Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 3 March 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  Tarehe  3  March  2015

Mchungaji Gwajima Ashindwa Kuhojiwa Polisi Kutokana Na Afya Yake Kutoimarika.......Atakiwa Kuripoti Tena Alhamisi Ya Wiki Ijayo.

$
0
0
Mahojiano baina ya Jeshi la Polisi na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima yaliyokuwa yanatarajiwa kuendelea jana, ikiwa ni siku mbili baada ya kuachiwa kwa dhamana na jeshi hilo, jana yalikwama kuendelea kutokana na kile kilichoelezwa kutoimarika kwa afya ya askofu huyo, na sasa yatafanyika Alhamisi ijayo. Gwajima alidaiwa kuzimia wakati akihojiwa na makachero wa

Majaliwa Ya Sheikh Ponda Ni Mwezi Wa Saba......Hakimu Anayesikiliza Kesi Yake Kaanza Likizo Ya Uzazi ya Miezi Mitatu.

$
0
0
Majaliwa ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu  Nchini , Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo  ipo kwenye hatua ya utetezi itapatikana miezi mitatu ijayo. Hiyo inatokana na hakimu anayesikiliza kesi hiyo Hakimu Mwandamizi wa Mahakama  hiyo, Mary Moyo kuanza rasmi likizo  ya uzazi ya miezi mitatu na hivyo Hakimu Mfawidhi wa wilaya ya Morogoro Maua Hamduni kuiahirisha 

Wazee Wamzawadia Lowassa Ng’ombe Kumuunga Mkono Katika Harakati Zake za Kugombea Urais

$
0
0
Baraza la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.   Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la

Mwalimu Wa Madrasa Anaswa na Watoto 11 Akiwafundisha Dini Ya Kiislam......Kisheria Watoto Hao Walipaswa Kuwa Shuleni

$
0
0
Mwalimu wa Madrasa, Alhaji Maulana Shiraz (71) wa Jumuiya za Wi’yatu LiQadria iliyoko kijiji cha Chikundi wilayani Masasi mkoa wa Mtwara, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kukutwa na watoto wadogo wapatao 11, wa kike na wa kiume, kinyume na taratibu na sheria za nchi.   Pia, amekutwa na fomu za usajili zinazoonesha taarifa muhimu za mwanafunzi hao, zikiwemo

Kardinali Pengo Kuongoza Misa Ya Ijumaa Kuu

$
0
0
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, anatarajiwa kuongoza misa ya Ijumaa Kuu, itakayofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jimboni humo. Wakristo wote duniani hufanya misa hiyo kila mwaka, kukumbuka mateso na kufa kwa Yesu Kristo.   Ratiba iliyotolewa Dar es Salaam jana na Katibu wa Jimbo, Dennis Wigirwa ilionesha kuwa Pengo

Nape Amtaka Zitto Ajenge Upinzani wa Kweli.....Asema Akitaka Heshima Aachane na Siasa za CHADEMA Zenye Mlengo wa Kuruga Amani

$
0
0
Siku chache baada ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, kutangaza kujiunga na  chama cha ACT-Tanzania, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amemtaka kujenga upinzani wa kweli kwa ajili ya kujenga  nchi na si kubomoa. Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika mikoa ya Dodoma

Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Jijini Mwanza Wamtaka Lowassa Agombee Urais......Wasema Hawapo Tayari Kuzibwa Midomo, Wapo Tayari Kufa Ili Lowassa Awe Lowassa Awe Rais

$
0
0
Shinikizo la kumshawishi Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuchukua fomu ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba, mwaka huu, limeendelea na safari hii wanafunzi wa vyuo vikuu vitatu vya jijini Mwanza, wametoa tamko la kumtaka kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho. Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, viongozi wa vyuo vya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT),

Athari 12 Za Sheria Mpya Ya Masuala ya Mitandao ( Tanzania Cybercrimes Act, 2015 ) Iliyopitishwa Bungeni......Athari Hizi Zimechambuliwa Na Mbunge David Kafulila

$
0
0
Sheria hii ni muhimu duniani kote na ndio maana hata Tanzania ilikuwa inangojea kupata sheria ya kuongoza masuala ya mitandao yaani Cyber Law kutokana na uhalifu wa aina mbalimbali wa masuala ya mitandao. Sifa kuu ya sheria ya kuongoza masuala ya mitandao ni kuweka bayana makosa ya mitandaoni na pia kuyatolea adhabu. Sheria hii inayopitishwa kwa dharura madhara yake ni: Moja,

Kilaini: Acheni Kujikweza Na Kutowathamini Wenzenu Pindi Mnapopata Vyeo

$
0
0
Waumini wa dini ya Kikristo mkoani Kagera, wametakiwa kuacha tabia ya kujikweza na kutowathamini wenzao, wanapopata vyeo mbalimbali.   Ushauri huo ulitolewa na Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini wakati wa mahubiri ya misa takatifu ya Ijumaa Kuu, iliyoadhimishwa katika Kanisa Kuu la Jimbo hilo mjini Bukoba.   Askofu Kilaini alisema wapo baadhi ya watu ambao

Mashabiki 7 wa Simba wafa ajalini Morogoro

$
0
0
Mashabiki saba (7) wa timu ya soka ya simba ya jijini dar es salaam wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya costa kwenda mkoani shinyanga kushuhudia mechi baina ya timu hiyo na wakata miwa wa Kagera Sugar, kuacha njia na kupinduka katika eneo la kwa Makunganya, barabara kuu ya Morogoro - Dodoma.   Mashuhuda wa ajali hiyo waliokutwa

Madereva wanane wafutiwa leseni

$
0
0
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (SUMATRA) imewafutia leseni madereva wanane, waliosababisha ajali kwa uzembe na hawataruhusiwa kuendesha mabasi ya abiria.   Madereva hao, ambao majina na picha zao zinatolewa katika vyombo vya habari ni wale waliosababisha ajali na kuua watu mwezi uliopita na wao kusalimika kifo.   Meneja Mawasiliano wa Mamlaka hiyo, David

Watanzania walioathirika mauaji ya Kenya watafutwa......Juzi Al Shabaab Walishambulia Kenya Na Kuua Watu 147

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya, unafuatilia kama kuna wanafunzi wa Tanzania waliojeruhiwa au kuuawa katika shambulio la kigaidi, lililoua wanafunzi 147 wa Chuo Kikuu nchini humo.   Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Membe alisema ubalozi huo unatarajiwa kumpa taarifa mapema iwezekanavyo na

Nyaraka za umiliki wa Zanzibar zaibwa

$
0
0
Nyaraka za kale za mikataba ya kimataifa ya Zanzibar na Ujerumani, inayohusu umiliki wa Zanzibar katika eneo la mwambao wa Pwani ya Afrika ya Mashariki kuanzia Mombasa hadi Kilwa, zimeibwa katika Nyumba ya Nyaraka Kilimani.   Nyaraka hizo zinadaiwa kuibwa na ofisa mmoja wa Ubalozi wa Oman kwa utashi wake na si kwa amri ya Serikali ya Oman, kama ilivyodhaniwa na baadhi ya watu.  

Charles Hillary wa BBC kurejea Tanzania na kujiunga na Azam TV

$
0
0
Ngome ya kituo cha Azam TV inaendelea kuimarishwa, baada ya kuzinduliwa kwa studio kubwa na za kisasa za kituo hicho zilizogharimu zaidi shilingi bilioni 56, inadaiwa kuwa kampuni ya Azam Media itamrejesha nyumbani mtangazaji mkongwe wa BBC, Charles Hillary kwaajili ya kuja kujiunga na Azam TV. Mchambuzi maarufu wa soka Edo Kumwembe ambaye pia hufanya uchambuzi kwenye kituo hicho,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 4 April 2014

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe  4  April  2014

Tahadhari ya kiintelijensia kuhusu uwezekano wa shambulio la kigaidi nchini Tanzania

$
0
0
Juzi, magaidi wa Al-Shabaab walifanya shambulio kubwa la ugaidi katika mji wa Garisa, uliopo mpakani mwa Kenya na Somalia.Shambulio hilo limepelekea vifo vya watu takriban 150 huku taarifa mbalimbali zikionyesha uwezekano wa kuwepo idadi kubwa zaidi ya waliouawa.    Awali, nilikuwa upande wa watetezi wa serikali ya Kenya na vyombo vya usalama vya nchi hiyo katika lawama kwamba

Rais Kikwete Aombwa Kutoupitisha Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandaoni, 2015 ....Ombi Hili Limetolewa Na Chama cha Bloggers Tanzania (TBN)

$
0
0
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini, Tanzania Bloggers Network (TBN) tunamuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kutumia mamlaka yake vyema kwa kutokupitisha muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, 2015 unaokandamiza uhuru wa mawasiliano mitandaoni.     Muswada wa sheria ya makosa ya Mtandaoni unaainisha makosa yanayohusiana na matumizi ya mfumo wa

Hakimu kesi ya mauaji ya Dk. Mvungi ajitoa

$
0
0
Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Waliarwande Lema, amejitoa kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Sengondo Mvungi, inayowakabili washtakiwa 11.   Tukio hilo lilitokea juzi, baada ya washtakiwa hao 11 kumuomba Hakimu Lema ajitoe kuisikiliza kesi yao ili iweze kupangwa kwa hakimu mwingine ambaye wao wanaona

Zitto Kabwe Aanika Mali Zake Hadharani

$
0
0
Ukwasi wa Kiongozi Mkuu wa Chama Cha Alliance for Change and Transparency(ACT Wazalendo), Zitto Kabwe umeongezeka kutoka umiliki wa shamba moja na Sh milioni 30 alizokuwa amezihifadhi katika akaunti za benki mbili tofauti hapa nchini, na sasa anamiliki mali na fedha zinazofikia Sh milioni 690.   Kwa mujibu wa taarifa hizo mpya alizoziweka hadharani wiki hii katika fomu maalum ya
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>