Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imewatangazia kiama wahalifu, ambapo imeamua kuwasaka kwa kutumia helkopta, baada ya kupata taarifa kwamba wamekimbilia mpakani mwa mkoa huo na wa Pwani.
“Tunaendelea na operesheni kali dhidi ya wahalifu, kwani tumepata taarifa kwamba kuna wahalifu wamekimbilia mpakani mwa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani,” alisema Kamishna wa Kanda hiyo, Suleiman Kova
Jeshi la Polisi Latangaza Kiama Kwa Wahalifu.......... Helkopta ya Jeshi Kutumika Kuwasaka, Kova Aeleza Sababu Za Wananchi Kukaguliwa Kwa Mashine Kivuko cha Kigamboni.
↧
↧
PICHA: Dk. Shein Aongoza Kumbukumbu ya Kifo Cha Karume
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar (SMZ),
Dk. Ali Mohamed Shein, ameongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya
Mashujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Maadhimisho hayo yalifanyika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui,
Zanzibar kisha Rais Shein aliwaongoza wananchi kutembelea kaburi la
aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Karume.
↧
Rose Ndauka: Pengo la Steven Kanumba Haliwezi Kuzibika
Nyota wa kike wa filamu nchini, Rose Ndauka, amesema pengo la msanii
mwenzake, marehemu Steven Kanumba, litaendelea kuwepo kutokana na
mchango wake mkubwa alioutoa kwenye tasnia hiyo.
Wakati jana ikiwa ni kumbukumbu ya miaka mitatu tangu Kanumba afariki
dunia, Rose alizungumza na DjHaazu katika Exclusive Interview na kusema kwamba msanii huyo
aliikuza tasnia hiyo kwa kutumia
↧
Waislam Watoa Tamko Zito Litakalosomwa Misikiti Yote Nchini......Wasema Wamechoka Kuonewa, Wawataka waamini wao Kufanya Maamuzi Magumu Wakati wa Uchaguzi
SIKU chache kupita baada ya Mkutano wa 19 wa Bunge kumalizika na serikali kuutupilia mbali mswaada wa sheria ambao unaruhusu kuwepo makakama ya Kadhi nchini, Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini wameibuka na kutoa tamko zito kwa kuwataka waislam wote nchini kutoshiriki kwenye kura ya maoni ya kupitisha katiba pendekezwa kwa madai kwamba serikali haina nia nzuri na waislam nchini kwa kitendo
↧
Kakobe Amshukia Lowassa...... Awataka Watanzania Kususia Kura Ya Maoni Kwa Madai Kuwa Katiba hiyo ni ya Kishetani na Mwandishi Wake Ni "Nyoka Wa Makengeza" ( Shetani)
Akihubiri siku ya Pasaka katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililopo Mwenge katika Jiji la Dar-Es-Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe alisema kwamba, inajulikana wazi kwamba Lowassa amekuwa anautaka Urais kwa udi na uvumba kwa miaka mingi, hata mwaka 1995 alijitosa hadharani kuuwania, sasa anapodai kwamba hivi sasa kuna makundi yanayokwenda kwake kumshawishi agombee Urais, kana
↧
↧
Askofu wa Kanisa Katoliki Atamani Kumchapa Makofi Waziri
Askofu wa Kanisa Katoliki Mbeya amesema
kama angekuwa na Mamlaka dhidi ya Waziri angemchapa makofi Waziri
aliyeshindwa kutekeleza kauli ya kuzuia malori yanayoharibu barabara.
“Yupo
Waziri ambaye alisema malori makubwa yanaharibu barabara hivyo mizigo
yote inatakiwa kusafirishwa kwa Reli lakini mpaka sasa hajatekeleza.. Kama ningekuwa na uwezo ningemchapa makofi” alisema Askofu
↧
Mkazi Wa Kahama Auwa Kwa Kuchomwa Moto Katika Msiba Wa Jirani Baada Ya Kutuhumiwa Kuhusika Na Kifo Cha Marehemu
Picha Ya Maktaba
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Ulowa Kahama, Chausiku Hamis
ameuawa kwa kuchomwa moto na watu waliokusanyika katika msiba wa mtoto
wa jirani baada ya kutuhumiwa kuhusika na kifo cha mtoto huyo.
Mtoto huyo mwenye umri wa mwaka mmoja
alifariki usiku katika mazingira tata ambapo mwanamke huyo aliuawa baada
ya mmoja wa waombolezaji kupandisha mapepo na kumtuhumu Chausiku
↧
Mgomo Mkali Wa Madereva Nchi Nzima Wanukia
Madereva wa vyombo mbalimbali vya moto, wanakusudia kushiriki mgomo wa
nchi nzima Ijumaa wiki hii, kuishinikiza serikali kuondoa kero
mbalimbali zinazowakabili ikiwemo ukosefu wa ajira za uhakika pamoja na
agizo la kutaka kwenda kusoma.
Wakizungumza
kupitia Katibu wa Muungano wa vyama vya madereva Bw. Rashid Saleh,
Madereva hao wamesema kuwa suala la kurudia kusoma
kila
↧
Waziri Wassira Awafuta Kazi Watendaji Watatu wa Shirika la Rubada.......Watendaji Hao Wameitia Hasara Serikali Ya Bilioni 2.5
WAZIRI wa kilimo, Chakula na Ushirika Steven Wasira amewafukuza kazi wakurugenzi watendaji watatu wa Mamlaka ya Kuendeleza Bonde la Mto Rufiji (Yaani Rufiji River Basin Development Authority – RUBADA) kutokana na matumizi mabaya ya ofisi ya Umma ambayo yameitia hasara ya Bilioni 2.5 Serikali .
Akitoa agizo hilo leo mbele ya Waandishi wa Habari, Waziri Wasira amewataja Watendaji hao kuwa
↧
↧
Mzee Wa Miaka 68 Auawa Na Wananchi Kwa Kupeleka Waganga Kijijini Kilimanjaro
Mzee mwenye umri wa miaka 68, Celestine Mushi, mkazi wa kata ya Motamburu wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, ameuawa na wananchi wanaotajwa kukasirishwa na kitendo chake cha kupeleka waganga wa jadi kijijini kwa lengo la kuifanyia zindiko nyumba yake.
Mushi anadaiwa kuwatoa waganga hao wawili jijini Dar es Salaam na kuwapeleka Rombo kwa kazi hiyo maalumu.
Tukio hilo limethibitishwa
↧
Mwanajeshi wa JWTZ Ajinyonga Jijini Mwanza
Fundi wa magari wa Kikosi cha Jeshi la
Ulinzi la Wananchi namba 512 MTC Nyegezi, jijini Mwanza, Jacob Mponeja
(55) amekutwa amejinyonga chumbani kwake kwa kutumia kamba ya katani
huku akiacha ujumbe.
Kwa
mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Joseph Lusungu tukio
hilo lilitokea Aprili mosi mwaka huu majira ya saa moja asubuhi.
Alisema
ujumbe huo ulioandikwa kwenye
↧
Wakili: Gwajima Yupo Tayari Kwa Mahojiano
Mahojiano baina ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na Polisi yanatarajiwa kuendelea leo katika Kituo Kikuu cha Polisi, jijini Dar es Salaam.
Mahojiano hayo yanaendelea baada ya kuahirishwa wiki iliyopita kutokana na kile kilichodaiwa kuwa afya yake ilikuwa haijaimarika vizuri na hivyo kuwalazimu polisi kuahirisha mahojiano hayo ili kumpatia muda zaidi wa kupumzika
↧
Wanawake Pwani Wadaiwa Kuwarubuni Wavulana
Wanawake wenye umri mkubwa wametakiwa kuacha kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi na vijana wenye umri mdogo, kwani jambo hilo linawapunguzia heshima katika jamii.
Ushauri huo ulitolewa juzi na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Halima Kihemba wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Afya Duniani yaliyofanyika eneo la Kituo cha Afya Mlandizi, wilayani Kibaha mkoani Pwani.
Kihemba, ambaye kitaaluma
↧
↧
Kesi Ya Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Nchini, Johnson Minja Kuanza Leo Ambapo Atasomewa Maelezo Ya Awali Ya Kesi Yake
Kesi ya kushawishi wafanyabiashara wasilipe kodi kwa serikali inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiashara Nchini, Johnson Minja inaanza kusikilizwa leo.
Kesi hiyo iko katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini mbele ya Hakimu Mkazi, Rebecca Mbilu ambapo leo itaanza usikilizwaji kwa mshtakiwa kusomewa maelezo ya awali ya kesi yake.
Mshitakiwa huyo ambaye yuko nje kwa dhamana
↧
Polisi Yazuia Wafuasi Wa Askofu Gwajima.....Vikosi vya Mbwa, Farasi,Magari sasa kila Kona.
Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es salaam limesema wafuasi wa Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima,Josephat Gwajima wasithubutu kutia mguu eneo atakalohojiwa askofu huyo.
Kauli ya jeshi hilo imekuja siku chache baada ya Askofu Gwajima kuwataka wafuasi wake kumsindikiza leo kituo cha polisi kanda maalumu ya Dar es salaam ambako
↧
Zitto Kabwe Aanza Na Ngome Kuu ya CCM
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anaanza ziara yake ya kwanza ya ujenzi wa chama hicho kipya mwishoni mwa wiki hii kwa kutembelea mikoa ambayo inachukuliwa kama ngome za Chama Cha Mapinduzi ( CCM ).
Zitto ambaye aliacha uanachama na ubunge wake wa CHADEMA mwishoni mwa mwezi uliopita, atafanya mkutano wake wa kwanza wa
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 9 April 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 9 April 2015
↧
↧
Wabunge 50 Kujiunga Na Chama Kipya Cha ACT-Tanzania......Zitto Kabwe Asema Majimbo Yote 8 Ya Kigoma Lazima Yachukuliwe na Chama Chake
Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo, Zitto Kabwe amesema zaidi
ya wabunge 50 wa vyama mbalimbali vya siasa nchini watajiunga na chama
hicho kipya na kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Zitto
ambaye alijivua ubunge wa Kigoma Kaskazini baada ya kufukuzwa uanachama
wa Chadema, amebainisha kuwa wabunge hao, wakiwamo wa CCM na Chadema,
ni miongoni mwa watu
↧
Lowassa: Nafuatiliwa Kwa Ukaribu Sana na Chama Changu (CCM).....Muda Ukifika Nitatangaza Nia na Kuweka Mikakati Yangu Wazi ili Wananchi Waijue
Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema anashindwa kujitokeza
kuzungumzia au kufanya mambo yanayohusiana na urais kwa kuwa Kamati ya
Maadili ya CCM inamfuatilia kwa karibu.
Alisema hayo
jana alipoulizwa kuhusu kauli ya Rais Jakaya Kikwete wiki iliyopita
akiwa Marekani ambako alielezea mafanikio na changamoto alizokumbana
nazo wakati wa uongozi wake wa miaka 10.
Kikwete
↧
Mtanzania Anayetuhumiwa Kwa Ugaidi Kenya Kumbe Alitoroka Shuleni Dodoma Tangu Novemba Mwaka Jana.....Mkuu Wa Shule, Wazazi Wake Wafunguka
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika
Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148, Rashid Charles
Mberesero (20) ni mwanafunzi wa kidato cha tano, lakini uongozi wa shule
anayosoma umesema alitoweka shuleni hapo Desemba Novemba 2014.
Habari
zilizothibitishwa na wazazi wake ni kuwa mwanafunzi huyo anasoma katika
Shule ya Sekondari ya Bihawana,
↧
More Pages to Explore .....