Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mama Awafungia Ndani Watoto Wake Watatu Kwa Miaka 10

$
0
0
Ni mambo ya kushangaza sana ambayo yamenaswa na Gazeti la Uwazi  katika Kisiwa cha Mafia Mkoa wa Pwani ambapo mwanamke mmoja aitwaye Mwasiti Ally wa Kijiji cha Kanga, amewafungia wanaye watatu kwa miaka kumi ndani ya chumba kimoja kwa madai kuwa ni wagonjwa wa akili. Uwazi lilipata habari hizi kupitia kwa watu waishio Mafia na kuamua kufunga safari hadi kisiwani humo kufuatilia tukio

Sakata la Dr. Slaa Kutaka kuuawa: Mke Wake Ahojiwa Polisi Kwa Masaa Matatu.

$
0
0
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe. Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na

Gwajima Afunguka......Asema Aliagiza Bastola yake ili Ajihami Baada ya Taarifa Kuzagaa Mitandaoni kuwa Amefariki Dunia

$
0
0
Hii  ni  Picha  iliyosambazwa  katika  mitandao  ya  kijamii  ikidai  kuwa  Gwajima  kafariki  dunia  na  yuko  Mochwari.Taarifa  hizi  zilimpa  hofu  Gwajima  na  kumfanya  Aagize  Bastola  yake  kwa  ajili  ya  kujihami. ********** Utata umeibuka kuhusu bastola waliyodaiwa kukamatwa nayo wafuasi wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima baada ya kiongozi huyo

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Maaskofu na Wachungaji Watoa Tamko Zito Kuhusiana na Kudhoofu Kwa Afya Ya Gwajima Mikononi mwa Polisi.....Wapanga Kuonana na IGP Mangu. Tamko Liko Hapa.

$
0
0
Sisi maaskofu na wachungaji kutoka makanisa mbalimbali tumeshtushwa na kusikitishwa kwa taarifa ya ugonjwa wa Askofu na mtumishi mwenzetu Josephat Gwajima ambaye tarehe 27/03/2015 alifika kituo cha polisi cha kati kuitikia wito wa polisi uliomtaka kwenda kujibu shutuma za kutumia lugha ya matusi kwa kardinali Pengo. Tumepata fursa ya kutafakari na kujadili kwa kina hali iliyompata

Je, Unataka Kupunguza Kitambi? Una Maziwa Yaliyolala na Unataka Yasimame? Una Chunusi Usoni? Unatatizo la nguvu za Kiume? BOFYA Hapa Ukutane na Dr Kessy

$
0
0
Pendeza na Dr Kessy Products . Ni dawa za Asili zisizo na Kemikali wala madhara yoyote kwa Binadamu, zimetengenezwa kwa kutumia mimea na matunda mbali mbali kukupa matokeo ya Haraka   1.Tengeneza  shep, mahips  au  makalio Dawa  ya  kupaka 50,000 Vidonge   80,000. 2.Punguza  maziwa  na  kuyasimamisha-  40,000/= 3.Punguza  mwili  pamoja  na  kilo- 60,000/= 4.Ongeza  nguvu  za 

Je,ni Sahihi Mkuu wa Wilaya, Paul Makonda Kutaka Kumhoji Gwajima Wakati Polisi Walishamhoji ???...Haya Ni Maoni Ya Malisa Na Mtatiro Kuhusiana na Sakata Hili

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda ambaye alikuwa amemwandikia Gwajima barua akimwita ofisi kwake, jana mchana alimtembelea hospitalini hapo kwa ajili ya kumjulia hali kiongozi huyo lakini akasisitiza kuwa nia yake bado ipo palepale. “Nilimtaka leo aripoti ofisini kwangu lakini kwa bahati mbaya anaugua na amelazwa. Nitakwenda kumuona ili nijue hali yake ikoje,” alisema Makonda

Wafanyabiashara wa Daladala Songea Wagoma Kufanya Kazi Zao Kwa Madai ya Kuunga Mkono Mgomo wa Wafanyabiashara Unaoendelea.

$
0
0
Mgomo wa wafanya biashara umeendelea kuchukua sura mpya baada ya wafanya biashara wa daladala mjini Songea kugoma kufanya kazi toka asubuhi kwa madai ya kuunga mkono mgomo wa wafanya biashara unaoendelea katika mikoa mabalimbali nchini ili kushinikiza serikali kumuachilia kiongozi wao Bwana Joseph Minja pamoja na kutatua madai yao ya matumizi ya mashine za EFDS pamoja na ongezeko la kodi kwa

Nigeria Yafanya Mageuzi...Mgombea wa Upinzani Aibuka Mshindi wa Kiti Cha Urais

$
0
0
Mgombea wa upinzani nchini Nigeria Muhammadu Buhari ameibuka mshindi wa kiti cha urais dhidi ya Rais Goodluck Jonathan katika uchaguzi uliofanyika Jumapili nchini humo. Kwa mujibu wa Reuters, Buhari wa chama cha upinzani cha APC amepata kura million 15.4 dhidi ya kura million 13.3 alizopata Jonathan. Chama cha Rais Jonathan All Progressives Congress (APC) kimesema kuwa Jonathan

Baada ya mahojiano, Gwajima Aachiwa kwa Dhamana

$
0
0
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima (pichani) leo  ameachiwa  kwa  dhamana  baada  ya  kutolewa  hospitali  ya  TMJ  alikokuwa  amelazwa  baada  ya  kupoteza  fahamu  na  kisha  kupelekwa  kituo  cha  Polisi  oysterbay  kwa  ajili  ya  mahojiano. Akiongea na waandishi wa habari  mara baada ya kuhojiwa na Jeshi la Polisi  na kupewa dhamana, Gwajima amesema hawezi

Amfumania na Kumpasua Tumbo Mgoni Wake

$
0
0
POLISI mkoani Katavi inamshikilia mkazi wa kitongoji cha Ntumba, kijiji cha Mnyengele wilayani Mpanda, Deogratius Pastory (30) kwa kumjeruhi vibaya mkewe kwa kumkata mkono wake wa kushoto na kupasua tumbo la mpenzi wa mkewe kwa panga.   Mtu huyo aliwatendea unyama huo baada ya kuwafumania mkewe aitwae Tabu Nestory (20) na mpenzi wake wa kiume aitwaye Masaga Elias (28 wakifanya mapenzi

IGP Mangu Afanya Mabadiliko Kwa Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa.

$
0
0
Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa. Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Simiyu, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Charles Mkumbo anakwenda kuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza na nafasi yake kuchukuliwa na aliyekuwa afisa mnadhimu mkoa wa Manyara Kamishna

Wabunge wataka serikali kuwajibika mgomo wa wafanyabiashara

$
0
0
Wabunge wameitaka Serikali kuharakisha mazungumzo yake kuhusu tatizo lililopo la mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima, ili suala hilo lipatiwe ufumbuzi mapema.   Hayo yalibainishwa bungeni hapo na Naibu Spika Job Ndugai, wakati wakati akijibu miongozo mbalimbali iliyoombwa na wabunge kuhusu suala hilo ambao wengi wao walitaka mijadala ya Bunge hilo iahirishwe ili suala hilo lijadiliwe kama

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 1 March 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  1  March  2015

Wazazi 19 Wahukumiwa Kwa Kushindwa Kupeleka Watoto wao Shule

$
0
0
Wazazi 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.   Wazazi waliohukumiwa kifungo hiki ni wale wa kata za Mpindimbi na Lukuledi zilizopo katika Halmashauri ya wilaya ya Masasi, Mtwara .   Aidha, wametakiwa kuripoti kwenye

Majambazi Yakiwa Na PANGA Yaua Polisi Wawili na Kupora Bunduki........Jeshi la Polisi Latangaza Msako Mkali

$
0
0
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa kushirikiana na Polisi Mkoa wa Pwani linaendesha oparesheni kali ya aina yake ya kuwasaka majambazi waliowavamia, kuwaua askari wawili na kumjeruhi mmoja na kisha kupora bunduki aina ya SMG.   Tukio hilo limetokea tarehe 30/03/2015 majira ya saa mbili usiku huko barabara ya Kilwa Kata ya Vikindu Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.     

Maaskofu Wamjibu Rais Kikwete.....Watoa Tamko Zito Kuhusu Mahakama ya Kadhi......Wasisitiza Kuwa Wakristo Wote Wapige Kura ya HAPANA Katiba Inayopendekezwa

$
0
0
Siku tano baada ya Rais Jakaya Kikwete kusema kuwa tamko la Jukwaa la Wakristo (TCF) kuwataka waumini wao kupigia kura ya ‘hapana’ Katiba Inayopendekezwa lilikuwa la hasira, viongozi hao wamejitokeza tena na kusisitiza kwamba msimamo wao huo utabaki kama ulivyo. Katika tamko pamoja walilolitoa jana baada ya kukutana juzi mjini Dodoma, viongozi hao wamemtahadharisha Rais Kikwete kuwa

Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa.....Hautawasilishwa Bungeni LEO.

$
0
0
Muswada wa Mahakama ya Kadhi umeondolewa bungeni na sasa hautajadiliwa katika Mkutano wa 19 wa Bunge unaohitimishwa leo mjini  Dodoma. Huu ni muswada wa tatu kuondolewa Bungeni baada ya ile miwili ya sekta ya habari ambayo ni muswada wa Sheria ya kupata Taarifa wa mwaka 2015 na ule wa sheria ya huduma wa Vyombo vya Habari iliyoondelewa mwishoni mwa wiki iliyopita. Muswada huo ulipangwa

Gwajima Jana Aligeuka MFALME Baada ya Kuachiwa Kwa Dhamana Isiyo Na Masharti......Wafuasi Wake 15 Nao Waachiwa, Mwandishi Atiwa Mbaroni

$
0
0
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam akiwa chini ya ulinzi wa polisi, ameachiwa huru kwa dhamana katika kituo cha Polisi cha Oysterbay baada  ya  kufikishwa  kituoni  hapo kwa kutumia baiskeli ya wagonjwa (wheelchair)  kuhojiwa kwa mara ya pili.   Askofu Gwajima, alipandishwa kwenye baiskeli hiyo, baada ya

Breaking News: Vurugu Zaibuka Bungeni.......Wapinzani Wamtuhumu Spika Kuilinda Serikali, Bunge Laahirishwa hadi Mchana. Video Ya Tukio Hilo Iko Hapa.

$
0
0
Kikao cha  Bunge kimevunjika muda mfupi uliopita baada ya kutokea vurugu za maneno kufuatia wapinzani kutaka Waziri Mkuu atoe taarifa juu ya mwenendo wa kura ya maoni ya katiba mpya april 30,2015. Kutokana na vurugu hizo za dakika kama 10 hivi Spika Anna Makinda amesitisha gafla shughuli za bunge hadi mchana. Hali likuwa hivi: Mnyika: Nimesimama kupata idhini kwa mujibu wa kanuni ili
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images