Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Ajira Mpya za Walimu Ni Tarehe 1 Mwezi wa 5.....Majina 31,000 Yatatangazwa Hadharani April 24

$
0
0
Serikali imesema ajira za walimu wapya zitaanza rasmi Mei Mosi, mwaka huu huku ikiweka wazi kuwa walimu hao wasitegemee kupangiwa katika maeneo ya majiji, manispaa na miji.   Walimu hao wametakiwa kutotegemea kupangiwa katika maeneo hayo kutokana na idadi ya walimu waliopo ni kubwa na inakidhi mahitaji, huku maeneo yaliyopewa kipaumbele ni vijijini na halmashauri ambazo zina mahitaji

Radi Yaua Mwalimu na Wanafunzi 6 Kigoma

$
0
0
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya mkoa wa Kigoma,Maweni  akiongeza na Waandishi wa habari juu ya tukio la radi lililotokea hivi punde na kuuwa watu 8 Na Editha Karlo Karlo wa blog ya jamii,Kigoma. WATU wanane wakiwemo wanafunzi sita na mwalimu wa shule ya msingi kibirizi mmoja pamoja na mtu wa kawaida mkazi wa eneo la Bangwe mjini hapa  wamekufa baada ya kupigwa na radi huku wanafunzi

Kamanda Mpinga: Madereva Waliosababisha Ajali Kwa Uzembe Kufutiwa Leseni Zao

$
0
0
Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam  jana.   Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano  na Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama  barabarani Mohammed Mpinga  jijini Dar leo.(Picha na Emmanuel Massaka). Na Chalila Kibuda. KIKOSI cha Usalama Barabarani

Lipumba: Siku Ya Uchaguzi Mkuu Itatangazwa Na NEC Na Si Vinginevyo

$
0
0
Mwenyekiti wa taifa wa Chama  cha Wananchi (CUF),Profesa   Ibrahim Lipumba akizungumza na baraza la uongozi wa chama hicho (hawapo pichani) iliyofanyika Makao Makuu ya Chama hicho jijini Dar es Salaam, wapili kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, kushoto ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar,Nassor Ahmed na kushoto ni makamu Mwenyekiti wa chama cha Wananchi (CUF) Taifa,Duni

Habari zilizopo Katika Magazeti ya Leo

Zitto Kabwe: Sitaki kulumbana na CHADEMA

$
0
0
Kiongozi wa chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema hawezi kulumbana na viongozi wa chama chake cha zamani cha Chadema kwa kuwa anachofanya sasa ni kutafuta wanachama wa chama chake kipya.    Zitto alisema hayo juzi mjini Morogoro wakati wa mkutano wa ziara ya uzinduzi wa chama hicho uliofanyika katika kiwanja cha ndege mjini hapa.   Akihutubia huku akishangiliwa na wananchi,

Utata Wa Nay Wa Mitego na Siwema Umekwisha Baada ya Majibu ya DNA Kutoka

$
0
0
Baada ya utata mzito kutawala kwenye vyombo vya habari juu ya uhalali wa mtoto wa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kwa mzazi mwenzake Siwema Edson, hatimaye kipimo cha vinasaba (DNA) kimetoka na kumaliza ubishi kwamba mtoto huyo aitwaye Curtis ni damu halisi ya msanii huyo. Hivi karibuni, Nay na Siwema ambao walikuwa wapenzi kisha kumwagana, waligombana na kila mmoja

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamis ya April 16,2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Alhamis  ya  April  16,2015

'Magaidi' 10 Wakamatwa Msikitini Wakiwa na Milipuko, Sare za jeshi na Bendera ya Al Shabaab

$
0
0
Watu 10 wanashikiliwa na polisi mkoani Morogoro baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayodaiwa kutumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab wa nchini Somalia. Katika tukio hilo, mmoja anayesadikiwa kuhusiana na watu hao waliokamatwa aliuawa na wananchi wenye hasira baada ya kumjeruhi kwa panga askari polisi aliyekuwa akipambana naye.

Mkwara wa Gwajima kwa Polisi wazaa matunda.....Mahojiano Yasitishwa Kusubiri Uamuzi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

$
0
0
Hoja za kisheria alizowasilisha Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima kuhusu kutakiwa kuwasilisha nyaraka 10 za utajiri na usajili wa kanisa lake polisi zimezaa matunda.    Sasa, agizo la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam la kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka hizo leo limesitishwa kusubiri utatuzi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali au Ofisi ya

SUMATRA yatangaza nauli mpya za Mabasi Ya Mikoani.......Nauli za Daladala Hazitabadilika

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi kavu jana imetangaza nauli mpya za usafiri ambapo Mabasi ya abiria ya masafa marefu nauli zake zikipungua huku daladala nauli zikibaki vile vile. Akitangaza Viwango hivyo vipya vitakavyoanza kutumika tarehe 30 mwezi huu Mkurugenzi Mkuu wa SUMATRA Gilliadi Ngewe alisema baada ya mchakato wa kupanga bei kukamilika, bei za mabasi ya

Bongo Fuse: Bikira wa Kisukuma Afunguka Ugomvi wake na Lemutuz, Umaarufu Wake Mitandaoni na Sheria Mpya ya Mitandao

$
0
0
Seth de  Jesus Giovanni Aka Bikira wa Kisukuma kama anavyofahamika kwenye ukurasa wa Instagram amefunguka mengi kuhusu umaarufu wake mitandaoni, Ugomvi alionao na Super staa Lemutuz pamoja na Sheria ya Mitandaoni Msikilize  Hapo  Chini  Akifunguka:

Wema: Kumuimba msichana uliyeachana naye ni ushamba

$
0
0
Staa wa filamu za kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.   Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.   “Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi

Zitto Kabwe: ACT-Wazalendo ipo tayari kushirikiana na UKAWA Kunufaisha Wananchi na Si Kugawana Uongozi

$
0
0
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), kimesema kuwa kipo tayari kushirikiana na vyama vingine vya siasa kwa lengo la kuleta mapinduzi ya kiuchumi na kubomoa mfumo unaowanyonya wananchi.   Kutokana na hali hiyo, kimewahakikishia Watanzania kuwa ujio wa chama hicho ni wa kuleta mageuzi ya kweli kwa taifa badala ya porojo kama vyama vingine vinavyofanya.  

Kajala Masanja Aibiwa Nguo ya Ndani Kiuchawi......Aikuta Nje Ikiwa Imelowa Damu

$
0
0
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ amepatwa na dhahama ya aina yake baada ya kuibiwa nguo yake ya ndani kimazingara kisha kuikuta nje ikiwa imeloa damu.   Kwa mujibu wa Gpl , mara nyingi Kajala ana kawaida ya kufua na kuzianika nguo hizo ndani lakini katika mazingira ya kutatanisha moja ilipotea na kila alipofanya jitihada za kuitafuta, hakuiona. Baada ya nguo hiyo

Mbowe: Serikali Isithubutu Kuahirisha Uchaguzi Mkuu

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA, kimeitahadharisha serikali juu ya mpango wowote wa kutaka kuongeza muda kwa serikali yaawamu ya nne kuwepo madarakani, kwa kisingizio cha kutokamilika kwa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambao unafanyika kwa mfumo wa BVR.   Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mafunzo kwa viongozi wa chama hicho wanaounda timu za kampeni za

Amanda Awa Mbogo Baada ya Kuambiwa Anatumia ARV

$
0
0
Staa mwenye ‘figa’ matata, Tamrina Posh ‘Amanda’ hivi karibuni aligeuka mbogo kwa shabiki wake aliyefahamika kwa jina la Joel baada ya kuambiwa eti ni mmoja wa wasanii wanaotumia vidonge vya ARV vya kuongeza siku za kuishi kwa waathirika wa Ukimwi. Ishu ilianzia kwenye mtandao wa Facebook ambapo Joel aliona picha ya Amanda akipima ugonjwa ambao haukujulikana ndipo kijana huyo

Uhalifu Nchini: IGP Mangu Akutana na Viongozi wa Dini ya Kiislam......Waazimia Mambo Mazito Kuwakabili Wahalifu Wanaojificha Misikitini

$
0
0
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu na viongozi wa dini ya Kiislamu nchini, wameungana kukemea vitendo vya uhalifu nchini.   Wamezitaka familia kutoa malezi bora kwa watoto wao ili kuondokana na wimbi la watu wanaojiingiza katika vitendo hivyo.    Rai hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na IGP Mangu na viongozi mbalimbali wa dini ya Kiislamu katika mwendelezo wa mafunzo ya

Kura ya maoni ifanyike baada ya uchaguzi

$
0
0
Wakazi wa wilaya ya Muheza wameishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuahirisha zoezi la kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa na badala yake isubiri hadi uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge ufanyike. Wakizungumza katika mkutano wa hadhara ulioitishwa na kituo cha sheria na haki za binadamu kwa kushirikiana na tume ya taifa ya uchaguzi wakazi hao wamesema mapendekezo mengi waliyowasilisha

Lungi: Nilikuwa Kikojozi Mpaka Nafika Form Two..!

$
0
0
Staa wa filamu Bongo, Lungi Maulanga hivi karibuni ametoa ushuhuda wake kwamba alikuwa akisumbuliwa na tatizo la kujisaidia kitandani mpaka alipofika kidato cha pili lakini alipona katika mazingira ya kushangaza.   Akizu-ngumza  na mwandishi wetu Lungi alifunguka: “Nikiri tu kwamba nilikuwa kikojozi mpaka nafikia form two, nilikuwa naona aibu sana lakini aliyenisaida ni bibi mmoja
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images