Habari Zilizotufikia zinadai kuwa Mwenyekiti wa Jumuia ya wafanyabiasha nchini Tanzania Bwana Jonson Minja ameachiwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu mkazi Mkoa wa Dodoma baada ya wafanyabiashara kuweka mgomo ambao ulikuwa haujafahamika ukomo wake.
Sakata hili la wafanyabiashara kufanya mgomo wa kufunga maduka katika mikoa mbalimbali nchini, jana lilichafua hali ya hewa bungeni
Breaking News: Mwenyekiti wa Jumuia ya Wafanyabiasha Nchini Aaachiwa Kwa Dhamana
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 2 March 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 2 March 2015
↧
Bei Za Vyakula ZAPAA Kuelekea Pasaka
Bei za mazao katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za Pasaka katika soko la Kariakoo zimeongezeka kutokana na imani iliyojengeka kwa wafanya biashara kuwa uwezo wa manunuzi unakuwa juu.
Meneja Mkuu wa Shirika la Masoko ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam, Florens Seiya alisema jana katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari.
Seiya alisema kila inapofikia kipindi cha
↧
Waziri Mkuu Asema NEC Ndiyo Itakayoamua Iwapo Kura ya Maoni Ifanyike April 30 au La.......Awataka Wafanyabiashara Wasitshe Mgomo, Atoa Neo kuhusu Mahakama ya Kadhi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ufafanuzi kuhusu suala la uandikishaji katika daftari la kudumu la wapigakura na siku maalum ya kupiga kura.
Amebainisha kuwa kutokana na hali ilivyo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ndio itakayotoa ratiba kamili kuhusu hatma ya upigaji kura ya maoni.
Aidha, katika mgogoro na mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea, amewataka wafungue maduka yao kwa kuwa
↧
Mbasha: "Gwajima Mungu Amenilipa, Njoo Uniombe Msamaha Tumalize Ugomvi"
Licha ya Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na
Uzima, Josephat Gwajima kukanusha mara zote kwamba, hahusiki na
kusambaratika kwa ndoa ya Mwimba Injili Flora Mbasha na mumewe, Emmanuel
Mbasha, lakini mume huyo ambaye amekuwa akimshutumu Gwajima ameibuka na
jipya.
Jipya aliloibuka nalo Mbasha ni kudai kuwa, msala uliompata Mchungaji
Gwajima wa kumtolea maneno yenye kuudhi Askofu wa Kanisa
↧
↧
Mahakama Yaamuru Mtuhumiwa wa Escrow Akamatwe
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa hati ya kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4, kwa kuwa hajafika mahakamani.
Aidha imetoa hati kwa wadhamini wa Mujunangoma kufika mahakamani kujieleza kwa nini wasichukuliwe hatua kutokana na kitendo chao na mshitakiwa kutofika
↧
Watoto 147 Wakutwa Misikitini Kilimanjaro Wakifundishwa Mazoezi Makali ya Kareti na Judo
Watoto 140 wenye umri kati ya miaka 10 na 21 wamekamatwa wilayani Hai
mkoani Kilimanjaro wakilelewa katika misikiti mitatu tofauti.
Taarifa zilizopatikana wilayani hapa zinasema watoto hao wamekuwa wakifundishwa mafunzo ya dini ya kiislam kinyume cha sheria.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, watoto hao waligundulika baada ya Kamati ya
Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Hai kupata taarifa na
↧
SUMTRA Yasisitiza Nauli Lazima Zishuke
Siku chache baada ya Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kutaka uangaliwe uwezekano wa kushusha nauli za vyombo vya usafiri nchini, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imesema inatekeleza agizo hilo na kwamba nauli za daladala na mabasi ya mikoani zitashuka wakati wowote kuanzia sasa.
Imeongeza kuwa, licha ya bei ya mafuta kupanda kidogo jana, hakutaathiri kushuka
↧
Gwajima AGOMA Kwenda Kuhojiwa na Mkuu wa Wilaya, Paul Makonda......Asema Tangu lini Mkuu wa Wilaya Akawa Mpelelezi?
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amemwandikia barua Askofu wa
Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akimtaka afike mbele ya
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya kwa mahojiano.
Inaelezwa kuwa
Makonda alimtumia Askofu Gwajima barua hiyo Machi 30 mwaka huu, akiwa
amelazwa katika Hospitali ya TMJ.
Hata hivyo, kiongozi huyo wa kiroho
amegoma akisema hawezikwenda
↧
↧
Chama Kipya Cha ACT-Tanzania Chawataka Watanzania Kupiga Kura ya HAPANA Katiba Inayopendekezwa
Chama cha ACT -Wazalendo, kimewataka Watanzania kuipigia kura ya hapana Katiba inayopendekezwa kwa sababu imeleta mgawanyiko katika taifa kutokana na kupatikana kwa njia zisizo za kiuadilifu na mchakato wake kuendeshwa kibabe.
Kadhalika, kimesema katiba hiyo haijajibu matakwa na malalamiko ya wananchi kwenye masuala ya mbalimbali, ikiwamo muundo wa serikali, miiko na maadili ya viongozi
↧
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) Mstaafu, Jaji Mark Bomani Ataka Kura Ya Maoni ya Katiba Mpya Isogezwe Mbele, Tuendelee na Katiba ya 1977 Kuepusha Machafuko
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) mstaafu, Jaji Mark Bomani, ambaye pia ni mtaalam nguli wa Katiba, ameonya kuwa iwapo upigaji wa kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa utalazimishwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu, wakati dalili zote zinaonyesha kuwa haiwezekani, unaweza kuzua mtafaruku mkubwa nchini.
Ili kuepusha hali hiyo, ameshauri kura ya maoni iahirishwe hadi baadaye, badala yake
↧
Baada ya Ukuta wa Nyumba Yake Kuanguka, Diamond Akabidhiwa Milioni 14 na Kampuni ya Bima ya UAP Kufidia Hasara Hiyo.
Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, amekabidhiwa hundi ya zaidi
ya milioni 14 kwa ajili ya kufidia ujenzi wa upande wa nyumba yake
uliodondoka.
Wakati akikabidhiwa mfano wa hundi hiyo na Kampuni ya Bima ya UAP kwa
ushirikiano na Benki ya CRDB, Diamond alisema ukuta wa nyumba yake
ulianguka wakati akiwa anamuuguza mama yake aliyekuwa katika hali mbaya.
“Ilikuwa ghafla
↧
Breaking News: Magaidi Wavamia Chuo Kikuu Cha Garrisa Kenya......Waliofariki mpaka sasa ni 15,Magaidi Hayo Bado Yako Ndani
Takriban watu 15 wameuawa baada
ya watu watano wanaodaiwa kufinika nyuso zao kushambulia chuo kikuu cha
Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.
Watu hao wanadaiwa kuingia
katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi wakati ambapo waislamu
walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.
Hatahivyo maafisa wa polisi wanasema kuwa shambulizi hilo lilifanyika mwendo wa saa kumi na moja
↧
↧
Mwanamke Afanyiwa Ukatili Wa Kutisha Na Mume Wake.....Achomwa Moto Kwa Petrol, Mtoto Wa Mwezi Mmoja Afariki Dunia
Machi 31 mwaka huu, mwanamke mmoja mkazi wa Bwai wilayani Butiama, Kudra
Nanja alifanyiwa ukatili na mumewe wa kuchomewa ndani ya nyumba kwa
petroli, tukio lililosababisha mtoto wake Tatu Simioni aliyekuwa na umri
wa mwezi mmoja u nusu kufariki dunia.
↧
Hali Bado Ni Tete Kenya....Mapigano Kati Ya Jeshi Na Al Shabaab Bado Yanaendelea Katika Chuo Kikuu Cha Garrissa ambapo Wanafunzi 15 Wameuawa
Takriban watu 15 wanaodaiwa kufunika nyuso zao wameshambulia chuo kikuu cha Garrissa Kaskazini mashariki mwa Kenya.
Watu
hao wanadaiwa kuingia katika taasisi hiyo mwendo wa saa kumi asubuhi
wakati ambapo waislamu walikuwa wakifanya sala yao ya alfajiri.
Kufuatia shambulizi la chuo kikuu cha Garissa ,Shirika la msalaba
mwekundu Red Cross limewataka raia wa Garissa kutoa msaada wa
↧
Polisi Wanauawa Na Bunduki Zinaporwa Mara Kwa Mara....Bado Mnataka Tuamini Huu ni Ujambazi?
Wakati Rais Jakaya Kikwete akiingia madarakani mwaka 2005,
ujambazi nchini ulikuwa umefikia kiwango cha kutisha, lakini leo hii
tunaona umepungua.
Katika siku za karibuni, ambapo utawala wake wa
miaka 10, unaelekea ukingoni, kumeibuka aina mpya kabisa ya uhalifu,
nayo ni uvamizi wa vituo vya polisi, mauaji ya polisi na uporaji wa
silaha, zikiwemo za kivita. Majuzi tu, mesikia polisi
↧
Abiria Wakwama Jijini Mwanza Baada ya Mabasi Kutoka Dar es Salaam Kushindwa Kufika.....SUMATRA Wanataka Mabasi ya Dar-Mwanza Yatumie Spidi 80 tu
Siku moja baada ya Wakala wa Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na
Majini (SUMATRA) kutangaza kupungua kwa mwendo kasi wa mabasi yaendayo
mikoani hadi kufikia spidi 80, wasafiri jijini Mwanza wamekumbana na adha
kubwa ya kukosa usafiri baada ya mabasi kutoka Dar es Salaam kushindwa
kufika kwa wakati mjini hapa.
Katika stendi kuu ya mabasi eneo la Nyegezi jijini hapa, wasafiri hao
↧
↧
Breaking News:Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yaahirisha Kura ya Maoni Ya Katiba Mpya.....Zoezi La Uandikishaji Kuendelea Hadi Mwezi Wa 7
Tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) imesema kuwa kura ya maoni ya katiba
inayopendekezwa, haitaweza kufanyika tena tarehe 30 April hadi hapo
itakapotangazwa tarehe nyingine tena.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mchana, mwenyekiti wa tume ya uchaguzi , Jaji Mstaafu Damian Lubavu amesema sababu ya
kuhairisha kura hiyo April 30 ni kutokana na kutokamilika kwa zoezi la
↧
Hali ni Mbaya Kenya...Al Shabaab Wanadaiwa Kuanza Kuwachinja Mateka Inayowashikila Katika Jengo La Chuo Kikuu Cha Garissa
Baadhi ya wanafunzi waliouawa au kujeruhiwa darasani
**********
Katika style kama ile ya shambulizi la Westgate Mall, wanamgambo wa
al-Shabaab wamevamia na kushambulia chuo kikuu cha Garissa kilichopo katika mji
wa Garissa. Zaidi ya watu 15 wameuawa, na wengine zaidi ya 53
wamejeruhiwa.
Mkuu wa jeshi la polisi Kenya, Inspector General Joseph Boinnet amesema
kuwa magaidi hao
↧
Waliouawa Na Al Shabab katika Shambulizi Chuo Cha Garissa Wafika 147.......Serikali Ya Kenya Yasema Imewaua Magaidi Wote Waliovamia
Habari Mpya toka kenya zinaarifu kuwa,Watu 500 wameokolewa huku 147 wakiuawa wakiwemo wapiganaji wote wa kundi la Al shabaab waliokuwa wamevamia.
Kwa mujibu wa kituo cha Televisheni cha K24 cha nchini Kenya, majeshi ya KDF Yakisaidiana na Polisi yamefanikwa kuwaua magaidi wote na kuchukua udhitibi wa chuo hicho.
Mapigano Hayo Yamechukua Masaa 14
↧
More Pages to Explore .....