Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT), kimesema kinatarajia kunyakuwa majimbo manne ya ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
Kimetaja majimbo hayo kuwa ni Ubungo, ambalo linaongozwa na John Mnyika (Chadema), Kawe linaloshikiliwa na Halima Mdee (Chadema), Segerea ambalo Mbunge wake ni Makongoro Mahanga (CCM) na Kahama la James Lembeli (CCM).
Kiongozi
Chama Kipiya Cha Zitto Kabwe, ACT-Tanzania Chapania Kuchukua Majimbo Manne Ya Uchaguzi Mwaka Huu
↧
↧
Wanachokitaka UKAWA Kabla Ya Uchaguzi Mkuu Wa Octoba Mwaka Huu
Uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuahirisha Kura ya
Maoni ya Katiba Inayopendekezwa umewafungulia viongozi wa Ukawa
kuishinikiza Serikali kuiboresha Katiba ya sasa katika maeneo manne ili
kuondoa mvutano katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mambo manne yanayodaiwa na Ukawa ni:
Ushindi
wa urais kuamuliwa kwa asilimia zaidi ya 50.
Mgombea binafsi katika
nafasi za udiwani,
↧
Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali
Pendeza na Dr Kessy Products . Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu,
zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo
ya Haraka
1.Tengeneza shep, mahips au makalio
Dawa ya kupaka 50,000
Vidonge 80,000.
2.Punguza maziwa na kuyasimamisha- 40,000/=
3.Punguza mwili pamoja na kilo- 60,000/=
4.Ongeza nguvu za
↧
Tishio la Ugaidi: Waziri Wa Mambo Ya Ndani Asema Nchi Ipo Katika Hali Ya Tahadhari
Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi,Matthais Chikawe amesema nchi ipo katika tahadhari ya juu kufuatia taarifa
za vyombo mbalimbali vya habari kwamba, kuna uwezekano wa shambilio la
ugaidi katika miji ya Dar es salaam na Mwanza.
Chikawe amesema hayo ikiwa ni siku chache baada ya taarifa kusambaa kuwa mmoja ya waliokamatwa katika shambulio
la chuo kikuu cha Garissa nchini
↧
Radi Yapiga Kanisa Geita Na Kuua Watu Watano Waliokuwa Katika Ibada Ya Pasaka
Watu watano wamefariki dunia papo hapo katika kijiji cha Shilabela, kata ya Bwanga, wilayani Chato, mkoa wa Geita, baada ya kupigwa na radi wakati wakiendelea na ibada ya Sikukuu ya Pasaka.
Tukio hilo lilitokea juzi jioni kwenye Kanisa la Assemblies of God Tanzania (AGT) na kujeruhi watu wengine 18 wakati wakiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo, Pasaka. Kati ya
↧
↧
Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa Ujipatie Dawa Lishe ya kuongeza na kunenepesha mwili
Je
una mwili mwembamba
na unataka kuongeza
na kunenepesha mwili
wako ? Umedhoofika kutokana
na maradhi mbalimbali
na unataka kurejesha
afya yako na
mwili wako ? Unataka kutengeneza
shape ya mwili
wako kwa vitu
vya asili visivyo
na madhara kwa
afya yako ?
Kama jibu ni
ndio basi, hii ni habari njema
sana kwako. Neema Herbalist
ni wauzaji wa
↧
Kwa Uliedhani Ujauzito wa Zari ( Mchumba Wa Diamond ) Ulikua Feki, Bofya Hapa Ukione Kitumbo Kilivyo Kwa Sasa
Labda uliziona picha za mwanzoni za mrembo
Zari kutoka Uganda lakini ukaamini maneno ya wengine kwamba shemeji yetu
huyu kwa Diamond Platnumz alidanganya kuhusu kuwa na ujauzito huo wa
Diamond.
Picha mpya kutoka kwake ni hii hapa chini ikionyesha jinsi ujauzito wake unavyozidi kukua…
↧
Picha Za Irene Uwoya Akiwa Jijini Mwanza Zilizosababisha Mafuriko Ya LIKES Huko Instagram
Hizi ni baadhi ya picha ambazo staa mrembo Irene Uwoya ame-share
kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram akiwa jijini Mwanza.
Huu ulikuwa mtoko wake wa sikukuu ya PASAKA . Mbali ya
picha hizi kusababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS huko Instagram, sio
mbaya nawewe hapa kama mdau ukasafisha macho na picha hizi na kufunguka
chochote kuhusu mtoko huu wa mrembo huyu ambae
↧
Leo Ndo Mwisho wa Gwajima Kusali Kawe.....NHC Wanadai Lile ni Eneo Lao, Kanisa La Gwajima Lipo Pale Kimakosa
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limemtaka Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, kuhamisha makazi ya kanisa lake lililopo katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe, jijini Dar es Salaam leo.
Meneja Uhusiano wa NHC, Yahya Charahani amelieleza Gazeti la Nipashe kuwa, walimpatia notisi Askofu Gwajima ya kuhama eneo hilo mwezi mmoja uliopita, lakini hakutekeleza
↧
↧
Jeshi la Kenya Lafanya Shambulio Somalia Kulipiza Kisasi Baada ya Al Shabaab Kuuwa Wanafuzi 148 Kenya
Ndege za kijeshi za Kenya zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la Alshabaab katika taifa jirani la Somalia .
Ndege hizo zililenga maeneo mawili ya jimbo la Gedo,linalotumiwa na wapiganaji hao kuvuka na kuingia Kenya, msemaji huyo ameongeza.
Maeneo hayo mawili hutumiwa na wapiganaji hao kupanga mshambulizi nchini Kenya.
Wanajeshi wa AMISOM walitarajiwa kupeleka wanajeshi wao
↧
Watu Sita Wakamatwa Na Jeshi La Polisi Kwa Tuhuma Za Kumbaka Mwanamke Mmoja Kwa Zamu
Watu sita wamekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kusini Unguja Juma Saad Khamis, alisema hilo ni moja ya matukio mabaya kuripotiwa kufanywa katika kipindi cha maadhimisho ya sikukuu ya Pasaka.
“Watu hao walikamatwa Jumapili saa 2 usiku wakihusishwa kuhusika na tukio hilo,” alisema.
Uchunguzi wa awali
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 8 April 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 8 April 2015
↧
↧
Mwigizaji Shamsa Ford, Ney wa Mitego Ndani ya "PENZI ZITO"
Kilichojificha nyuma ya pazia la uhusiano wa mastaa
wa Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, na Shamsa Ford sasa
kimevuja baada ya mtandao huu kunasa habari za wawili hao kuwa
kwenye uhusiano wa mapenzi kiasi cha kudaiwa kupika na kupakua pamoja.
Chanzo kimeeleza kwamba, wawili hao ambao kila mmoja katika
siku za hivi karibuni aligombana na mwenza wake wa awali, wamekuwa
↧
TANESCO Yaja LUKU Mpya Kukabili Tatizo la Sasa
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) linatarajia kubadilisha mfumo wa huduma ya Lipia Umeme Kadri Utumiavyo (Luku) na kuuweka wa kisasa ili kuwaondolea usumbufu wateja wake.
Imeelezwa kuwa mfumo unaotumika sasa ni tatizo kutokana na mabadiliko hayo, mfumo mpya huenda ukaanza kutumika mwezi ujao. Hayo yalisemwa jana na Meneja Uhusiano wa Tanesco, Adrian Severin.
Alisema mfumo
↧
Askofu Gwajima Aligomea Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)......Mpaka Jana Kanisa Hilo Lilikuwa Bado Lipo katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam
Licha ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kumtaka Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, kuhamisha makazi ya kanisa lake lililopo katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam, bado hajatekeleza.
Wiki iliyopita, Meneja Uhusiano wa NHC, Yahya Charahani, akizungumza na Gazeti la Nipashe alisema kuwa walimpatia notisi Askofu Gwajima ya kuhama eneo hilo
↧
Shilole Aonyesha Utundu Wake Wa Chumbani Stejini Coco Beach
Staa wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Zuwena Mohamed
'Shilole' juzikati aliwatega vidume baada ya kufanya utundu wa aina
yake kwa kuwaita jukwaani na kucheza nao wakati akipafomu kwenye shoo
maalum ya Pasaka iliyodhaminiwa na Vodacom mwishoni mwa wiki.
Tukio hilo lilinaswa sawia na mwandishi wetu maeneo ya Coco Beach
jijini Dar es Salaam baada ya Shilole kupandwa na ‘mzuka’ wakati
↧
↧
Matumaini: Nimeamua Kumwimbia Mungu
Msanii wa vichekesho, Tumaini Martin ‘Matumaini’ amesema
kuwa baada ya kuugua ameamua kumtolea Bwana maisha na sasa anaimba
nyimbo za Injili.
“Namshukru Mungu kwa mapito niliyopitia, nimeamua kumkabidhi Mungu
maisha yangu kwa kumuimbia na wimbo wangu wa kwanaza ulikuwa ni Nimepona
nikimshukru Mungu kwa muujiza wake,”alisema Matumaini katika mazungumzo na mwandishi wetu.
↧
Umelisikia Sharti la MAKAHABA ( Machangudoa) Wa Nigeria Walilolitoa Kwa Rais Mpya??......Wako Tayari Kugawa Penzi Bure Kwa Siku 3 Iwapo.....!
Waswahili wanasema ahadi ni deni.. akina
dada ambao wanafanya biashara ya kuuza miili yao Nigeria nao wanaahidi
kutimiza ahadi yao ya kutoa huduma bure kwa wateja wao nchi nzima.
Chama cha wasichana hao ambao wanafanya
biashara hiyo Nigeria waliahidi kwamba wako tayari kutoa huduma bure kwa
mtu yoyote iwapo Rais Buhari atashinda Uchaguzi huo..
Kwa kuwa tayari Buhari
kashinda
↧
Tishio La Ugaidi Kenya: Ziara Ya Miss World Nchini Humo Yapigwa Chini......Rais Obama Yeye Kasema Haogopi Kitu, Ziara Yake Iko Palepale
Hali ya nchi ikiwa sio nzuri kuna vingi
vinaathirika, unaweza ukaona kwa haraka haraka tu kwamba athari kubwa ni
vifo na uharibifu wa mali za watu.. lakini ukiiangalia kiundani athari
yake ni kubbwa zaidi ya hapo.
Rolene Strauss ni mrembo wa South Africa ambaye alifanikiwa kushinda taji la Miss World 2014. Mrembo huyu alikuwa na ratiba ya ziara yake
Nairobi Kenya na ilikuwa afanye
↧