetu Kamanda wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga amesema kuwa ajali hiyo imehusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo katika barabara ya Dar es salaa kwenda Tanga na Arusha.   Kwa

Ajali Nyingine Yatokea Mikumbi......Watu Kadhaa Wahofiwa Kufa Baada Ya Basi La Happy Nation Kutumbukia Mfrejini

$
0
0
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Happy Nation lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya kupata ajali na kutumbukia kwenye mfereji katika eneo la Mikumi mkoani Morogoro.    Ajali hiyo imetokea leo mchana ikiwa ni muda mfupi baada ya ajali nyingine kutokea leo ikihusisha magari matatu kwenye Kijiji cha Mbweni, Handeni mkoani Tanga na kuua watu 10.

Kesi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja Yapigwa Kalenda Hadi Mei 7 Mwaka Huu

$
0
0
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja leo amefikishwa mahakamani kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili ya uchochezi, lakini upande wa serikali ulikuwa haujakamilisha kuandika maelezo hayo.   Mwendesha mashtaka mwandamizi wa serikali, Rose Shio aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo ilifika mahakamani hapo leo kwa ajili ya usikilizwaji wa awali

Mkapa Auponda Mkataba wa EPA......Adai ni wa Kikoloni

$
0
0
Rais mstaafu wa awamu ya tatu nchini Tanzania, Mhe. Benjamin William Mkapa, ameelezea kusikitishwa na jinsi Tanzania pamoja na nchi nyingine za Afrika Mashariki, zilivyosaini mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi, baina ya Jumuiya ya Ulaya na nchi za Afrika, Karibeani na Pasifiki, mkataba unaojulikana kwa kifupi kama EPA (Economic Partnership Agreement). Akizungumza na watumishi wa

Rais Kikwete Asiongezewe Muda - Peter Mziray

$
0
0
Mwenyekiti wa Baraza la vyama vya siasa Tanzania Peter Kuga Mziray amesema mwenendo wa Tume ya Uchaguzi kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura hauridhishi na unatoa viashiaria vya uwezekano wa kuahirishwa kwa uchaguzi mkuu mwezi Oktoba na kuwaongezea muda viongozi waliopo akiwemo Rais Kikwete.   Mziray amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) katika suala la uboreshaji wa

Zitto Kabwe Asema Kitendo Cha kuitwa MSALITI Ni Mbinu Zinazotumika Kumuua Mwanasiasa wa Upinzani

$
0
0
Kiongozi  wa  chama  cha  ACT-Tanzania,Zitto Kabwe  amesema  kuitwa  msaliti  ni  mbinu  zinazotumika 'kumuua' mwanasiasa  wa  upinzani  nchini. Amesema  mwanasiasa  wa  upinzani  akitakiwa  kuuawa  kisiasa  si  jambo  geni  kusikia  anatuhumiwa  kutumika  na  Usalama  wa  Taifa  au  Pandikizi  la  Chama  cha  Mapinduzi, CCM. Akizungumza  na  wahariri  wa  vyombo  vya  habari   jijini 

Shamsa Ford Akana Kutoka Kimapenzi na Nay Wa Mitego

$
0
0
Msanii  wa  Filamu  Nchini, Mwanadada  Shamsa Ford  amekana  kuwa  na  uhusiano  wa  kimapenzi  na  mwana  hip hop,Elibarik  Emamanuel 'Nay wa Mitego'  na  kuweka  wazi  kuwa  wako  mbioni  kuachia  filamu  yao  mpya  ya  Manyaunyau. Akizungumza  na  mtandao  huu  juzi,Shamsa  alisema, kinachoendelea  kwa  sasa  kwenye  mitandao  ya  kijamii  ni  Promosheni  kwa  ajili  ya  ujio  wa 

Khadija: Kwa Maisha Haya Ya Muziki Mume Wa Nini?....Mapenzi Yasubiri Kwanza!

$
0
0
Staa kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Khadija Maige ‘Kadja Nito’,  hatimaye ameamua kufunguka na kusema kuwa, kwa maisha yake ya sasa ya kimuziki haoni kama kuna umuhimu wa kufikiria masuala ya kuolewa. Akizungumza na mwandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Kadja alisema kuwa, muziki sasa ndiyo kila kitu kwake hivyo hawezi kumpa nafasi mwanaume au kuzungumzia suala

Aliyekuwa Mke wa Mh Mbunge Sugu, Faiza Ally Atangaza Mtandaoni Kuwa Ana Hamu ya Kufanya Mapenzi......Kazi Kwenu Wanaume

$
0
0
Mrembo asiyeishiwa vituko, Faiza Ally ambaye amezaa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’ ametoa kali baada ya kusema kuwa ana hamu ya kumpata mwanaume mwingine wa kumpa raha lakini mpaka sasa hajapata. Kupitia  Ukurasa  Wake  Wa  Instagram, Faiza alisema tangu alipoachana na Mheshimiwa Sugu, aliona bora ajitulize lakini sasa anajiona kuna kitu anakikosa na wa kumpa

Diwani wa CHADEMA Apewa Adhabu ya Kufua Shuka za Wagonjwa Hospitalini na Kuzibua Mitaro ya Barabarani

$
0
0
Diwani wa Kata ya Kasanda wilayani Kakonko, Dickson Barutwa (40) wa Chadema na wenzake watatu, wamehukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kibondo  adhabu ya kufua shuka za wagonjwa katika hospitali ya wilaya ya Kakonko na kuzibua mitaro ya barabarani kwa siku 14 baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu.   Baadhi ya makosa hayo yametajwa kuwa ni kuifunga ofisi ya Mtendaji wa Kijiji isivyo

Askari wa JKT Auawa Wakati Akisaidiana na Polisi Kuyakabili Majambazi Yaliyokuwa Yamepora Fedha Iringa

$
0
0
Watu wawili akiwemo jambazi mmoja na askari mwanafunzi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamekufa na wengine kunusurika kuuawa katika tukio lililotokea juzi, mjini Mafinga mkoani Iringa wakati majambazi wakirushiana risasi na askari wa Jeshi la Polisi.   Risasi hizo zilipigwa wakati Polisi hao wakijaribu kuokoa fedha za mfanyabiashara Salama Semwaiko zilizoporwa na majambazi wawili

Sakata la Gwajima: Polisi Wamhoji Kwa Masaa Matano..... Atakiwa Kurudi Polisi Wiki Ijayo na Hati ya Usajili wa Kanisa Lake,Helkopta na Viwanja Anavyomiliki

$
0
0
Askofu wa  Kanisa la Ufufua na Uzima Josephat Gwajima amelitikisa  tena  Jiji la Dar es Salaam jana  mara   baada  kuwasili makao  makuu  ya  Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam ili  kuendela  na  mahojiano kuhusu tuhuma za kumkashfu  Askofu Pengo.   Gwajima aliwasili  Makao Makuu ya Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Majira ya saa mbili kamili asubuhi huku

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa ya Tarehe 10 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo Ijumaa  ya Tarehe  10  April  2015

Breaking News: Mgomo wa Madereva Waanza Asubuhi ya Leo Sehemu Mbalimbali Nchini

$
0
0
Mgomo  wa  Madereva  umeanza  rasmi  leo  katika  maeneo  mbalimbali   nchini kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali. Sababu  kubwa  ya  madereva  hao  kugoma  ni  kuishinikiza  serikali  kuweka  mfumo  mzuri  wa  ajira  na  kupinga  kanuni  inayowataka  kurudia  kusoma  katika  chuo  cha  taifa  cha  usafirishaji,

Mgomo wa Madereva: Polisi Waamua Kutumia Mabomu ya Machozi Stendi Kuu Ubungo, Dar

$
0
0
Habari  zilizotufikia zinaarifu Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu ya machozi katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo kutuliza vurugu zinazofanywa na abiria pamoja na wananchi kufuatia mgomo wa madereva.

Huyu Ndo Mtanzania Anayetuhumiwa Kwa Ugaidi Kenya.....Jana Alifikishwa Mahakamani Chini Ya Ulinzi Mkali

$
0
0
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.   Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa

Kamanda Wa Polisi Mkoa Wa Arusha Akanusha Kukamatwa Kwa Mwanaume Mwenye Mabomu Na Watu Wanne Wenye Bunduki

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatusi Sabas amekanusha uvumi ulioenea katika mitandao ya jamii kuhusu kukamatwa mwanaume mmoja aliyevalia vazi la baibui akiwa na bomu mkoani humo na  kwamba  watu  wengine  wanne  wamekamatwa  wakijiandaa  kuingia  chuo  cha  uhasibu. Uvumi  huo  umeanza  kusambaa  kwa  kasi  leo  asubuhi  ukidai  kukamatwa  kwa  watu  wanne  waliokuwa  ndani  ya 

Picha: Hali Ya Mgomo Ilivyo Eneo La Stendi Ya Ubungo Jijini Dar es Salaam

$
0
0
Muonekano wa mabasi ya mikoani yakiwa yamesimama stendi ya Ubungo, Dar. Wananchi wakiwa nje ya stendi ya mabasi ubungo jijini Dar.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images